Mungu akutiye nguvu maman yetu tu nakupenda sana tena sana hauwezi kushindana nawanadamu wenye kiywa songa mbele usirudi nyuma
@RodahKanini-om7leАй бұрын
Nakupenda sana Martha mungu akutie nguvu,
@mishifeza3907Ай бұрын
Mtetezi wako nimungu pekee tuna kupenda sana 🙏
@stellawambura9124Ай бұрын
Hovyooo, Jali mama ndugu yangu hayo Yana mwisho
@Neema-qm9kkАй бұрын
Muacheni kila lenye mwanzo lina mwisho wake.hayo ndio maisha aliyoyachagua. Sema watu wanashangaa kwa sababu ya bite kuzungumza ila huyu kitambo sana
@alexmwakisole-gl7mwАй бұрын
Mungu akutie nguvu, kazi yako ni njema.
@Bilioneabichwa331Ай бұрын
Mama analialia njaa kama msukule wake, pumbavu
@elizabethtimothy3947Ай бұрын
Ebu nyinyi chawa wa bite piteni kushoto mom we love you ❤
@wuodkokelobingo4855Ай бұрын
This lady is just a gospel artist not a Christian, people should notice the difference. if you find a pig in a sheeps pen you can not call it a sheep until the inner nature is changed, or else as soon as you release them from the pen each will take it's direction according to it's nature
@GraceLuvanda-g5rАй бұрын
I agree with you hapo hakuna mtumishi wa Mungu....msanii wa nyimbo za injili
@fashionKalmahouse8 күн бұрын
And what about you, are you a Christian or church attendee.
@DevotaIjumbaАй бұрын
Unashindana na Mama aliye kuweka Tumboni Mwezi tisa .utakuwa upside down.siyo siku nyingi
@AgnessJohn-v8pАй бұрын
Nenda Kwa mamayako bira mamayako usingekuwepo dunian
@stellawambura9124Ай бұрын
Nguo mbato taiti, unamwimbia Mungu!!??
@NeemaSamweli-t4cАй бұрын
Matha MWAIPAJA we endelea kula bata tumia pesa sana mwaga pesa sana, lakini mama yako anaokota makopo kama huna taarifa.
@EnockEzekiel-n3uАй бұрын
Ovyooooo unatia aibu patana kwanza na familia yako wew una soma bible ipi?😢😢
@AdassaZahabuАй бұрын
Mavi yako utajinda je ? Ww kishangazi
@elizabethtimothy3947Ай бұрын
Kwa mama ake haendi kama mnapasuka pasukeni
@Nehe100MediaАй бұрын
UnazinguA nenda kwa mama Ako fk
@djjailoskyelambeya6072Ай бұрын
Watu hawataki hiki unachofanya martha unalazimisha watu watake unachotaka its impossible to get alot with you hiki kitu kitalaam tunakiita kiburi cha vijipesa na nyimbo mpasuko ebu try to Cross check umeanza kushoka ulikuwa unapiga views 4.4 k leo hii unawatu wachache sanaa wanaokutizama haujui tuu kwa umepoteza laza na utamu wa watu kukusikiliza
@RebecaLembeАй бұрын
Kama wewe hautaki Marta ni wewe Sisi Congo katu juwi mambo yenu tuna mutaka sana
@sinaidahamagoveАй бұрын
Wewe ni mmoja wao waliofungwa😂 na kurogwa Sisi tunampenda tena maradufu huku Kenya...Yani hatubanduki
@anicia9155Ай бұрын
Hana lolote huyo kunifanya mtu wa MUNGU kumbe anasagwa na agenti wa shetani hyo Joan mtu kamsahau mama Ake bila kujali kuwa bila mama asingekuepo