Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Пікірлер: 69
@DavidMeshack-c6s2 ай бұрын
Karibu tena mwamba wetu tulikumic sana kaka. Sasa makoolo wako wanaharisha huko kusikia upo huru. Mungu akutangulie jiandae tuijenge yanga yetu.
@suleimanali20172 ай бұрын
Hongera sana ndugu Manara, nimefuatilia maelezo Yako na kabla nimekuwa nakuangalia na kukusikiliza sana. UPO VIZURI MASHAALLAH. Omni moja TU punguza sifa husisan kwenye mahusiano
@JacksonFrances2 ай бұрын
BUGATI kama BUGATI" Huwa Nakuelewa Sana Hujawahi Kuniangusha BUGATI kama BUGATI"
MANARA NI SHUJAA WA AINA YAKE ....HONGERA SANA "WELCOME AGAIN AND AGAIN"
@godfreymwandara2 ай бұрын
Ayoma tv boresheni camera zenu sio quality
@chrithicksambo22872 ай бұрын
Kamanda
@charleslinhege6902 ай бұрын
Hujui Yanga nao walishakuweka pembeni. Pole sana
@nassorseif2 ай бұрын
Meno ya kijani😂😂
@IsayaShokaulaya2 ай бұрын
Mimi simba ila nilikumisi sana mzeee wa kuchaluwana
@SirajiZacharia2 ай бұрын
Karibu El-Bughatti wapate tabu..😂😂
@hassanabdala73832 ай бұрын
Subiriii vita vya manara na Ally Kamwe vimbelembele wawili kugombea bwanayao Hersi
@Fatma-jt6zn2 ай бұрын
daa nirikuwa nakuombea Sanaa urudi mungu nimwema sikuzote hongeraa sana
@hamadabdullah97022 ай бұрын
Ushafunguliw uache maneno ya ovyo mjinga wew utulie
@alitante42792 ай бұрын
Aki kamwe jeur kwisha 😂😂 soon utarud kuchambua mpira
@AAbubakariSharif2 ай бұрын
Uache matusi na kashfa kwa watu wazito we manara ni kitu kidogo Sana kwa watu Acha dharau
@AlmasSamwel2 ай бұрын
Wewe manara simba ndio alikufungia?hujitsmbui kweli
@DavidJuma-b4h2 ай бұрын
Aly kamwe vs Haji manara,mh mm sijui je,aly kamwe anafraha ulejeo wa manara?
@muhamedjaffar56532 ай бұрын
Furaha itoke wapi.akae Pemben amuwez manara
@janetybubegwa52722 ай бұрын
Manara ukikaa kimya itakusaidia badala ya Kuchamba
@japhetpwiti96512 ай бұрын
Heshimu sana walioko madarakani kinyume cha hapo utakuwa unajivunjia heshima yako
@theonasmkoba61212 ай бұрын
Rudisha kadi ya Simba
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Matusi si uungw'ana kwenye mitandao, kuna kosa gani hapo kwenye media? Au uyanga na usimba?.
@abubakarbajun35032 ай бұрын
Unstema mateee sanaa punguzaaa domo
@KudraEliasa2 ай бұрын
Hongela San jmn mandala
@davidruhasha96702 ай бұрын
Umelipia faini bado hujatumikia kifungo
@salehhemed93882 ай бұрын
Sasa umesema unasubr kupangiwa majukumu huku unaleta ratiba zako hii si kulazimisha jmn😂😅 Watauwana
@lusekelonelson72562 ай бұрын
Kweli Rudi Yanga imepwaya sana
@AzhadSaid-j1t2 ай бұрын
Huyu jamaa simba mnfiki tu anataka ugali achana na sisi yanga nahuyu iko mwaka atarud simba nabatatunyia mbovu
@ClementKonda-uj1nj2 ай бұрын
Ulivumilia nini chawa wa gsm
@kasongoIDDi-mx7gz2 ай бұрын
Hauna vita yoyote ss ndio Simba tutapambana na wewe mzushi ukicheza tunakungia tena
@johnelias21662 ай бұрын
UPANDE WA HAMASA KWA YANGA ALI KAMWE AMEMALIZA KIUKWELI MENGINE NI FUJO KAMWE AMEVAA VIATU VYAKE KWA WELEDI, MM NI SIMBA LAKINI HAMASA IKO MBELE TOKA KWA KAMWE, MIMI NI SIMBA UBAYA UBWELA SIMBA NGUVU MOJA
@kasongoIDDi-mx7gz2 ай бұрын
Wewe utatutishia wanawake tuu hauna mapya
@MsevenSaudisaidi2 ай бұрын
Yule msomari wa tff kaumbuka umempa mirioni kumi umeflai sana
@MohamediIbrahim-cl4gc2 ай бұрын
Mwamba karudi mzigoni tar 4 sio mbali.
