Mambo Matano (5) ya Kumfanyia mtoto baada ya Kuzaliwa - Ukht Fatma Mdidi

  Рет қаралды 22,954

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Maarifa ya Uislamu

Пікірлер: 45
@omanomqn4345
@omanomqn4345 2 жыл бұрын
Mashaallah,,, Allah akulipe hili ktk mizani yako ya wema kesho akhera
@aishaissa2691
@aishaissa2691 2 жыл бұрын
Masha Allah tabarakallah shukran San Allah akupende zaidi na zaidi
@fawziaabdurrahman2251
@fawziaabdurrahman2251 2 жыл бұрын
Shukran ustadha kwa darsa nzuri Allah akujalie umri mrefu wenye kheri, akutakabalie amal zako njema, akuzidishe maarifa na ilmu na akubarikie watoto wako na akupe jannah. Na sisi sote ummati Muhammad hivo hivo. Na wasio kua na watoto Allah awajalie watoto wa kheri na tufuate mafunzo tuliopata kwenye hii darsa allahumma amin
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
ALLAH humma Amiin
@sumol9586
@sumol9586 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishe
@aishaomar9621
@aishaomar9621 Жыл бұрын
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah akuzidishie umri furaha Tele uzidi kutujuza
@fatumahamadi6072
@fatumahamadi6072 2 жыл бұрын
Shukran kw ujumbe mzr ALLAH akujaalie siha n Afya njema
@abdulhida8291
@abdulhida8291 2 жыл бұрын
Masha Allah, Jazzaka Allah kheri. Darsa zuri
@ramlajeffah9831
@ramlajeffah9831 10 ай бұрын
Waaleikum msalam warahmatullahi wabarakatu shukran jazila ya ukthi
@a.856
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura 11 ай бұрын
Hili darsa liwafikie Wote wenye kudhani Ya kuwa 40 ni dini Kumbe si dini watu wametengeneza Ada Badala ya kumfanyia Mtoto aqiqah Zinafanywa gharama Kubwa za shughuli ya 40 Wengi wao wakidhani wametimiza Ibada kufanya hivyo . Shukran Ukhty Allah akulipe kheir Uzidi kueleimisha umma Wa kiislam🤲
@kalamuMedia
@kalamuMedia 11 ай бұрын
Aaaminx3
@shadyaahmad7066
@shadyaahmad7066 2 жыл бұрын
Mashallah
@zenahbayeh7371
@zenahbayeh7371 2 жыл бұрын
Shukurani jazakallahkher
@karambeuamini4516
@karambeuamini4516 Жыл бұрын
Shukran JazaqAllahu kheir
@mohamedshee7967
@mohamedshee7967 3 ай бұрын
Ma sha Allah
@ashashaban6484
@ashashaban6484 2 жыл бұрын
mashallah mashallah
@saidemuamedeali2678
@saidemuamedeali2678 Жыл бұрын
Hongera
@Abuuabdillah259
@Abuuabdillah259 10 ай бұрын
Mbona hutoi dalili ya hayo unayoyaeleza
@khamisabduuqataadah8488
@khamisabduuqataadah8488 2 жыл бұрын
Ukhuty Fatma Mdidi nakuombeni mzingatie Sitara ya kuvaa Niqa'ab Maana mwakaa uso wazi nyusi zaonekana.
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
Kwani lazima
@baisheally4636
@baisheally4636 2 жыл бұрын
mwambie hasaa
@sitikhamis7978
@sitikhamis7978 2 жыл бұрын
Niqab sio lazma katka uislamu wala gloves
@khamisabduuqataadah8488
@khamisabduuqataadah8488 2 жыл бұрын
Ni kiungo gani katika Mwili wa Mwanamke hupambwa Sana? Na nipe ushahidi wa kuwa Niqa'ab si muhimu.
@ralmazidi6978
@ralmazidi6978 2 жыл бұрын
Sio lazima
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 5 ай бұрын
Haijuzu muislam mwanamke kuzungumza hadharani mpaka wanaume wakasikia na hicho unachofanya ni haram
@user-xq6mg1yu1y
@user-xq6mg1yu1y 2 ай бұрын
Salaam aleikum warahimathullah wabarakathu,je ni vipi kama imefika siku ya saba na sikupata kichinjoo,je naweza kunya siku nikiwa nimepata,hata kama ni nimiaka kumi au saba?
@user-vi3lz7sz8r
@user-vi3lz7sz8r 6 ай бұрын
Assalam alaikum ustadhat. Na Je! kama hakuna uwezo nifanyeje
@saidmuha3997
@saidmuha3997 2 жыл бұрын
Balaka allhu raka
@aminaalmazrui9785
@aminaalmazrui9785 Жыл бұрын
Assalam alaykum,natamani niilize masuala maana ata sijaelewa vzr
@aminachaulaya278
@aminachaulaya278 Жыл бұрын
Mwanangu ana miaka 10 je naweza kumfanyia hakika?
@zainabuali9915
@zainabuali9915 Жыл бұрын
Maahaa Allah. Kam mt hakuwahi kufanya hayo wkt mtot ni mchnga na mtot ashfikia mwak mmoj na nusu afanyeje? ktk kuchinja na sadaka
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 Жыл бұрын
Hayo mengine yatakuwa yamekupita lakini hili la kumchinjia bado lipo unaweza ukamfanyia mtoto wako lakini vizuri zaidi ni siku ya saba na kama utakosa sabaa ya kwanza unamchinjia sabaa ya pili au yatatu
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 Жыл бұрын
Shukraan
@mubashop444
@mubashop444 Жыл бұрын
Asalam aleykum ukht mi nna shida na wewe
@mubashop444
@mubashop444 Жыл бұрын
Mimi ni mwanamke mwenzio lakini natumia simu ya mume wangu
@reemareemo2698
@reemareemo2698 Жыл бұрын
Sante dada mxuri
@SalumuSaid-vq2kp
@SalumuSaid-vq2kp 9 ай бұрын
Nahii siku ya arobain yamama kutoka nje ipoje hii kuna majambo gan yapaswa kufanya ama ipo tu
@salhin9591
@salhin9591 Жыл бұрын
Mashallah
Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi
45:43
Kalamutz
Рет қаралды 54 М.
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 15 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 11 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 27 МЛН
Mambo manne (4) ya Kuzingatia wakati wa Kuchagua Mchumba
19:04
Mke ndio Daktari namba moja wa Mume
35:52
Kalamutz
Рет қаралды 129 М.
Mambo ambayo wazazi hufanya huharibu watoto -  Ukht Fatma Mdidi
1:09:54
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 15 МЛН