oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
@mahamedally51292 ай бұрын
Upo sahihi manara n shida
@Michaelmhina-rt3kp2 ай бұрын
Big team
@awazioga18232 ай бұрын
Bugati kama bugati ally kamwe pamoja wote waaajiwa wa yanga
@JuliusiMasanja2 ай бұрын
KAMA ALI KAMWE HAYUPO HATUJI
@noelmbise91572 ай бұрын
😂😂😂mzee wa madem huyo
@waziriwaziri43302 ай бұрын
Hi
@JumaJuma-g5e2 ай бұрын
Arrbaah. Bin. Sufuurr
@timetravellor53672 ай бұрын
Naona Leo hajaja na twiga
@akilipeter16602 ай бұрын
haji manala ni influencer na ally kamwe ni msemaji
@JohnGoryo2 ай бұрын
We rudi simba umeanza kumuchokonoa ally kamwe wetu
@ShalomChamgeni2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@SiemreTz2 ай бұрын
Ha ha h..yanga..raha sanaaaaa
@LucyMbwambo-w4d2 ай бұрын
Manara atafutiwe kazi nyingine ndani ya yanga,saiz amwachie dogo kamwe aendeleze alipoishia
@josephlorri4312 ай бұрын
Yanga waanzishe kurugenzi ya wanachama/wanachama/wapenzi, na iongozwe na haji manara. Usemaji wa mambo timu abaki Ally kamwe
@richardmrosso9762 ай бұрын
Haji ni na pale yanga?
@maarufumustwapha30552 ай бұрын
Acha stori nyingi maelezo marefu
@husseinbachwa83722 ай бұрын
Mmechemka mmetafta kibonde hamna lolote...
@ShukurkollAngel2 ай бұрын
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
@mrsab3032 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@AwardHakimu2 ай бұрын
Manara hii ni karama yake.
@omaryshabani34802 ай бұрын
Huyu ndio mtu nilikuwa namsubiri mnoo..arudi kwenye hili soka letu sasa baasiii..mmekwishaaa..😂😂😂🙌🙌
@LindaMbilinyi2 ай бұрын
Kaisha nan?
@mcgabby2 ай бұрын
Mashine ya kuongea hiyoo😂
@AwardHakimu2 ай бұрын
Namkubali sana huyu jamaa akiamia timu yoyote na Mimi ni bendera fuata upepo
@MunsiCosmas-tg2df2 ай бұрын
Ww ni simba sema wana kusaka tonge wezako
@philemornmutta15972 ай бұрын
Kaizer amesha potea ndiyo anajitafta kurudisha makali yake nafasi ya 10 msim uliopita wamedrop sana
@Marjeby2 ай бұрын
Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo. Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
@rajabumtuga73722 ай бұрын
Kila mtu amesimama kweny cheo chake.. unataka ukienda hela ukirud mke hawez kuw wako?
@joycemlay57622 ай бұрын
Kama umeona pua kama matundu ya choo like hapa
@mamboshepea88882 ай бұрын
Pua zako kama za kiboko!!! Acha kutukana wewe ndo umemuumba😣😣
@bahi_bay242 ай бұрын
Haji nakukubali sana… unaongea kwa mpangilio 🎉
@motivation-ic3nf2 ай бұрын
Wote awa wanashindana na mtu mmoja au basi
@NasriMalogo-iz2tb2 ай бұрын
Manara bhn linajua
@lydiamartine79702 ай бұрын
Sàsa kama waliwaita waandishi why wasiwaulize maswali? Hakukua na ulazima wa kuwaita hao waandishi
@GoodluckNjau-km3ym2 ай бұрын
Broo mwachie dogo usemaji bakia na ile biashara ya kuoa na kuacha
@gabrieldoseti57292 ай бұрын
Mimi yanga damu awe Ali kamwe au Dila Boss Bugatti wote vyuma
@sulemanaman6052 ай бұрын
Nilidhan kombe kumbe kikombe😂😂😂
@mashakalukinda23502 ай бұрын
Kiti ndo kinazuguka au mara ndo anazungusha
@MassoudAbdalla-v9g2 ай бұрын
Inshallah kwa uwezo wake rabuka tutafika huko
@ItangoMsabila2 ай бұрын
kamwe mic u sana mzeee nakukubal
@JummaSammata-ny5xf2 ай бұрын
Du hii NI dhambi
@juchaonline40842 ай бұрын
Kichwa cha habar unauliza?au unatuambia
@silasjacob-j2l2 ай бұрын
wanachama wanamsikiliza mwana chawa manara huko hutakiwi wala hawakuelewi mwachie ally kamwe mtoto huyo usimtoe roho baba acha kupanda gari la watoto
@allythabiti81502 ай бұрын
umepoteza muelekeo manara😂😂
@Shebbytvs2 ай бұрын
Kwahyo hapo anaongelea mapishi ama yupo chooni kama kweli amepoteza muelekeo?? Je ww ulishawah kuwepo hapo alipo?
@HafidhSuty2 ай бұрын
Maneno umemaliz simba huna la kuongea muachie mwenyewe kamwe kitu chke uto ww
@enockabumba75132 ай бұрын
Kabisa
@LukasIbramovic2 ай бұрын
Sanaaaa mabingwaaas
@mrafm72852 ай бұрын
Mbona kama kaamka na faida
@halidimsuya-cy9bl2 ай бұрын
Napenda haji akiongea
@HappyGrant2 ай бұрын
Muludishe dogo kamwe Hilo
@AhmedAdan-q9l2 ай бұрын
Kamwe mbona hajielewi jamani
@GULIELMAS2 ай бұрын
Dawa yenu inawiva.
@HASSANBAKARI-q9c2 ай бұрын
Ali pale kivuli tu..habar zote unazsema ww
@MohamedHamsini2 ай бұрын
HATAKIWI ANANG ANG ANIZA BAFASI ATA ISIYOKUWEPO YANGA.... ATAKUWA MC TU HABARI TUNAZO
@abumuhammad96152 ай бұрын
Huna jipya mzee retire upishe watoto waendeleze gurudumu
@DavidMbwilo-qk1bz2 ай бұрын
Mzee wa kufungiwa 😂😂😂😂 tibua tibua
@exaverysimon10642 ай бұрын
❤❤❤ KUMBE MANARA BADO N FIRE WANASIMBA KAZ MNAYO TUNAWAGONGA KUANZIA KWA WASEMAJ MPAKA UWANJAN😂😂😂