@kassidpandu8662 ай бұрын
Hawezi kufanyakazi na Ali kamwe hii vita itakuwa ya kwenu yanga kwa utopax
@Clement-rm8xu2 ай бұрын
Omba omba kama kawaida, mpaka mda huu yanga hawajakupokea maana hakuna post yoyote kukuhusu wwe, inakubidi uwe na adabu ilifika wakati ukajawa kiburi jeuri na kujiona wwe ndo wwe hakuna mwingine kuliko wwe. Sasa nafikiri umejua kuwa wapo wengi kukushinda wwe aiseee dunia imefika mbali sanaaaaaa
@VIVIANEMAKOTO-rl8lt2 ай бұрын
Fara utafungiwa maisha Vita na simba nani hasa
@MkaliZuberi-rt3gb2 ай бұрын
Na ili urudi mjini lazima ukitaje kilichokuzid kama magoma na kongowele fc na huyo mlemavu na simba timu namba 6 kwa ubora afrika
@goodluckygobam44772 ай бұрын
Ahmed all wameomba nguvu bwana😂😂😂😂😂
@IbrahimOmar-tu5tc2 ай бұрын
Bugati karud makolo mjiandae
@DICKSONKALINGA-uq7by2 ай бұрын
Karibu sana haji manara yanga Bado yamoto ilikua ni fitina tu mungu atakusaidia uwe juu yawabaya sahau yote songa mbele I love manara
@yayananajota58382 ай бұрын
War with simba😏,
@Mjukuuhoteli2 ай бұрын
Karibu sana manara ila upunguze mdomo
@tintz31572 ай бұрын
Mbona umemtaja mke mmoja tu mwingine hana umuhimu au
@JosephTibu2 ай бұрын
choko tu uyu hana inshuu
@HappyEel-wg4qx2 ай бұрын
Ataku fira huyo manara
@lusekelonelson72562 ай бұрын
Si ulisema mambo ya mpira basi tena. Kumbe ni sizitaki mbichi hizi
@SaidAwadh-mq2tn2 ай бұрын
Ww msemaji wa yanga au
@OnikaMsungu2 ай бұрын
usimwamini binadamu yoyote dunia 😂
@ErnestMalima2 ай бұрын
Nikaongo🤔
@EmmanuelMandela-f7k2 ай бұрын
Sis tunakula tarh tatu alfu Kuna umbwa anakuja kumalizia makombo tarehe nne
@VIVIANEMAKOTO-rl8lt2 ай бұрын
Ulisema mpira basi Sasa unaanza kuhangaika
@JumaSelemani-q1d2 ай бұрын
Huna jipya wewe habari ya mjini Hamedi Ally na Aliy kamwe wewe ushakuwa mzee wala swaga huna yan huna mvuto tena wewe
@saliieking72792 ай бұрын
Watakukoma El bugatti
@lusekelonelson72562 ай бұрын
Haji bhana😂😂😂 unatoka mpaka mate
@saidalhinai11312 ай бұрын
Rudi yanga maana wewe ni msemaji bora kuliko Ali kamwe yule bado mtoto hajui kuongea na hana mvuto yudi kaka
@MkaliZuberi-rt3gb2 ай бұрын
Na tutamfungia tena
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Hizo ni opinions zake, wewe unakasirika bila sababu yoyote kisa usimba na uyanga, tuliza ball.
@MuhamedHassan-l5u2 ай бұрын
Tukana tena
@kassidpandu8662 ай бұрын
sasa Mbona ulikuwa unalia lia kila siku ufunguliwe wee wacha kujisifu bwana Mpumbavu wewe?
@AdamuJuma-tp1xr2 ай бұрын
Anafuta kiki au nin anataka mbona kawa sitaa anataka nini tena
@florencemushi20882 ай бұрын
Acha huongo wewe huna familia
@makamejuma69592 ай бұрын
Kesho utafungiwa tena domo bwabwaja
@JustusiKazana2 ай бұрын
Ongera sana semaji la GSM mungu azidi kinda kipaji chako!!!