MASANJA JINSI YAKUWA MASIKINI/KUNYWA MBAKA UJINYEE/HONGA/FANYA CRABU!!

  Рет қаралды 41,443

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam

Күн бұрын

Пікірлер: 135
@benedictkiteji5089
@benedictkiteji5089 4 жыл бұрын
Umetisha sana
@husinmatoto2290
@husinmatoto2290 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mtumish
@lucasnyahi3281
@lucasnyahi3281 4 жыл бұрын
Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Somo zuri
@jamesyonas6306
@jamesyonas6306 4 жыл бұрын
Vice versa is true
@issadini7824
@issadini7824 3 жыл бұрын
Safi kabisa umasikin kwa gharama.
@immanuelikuwa9897
@immanuelikuwa9897 4 жыл бұрын
mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!
@enockchaulema7726
@enockchaulema7726 3 жыл бұрын
daah nimecheka sana
@samwaryoba9953
@samwaryoba9953 4 жыл бұрын
My best comedian all the time
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 жыл бұрын
Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...
@officialrich_b279
@officialrich_b279 5 жыл бұрын
Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!
@alphoncebenezeth1035
@alphoncebenezeth1035 4 жыл бұрын
Safi Sana I LIKE MY LIFE
@albertymdemu2679
@albertymdemu2679 4 жыл бұрын
Nimemuelewa sana tu
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 4 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana
@alfredjoakim1107
@alfredjoakim1107 4 жыл бұрын
Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali
@pesamaofficial9242
@pesamaofficial9242 5 жыл бұрын
Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
@stewardmbena3737
@stewardmbena3737 4 жыл бұрын
Mtumishi kwann baadhi ya vipindi vyako unavyo anza na kumaliza huwa hufanyi maombiii????/?
@ezekiellrenard9778
@ezekiellrenard9778 4 жыл бұрын
Sikiliza kinachofundishwa
@bonipahcemsigwa6375
@bonipahcemsigwa6375 4 жыл бұрын
Steward Mbena Maombi ya nini hapo? Kila kitu kina mahali pake.
@kennedyjohn6788
@kennedyjohn6788 4 жыл бұрын
Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane
@abdoulsalamally6652
@abdoulsalamally6652 4 жыл бұрын
Bright people got a lesson from this video, keep up the good work
@saidmabrouknassor4229
@saidmabrouknassor4229 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa
@happykahuluda2078
@happykahuluda2078 5 жыл бұрын
Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂
@jeanmjimmy
@jeanmjimmy 4 жыл бұрын
🤣😂😅😁🤣😂😀
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 10 ай бұрын
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
@anifaally1179
@anifaally1179 4 жыл бұрын
Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana
@morisindabila1846
@morisindabila1846 4 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana
@kingyehoshafatitvbornerys2496
@kingyehoshafatitvbornerys2496 4 жыл бұрын
Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 жыл бұрын
Nimepkupata pastor.....
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
You have inspired me
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 5 жыл бұрын
Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....
@imanikabuje3380
@imanikabuje3380 5 жыл бұрын
Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 4 жыл бұрын
Nangojea part ya wadada hahaha
@isejemedia6760
@isejemedia6760 4 жыл бұрын
We mkali nakuku bali kaka
@mc_elishadai
@mc_elishadai 5 жыл бұрын
Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertmkwila5561
@robertmkwila5561 4 жыл бұрын
CEOP 😀😀😀😀😀
@muhambwetvonline
@muhambwetvonline 4 жыл бұрын
Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa
@pastorvincent9851
@pastorvincent9851 5 жыл бұрын
Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.
@سبحاناللهوبحمده-ع6ق4ض
@سبحاناللهوبحمده-ع6ق4ض 5 жыл бұрын
Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga
@agustinommasi1119
@agustinommasi1119 4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee
@umawatv6426
@umawatv6426 4 жыл бұрын
#Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.
