Рет қаралды 8,194
Msanii wa muziki wa Singeli nchini Tanzania MANFONGO Amefunguka kupitia wakati mgumu pale anapokutana na Diamond Platnumz licha ya kuwa Diamond anamkubali sana. Manfongo anasema ukikutana na Diamond lazima utetemeke hata kama ulitaka kumwambia jambo lako unasahau
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZbin channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#ManFongo #Diamondplatnumz