Huyu ndio Farid Bwana, Man of God, isitoshe namba haichezi, kikubwa mguu, Respect farid
@Manywele.Maluja2 ай бұрын
Safi Sanaa faridi pamoja na uhodari wako uwanjani na vituko pia unaupendo na heshima kwa wachezaji wenzako mungu akulinde na awalinde wapambanaji wote wa wananchi msimu uwe Bora kwenu na uwe mbaya kwa makoroooo.Mwananchi itikia aaaamiiiina.
@veelmng77462 ай бұрын
Safi tunafurahia sana kuona wachezaji wetu munapenda .Mungu awape afya njema. Hongera sana Farid kwa kuwa professio sana
@femidayahaya48822 ай бұрын
Elewa Jina MALIK hakika FARID umebarikiwa sana ungwana mkubwa sana Namba itabaki tu kua namba ila kipaji chako Allah amekutunuku....Big up sheikh Farid Musa Malik.
@PlanetLeo7212 ай бұрын
Faridi is incredible player. Well done
@imanikubwa28962 ай бұрын
Mungu ,watunze wasipate majeraha Pia wewe ukaangalie sadaka wanazotoa kwa wasiojiweza. Naamini huu msimu tunafanya vizuri kuliko uliopita kwa msaada wa Bwana tutatenda Makuu Aminaa
@Shebe_traLove2 ай бұрын
Nimependa kbs kuona mwamba kuomba namba yake hakika faridi wew ni mungwana san kk upendo njo kila kitu
@aishafranco10552 ай бұрын
Like nyingi kwa faridi mussa tafadhari
@marystambuli80452 ай бұрын
Damu ya Yesu iwafunike. Na Mungu awalinde na kila lililo baya. Amen
@Mary-fs4mc2 ай бұрын
Amen🙏🙏
@rukaya-jg7hj2 ай бұрын
Farid ni mtu wa mungu sana
@violethkalinga29802 ай бұрын
Farid much respect wananchi tunakupenda ❤
@naliakafatuma98702 ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
@DjFae.b2552 ай бұрын
Farid umekua muungwana sana ndo asiri yetu watanzania❤❤❤❤
@ntakakasendebayi99922 ай бұрын
Farid musa weweni mtu safi wananchi tunakupenda sana yanga daima mbele nyuma mwiko💛💚🔰
@octavianluambano90812 ай бұрын
Ni jinsi gani upendo na amani vimetawala katika timu respect sana farida mussa huo ndio uungwana big up👏
@yussufshaaban10132 ай бұрын
Ustadh Farid Mussa Allah akupe mafanikio zaidi na zaidi Aamin
@malick_jrzramadhan72982 ай бұрын
Ahsante farid mussa malick
@5googleuuu7272 ай бұрын
Mungu akujalie afya njema Farid mussa. Ungwana ni kitu bora alihamundulih
@cynthiapwani13832 ай бұрын
Yani ktk mwaka ambao natamani tufanye vizuri kuliko miaka yote basi ni msimu huu kuanzaia ndani mpaka ligi ya mabingwa Eh Mungu tunakuomba wasaidie wachezaji wetu wote wakawe bora mara 10 ya mwaka jana na wapya wote wakashikane vizuri na wenzao kama walikuwaga pamoja na kusiwepo hata majeruhi kabisa Mungu uzidishe furaha yanga na tukazidi kukaa kileleni asiwepo wa kutufikia wala kutugusa♥️🙏
@iddfundikira28172 ай бұрын
Wachezaji wote wanafuraha sana ila ni wachezaji wa Dar Young Africa pekee ndo wenye furaha na Amani tele hadi Raha wananchi wenzangu tuna amani na Imani na timu kubwa yetu👍
@ShakiraMasoud-ox5tj2 ай бұрын
Acha ujinga hamna tm inayoitwa dar young aftican tz hii n young african tm ya tanzania nzma na cyo dar 2!😅😅
@adolfmathew96982 ай бұрын
@@ShakiraMasoud-ox5tjtimu ya kariakoo sio dar nzima wala tz nzima km Simba tu ya kariakoo
@jumambwambo2 ай бұрын
Farid huu ndio uungwana maana uungwana ni vitendo sio maneno mungu akubariki sana kutoka arusha nawafwatilia sana walio sema mkude kachwa mbona namuona hapa
@JosephEthan-z6o2 ай бұрын
Mungu azidi kuwa nasisi na heri katika msimu ujao ❤❤❤❤❤ LOVE AND PEACE FOREVER ❤❤❤❤
@AmanaAmos-hv3yz2 ай бұрын
Thank u Faridi kwa huugwana❤❤❤..but nimefurai chama,musonda,.mkude na chama...
