Musiba pole sana walikuonea. Munyonge hana haki wakakupoteza. January Makamba baada ya haya yote, akapewa uwaziri. Hii ni kuwatapikia watanzania
@DandasiKundi9 күн бұрын
Asante sana musiba unatuonyesha viongozi wenye sifa mbaya sana ninachoomba raisi wetu usituletee viongozi wasio waaminifu watatumaliza .
@georgeerick31405 жыл бұрын
ndugu watanzania wazalendo tuseme ukwel wa mungu ktk watanzania wazalendo na waliojitoa kutetea nchi huyu musiba yumo ebu tunamuunge mkono kwa kugonga like hapa kum-suport yan tumtie moyo.
@titorazalo25462 жыл бұрын
Brother upo?? Kama upo fanya basi kwenda kumchangia izo bilion 6 mzalendo.
@czmediaconsultant5640 Жыл бұрын
@@titorazalo2546 Musiba yupo na yuko salama 100% mnaomuombea mabaya kamwe hamtafanikiwa.anakula maisha
@DEBORAHMASANJA-yz3go8 күн бұрын
Hongera bro Musiba
@DEBORAHMASANJA-yz3go8 күн бұрын
Mwana wasu simama na Yesu kristo atakuonekea tu kwani msema kweli hupigwa mawe
@aliceannasepan9644 Жыл бұрын
Brother musiba mungu akulinde we ni shoka big up huna unafik Kama walio nao wapuuz wengne hawana msimamo mwanaume yakupasa kuwa na msimamo c kunyekea wenye au kuogopa mtu musiba aisee hongera saaaana
@KafumuBoniphace12 күн бұрын
Hongera musiba kwa hizo nondo.Tunaomba umsaidie Samia wanamsumbua sana watu hawa.
@isaacsanga61713 күн бұрын
Mama yetu SAMIA SULUHU HASAN RAICE WA JAMHURI YA MUNGANO. AMTEUWE HATA KUMPA UWAZIRI HUYU JAMA ANAUZARENDO WA DHAT NA ATAKUSAIDIA. AMA ANGALIE MAHAL PAKUMUWEKA. MUNGU BARIK TANZANIAN MUNGU BARIK AFRICA
@BernadethaSimba-qi4dw10 ай бұрын
Hongera unasaidiaje swala la bandari inatuuma sana watanganyika
@duniamapitosotewamungu34675 жыл бұрын
Kwa hili nakupongeza sana bro mungu akubarik
@princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын
Kwa kweli nashauri mmojawapo kiongozi mkuu mwandamizi wa CCM ajitokeze hadharani aombe radhi watanzania kwa kulea wezi, mafisadi na walanguzi. Hongera JPM
@mo-linehabari95695 жыл бұрын
Kina Zitto wanasema hao wanaosenwa ndio WEMA sio hawa wasasa
@latlailat2745 жыл бұрын
yap
@davidraulence3055 жыл бұрын
Mmh haya bhana
@mosaymophosa95675 жыл бұрын
my friend siasa ni mbaya sana pengine hata huyo anaeongea ni FSD
@teddykanondo57534 жыл бұрын
Katika mtu ataingiza nchi kwenye vita ni huyu Musiba. Bada ya Lusifa/Shetani kuona Tanzania haijawahi kumwaga damu ameamua kumtumia Musiba kutimiza lengo lake. Kwa kuwa akili za Watanzania ni finyu sana wanashangilia maneno ya Musiba wasijue huyu katumwa na Shetani kuwaingiza Watanzania vitani. Musiba amekuwa akiwasema watu hadharani asijue kuwa watu kama akina Slaa walikuwa katika vyama vya upinzani. Atuambie yeye yuko chama gani cha upinzani mpaka awataje watu hadharani wakati anajua kabisa hao anaowataja wana familia na wana ndugu. Hivi mtu anapotaka kugombea uongozi nchi hii kitu gani kinamzuia wakati katiba inakubali. Kila Mtanzania anaruhusiwa kukopa Bank hata kama ni kiongozi. Kinachotutesa Watanzania ni kuogopa kukopa. Wenzetu wa kanda ya Kaskazini wameendelea sana kibiashara mpaka kuitwa Mafisadi na Magufuli. Huyu Rais amerudisha wafanya biashara nyuma sana kwa kuwafilisi na kuwasingizia ufisadi. Tanzania haya yakiendelea lazima zipigwe tu. Muulizeni Magufuli moshi uliojitokeza akiwa kusini ulitoka wapi. Huyu amuongezee tu Magufuli maadui akijidai anamfanyia kampeni kumbe anamuongezea maadui. Waache wakuhurumie maana wana Dini.
