Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 124
@juniorsonofgod56757 ай бұрын
Dogo anajiamini sana, namuona mbali sana huyu kijana. Hongera sana toto bad. Umeongea ukweli tena kwa confidence zakutosha.
@Emp.recordstz6 ай бұрын
Hii ndo Interview Ya kwanza ya Marioo kuwahi kufanya kubwa 🎉 nimependa namna anavyo jibu coz kakutana na mtu ambae amemuuliza anavyo takiwa kuulizwa aisee salute sky
@jamesnkumbila59377 ай бұрын
Marioo ana confidence sana...namuona mbalii
@jamilaathumani54817 ай бұрын
Wangapi tunaompenda marioo tujuane Kwa like na comment
@edithhassan41967 ай бұрын
Hongera Marion na Bundala interview nzuri
@user-go1ff9wk5n6 ай бұрын
Marioo unajua sana ila hauko very explain kama hata ukiskia kusah anavohojiwa me nakuelew sana ila nliona show ya kusah ya uku Kenya aisee wakenya almost nyimbo za mchizi wanaimba tuu kwenye show ila ww umekubarika bongo sana jamaa alipga I wish mademu wanalia mzeee
@gracewairimu8006 ай бұрын
NAPenda sana ngoma za Mario karibu zote!! Ila nlicho gundundua jamaa nim binafsi sana na his over confidence which is not bad,kila mtu na weakness zake
@hadley_davidson47347 ай бұрын
I love your songs Marioo ❤
@MkaliZuberi-rt3gb7 ай бұрын
Mimi ni fans wa diamond ila uju janja ana baya na anaujua mziki sana 👏na hana majigambo hongera kwa hilo
@sifatiiman6 ай бұрын
@SHILOWOLOBOE😂😂😂
@frankvianey24387 ай бұрын
Umetisha sana kaka sky
@ntupwadevoice7 ай бұрын
My favorite ❤️
@JamilaHassan-xl4sn7 ай бұрын
Ila watu asa harmonize amekujaje humu 😂😂😂😂 achen makasiriko kila msanii ananafas yake 😊
@digitaltanzania7 ай бұрын
Safi sana 🙌🙌🙌
@deejaytripletv61676 ай бұрын
Marioo is very very talented an he’s my all time favorite
@iddyusuph-df6es6 ай бұрын
Msanii bora wa mwaka
@azizikidevu84047 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 tufanye na mzee wa burudaaa brooo 🔥🔥
@BrianKyai6 ай бұрын
Kaka sky walker napenda sana unachofanya lakini ukiwa unaapload video zako tafadhali check the sound kama iko vizuri maana kuna interview umefanya na dayoo sauti ya mbwa akibweka inasikika
@user-fp5fp6wg9n7 ай бұрын
Marioo namkubal sana ananafas kubwa kwene bongofleva
@gohome2k1946 ай бұрын
sky next time kuwa nae makini anakimbia maswali huyo bwanaa🤣🤣🤣🤣
@alliancendabarushimana45707 ай бұрын
Bado sana msani anaefanya vizuri lazima apate show za inje
@sifatiiman6 ай бұрын
wewe uko wapi uende uko nje 😂😂😂
@soundmale7 ай бұрын
Mm ni team wasafi lkn sina kinyongo na marioo lkn konde gang shenzi time😁
@djmosikahayo7 ай бұрын
ASANTE GOOD SONG 🎧 2023
@ilynpayne74917 ай бұрын
Marioo ana jielewa sana
@eliusjulius35317 ай бұрын
Kijana Ana nidhamu sana huyu
@KwizerJackson-is7fh7 ай бұрын
Nikweri simba ni simba Hata Mario ni mkubwa kiriko msheji harmnaiz
@mrsinia30646 ай бұрын
Nice interview ✅✅
@aaronagyanofficial6 ай бұрын
Marioo kiboko yao
@salumndayishimiye44726 ай бұрын
Nakukubali sana ❤
@FaridAbdallah-gy7er6 ай бұрын
Huyu ndie mlithi wa Simba lama Simba dangote haujuiii baada yake ni @marioo toto bad km mnabisha nendeni mahakamani mkanishitaki
@Duanny-jm8fr6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saluuhans6 ай бұрын
#Fundi Marioo is🔥
@NeemaSteven3287 ай бұрын
Big up marioo 🫶🏼
@anitakamene46567 ай бұрын
Nice
@allyandonnesimbananiye88726 ай бұрын
Ali n'a omari# nasibu n'a juma
@thelight-ur3oi6 ай бұрын
🎉🎉🎉
@user-xs9ir3tx9f6 ай бұрын
Bad MTU wangu ❤❤
@jeremiahcharles60277 ай бұрын
Huyu jamaa kwa sasa kapoteza mvuto kwa mashabiki sio kama.kipindi cha nyuma
@Neworder117 ай бұрын
Anavimba sana
@sifatiiman6 ай бұрын
labda wewe ndio umepotea kumshabikia ila mimi na wanangu tunasema hana baya tajiri 🎉
@georgeMsema-rz1yu6 ай бұрын
br marioo !