@NgasaLuhamba2 ай бұрын
Farid wewe ni mtu muungwana sana kaka Mungu akuzidishie uendelee na moyo huo HERI KUTOA KULIKO KUPOKEA
@raymondkisinga43742 ай бұрын
Big Up Farid Musa👏👏
@hamudshabani78012 ай бұрын
Jamani young African club nawakumbusha hivi talent wins the game but team work and intelligent wins the champions
@JusminSaid-zi6id2 ай бұрын
Kila LA kheyr farid musa na namba 12 In sha Allah. Allah akakutendee muujiza mkubwa kupitia namba hiyo In sha Allah
@amaniomar17552 ай бұрын
Nungunungu in the building safi sana wanajeshi wetu. Endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
@AdolfJosephmassawe2 ай бұрын
Bigapu sana kaka Farid nimependa sana hih
@ShukranKawind2 ай бұрын
Hapo mkude anakwambia chama siunaona Kule hakuna kitu madunduka watakuchelewesha tyu
@francepaul77112 ай бұрын
Ila watu 😂😂😂
@mrsabdul-mz8hh2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Akh nacheka zangu tuu mie😅😅
@elikanakuhanda75592 ай бұрын
😂😂
@jumakapilima72952 ай бұрын
Respect kwako Farid Mussa
@BonifasMjuni-zi1wg2 ай бұрын
Me Nimnyama ila Nimeipend san Hoi respect ya Farid
@sumadashsumadash-yx8eb2 ай бұрын
Umetisha mnyama wa ukweli.. Simba na Yanga zote ni Timu zetu pendwa hapa Tz na palipo na wachezaj wazur hakuna bud kuwasifia nakuwakubali.. Kiujumla Farid Musa kaonesha Kumheshimu sana Chama na kukuonesha upendo wa dhat kama kaka yake pia kitasnia
@nelsonleonard67682 ай бұрын
Like nyingi sana kwa farid hao ndo wananchi amani amani bwana 🎉🎉
@sulleymanjimmy22142 ай бұрын
Macho yangu kwa huyo dada pembeni ya Mwamnyeto hapo sijui kama kweli wanetu hawajaomba namba 🙌🙌🙌 dada yupo kwenye zizi la Leopards 😂
@kimrudiger44542 ай бұрын
Mke wa mtu huyo yupo kazini🤣
@Encky3v2 ай бұрын
Oi😂😂😂😂🙌
@bethmahela21822 ай бұрын
😂😂😂😂
@geralddeus14342 ай бұрын
Mmmh balaaa😂
@anithqpaul39232 ай бұрын
Faridi mungu akubaliki na huenderehe kuwa na moyo huo muzuri sana
@FredyPeter-rn2il2 ай бұрын
Amen amen Mungu kwanza Ushindi mwingi Yanga Bingwa CAF
@LuckyAden-cd7wo2 ай бұрын
Farid Musa Respect we løve you BIG HEART 💛💚
@Shadia5442 ай бұрын
Wamekutana sasa 😂😂😂😂 Ila raha sana 😂😂
@kolosii43512 ай бұрын
Asante kaka Farid Musa
@awetumtengera11472 ай бұрын
Hongereni sana kwa upendo wenu na kwa umoja wenu pia Mungu awabariki sana.
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Narudia tena kusema MAX NZENGELI ANA NIDHAMU SANAAAAA NA ATAFIKA MBALI SANA!
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Tunawaomba viongozi wetu Farid aongezewe mshahara hata 2M ikiwezekana
@ezekiaomary79272 ай бұрын
kwan unajua analipwa shingapi
@GraceMbulu-rp8ko2 ай бұрын
Nawapenda wapambanaji wetu ❤❤❤❤😂
@CharlesWilliam-iz3fz2 ай бұрын
Farid ur man full of love to the fellow player
@SüddyThíägø2 ай бұрын
Farid M2 peace 🕊️✌🏿💚💛💚💛
@ahmedalsaadi71082 ай бұрын
Aamiyn yaarabi Allah awaepushie husda na majeraha
@salumnamjupa-sy6cm2 ай бұрын
Haya wananchi nawasalimu kwa jna la young afrcns
@MarthaGabriel-s6b2 ай бұрын
Kazi iendelee
@yusuphally64202 ай бұрын
Ushindi uendelee furaha idumu na makombe yaendeleea
Mzize hana makuu.. kajikalia zake back bench anazoom2 mazingira...🏃♀️➡️..😅😅
@Mary-fs4mc2 ай бұрын
😂😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn2 ай бұрын
Hahaha kama sio yy
@sumadashsumadash-yx8eb2 ай бұрын
Hapo anawaza mchakato wa kujipambania kwenye kupata nafas na kuzitumia vzur... Maana nayy Sasa kazini kwake Kuna kaz
@MichelEliya2 ай бұрын
Mbona chama kanawili uso unaoneka wenye tabasamu ila sijui nimmtu ndoo nimemuona💛💛💛💛💛💛
@steamtvtz2 ай бұрын
Hapo bila shaka Jonas Mkude atakabidhiwa namba 20
@magrethmakauki2352 ай бұрын
Farid Mungu azid kukulinda na mkawe na msimu mzur wote kwaa pamoja
@SaimonPaul-r2v2 ай бұрын
Kubali sana faridi musa
@adolfmathew96982 ай бұрын
Mungu akubariki farid musa malick for the love
@MaarufuAmani-bq6qc2 ай бұрын
Naipenda sana yanga
@mkombozimella84362 ай бұрын
Farid musa Mungu akubarik Sana tena sana
@AtuAtu-v9f2 ай бұрын
Faridi hakika mungu akuanyie wepesi una moyo wa pekee nawapenda woteee
@aminangano36352 ай бұрын
Upendo wa dhati FARID❤🔥🔥🙏
@SarhaSaid2 ай бұрын
Inshaallah ikawe kheri kwenu nyote
@malietamaliet2 ай бұрын
😂😂😂kumbe Chama anakuaga na tattoo ila Simba mlijua kumfubaza kwakwel😢 Asante sana Farid ubarikiwe Allah awajalie Kila lenye kheri daima mbele nyuma mwiko
@AmanaAmos-hv3yz2 ай бұрын
😁😁😁😁🤭wewe acha nimecheka sana
@Mary-fs4mc2 ай бұрын
Ila umbea kazi nyie si nimerudi kuangalia vizuri 😂😂😂😂
@SuhuurFarxaan2 ай бұрын
Alifubazwa maskn ya Mungu kwa wakoloni😂😂😂
@malietamaliet2 ай бұрын
@@Mary-fs4mc merry 😂😂🤣🤣🙌we acha tu
@Mary-fs4mc2 ай бұрын
@@malietamaliet Mwamba kapoa , ameanza kuwa na nuru sasa ,kaanza kung'aa.
@Ba638282 ай бұрын
Twatotela baiche for playing for WANANCHI
@VanesaKeneth2 ай бұрын
Farid mungu akutangulie muungwana sana
@ErastoAmosy2 ай бұрын
Umetisha farid bigp saana
@CosmasCosam2 ай бұрын
Uwe na moyo huo huo bwana mdg nami nakuombea kwa mungu toka moyon akusaidie ufikie marengo yako faridi n wachache kwenye dunia hii walio kama wew
@magrethyeremia22792 ай бұрын
❤❤❤❤ farili umeonyesha uungwana
@fikcountry55472 ай бұрын
Shekhee mtu wa maan kabisa faridi mussa mariko💛💚💕
@daudimichael73382 ай бұрын
Mshery anategea😂😂
@RazakciAbdulRazakciAbdul2 ай бұрын
Allah Shahid mungu akupe kla unacho muomba
@elishamwakihaba9422 ай бұрын
Big up kwa Farid Musa ❤
@KiletoKahima2 ай бұрын
Asante sana upendo wenu
@ameirfaki92772 ай бұрын
Big up farid mussa
@HamisKibungulu2 ай бұрын
Big up faridi ndo uhungwana huo
@pascaljonathan68652 ай бұрын
Yanga rahaaaa sanaaaa nyieeeeee
@HamzaAbdlla2 ай бұрын
Farid big up sana kaka
@emmanuelthomas10782 ай бұрын
Chama mwenyewe kakubali "yaani kwa mazoezi haya ni sahihi mlivotupiga zile 5"😅😅
@elisantemoses16022 ай бұрын
❤❤❤ faridi ni mtu na nusu haswa
@RamsoPedro2 ай бұрын
Yanga bwana mko Vizuri
@davidndungu86192 ай бұрын
be kind as the other players like dube and duke abuya they will do big things
@barakawabuge52852 ай бұрын
Ewaaaah..wamekwisha sasa😂
@mosesjacksonkarashani26422 ай бұрын
Chama mbona kama amepania sana 😅😅
@sewandomkuchu92672 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jumakapilima72952 ай бұрын
Hahahaha,,,,,Mpira ni umri kaka!!
@mosesjacksonkarashani26422 ай бұрын
@@jumakapilima7295 Tusubiri tuone kama ni kweli. Kuna wazee wa kazi.
@AmaniOmari-ev2gu2 ай бұрын
Kuna timu itakuja kula goli 30 nyie ngojeni ligi ianze❤❤❤❤❤❤❤
@Mary-fs4mc2 ай бұрын
We huogopi?
@Carolina-sm5zt2 ай бұрын
Big up 🎉🎉🎉
@shaibusaady24202 ай бұрын
Allaah Akbar
@fredanthony7402 ай бұрын
Respect sana Farid mussa
@LimseyMassawe2 ай бұрын
Mmemuona diara
@UmmySilayo2 ай бұрын
Mazoezini hayupo ila Airport walikuwa watatu Aucho musonda na Diara
@AmisihalunaKilung2 ай бұрын
Mungu awe pamoja nanyi
@DavisSongolo2 ай бұрын
Ukomavuuu mkubwa sana kwa Farid 👏👏👏
@graceanyungu27742 ай бұрын
Hapo wanapngelea simba jike shirikisho
@BeckaJunior2 ай бұрын
Aliyesema mkude kaachwa anyooshe kidole juu😅😅😅
@tintin00192 ай бұрын
OMBI LANGU KWA CLABU WACHEZAJI WAPIMWE MENO PIA SABABU MENO PIA HUCHANGIA KWA MCHEZAJI INJURY ZISIZOISHA