@MustafaOmach9 күн бұрын
Mda mwingi SANA sijakuona kwenye midia
@saidmalata51542 жыл бұрын
Pole sana musiba kwakukosa check and balance Hujafa hujaumbika Sasa ujifunze kwa kiherehere chako Siku zote anaemtegemea mtu badala ya mungu amefeli sana
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Sana ililiwa sana sasa hivi wananchi wameamka kila alae hii nchi afe
@robinchristian31255 жыл бұрын
Hongera Musiba na poleni sana wazee. Mwanafalsafa aliwahi kusema historia huandikwa na mshindi.Wazee na vijana wao wameandaliwa mtego wakaujaa kirahisi. Ilikuwa ni kiasi cha kuwasubiri wawasiliane kwa simu tu. Sasa tushajua matatizo yetu yote tangu tupate uhuru kasababisha nani! Hizi zote ni harakati. Sio za 2020 bali za 2025. Kuna kambi imeingia kambini mapeeema.
@rashidmchopa61642 жыл бұрын
hihuqq
@chrisantgeorge36775 жыл бұрын
Jamaa anajiamin sana, huu ndio UANAUME KAMILIO SIO KULIALIA
@abubakarihamissi4178 Жыл бұрын
😂😂😂😂 leo kiko wapi sasa fala tu huyo
@user-do5mp8zl1v6 күн бұрын
Aliyataka Mama yoote haya matapishi urudie kuyala nikichefuchefu ayaone hayo atahiyo kikwete naye ndio kigogo mkuu
@luttumohamedfafara96305 жыл бұрын
Kama namuelewa huyu bwana!! Mmmh,hatari sana.
@sadickmkanda45315 жыл бұрын
Sema tu baba kuna mijitu mijinga bado tu haikuelewi achana Nayo.
@georgefaustini88905 жыл бұрын
Yaan kuna majitu mengi hayaelew
@anuaryally71495 жыл бұрын
Mimi mmoja wapo ambae simuelewi huyu jamaa
@nassorsharifu983710 күн бұрын
wajinga tu ndio wanaojifanya kumuelewa
@kuryangamakesenimakeseni26115 жыл бұрын
Huyu jamaa Musiba naanza kumeelewa, yuko right kabisa!
@user-ps7kv7lp4mКүн бұрын
Du nilikosa mda vitu vya ukweli,msiba uko sawa nakukubali sana
@AdamuChayupa6 күн бұрын
Mungu akulinde na maadui kwakupigania haki ya taifa
@user-xh8kd9ze7o9 күн бұрын
Ooooi nchi yangu Tanzania kuishaaaaa! Tuende wap cc mungu wangu.
@jumamavind77133 жыл бұрын
Asante kaka kwakutufahamisha , sasa watu hao hawana nafasi tena katika nchi hii
@tembeletadei71365 жыл бұрын
uko vizuri,tupe ukwel
@augustinonestorysasi368311 ай бұрын
Amepandishwa Leo hii Waziri mambo ya Nchi za nje CCM mtaleta vita nchini mwetu!!
@sanyengekiyumbageita91075 жыл бұрын
Upo sawa bro
@nestor3845 жыл бұрын
Musiba hawakuzoea waambie.. Na sali nikiombea hawa wote kina January, Kinana nk mkono mkali wa sheria na ukawe juu yao.. shame on them!!!! Magufuli for life, long live JPM
"Ninyi ni nuru ya ulimwengu,mji(nchi)haiwezi kusitirika ikiwa KIZANI..." Ramadhan aldawiyya from ZANZIBAR
@edithazmwasanga70915 жыл бұрын
Nestroy Buyungu Ndugu tureze
@mkushioriginalsillo50747 күн бұрын
Tanzania kumezuka Joka moja la kufugwa litasumbua sana.Joka hili linafugwa kwenye shamba linaloitwa ccm
@user-jl5un4wf3u7 күн бұрын
Hatahivyo huyokinana simtanzania nawala hanauzalendo .sisi tunaponzwa na upolewetu nandiyo utamaduni wetu. tofauti namajilani zetu.
