Maneno yake yanaathiri kwenye moyo||Allah Amrehemu.

  Рет қаралды 20,493

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 100
@ibrahimaboker9086
@ibrahimaboker9086 3 жыл бұрын
Rehma ya Allah SubhanaAllah wa Taala Iwe juu yake na Allah Amsamehe dhambi zake na Allah ailaze roho yake Jannatul Al firdaus Amiin yaa Raab.
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 3 жыл бұрын
Mashallah hii ndio Swadaka yenye kuendelea Mashallah Allah akujaalie swadaka yako hii sheikh Massor ikufae huko uliko na sisi Allah atupe mwisho mwema😭😭😭😢Allah akutilie nuru katik kabri lako😢😢😢😢👐👐👐
@omadal1
@omadal1 3 жыл бұрын
Amin Thumma Amin
@kkutanzania5386
@kkutanzania5386 2 жыл бұрын
Amini
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 3 жыл бұрын
Allah tunakuomba kaburi la Sheikh wetu Almarhum Nassor Bachu liwe ni kama bustani za peponi. Allah humma ammin Yaa Rabbi.
@nelsonsalim270
@nelsonsalim270 3 жыл бұрын
Inshallah
@maseledotto8490
@maseledotto8490 3 жыл бұрын
Amiin
@ab.a8353
@ab.a8353 3 жыл бұрын
Allah alimpa kipaji cha kufikisha risala kwenye nyoyo za binadaamu. Allah amrehemu ya Rabb
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Kwa uwezo wa Allah amenibadilisha san kwa mawaidha yake Allah amzidishie neema huko alipo nampenda sana shekh Nasoro kwa ajiri ya Allah
@OmarOmar-wx9zg
@OmarOmar-wx9zg 2 жыл бұрын
Ewe Allaah tunakuomba waja wako Ummiminie Rahma Shekhe wetu. Sheykh Nassoro
@abuuzainab1489
@abuuzainab1489 3 жыл бұрын
Allahumma Aamiin...Sheikh wangu kipenzi Allah akujaalie pepo yawe makazi yako
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 3 жыл бұрын
Mashallah babaako hakuwa na kawaida ya kutovukia adabu wengine km ulivyo ww wala hakuwa na majivuno na mipasho km ulivyo ww, iga kw uyu mzee emu ucvunjie heshima wengine
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
Swadakta akhui
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
Chakurithi huzidi tu ila baadhi ya mawaidha ya baba yake alikua akitusi masheikh wengine japo alikua hataji majina,kama utakua unakumbuka mawaidha yake kuhusu mtu kutamka nia alitumia maneno makali sana,wakati alikua atueleweshe tumuelewe na sio kusema maneno Yale,sasa kwaiyo huyu anazidi tu ila hajui kama anambebesha baba yake jukumu
@abdallahsalum7301
@abdallahsalum7301 3 жыл бұрын
Ndolililo Baki Hilo mungu ameiwekaelmu ndimpo kwa mwanawe
@abdul-jalil6478
@abdul-jalil6478 3 жыл бұрын
@@wasilaahmad3528 soma dini kwanza halafu utakuwa na kinywa kipana cha kuongea na kukosoa masheikh, huna elimu hivyo sidhani km una uthubutu wa kukosoa kwa kejeli wale waliokuzidi kwa kila kitu usifate mkumbo fulani kakosoa kuhusu sheikh fulani naww ukosoe.. Kaeni chini musone dini km walivyofanya hawa munaowakosoa nyinyi saivi, hawa walikaa wakapinda goti kusoma hawakuona tu clip mitandaoni wakaja kukosoa wakiwa na ujinga kichwani hapana, walisoma kwanza na ndio maana anaekosolewa kakaa kimya.. Ukipotosha hadharani unatakiwa ukosolewe hadharani pia ili kila uliyempoteza aelewe ttzo ni kitu gan.. Badala ya sheikh kumkosoa sheikh mwenzake imekuwa sasa hata asojua hata dini yke kwa asilimia 2 nayy anakuja youtube kukosoa tusome kwanza ili tujue huyu anaekosolewa kakosea kweli ama na sio kuwavamia wenye elimu kwa maneno yasiyofaa
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
@@abdul-jalil6478 fasukuti anillaimi jawabu, ma ana bi a'adi mil jawabu walakinna minal usdi an tujaba l- kilabu 🤐🚫
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Nimesoma chuo nimesoma darsa tokea kipindi hicho kijimsikiti kiduchu cha kikwajuni hadi tukajenga Rahaleo kisha kikwajuni Alhamdulilah nimefarijika kuwa Sh.Nassor mwalim wangu..waru wengi wanamwita Sh. Ila huyu ni Maalim .Allah amsameh..Muhammad simkumbuki ila nawafahamu Watoto wake wengine tulosoma nao Rahaleo..Ila Sh. MUHAMMAD tafadhali fundisha usishiriki katika majibizano..
