MARIOO afunguka alivyowekwa kati na BIFU ya DIAMOND na ALIKIBA 'Namheshimu SIMBA lakini' - PART 1

  Рет қаралды 55,292

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

7 ай бұрын

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...

Пікірлер: 124
@juniorsonofgod5675
@juniorsonofgod5675 7 ай бұрын
Dogo anajiamini sana, namuona mbali sana huyu kijana. Hongera sana toto bad. Umeongea ukweli tena kwa confidence zakutosha.
@Emp.recordstz
@Emp.recordstz 6 ай бұрын
Hii ndo Interview Ya kwanza ya Marioo kuwahi kufanya kubwa 🎉 nimependa namna anavyo jibu coz kakutana na mtu ambae amemuuliza anavyo takiwa kuulizwa aisee salute sky
@jamesnkumbila5937
@jamesnkumbila5937 7 ай бұрын
Marioo ana confidence sana...namuona mbalii
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 ай бұрын
Wangapi tunaompenda marioo tujuane Kwa like na comment
@edithhassan4196
@edithhassan4196 7 ай бұрын
Hongera Marion na Bundala interview nzuri
@user-go1ff9wk5n
@user-go1ff9wk5n 6 ай бұрын
Marioo unajua sana ila hauko very explain kama hata ukiskia kusah anavohojiwa me nakuelew sana ila nliona show ya kusah ya uku Kenya aisee wakenya almost nyimbo za mchizi wanaimba tuu kwenye show ila ww umekubarika bongo sana jamaa alipga I wish mademu wanalia mzeee
@gracewairimu800
@gracewairimu800 6 ай бұрын
NAPenda sana ngoma za Mario karibu zote!! Ila nlicho gundundua jamaa nim binafsi sana na his over confidence which is not bad,kila mtu na weakness zake
@hadley_davidson4734
@hadley_davidson4734 7 ай бұрын
I love your songs Marioo ❤
@MkaliZuberi-rt3gb
@MkaliZuberi-rt3gb 7 ай бұрын
Mimi ni fans wa diamond ila uju janja ana baya na anaujua mziki sana 👏na hana majigambo hongera kwa hilo
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
​@SHILOWOLOBOE😂😂😂
@frankvianey2438
@frankvianey2438 7 ай бұрын
Umetisha sana kaka sky
@ntupwadevoice
@ntupwadevoice 7 ай бұрын
My favorite ❤️
@JamilaHassan-xl4sn
@JamilaHassan-xl4sn 7 ай бұрын
Ila watu asa harmonize amekujaje humu 😂😂😂😂 achen makasiriko kila msanii ananafas yake 😊
@digitaltanzania
@digitaltanzania 7 ай бұрын
Safi sana 🙌🙌🙌
@deejaytripletv6167
@deejaytripletv6167 6 ай бұрын
Marioo is very very talented an he’s my all time favorite
@iddyusuph-df6es
@iddyusuph-df6es 6 ай бұрын
Msanii bora wa mwaka
@azizikidevu8404
@azizikidevu8404 7 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 tufanye na mzee wa burudaaa brooo 🔥🔥
@BrianKyai
@BrianKyai 6 ай бұрын
Kaka sky walker napenda sana unachofanya lakini ukiwa unaapload video zako tafadhali check the sound kama iko vizuri maana kuna interview umefanya na dayoo sauti ya mbwa akibweka inasikika
@user-fp5fp6wg9n
@user-fp5fp6wg9n 7 ай бұрын
Marioo namkubal sana ananafas kubwa kwene bongofleva
@gohome2k194
@gohome2k194 6 ай бұрын
sky next time kuwa nae makini anakimbia maswali huyo bwanaa🤣🤣🤣🤣
@alliancendabarushimana4570
@alliancendabarushimana4570 7 ай бұрын
Bado sana msani anaefanya vizuri lazima apate show za inje