@lucylyuki48526 күн бұрын
Hivi hii nchi ni ya watu wa aina Gani? Jifunzrni Kenya jamani ...Ukweli na uwazi ,hao ndio nani .asantee msiba kwa kuwaheshimu nguli wakuu wanchi hii
@margarethpolepole743810 күн бұрын
Mama Samia mpe zawadi Musiba na mpende kwa taarifa zake tale yaliyomkuta Msgufuli na wewe yamekukuta Mama umewarudisha lakini wamekusaliti wanataks Urais
@elibarikimollel71497 күн бұрын
Margarethpolepole una maana wasingekua wanazengea kiti chake angewaacha tu eti ee! Wananchi tumeshajua ccm hakuna yeyote mwenye kumuogopa Mungu atakayethubutu kuuachia utajiri abaki amepauka!!?
@FabianJustine-bq6qv9 күн бұрын
weweugana namakonda muikoboe hii nchi
@user-fw3jq3ff5s6 күн бұрын
Wakichunguzana humo ndani hakuna atakae Baki salama
@othmanhaji18325 жыл бұрын
Hatukani mtu. Anatuelimisha, hasa sisi wanyonge. Tunamshukuru sana , Endelea Musibaaaaaaa
@kisangageorgethomasi28302 жыл бұрын
Yuko wapi sasa
@stellakaluwa3647 Жыл бұрын
Mungu akurinde jamani mtoto wa mwanamke mwezaku jasili
@kenanmakere53252 жыл бұрын
Wajumbe mlivyowanafiki bado mnamulewa musiba 2021😀
@mo-linehabari95695 жыл бұрын
Ukweli hujitenga na uongo daima. Hongera Musiba kutoka kwenye microphone moja mpaka 20.
@ipyanamwakabana8585 жыл бұрын
Ulikwa wapi mpaka tunaibiwa ndoo unasema sass?
@stuartrwebangira20615 жыл бұрын
Keep it up Musiba
@husseinthabit54165 жыл бұрын
@@ipyanamwakabana858 pp
@lemonadesoldier13775 жыл бұрын
Mm nakuelewa sana kaka musiba ......timua vumbi timuaa
@listerelieza563 жыл бұрын
Supiriani majula msiba,nakupa hongela sana kwa yote ulie kuwa unae yasema KILA mala mimi niko tayali nikutafte kulingana na wewe kwa ajiri ya kutetea Taifa letu,naomba niruhusu nikutafte
@jacksonedward2015 жыл бұрын
Duuu!maneno haya ni mazuri na mazito.mbona haukumsuauri Rais asimteu Mwizi huyu.msaidie Rais mzee
@mbarakafitina82555 жыл бұрын
No comment for me today... We Musiba tukuache2 sababu kama ulivosema haya tunaugeni nayo kuyasikia... Lakini Mungu akutangulie Inshallah.
@papafikiri5 жыл бұрын
Lushoto imelambwa Bumbuli imetikiswa ...wapi watu wa Mayo na Funta.????
@yasinshaban49335 жыл бұрын
Leta vifaa ijengwe reli ziwa victoria 😂😂😂 Hapo veeepeee
@massawejose35945 жыл бұрын
Sema kak
@FabianJustine-bq6qv9 күн бұрын
bgap sana wambie
@MwanahawaMusa4 күн бұрын
Asante sana baba
@getrudangoto67422 жыл бұрын
Amina nimekupata Mr msiba hakika na kweli
@DrSuleman-r1d9 күн бұрын
Uko vizur
@Mima-cl2im10 күн бұрын
Huyu Mzee makamba ndiye aliyesema wenye dhambi wanakufa mapema.