@saidimadzumba2266
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
Muhammad hana shida kinajana yuko sawa ila watu tu pia wanahasad nyingi kwake! Allah amlinde muhammad bachu pia
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Kuwajibu watu wanao vuruga dinni na kudanganya ummah ni katika jihdi kubwa na unapata thawabu kwanini umkataze asipambane na batwil wkati mtume alipambana na batwil na watu wa batwil kwhiyo unataka awe msoma visa tuuh ili mfurahi kigusa washirikina na uzushi hamtaki hiyo akuna katika dini yetu basi uislamu utaharibika huu bila kupambana na batwil 😂😂😂 watu siku zote hawataki mema bindamu anapenda kuskia uovu tuh kila muda
@sekubambwambo5285
@sekubambwambo5285 2 жыл бұрын
Wallah huyu shekhe sijawai kumwana kwenye uhai wake lakini shekhe huyu amenijaa moyoni mahaba yasoelezeka
@balozibalozi4483
@balozibalozi4483 3 жыл бұрын
Kweli kabisa Mw/mungu amrehemu sheikh wetu nampenda namkubali namsikilza kila mara hakika tunafaidika na Elimu aliyotuachia!
@suleimansheshe8490
@suleimansheshe8490 3 жыл бұрын
Wallahi nampenda sana huy shekh maashaallah kila nimsikilizapo hua anauathir moy wang muda mwengine huniliza (inshaallah)Allah. Amrehem ampe kila kheri huko akhera alipo amuepeshe kila Shari na amjaalie kua n miongoni wa watu wa peponi aamin
@khadijaiddi4887
@khadijaiddi4887 3 жыл бұрын
Maasha Allah Allah alifanye kaburi lako liwe kiwanja miongoni mwa viwanja vya peponi yarabi
@jumayahya2661
@jumayahya2661 3 жыл бұрын
Uyu sheikh wallahi aliipigania sunna haqi yakuipigania ndio maana mabidaa walimchukia.kwasababu yakusema kweli.Allah amlipe pepo ya firdausi.
@jadisaid5993
@jadisaid5993 3 жыл бұрын
Allah mrehemu Shekhe wetu huyu
@yunusjuma4340
@yunusjuma4340 2 жыл бұрын
Mungu akurehemu shekhe umetutoa kwenye giza na bidaa
@mohamedathman1027
@mohamedathman1027 3 жыл бұрын
Allah amrehemu Sheikh wetu, amfanyie kaburi lake liwe ni bustani la peponi.
@mustafamtanganya7538
@mustafamtanganya7538 3 жыл бұрын
Yan shekh nasoro bachu Alikuwa shekh khasa , mawaidha yake ukiyasikiliza lazma ya kuathir katika moyo hii niishara ya kwamba alikuwa shekh mwenye imaan kwelikweli , mtu mwenye imaan akikulingania lazima yakuguse kwasababu imaan yake inakuathir wewe Allah amrehem shekh wetu.