@winfridmsindo984
@winfridmsindo984 4 жыл бұрын
Ulimdesi sana masanja
@mc_mrope
@mc_mrope 5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 5 жыл бұрын
Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa
@issarajabu1386
@issarajabu1386 4 жыл бұрын
%100
@ousmanjuma3396
@ousmanjuma3396 4 жыл бұрын
Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 4 жыл бұрын
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
@lindajohn2156
@lindajohn2156 5 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@elibarikielikana1824
@elibarikielikana1824 4 жыл бұрын
Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..
@jacklinejimmy8965
@jacklinejimmy8965 4 жыл бұрын
Brother una akili nying maana tunatabia ya kwenda kinyumenyume
@diiksondiki6084
@diiksondiki6084 4 жыл бұрын
😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪
@mwambinguphilip55
@mwambinguphilip55 4 жыл бұрын
Toa tipu
@alexkyando7155
@alexkyando7155 5 жыл бұрын
Vice Verser is absolutely true
@mankonlentv7776
@mankonlentv7776 5 жыл бұрын
mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya
@msafirimbeya3329
@msafirimbeya3329 4 жыл бұрын
kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa
@harithwhite589
@harithwhite589 4 жыл бұрын
Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"
@hamisikareem648
@hamisikareem648 4 жыл бұрын
Hatar sana
@briannyiti8234
@briannyiti8234 4 жыл бұрын
😂😂😂 utafikiri mazuri
@sele2507
@sele2507 4 жыл бұрын
Toa details
@anthonyjoseph4979
@anthonyjoseph4979 5 жыл бұрын
UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.
@isayandege145
@isayandege145 4 жыл бұрын
Hilo somo limeshiba sana,
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 4 жыл бұрын
Unaua MTU bila kujijua kabisa mbavu zangu
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
Fundisha namna ya kupata hela kaka mambo gani hayo wewe mpangwa
@abelmusyani4583
@abelmusyani4583 4 жыл бұрын
Jiongeze ww
@bonipahcemsigwa6375
@bonipahcemsigwa6375 4 жыл бұрын
denic msigwa usiopoelewa somo hilo hata akikufundisha jinsi ya kuwa tajiri hutaambua kitu pia. Jiongeze mwenyewe ndg.
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
@@bonipahcemsigwa6375 Haya kaka mkubwa
@anthonyjoseph4979
@anthonyjoseph4979 5 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Bro Keep It
@emmanuelherman7186
@emmanuelherman7186 5 жыл бұрын
We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap
@majaliwagibson7295
@majaliwagibson7295 4 жыл бұрын
Duuuuuuuhh Nimekupata
@yusuphmlekwa4645
@yusuphmlekwa4645 5 жыл бұрын
Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?
@dogosafi178
@dogosafi178 5 жыл бұрын
How to be a pua person 💀😂😂
@mauwakiza2120
@mauwakiza2120 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@cmotheboss2587
@cmotheboss2587 4 жыл бұрын
Ww umefanya hvyo?
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.
@hildapatrick5945
@hildapatrick5945 5 жыл бұрын
Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,
@samgeorge823
@samgeorge823 4 жыл бұрын
Ha ha ha ha
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana masanja
@alfamtewa4245
@alfamtewa4245 5 жыл бұрын
Umetishaaaaaaa
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 4 жыл бұрын
Mzee ni How to BECOME not to BECAME....
@jebace
@jebace 4 жыл бұрын
usimsahihishe ameshakuwa maskini wa kiingereza how to become poor in english
@ev.mhugohantish288
@ev.mhugohantish288 4 жыл бұрын
Dah!!! hahahaha
@mussahassan8751
@mussahassan8751 5 жыл бұрын
hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
How to became a poor person
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
BJzee 19 Ndio TZ
@qemuelnade448
@qemuelnade448 4 жыл бұрын
ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.