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
wewe uko wapi uende uko nje 😂😂😂
@soundmale
@soundmale 7 ай бұрын
Mm ni team wasafi lkn sina kinyongo na marioo lkn konde gang shenzi time😁
@djmosikahayo
@djmosikahayo 7 ай бұрын
ASANTE GOOD SONG 🎧 2023
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 ай бұрын
Marioo ana jielewa sana
@eliusjulius3531
@eliusjulius3531 7 ай бұрын
Kijana Ana nidhamu sana huyu
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 7 ай бұрын
Nikweri simba ni simba Hata Mario ni mkubwa kiriko msheji harmnaiz
@mrsinia3064
@mrsinia3064 6 ай бұрын
Nice interview ✅✅
@aaronagyanofficial
@aaronagyanofficial 6 ай бұрын
Marioo kiboko yao
@salumndayishimiye4472
@salumndayishimiye4472 6 ай бұрын
Nakukubali sana ❤
@FaridAbdallah-gy7er
@FaridAbdallah-gy7er 6 ай бұрын
Huyu ndie mlithi wa Simba lama Simba dangote haujuiii baada yake ni @marioo toto bad km mnabisha nendeni mahakamani mkanishitaki
@Duanny-jm8fr
@Duanny-jm8fr 6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@saluuhans
@saluuhans 6 ай бұрын
#Fundi Marioo is🔥
@NeemaSteven328
@NeemaSteven328 7 ай бұрын
Big up marioo 🫶🏼
@anitakamene4656
@anitakamene4656 7 ай бұрын
Nice
@allyandonnesimbananiye8872
@allyandonnesimbananiye8872 6 ай бұрын
Ali n'a omari# nasibu n'a juma
@thelight-ur3oi
@thelight-ur3oi 6 ай бұрын
🎉🎉🎉
@user-xs9ir3tx9f
@user-xs9ir3tx9f 6 ай бұрын
Bad MTU wangu ❤❤
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 7 ай бұрын
Huyu jamaa kwa sasa kapoteza mvuto kwa mashabiki sio kama.kipindi cha nyuma
@Neworder11
@Neworder11 7 ай бұрын
Anavimba sana
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
labda wewe ndio umepotea kumshabikia ila mimi na wanangu tunasema hana baya tajiri 🎉
@georgeMsema-rz1yu
@georgeMsema-rz1yu 6 ай бұрын
br marioo !
@NdakhiSusu-qz9md
@NdakhiSusu-qz9md 7 ай бұрын
Haujui
@aaa64sa13
@aaa64sa13 7 ай бұрын
❤❤❤❤🎉
@aminammbaga7736
@aminammbaga7736 6 ай бұрын
No one is talking about his nails😂
@jimmykazibulaya4106
@jimmykazibulaya4106 7 ай бұрын
His good the guy
@suleymanmakiwa1651
@suleymanmakiwa1651 6 ай бұрын
Kwa mbaaaaaaali jamaa ana kidada
@johnsonchonja4032
@johnsonchonja4032 6 ай бұрын
Kwani ukiwa msanii lazima utoboe pua? Au ni ushamba wangu tu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 6 ай бұрын
🤣🤣🤣Hivi nimeona vibay au Marioo kavaa kipini puan 🤭
@eliusjulius3531
@eliusjulius3531 7 ай бұрын
Jamani laizer mbona ulikula pesa ya mariooo😂😂😂
@phinias.zacharia5657
@phinias.zacharia5657 7 ай бұрын
Broo unajua sana na nakuona mbali ila kuna ktu Kimoja usahau omba collabo na diamond utafika mbali na international utafika Hilo tu usisahau huyu simba akiacha mzk ndio basi tena
@mrsinia3064
@mrsinia3064 6 ай бұрын
Kwan simba ni nan hasa bora ata ungesema harmonize
@user-hm3qm2nf1v
@user-hm3qm2nf1v 6 ай бұрын
Ameshafanya ila mondi amembania nyimbo hadi leo haijatoka
@phinias.zacharia5657