@suleimansheshe8490
@suleimansheshe8490 3 жыл бұрын
Aamin yaa rabbi kuna mud m huniliza
@ahmedislam9868
@ahmedislam9868 3 жыл бұрын
Rahimahullaah shaikhul islaam Naasor Bachu.. Allaah Amlipe kwa ilmu ya Dini aliyotuachia ... Hafidhakallaah akh Muhammad Nassor ... Allaah akupe Nguvu na Umri Taweel uendeleze Kazi aliokuachia mzee wako...uzidi kutuelimisha dini InshaAllaah... tuko pamoja nawe Ibn Naasor Bachu . JazaakAllaah khair .fi Amanillaah
@amyassyassin7909
@amyassyassin7909 2 жыл бұрын
Mwalim wa walim Allaah Amrahan na Awahifadhi kizazi chake
@sahraqaalib902
@sahraqaalib902 2 жыл бұрын
Namuomba Allaah Subhana wata'ala amlaze mahali pema peponi pepo ya Firdous, Moyo wangu umemshiba sheikh sijamuona duniani namuomba Allaah Subhana Wata'ala anikutanishe nae peponi
@babauna3458
@babauna3458 2 жыл бұрын
Allah amrehemu mwalimu wetu Nassor bachu. Kutoka wadogo tukipenda mawaidha yake.
@ibrahimbakari7973
@ibrahimbakari7973 3 жыл бұрын
Allah amrehem
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 3 жыл бұрын
Allah akupe sheikh wetu Jannatul Firdous wa jamiil muslimin
@user-dl8hz4zt8i
@user-dl8hz4zt8i 3 жыл бұрын
اللهم ارحم شيخ ناصر باشو اللهم أسكنه في فردوس الأعلى
@suleimansheshe8490
@suleimansheshe8490 3 жыл бұрын
اللهم امين امين امين يارب
@fatmaseif8238
@fatmaseif8238 3 жыл бұрын
Allah akuepushe na adhabu ya kaburi na moto wa jahannam na akusamehe makosa yako amiin
@abdulrahmantalib5637
@abdulrahmantalib5637 3 жыл бұрын
Allah amrehemu na amsamehe madhambi yake. Katuelimisha mambo mengi Allah amlipe kheir
@shabaninuhu3616
@shabaninuhu3616 2 жыл бұрын
Allah mpe pepo ya firdaus nuzula
@ab.a8353
@ab.a8353 3 жыл бұрын
Allahumma ameen
@samirhassanlau5000
@samirhassanlau5000 3 жыл бұрын
Masha alha shukrani sana Alha akurehem na alifanye kaburi lako liwe na nuru simba wa MIMBARI
@kudrawanguvu5923
@kudrawanguvu5923 3 жыл бұрын
Allah Subhana Wataalla amrehem
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 3 жыл бұрын
Amiin
@muddypara5511
@muddypara5511 3 жыл бұрын
Allah amlehem alimpakipaj nakuomba Allah utuongoze nasi
@A.S.H_Tv
@A.S.H_Tv 3 жыл бұрын
Hufanani na mzee wako hata nukta kwa ukosefu wa adabu za ikhtilaf
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
Huyu ndio anachochea ugomvi na fitna kwa waislamu,kwani hajui kama haingii peponi mfitinishaji??
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
@@wasilaahmad3528 tusimuhukumu but kiuhakika anakosea sheikh Mohammed bachu kwajinsi anavyorekebisha wenzake anawakosea abad anawakejeli na kuwadharau nakuwatukana hilo nikosa kubwa sanaa
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
@@aliomar612 huyu anakibri ndio maana,hakuna kitu kibaya kama kibri
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
@@aliomar612 huyu anakibri ndio maana,hakuna kitu kibaya kama kibri
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
@@wasilaahmad3528 kweli anakosea dadangu nivyema na sisi tukamnasihi kwa maneno mazuri na kwaupole huenda Allah akatia tawfiq akazingatia kma anakosea
@jumarashid5146
@jumarashid5146 2 жыл бұрын
Allahumma Amin ya Rabbi
@marymwetu4798
@marymwetu4798 3 жыл бұрын
ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE AMKUBALIE MAZURI YAKE HAKIKA ALITUPA FAIDA NA ALIIBADILISHA JAMII KWA UJUMLA
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
Baadhi sio sote,cha muhimu ni dua tu Allah ampe pepo ya daraja la juu na amsamehakosa yake
@hassanmati462
@hassanmati462 2 жыл бұрын
Maasha Allah
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Kulikuwa na mjadala mkubwa kuhusu mwezi Sh.Amir tajo na wengine walishirikishwa ila Sh.Nassor hakupewa nafasi nakumbuka sana zamani sana ilikuwa..Sh Nassor alitoa kitabu pia kuhusu mwezi ila naona kimetoweka ghafla
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Allahhumma Amin
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh yetu
@YussufSaid-ok4pu
@YussufSaid-ok4pu 8 ай бұрын
اللهم غفرله و رحمه
@jiongezeemaarifa1496
@jiongezeemaarifa1496 3 жыл бұрын
Thanks for sharing!
@suleimanmido2942
@suleimanmido2942 3 жыл бұрын
Allah amlipe wema amiin
@BinshakbuHemed-gb2zi
@BinshakbuHemed-gb2zi 3 ай бұрын
Allwah. Akurehmu. Sheh. Wetu.
@hamicdenasr7329
@hamicdenasr7329 3 жыл бұрын
Allah ya rahman ya rahm mjalie akhera njema
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Asadulminbar. Allah amrehemu.
@fayeezomary6563
@fayeezomary6563 3 жыл бұрын
Allah akurem inshaallh
@dhahirdin
@dhahirdin 2 жыл бұрын
Chuma icho ALLAH amraham
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Allah mjalie pepo Amy
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
Kuna video zako unaziba comment wacha tucomment tu Ili utueleweshe vizur usizibe na usiwe unawatusi masheikh wengine ktk ambacho unakiamin wewe unataka na sisi tuamini?Allah ndio anajua jinsi gani atamuhukumu mja wake ,maana wewe kila sheikh unamkosoa ,lakini hatukushangai wewe ni mtoto wà nassor bachu ambao mnasema kutamka nia ni kharam
@harithhemed9920
@harithhemed9920 3 жыл бұрын
Wasila@ nadhan hujaelewa ni vzur kokosowana kwenye dini ipo kama mtu kakosea na shekh nassor bachu allha amrehem ni shekh wa kisunnh na alikua akizitetea sunnah za mtume wetu na sio kumsingizia uwongo mtume hao wanaokosolewa wanamsingizia uwongo mtume
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
@@harithhemed9920 mwenyezimungu ndio anejua kama alikua akitenda haki au laa yake kashayajua bado yetu sisi hatujayajua Allah atupe hatma njema
@harithhemed9920
@harithhemed9920 3 жыл бұрын
@@wasilaahmad3528 amin yarabillalamin tubōmbe mwisho mwema na pia tujitahidi kujishukhulisha na kutafuta elm walinganizi wamekuwa weng na wengine wanalingania bila ya elm ndio wanatutia matatizon sisi tusiokua na elm na ndio maana wanaporudishwa kwa kukosolewa weng wetu tunaona kama wanadhalilishwa
@wasilaahmad3528
@wasilaahmad3528 3 жыл бұрын
@@harithhemed9920 apo umelenga kitu kaka haitakiwi muislamu kuwa hivo na mtume amesema fuata kile ambacho huna mashaka nacho bc
@aliybecka5169
@aliybecka5169 3 жыл бұрын
@wasila ahmad wewe usiongelee mambo ya dini kabisa dini sio ushabiki wala kikundi cha tarabu angalia profile pic yako halafu utajua unahusiana na nini . Uislamu ni elimu sio maneno tu kupayuka
@modricseif1018
@modricseif1018 3 жыл бұрын
Allah amrehemu inshaAllah🙏
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 3 жыл бұрын
Amiin ya Rabbi Allahmin ya Rabbi
@nasirshekhi6070
@nasirshekhi6070 3 жыл бұрын
امين ياراب العالمين🤲
@sadiqabdullah1294
@sadiqabdullah1294 3 жыл бұрын
Bahri allAh amrehemu
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 3 жыл бұрын
Amin.