@alfredngongi7509
@alfredngongi7509 5 жыл бұрын
nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe
@ivockmdenye4067
@ivockmdenye4067 5 жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii
@lelyafriaq4240
@lelyafriaq4240 4 жыл бұрын
Masanja wewe ....nimecheka
@giftmkumbwa1331
@giftmkumbwa1331 5 жыл бұрын
hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%
@athumanally8700
@athumanally8700 4 жыл бұрын
Nimee kuelewa wajina
@Zenaprays
@Zenaprays 5 жыл бұрын
Wow
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana
@mkingasana400
@mkingasana400 4 жыл бұрын
nice speech bro...sorry ndugu nawezaje kuwasiliana na ww kuna jambo LA muhimu nlkua nataka tuongee tafadhali ...my number ni 0787248906
@noelmunuo4660
@noelmunuo4660 5 жыл бұрын
Hahahaha how can dada become a poor,
@simbasanajose6110
@simbasanajose6110 5 жыл бұрын
hahahahahaha uko sawa
@djcoco_designer5739
@djcoco_designer5739 4 жыл бұрын
Uwe una zungumzia kufa nikiwa
@jacquelinosmond221
@jacquelinosmond221 4 жыл бұрын
Djcoco_ Designer haaaa,wee wa nchi gani?yaani unashindwa kugeuza,lol
@emanuelmuna2296
@emanuelmuna2296 5 жыл бұрын
hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!
@Mnyaruge
@Mnyaruge 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@gauedwin1960
@gauedwin1960 5 жыл бұрын
Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane
@Petermalenya12
@Petermalenya12 5 жыл бұрын
Hiii sauti ya chwiiiiiiiiiiiiiiiiiii,! Hahahahah
@tazamaelimbise8467
@tazamaelimbise8467 4 жыл бұрын
Hahahahahahahahaahah
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Part 2 ipo wapi
@ramadhanibrahim7619
@ramadhanibrahim7619 4 жыл бұрын
Kwa wenye akili watakuelewa umeongea point sn
@alexnowa9258
@alexnowa9258 5 жыл бұрын
Sawa bro
@farajagordon4847
@farajagordon4847 5 жыл бұрын
Nimekuelewa brother
@timotheoayoub4340
@timotheoayoub4340 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@denicmsigwa5199
@denicmsigwa5199 4 жыл бұрын
We kweli matehenya duh
@paschalzacharia6708
@paschalzacharia6708 5 жыл бұрын
Nimekuelewa
@philomenasjohn9083
@philomenasjohn9083 4 жыл бұрын
Mb zangu hazijaenda bure
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 4 жыл бұрын
Hahahaha
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 5 жыл бұрын
😂😂😂
@immasmartboytz2300
@immasmartboytz2300 5 жыл бұрын
😀😀👏👏😂😂nimekusoma
MASANJA MKANDAMIZAJI ATAPELIWA NA WEZI WA MITANDAO.... Wampa ujumbe wa kwenda kanisani KWAKE
11:04
HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE
27:16
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 257 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 63 МЛН
LIVE : KIKOMBE CHA MAPITO | FEEL FREE CHURCH | BISHOP.MASANJA MKANDAMIZAJI
1:23:16
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 410
ASKOFU GWAJIMA AWASHA MOTO TENA
8:13
Ufufuo na Uzima Kinondoni
Рет қаралды 23 М.
SHUHUDIA UGOMVI WA MASANJA NA BINTI YAKE NA MAELEWANO
9:24
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 188 М.
HABARI HII YA PAUL MAKONDA MCHANA HUU YATIKISA DUNIA,,WENGI HAWAJAAMINI
8:18
SUPER SHOTS!!! Ronnie's GENIUS Breaks! Compilation ᴴᴰ
21:28
Fast Workers
Рет қаралды 1,3 МЛН
Masanja MONICA ft Walter Official Video
5:13
Link Tv Tanzania
Рет қаралды 678 М.
MASANJA MKANDAMIZAJI - SHORT AND CLEAR - (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
7:05
FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Рет қаралды 692 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20