@phinias.zacharia5657 6 ай бұрын
Harmonize kashafanya nae ile nyimbo imehit kwetu tanzania sio nje
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 7 ай бұрын
Baaadii 🔥
@user-mh3se6gh9k
@user-mh3se6gh9k 7 ай бұрын
akili ya marioo imekua
@user-ch3ku3yx2z
@user-ch3ku3yx2z 6 ай бұрын
Kibodi kinakuja sio kama kitambo mwamba na bg nyingi ziende kwa pau
@derickdboy2207
@derickdboy2207 7 ай бұрын
🙌
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 7 ай бұрын
❤❤❤❤Baaad
@johnmandog5636
@johnmandog5636 6 ай бұрын
Hio nyimbo anayo semea Mario n nyimbo ya ray inaitwa no1 ft zu
@FelixTsuma
@FelixTsuma 6 ай бұрын
Shida mario anajilinganisha na akina simba....anajipoteza heri apige mziki wake tu
@King_186
@King_186 7 ай бұрын
Uko vzur mdogo wangu kwa sbb unajua ukubwa wa Diamond katka muzik wa Tanzania,unakiri amefanya mambo makubwa hii inakufanya uende mbali
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
kwamba yeye ndio mungu eti 😏tanzania kwa kuabudu masanam 🚮🚮
@zaitunijuma1051
@zaitunijuma1051 7 ай бұрын
Kaka bad kila saa unatuonesha mabling ila me nakukubali sana
@samtelah7578
@samtelah7578 7 ай бұрын
Hicho ndo kinachoua wasanii wetu kila msanii kujifanya yy ndo namba moja wakat mashabik tunajua ukwel uko wap
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
ukweli wa matako😏😏 🚮🚮
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 6 ай бұрын
Baaaaaaad ❤❤❤❤
@user-fb1vp4vh1f
@user-fb1vp4vh1f 6 ай бұрын
Mario harmonie amekushahuri uhanze Gym?Mana ulikuwa mwembamba sana
@jaykeenmamba
@jaykeenmamba 6 ай бұрын
Baad😊
@noelkisonga5534
@noelkisonga5534 7 ай бұрын
Huyu jamaaa.mziki anaujua anamzungumzia Diamond kwa sa babu ameulizwa. Lakinia anampenda Harmonie .awe makini
@MtuSafi
@MtuSafi 7 ай бұрын
awe makini kwenye lipi?...Kwann mnataka kila mtu amsifie diamond eleweni kuna moyo wa mtu. unaweza kuwa unapenda kula samaki lakin mm sipendi. kwahyo akimsifia ndo atafanikiwa?UJINGA WA KIWANGO CHA DARAJA LA KIJAZI.
@FelixTsuma
@FelixTsuma 6 ай бұрын
Alf mario unatambulika bongo tu kiburi acha
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 7 ай бұрын
Why are you not still? Si utulie tuu!!!! Sisi twakupenda wacha kushika shika hizo ma bling bling bro!!!! Kujinyamwezisha ya nini?
@gracethobias8069
@gracethobias8069 7 ай бұрын
Kujinyamwezisha 😂😂😂😂
@eliasbenda103
@eliasbenda103 7 ай бұрын
Si Bora kiswahili kuliko kuandika kitu hujui😂😂
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 7 ай бұрын
Na ww si uandike kiswahili tu
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 kiswahili pro max
@user-oe5ze5uq8m
@user-oe5ze5uq8m 6 ай бұрын
Mbona Mario atuliye ju ya kupenda Ku onesha ma chêne?
@haddrazee8848
@haddrazee8848 6 ай бұрын
Nilikuwa natafta comment hii😂😂😂 ila jamaa muache atambee namkubaliiii
@Nihadshighadi
@Nihadshighadi 7 ай бұрын
Badii❤❤❤
@Neworder11
@Neworder11 7 ай бұрын
Sawa ila unajisifuu sana komaa tu until time utafika mbali sana.