@NdakhiSusu-qz9md7 ай бұрын
Haujui
@aaa64sa137 ай бұрын
❤❤❤❤🎉
@aminammbaga77366 ай бұрын
No one is talking about his nails😂
@jimmykazibulaya41067 ай бұрын
His good the guy
@suleymanmakiwa16516 ай бұрын
Kwa mbaaaaaaali jamaa ana kidada
@johnsonchonja40326 ай бұрын
Kwani ukiwa msanii lazima utoboe pua? Au ni ushamba wangu tu
@aminatanzanya74756 ай бұрын
🤣🤣🤣Hivi nimeona vibay au Marioo kavaa kipini puan 🤭
@eliusjulius35317 ай бұрын
Jamani laizer mbona ulikula pesa ya mariooo😂😂😂
@phinias.zacharia56577 ай бұрын
Broo unajua sana na nakuona mbali ila kuna ktu Kimoja usahau omba collabo na diamond utafika mbali na international utafika Hilo tu usisahau huyu simba akiacha mzk ndio basi tena
@mrsinia30646 ай бұрын
Kwan simba ni nan hasa bora ata ungesema harmonize
@user-hm3qm2nf1v6 ай бұрын
Ameshafanya ila mondi amembania nyimbo hadi leo haijatoka
@phinias.zacharia56576 ай бұрын
Harmonize kashafanya nae ile nyimbo imehit kwetu tanzania sio nje
@mnyamwezijuma11407 ай бұрын
Baaadii 🔥
@user-mh3se6gh9k7 ай бұрын
akili ya marioo imekua
@user-ch3ku3yx2z6 ай бұрын
Kibodi kinakuja sio kama kitambo mwamba na bg nyingi ziende kwa pau
@derickdboy22077 ай бұрын
🙌
@bigirumanalululouise45407 ай бұрын
❤❤❤❤Baaad
@johnmandog56366 ай бұрын
Hio nyimbo anayo semea Mario n nyimbo ya ray inaitwa no1 ft zu
@FelixTsuma6 ай бұрын
Shida mario anajilinganisha na akina simba....anajipoteza heri apige mziki wake tu
@King_1867 ай бұрын
Uko vzur mdogo wangu kwa sbb unajua ukubwa wa Diamond katka muzik wa Tanzania,unakiri amefanya mambo makubwa hii inakufanya uende mbali
@sifatiiman6 ай бұрын
kwamba yeye ndio mungu eti 😏tanzania kwa kuabudu masanam 🚮🚮
@zaitunijuma10517 ай бұрын
Kaka bad kila saa unatuonesha mabling ila me nakukubali sana
@samtelah75787 ай бұрын
Hicho ndo kinachoua wasanii wetu kila msanii kujifanya yy ndo namba moja wakat mashabik tunajua ukwel uko wap
@sifatiiman6 ай бұрын
ukweli wa matako😏😏 🚮🚮
@kidawajuma95976 ай бұрын
Baaaaaaad ❤❤❤❤
@user-fb1vp4vh1f6 ай бұрын
Mario harmonie amekushahuri uhanze Gym?Mana ulikuwa mwembamba sana
@jaykeenmamba6 ай бұрын
Baad😊
@noelkisonga55347 ай бұрын
Huyu jamaaa.mziki anaujua anamzungumzia Diamond kwa sa babu ameulizwa. Lakinia anampenda Harmonie .awe makini
@MtuSafi7 ай бұрын
awe makini kwenye lipi?...Kwann mnataka kila mtu amsifie diamond eleweni kuna moyo wa mtu. unaweza kuwa unapenda kula samaki lakin mm sipendi. kwahyo akimsifia ndo atafanikiwa?UJINGA WA KIWANGO CHA DARAJA LA KIJAZI.
@FelixTsuma6 ай бұрын
Alf mario unatambulika bongo tu kiburi acha
@BarbaraPatience-qt9cc7 ай бұрын
Why are you not still? Si utulie tuu!!!! Sisi twakupenda wacha kushika shika hizo ma bling bling bro!!!! Kujinyamwezisha ya nini?
@gracethobias80697 ай бұрын
Kujinyamwezisha 😂😂😂😂
@eliasbenda1037 ай бұрын
Si Bora kiswahili kuliko kuandika kitu hujui😂😂
@yasminoluoch1697 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Nihadshighadi7 ай бұрын
Na ww si uandike kiswahili tu
@PhyinaElias-mu4wf7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 kiswahili pro max
@user-oe5ze5uq8m6 ай бұрын
Mbona Mario atuliye ju ya kupenda Ku onesha ma chêne?
@haddrazee88486 ай бұрын
Nilikuwa natafta comment hii😂😂😂 ila jamaa muache atambee namkubaliiii
@Nihadshighadi7 ай бұрын
Badii❤❤❤
@Neworder117 ай бұрын
Sawa ila unajisifuu sana komaa tu until time utafika mbali sana.
@levygasper74387 ай бұрын
Sijawahi kusikia msani anaedayi kwamba anatumia kilevi fulani wote wanatudangany kwamba hawatumii kilwi chchte 😮hii inaingia kweri
@user-go1ff9wk5n6 ай бұрын
Yani marioo unajua sana ila skuiz unatoa manyimbo ya ovyo matusi unatoka kwenye uandishi pure Kuna nyimbo umeimba na jaivah inatwa maliwato kbsa unaimba ww unasema kama ww mzuri pga picha ukiwa una kata gogo it means haimek sense
@echasafuraha34237 ай бұрын
❤❤p
@user-qr7hd8th3r6 ай бұрын
Mwana muziki wote aki mtaja simba huwa Ana anabarikiwa naona nastaili yako yamapoz unaigia simba bado wewe Mario ni mshamba wacheni unjitizama saaana .ila unajitaidi kuimba dogo yg
@selemanimkwichu7826 ай бұрын
Mwamba marioo
@djmosikahayo7 ай бұрын
ASANTE BEAT SONG 🎧 2023
@lapozzydone52037 ай бұрын
Sky juzi tulikupa orodha yetu kama Wana SNS kwa nyimbo zetu Bora za mwaka 2023.. Lakini mpaka leo ukutupangia yupi no.1 mpaka no.10 kulingana na orodha ya Wana SNS .. Ulitakiwa uipange orodha hiyo kama nyimbo pwendwa za mwaka 2023 kulingana na Wana SNS.. Sky rudia zile text zetu uone ni yupi alipewa kibao mbele zaidi na Wana SNS akae no.1 then anae fuata awe no.2 hivyo hivyo mpaka 10.. Tunataka kumi Bora ama 20 Bora kutoka kwa Wana SNS... please lifanyie kazi jambo hili sky.. Ni Lapozzy de Done kutoka Kenya Mombasa county 001.
@nyunyaboy95237 ай бұрын
This is year DARASSA n TOP
@kabongokaddy7216 ай бұрын
Na kyaku shindana pale bana, Jux ka uwa sana na aka ingiza mkwanja mingi sana youtube kwa ENJOY....