@emmanuelkahangamabula6527Сағат бұрын
Unasema kweli kabisa lakini Hayo yalisha pita na Mama amewarudisha wote baada ya kumuuwa Shujaa wetu mama anaogopa yaliyomkuta mtangulizi wake Magufuli atakumbukwa milele
@emmanuelkahangamabula65272 сағат бұрын
Sio walitaka kuifanya kichaka Cha wezi Inchi hii ni kichaka Cha majambazi na wauwaji wakubwa Hayo unayoyasema yote yamerudi Kama zamani wote wamerudi kwenye kichaka chao
@masoudalriyamy62986 күн бұрын
Dunia lazima ukiishi uweke mipaka ya maneno na uweke akiba ya maneno dunia lazma mtu auchunge ulimi ulimi ni hatary katika maisha ya binaadamu
@athumanimpenza56575 күн бұрын
Huyu jamaa naye mzushi yeye naye ni mtanzania si angeenda mahakani akawashtaki, anaongea amekosa mgao tu huyo wote ni walewale tu
@GraceGaudent8 күн бұрын
Ao ndo wanao sababisha tanzania tunaishi maskin
@leonardmfikwa785 күн бұрын
Mr msiba this country msiba mungu akakulinde
@zenj19865 жыл бұрын
Dah Musiba. Nakuunga mkono. Wazee hao waje kujibu hoja. Kila mtu atakufa lakini namuombea maisha marefu rais wangu na wale wote wanaotaka kuinyoosha nchi.
@kallahassan48965 жыл бұрын
Sema musiba usiogope wanaichi tunakuelewa
@anethlukuna14743 жыл бұрын
Asante Sana nimekukubali wewe ni mwanaume uogopi kabisa
@bahatadof55438 күн бұрын
Jamani mpaka Leo naanza kuona wasukuma ni kabila ambalo wananiamini,wanapenda haki,waungwana,wakiomba uingozi tuwape na huyu baba apewe nafasu serikalini,mtajua wenyewe ni nafasu gan me nasema
@kadilamore8025 жыл бұрын
😂😂😂lakini cheo kikija ntashukuru mungu...
@kidodosimichael3495 жыл бұрын
Microphone 1 mpaka 20😄😄😄😄😄😄😄 Kazi kweli kweli!!!
@salmawage72592 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa mungu anawaona mungu atalipa hapa hapa duniani
@salmawage72592 жыл бұрын
Mmmmmh mungu akulinde wewe baba watakuzuru watu wengi binadam wachache ukweli siku zote unauma
@rehemamlowe14642 жыл бұрын
Tunakupenda msiba chonde chonde msiba,
@albertnshunju41725 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka.
@sosasoda5675 жыл бұрын
Wape wape Baba Musiba...
@gwaujuma25315 жыл бұрын
Msiba we mnafiki namba moja na ni mtu hatari hata maongezi yako Yana maegemeo upande mmoja na hajui tageti mi naona muogope mungu
@florianbeatus56824 жыл бұрын
Unajiskiaj na hali
@tafaqurtvtz76693 жыл бұрын
Kaka hongera unauzalendo mkubwa hongera
@selegioelias90762 жыл бұрын
Mi nashauri tujitenge tuu mara inne hii inch nikubwa sana imekosa wazaleondo kuiongoza wamebaki loyal familia kufaidika na haki za wengine
@chidybwax80805 жыл бұрын
mimi sielew kabs sasa kama huku kwetu kondoa hatuelew hata nch inaendaje celew kabsa
@ndagiletv5215 жыл бұрын
bola aludi kwenye kazi yake ya zamani ya kutangaza taharifa ya habari
@upgo61125 жыл бұрын
Hahaha fumua bro..Tunakuombea kwa Mungu
@emilianimalala93065 жыл бұрын
Unajua watu was ccm siwaerewi na raising wao wajipime
@mashakaemmanuel71473 жыл бұрын
Kuna kenge anasema msiba ni mchonganishi au wewe nae nifisadi Nini au makamba no mme wake?
@peninamafuru96382 жыл бұрын
Mungu akutetee naona magu amesimaa umenikumbusha magu baba sema
@emmanuelkahangamabula65272 сағат бұрын
Wazee waovyoovyo majambazi wezi wa mali za Watanganyika wakamatwe wafikiswe mahakamani
@kitosio9 күн бұрын
Duuh Siku Nyingi Kijana hatujakuona. Ulikuwa wapi tokea afariki Mzee wetu ulipotea.
@abdallabashili22952 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@JoyceWaisaiКүн бұрын
Maji bu yanayohusu aliko RC Mako nda yanatia mashaka
@akimuwaziri40892 жыл бұрын
Asant kwakutetea taifa mungu akulinde
@smukelomkhize97752 жыл бұрын
Wee Jamaa Nakukubali Sana Yaan , Yaan wewe pure Ni Mtanzania Mzalendo Timu JPM , Nakupenda Sana Mimi mwenyewe Timu JPM 4life
Wewe ulikuwa na masalia na kulipwa hakuna demokrasia ya uteuzi wa chama kimoja ni udikiteta huo
@francohaule80572 жыл бұрын
Kati ya watu wajinga na wewe msiba upo
@sambiaj5 жыл бұрын
Jamaa ana hoja nzuri sana
@saidymtenda97775 жыл бұрын
Duh mungu wangu!!
@adrianokubila83745 жыл бұрын
Nani aliuza nyumba za msaki
@meddyyassin47412 жыл бұрын
Alhamdulillah hatupo kwenye hizi zama tena.
@user-xn5yv6yg8g Жыл бұрын
Kweli bwana
@WilliamSamwel-vh5op7 күн бұрын
Safi sana mwana harakati
@derrikdesertman45643 жыл бұрын
Hahaha Musiba anachekesha sana.. Safi sana
@FabianJustine-bq6qv9 күн бұрын
ukweli utaonekanatu mkuu tuko Yuma yako mikataba ya kuagamiza nchi
@mzeewajambo82935 жыл бұрын
😂😂😂😂atashukuru mungu cheo kikimkuta
@lemonadesoldier13775 жыл бұрын
Ubatizo wa moto.... hehehehehe
@saddykayage14415 жыл бұрын
Musiba unanifurahisha fumua makaburi yote halafu kuna zawadi yako nione ukimaliza mwana harakati
@user-dy5fn6qj1q7 күн бұрын
Dahaaàe hatariiiii kasemae lakini mwiba ukikuchoma mguuni kutoka ulipoingilia acheni kujadili mtuu mmoja mmoja tunachahitaji ni siaasaa safiii isyo kwa ya matusii unafiki tuelezeni mtakachofanyia watanzania wekeni mpira uwanjani mupimwe CCM Chadema''' wazalendo CAF fainali tuta amua seye wapiga kuraaaaa Apo vipi
@issamasimba98133 күн бұрын
Huyu nae mpuuzi katokea wapi Tena nimuongo sanahuyu ,enzi zamagufuli alijiamini sanaa
@frankmsasa9483 жыл бұрын
Nakuelewa sana blo musiba hawa watoto waviongozi huawanahis hawafi kwakweli
@wamburachacha12485 жыл бұрын
Noted
@mohamedhella78995 жыл бұрын
The beautiful one are not yet born @MUSIBA
@florameza95295 жыл бұрын
Mmmhhh nchi ililiwa kweli Rais amefanyakazi hebu jibuni hoja hizi so painful
@rukizaseba57415 жыл бұрын
Ahsante mama
@princepiusmutaihwa96065 жыл бұрын
Kukopa kiasi kikubwa cha fedha katika taasisi ya umma ambapo ndiko wazee wetu wastaafu hutegemea kupata kitu cha kuendeshea maisha yao ni ukatili wa kimaisha. Nafikiri wote waliotajwa ama waombe radhi na wawajibike au wawajibishwe ama waende mahakamani kama wanaona wamechafuliwa
@sokoinekagali97592 жыл бұрын
Ndiyo maana wazee wetu wanastafu hawapati pesheni na stahili zao kwa wakati kumbe pesa wakubwa walishata pita nazo wanachelewa sana.
@selemanimkonga81505 жыл бұрын
Hatimae mic zimeongezeka tulizoea mic 1 Mungu ni mwema
@upendorobert72985 жыл бұрын
Selemani Mkonga haaaaaaaaaa, umeniacha hoi, kwa kweli, ila umaarufu ni shughuli, jamaa katoili haswaaa
@azizawadh59732 жыл бұрын
Kama mobutu
@grecioussilas98855 жыл бұрын
Kweli wanararuana wenyewe
@philemonjonikenyato29195 жыл бұрын
Sometimes jamaa anaongea facts sana! Nape Nnauye alikuwa jeuri sana mwaka 2015, acha anyooshwe
@yahayaolomi10572 жыл бұрын
Sasa kanyooshwa yeye badala ya kuwanyoosha yeye hatmae Yuko kijijini analima na uvuvi