@levygasper7438
@levygasper7438 7 ай бұрын
Sijawahi kusikia msani anaedayi kwamba anatumia kilevi fulani wote wanatudangany kwamba hawatumii kilwi chchte 😮hii inaingia kweri
@user-go1ff9wk5n
@user-go1ff9wk5n 6 ай бұрын
Yani marioo unajua sana ila skuiz unatoa manyimbo ya ovyo matusi unatoka kwenye uandishi pure Kuna nyimbo umeimba na jaivah inatwa maliwato kbsa unaimba ww unasema kama ww mzuri pga picha ukiwa una kata gogo it means haimek sense
@echasafuraha3423
@echasafuraha3423 7 ай бұрын
❤❤p
@user-qr7hd8th3r
@user-qr7hd8th3r 6 ай бұрын
Mwana muziki wote aki mtaja simba huwa Ana anabarikiwa naona nastaili yako yamapoz unaigia simba bado wewe Mario ni mshamba wacheni unjitizama saaana .ila unajitaidi kuimba dogo yg
@selemanimkwichu782
@selemanimkwichu782 6 ай бұрын
Mwamba marioo
@djmosikahayo
@djmosikahayo 7 ай бұрын
ASANTE BEAT SONG 🎧 2023
@lapozzydone5203
@lapozzydone5203 7 ай бұрын
Sky juzi tulikupa orodha yetu kama Wana SNS kwa nyimbo zetu Bora za mwaka 2023.. Lakini mpaka leo ukutupangia yupi no.1 mpaka no.10 kulingana na orodha ya Wana SNS .. Ulitakiwa uipange orodha hiyo kama nyimbo pwendwa za mwaka 2023 kulingana na Wana SNS.. Sky rudia zile text zetu uone ni yupi alipewa kibao mbele zaidi na Wana SNS akae no.1 then anae fuata awe no.2 hivyo hivyo mpaka 10.. Tunataka kumi Bora ama 20 Bora kutoka kwa Wana SNS... please lifanyie kazi jambo hili sky.. Ni Lapozzy de Done kutoka Kenya Mombasa county 001.
@nyunyaboy9523
@nyunyaboy9523 7 ай бұрын
This is year DARASSA n TOP
@kabongokaddy721
@kabongokaddy721 6 ай бұрын
Na kyaku shindana pale bana, Jux ka uwa sana na aka ingiza mkwanja mingi sana youtube kwa ENJOY....
@Ibnansoo
@Ibnansoo 6 ай бұрын
kuna vitu vingi umeficha marioo ila bora ivo maana simba ni simba tu
@RobertMwamlima-ek9pd
@RobertMwamlima-ek9pd 6 ай бұрын
ipeleke SINGELI kimataifaa mtoto mbad
@silvergold5855
@silvergold5855 6 ай бұрын
Sema marioo skuiz anaongea
@eftondauson280
@eftondauson280 6 ай бұрын
Uongo Zambi lkn ww ni mtunzi na mtoa hit balaaaa hawajakugusa
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 7 ай бұрын
TATIZO WANAFANYA VZURI KUTOKA CHINI...WAKIANZA KUMKARBIA DAI TU,,,WANAGANDIA PALE PALE WANAKUWA WAKAWAIDA.