@nasirshekhi6070
@nasirshekhi6070 3 жыл бұрын
Ya rabb Aameen 🤲
@fayeezomary6563
@fayeezomary6563 3 жыл бұрын
Mashaallah
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du 3 жыл бұрын
Rahimahullah
@allahakujazekheriwowww5694
@allahakujazekheriwowww5694 2 жыл бұрын
Pola Ampe jana
@amosmoses7800
@amosmoses7800 3 жыл бұрын
MaSheHe wA sAsA ni MaSheHe wA maTumBo WaNaTembEa nA vx v8 WaNaishi maJumBA yA kiFaHaLi WaNakuWa kaLibu nA waHeshimiWa NA waNawaTukuZa nA kuWasiFiA waTawaLa TunAwaOnA TunawaJuA MmoJA anajiiTA ....k MweNginE ......e
@abdulazizshadau7869
@abdulazizshadau7869 3 жыл бұрын
Amiin....sijapata daee kama wewe east Africa, Allah atukutanishe jannah
@Chadaiseiph
@Chadaiseiph 11 ай бұрын
Choz lina ni dondoka
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Hakika neno la mungu ni fumbo la Imaani kulifumbua tunahitaji utulivu wa akili
@aliomar612
@aliomar612 3 жыл бұрын
Sheikh Muhammad nasor bachu kiukweli wakosea sanaa sheikh wetu kwajinsi unavyo rekebisha wenzako wawakosea adabu, kuwatukana, nakuwadharau, na kuwakejeli rekebisha kwa kutumia hikma na busara pasi nakutaja mtu jina ulicho kifahamu wewe sio lazima kila mmoja afahamu hivyo kuwa na adabu ya ikhilafu walihalifiana maimamu wakubwa lakini hawakutukanana wala kudharauliana niwajibu wetu kuchunga hishma zawenzetu waisalamu imemlazimu kila muislamu kumhishimu wenzake
@fayeezomary6563
@fayeezomary6563 3 жыл бұрын
Sem manen mazr hakk manen Mazr ni sadk
@alimasoudali8273
@alimasoudali8273 2 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri sheikh letu ulimi wako umepandikiza mbegu za kheri zanzibar na afrika kwa jumla,umeondoka na umetuachia hazina kubwa sh.Muhammad Nassor Allah amhifadhi
@saidimadzumba2266
@saidimadzumba2266 Жыл бұрын
@@alimasoudali8273 Muhammad bachu Allah insha Allah amlinde na shari na hassad za watu! Like Father like Son kijana yuko sawa,wasiomuelewa wanamlaumu bila Elimu!
Amekufuru atakae sema anayajua mambo haya|| Nassor Bachu.
14:36
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 62 М.
Je nikweli Sheikh Nassor Bachu Aliwahi kuwa SHIA??Ukweli ni huu.
11:39
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 47 М.
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 47 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 18 МЛН
Uzuri wa kumkumbuka Allah
3:09
AL HIDAYA ONLINE CHANNEL
Рет қаралды 90
ATHARI ZA LGBTQ
5:31
IQRAAMA Online Tv
Рет қаралды 2,1 М.
NASSOR BACHU   MADHARA YA ZINAA
52:32
rashidu24
Рет қаралды 115 М.
MAJIBU KWA YUSSUF DIWANI || SEHEMU YA PILI || Muhammad Bachu || 2023.
51:25
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 48 М.
#MAJADIDA KWANINI MUSIULIZE KAMA MLIKUWA HAMUJUI || Muhammad Bachu.
1:07:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 20 М.
Majibu kwa Izuddin||Umeipata wapi Tafsiri hii||Muhammad Bachu.
31:35
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 58 М.
HAKI ZA MUME KWA MKEWE 3/4 - SHEIKH NASSOR BACHU
31:35
MUZDALIFAH
Рет қаралды 19 М.
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 47 МЛН