@Ibnansoo6 ай бұрын
kuna vitu vingi umeficha marioo ila bora ivo maana simba ni simba tu
@RobertMwamlima-ek9pd6 ай бұрын
ipeleke SINGELI kimataifaa mtoto mbad
@silvergold58556 ай бұрын
Sema marioo skuiz anaongea
@eftondauson2806 ай бұрын
Uongo Zambi lkn ww ni mtunzi na mtoa hit balaaaa hawajakugusa
@hassanbakari45257 ай бұрын
TATIZO WANAFANYA VZURI KUTOKA CHINI...WAKIANZA KUMKARBIA DAI TU,,,WANAGANDIA PALE PALE WANAKUWA WAKAWAIDA.
@hassanisilaji36726 ай бұрын
huyo jamaa wa wasafi that time alikuepo anaitwa OSAMA daah yule jamaa alikua anavimba saana,,,,hiyo nafasi na mimi niliitafuta,,ila haikua mipango ya mungu,,,,
@barakabashiri84406 ай бұрын
Miziki ni teamo
@JamilaHassan-xl4sn7 ай бұрын
Oyaah marioo umepaka rangi kuchaa 😂😂😂
@sifatiiman6 ай бұрын
paka tu na wewe kwan ni how much 😂😂
@JamilaHassan-xl4sn6 ай бұрын
@@sifatiiman mim ni mtoto wa kike lazima nipake ila wew ukipaka utakuwa mchicha mwiba 😄 🤣
@sifatiiman6 ай бұрын
@@JamilaHassan-xl4sn ulinipa hio mboo shoo 😂😂 ad uhisi mchicha mwimba🤣🤣
@user-yc7sn2fd8n7 ай бұрын
Huyu kijana ameanza kutangaza vita na diamond ati ametoa hits kushinda simba😮😮tangu lini
@mohdloushmoney99947 ай бұрын
Sasa wewe huoni anachokifanya
@m___ck7997 ай бұрын
Why Diamond...kwani yeye ndiye msanii pekee bongo? Kuchwa nahi
@harmonize_tz6 ай бұрын
Mocco kwenye mi nawe kakufunika bhaana
@Tariq_Tryagain6 ай бұрын
20:22
@user-nl2mn4gm9o7 ай бұрын
jamshinda nyashinski
@mnyamwezijuma11407 ай бұрын
Mafia mnyama ameshaga fariki
@JOE2THEWORLD7 ай бұрын
aloooooo baaady
@sadickbisale66376 ай бұрын
marioo mjanjamjanja san😅
@user-kt4ej8yr7y7 ай бұрын
Toto bad❤
@lelarubea64057 ай бұрын
Mario wewe unaangalia kwenye radio,sasa daimond hapigwi kwenye radio hizo nyengine isipokuwa wasafi tu
@jenivavedasto6366 ай бұрын
Siyo kweli redio Zote wanapiga nyimbo zake hata cloud's Diamond hata akiangaliwa wasafi tu haina effect maana Yeye ananunua viewers
@RichardRutembesa-ns1kn6 ай бұрын
@@jenivavedasto636una Evidence yoyote kama ananunuwa viewers !!! !???
@gaspergasper98307 ай бұрын
Mm nimekuja kuangalia nilivyo sikia Diamond katajwa hapa lakin nisinge poteza mb zangu kuangalia ujinga kama ww nikama mm gonga like❤
@yours_forever6 ай бұрын
interview mario akiongea vile diamond alimkatia simu mara ya kwanza kzbin.info/www/bejne/rIiolYqVd86hpqcsi=bjPuLxvxuDDqEEJa
@johndavidwema45646 ай бұрын
Mbwembwe nyiiiingi Marioo punguza chumvi basi usiaribu mbogaa.
@buganyatherealer6 ай бұрын
Bwegee
@m___ck7997 ай бұрын
This guy thinks he is on Top...bado Sanaa.. East African nzima hawakujuwi that Is a lie.. Uganda,Kenya & Rwanda hawakujuwi! Jay Melody mkubwa zaidi...kuwa na hit does not mean you are the best. Classics ndio habari ya mjini.
@user-cj1ft4mw2l7 ай бұрын
TATIZO LA HUYU DOGO ABADIRIKI, MZIKI WAKE ULEULE TOKEA AANZE