@hassanisilaji3672
@hassanisilaji3672 6 ай бұрын
huyo jamaa wa wasafi that time alikuepo anaitwa OSAMA daah yule jamaa alikua anavimba saana,,,,hiyo nafasi na mimi niliitafuta,,ila haikua mipango ya mungu,,,,
@barakabashiri8440
@barakabashiri8440 6 ай бұрын
Miziki ni teamo
@JamilaHassan-xl4sn
@JamilaHassan-xl4sn 7 ай бұрын
Oyaah marioo umepaka rangi kuchaa 😂😂😂
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
paka tu na wewe kwan ni how much 😂😂
@JamilaHassan-xl4sn
@JamilaHassan-xl4sn 6 ай бұрын
@@sifatiiman mim ni mtoto wa kike lazima nipake ila wew ukipaka utakuwa mchicha mwiba 😄 🤣
@sifatiiman
@sifatiiman 6 ай бұрын
@@JamilaHassan-xl4sn ulinipa hio mboo shoo 😂😂 ad uhisi mchicha mwimba🤣🤣
@user-yc7sn2fd8n
@user-yc7sn2fd8n 7 ай бұрын
Huyu kijana ameanza kutangaza vita na diamond ati ametoa hits kushinda simba😮😮tangu lini
@mohdloushmoney9994
@mohdloushmoney9994 7 ай бұрын
Sasa wewe huoni anachokifanya
@m___ck799
@m___ck799 7 ай бұрын
Why Diamond...kwani yeye ndiye msanii pekee bongo? Kuchwa nahi
@harmonize_tz
@harmonize_tz 6 ай бұрын
Mocco kwenye mi nawe kakufunika bhaana
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 6 ай бұрын
20:22
@user-nl2mn4gm9o
@user-nl2mn4gm9o 7 ай бұрын
jamshinda nyashinski
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 7 ай бұрын
Mafia mnyama ameshaga fariki
@JOE2THEWORLD
@JOE2THEWORLD 7 ай бұрын
aloooooo baaady
@sadickbisale6637
@sadickbisale6637 6 ай бұрын
marioo mjanjamjanja san😅
@user-kt4ej8yr7y
@user-kt4ej8yr7y 7 ай бұрын
Toto bad❤
@lelarubea6405
@lelarubea6405 7 ай бұрын
Mario wewe unaangalia kwenye radio,sasa daimond hapigwi kwenye radio hizo nyengine isipokuwa wasafi tu
@jenivavedasto636
@jenivavedasto636 6 ай бұрын
Siyo kweli redio Zote wanapiga nyimbo zake hata cloud's Diamond hata akiangaliwa wasafi tu haina effect maana Yeye ananunua viewers
@RichardRutembesa-ns1kn
@RichardRutembesa-ns1kn 6 ай бұрын
​@@jenivavedasto636una Evidence yoyote kama ananunuwa viewers !!! !???
@gaspergasper9830
@gaspergasper9830 7 ай бұрын
Mm nimekuja kuangalia nilivyo sikia Diamond katajwa hapa lakin nisinge poteza mb zangu kuangalia ujinga kama ww nikama mm gonga like❤
@yours_forever
@yours_forever 6 ай бұрын
interview mario akiongea vile diamond alimkatia simu mara ya kwanza kzbin.info/www/bejne/rIiolYqVd86hpqcsi=bjPuLxvxuDDqEEJa
@johndavidwema4564
@johndavidwema4564 6 ай бұрын
Mbwembwe nyiiiingi Marioo punguza chumvi basi usiaribu mbogaa.
@buganyatherealer
@buganyatherealer 6 ай бұрын
Bwegee
@m___ck799
@m___ck799 7 ай бұрын
This guy thinks he is on Top...bado Sanaa.. East African nzima hawakujuwi that Is a lie.. Uganda,Kenya & Rwanda hawakujuwi! Jay Melody mkubwa zaidi...kuwa na hit does not mean you are the best. Classics ndio habari ya mjini.
@user-cj1ft4mw2l
@user-cj1ft4mw2l 7 ай бұрын
TATIZO LA HUYU DOGO ABADIRIKI, MZIKI WAKE ULEULE TOKEA AANZE
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 124 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 81 МЛН
"NAMPENDA SANA PAULA, SIJAWAHI KUPENDA KIASI HIKI" - MARIOO
4:45
Wasafi Media
Рет қаралды 245 М.
HAWA NDIO MASTAA TISA  WA BONGO WENYE FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM
4:59
MARIOO ANAFUNGUKA PENZI LAKE NA PAULAH MUDA HUU / KUFIKISHWA BASATA
45:00
Jay Melody AMWAGA MACHOZI Mbele ya Barnaba! Part 2
20:09
LilOmmyTV
Рет қаралды 10 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН