Asante Yesu,Akubariki sitafata kanuni hii nataka kuzidi kuwa tajiri.naamini utajiri wa kwanza kwangu ni kumpokea Bwana Yesu.Ubarikiwe machanja.
@restutamjuni47394 жыл бұрын
Somo zuri
@jamesyonas63064 жыл бұрын
Vice versa is true
@issadini78243 жыл бұрын
Safi kabisa umasikin kwa gharama.
@immanuelikuwa98974 жыл бұрын
mafundisho ya mchungaji mgaya aka Masanja nomaaa!
@enockchaulema77263 жыл бұрын
daah nimecheka sana
@samwaryoba99534 жыл бұрын
My best comedian all the time
@peterbayo46774 жыл бұрын
Kipaji cha hali ya juu. Hongera sana Emanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji...
@officialrich_b2795 жыл бұрын
Kama umemuelewa masanja tujuane kwa like......!
@alphoncebenezeth10354 жыл бұрын
Safi Sana I LIKE MY LIFE
@albertymdemu26794 жыл бұрын
Nimemuelewa sana tu
@mwambinguphilip554 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana
@alfredjoakim11074 жыл бұрын
Yani nimekuelewa sana masanja nn unaamanisha yani niatali
@pesamaofficial92425 жыл бұрын
Dah Asiemuelewa Ana akili kabisaa tena Mi Kabla tu ajamaliza Mi nishamuelewa, anamaanisha nini Mungu akubaliki Kaka Masanja Tena sana,Akubaliki kwa hili Somo,kama na ww umemuelewa nipe Like,yako
@stewardmbena37374 жыл бұрын
Mtumishi kwann baadhi ya vipindi vyako unavyo anza na kumaliza huwa hufanyi maombiii????/?
@ezekiellrenard97784 жыл бұрын
Sikiliza kinachofundishwa
@bonipahcemsigwa63754 жыл бұрын
Steward Mbena Maombi ya nini hapo? Kila kitu kina mahali pake.
@kennedyjohn67884 жыл бұрын
Napia ungemwambia asisahau kulaiki mwanawane
@abdoulsalamally66524 жыл бұрын
Bright people got a lesson from this video, keep up the good work
@saidmabrouknassor42294 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 nimekuelewa sana kakaaaaa
@happykahuluda20785 жыл бұрын
Hahahah watakaoshindwa kwenda kinyume cha dondoo hizi , wamekwisha😂😂😂😂😂
@jeanmjimmy4 жыл бұрын
🤣😂😅😁🤣😂😀
@christinenyagiro666210 ай бұрын
Serikali yetu inatufanya masikini kama ulifanya na serikali miaka zaidi ya 30. Retured unapewa 20,000/= kwa mwezi Kikwete akatuonea huruma akatuongeza mpaka 100,000/= awamu ya 5 hawakuwa na shida na sisi wazee. Awamu ya 6 ndiyo basi tena hana hata kutuona. Ni hiyo hiyo lakini wakati wao kwenye sitting allows ni zaidi ya laki tatu. Kwa hayo unayosema ni comedi tu mbona huwambii serikali wanavyo waliowafikisha hapo walipo. Ndiyo Makonda anasema kanyamazeni kwa sababu tumemaliza wakati mbona Inchi nyingine wazee retired ndiyo matajiri wanakula pensions zao kilaini sana
@anifaally11794 жыл бұрын
Mm. Nimekwelewa masanja somo zuri sana
@morisindabila18464 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Nakuelewa Sana
@kingyehoshafatitvbornerys24964 жыл бұрын
Nimekusoma ....Mimi huwa nafanya Hivyo lakin nashangaa Kila nikizitumia hizo pesa kesho yake napata nyingine...
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Nimepkupata pastor.....
@yasinikateula66054 жыл бұрын
You have inspired me
@maticsleokas17855 жыл бұрын
Hahahhahahaha hii style yako ya komedi....
@imanikabuje33805 жыл бұрын
Bro daaa! Nimekuelewa somo la nidhamu ya pesa barikiwa na mungu by pot Emmanuel kabuje
@mwambinguphilip554 жыл бұрын
Nangojea part ya wadada hahaha
@isejemedia67604 жыл бұрын
We mkali nakuku bali kaka
@mc_elishadai5 жыл бұрын
Chief executive officer of Poor 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertmkwila55614 жыл бұрын
CEOP 😀😀😀😀😀
@muhambwetvonline4 жыл бұрын
Wasio kunywa pombe na bado hatuna hela tujuane hapa
@pastorvincent98515 жыл бұрын
Wewe ni mbunifu kupita kawaida. Ubarikiwe sana. Nakupenda nadhani napitiliza.
@سبحاناللهوبحمده-ع6ق4ض5 жыл бұрын
Aiseee 😂😂😂😂👌💪 yaani mimi umenifuza kitu apo mwakani nishajenga mjengo frani amazing sana 🏘👌💪😂😂😂😂👌 ila haka ni kaujinga ka kujenga
@agustinommasi11194 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃weeeeeeeeeee
@umawatv64264 жыл бұрын
#Masanja Mkandamizaji# Hebu andika Kitabu kiitwacho: "JINSI YA KUWA MASKINI" ili kuhamasisha Maendeleo ya Mtu binafsi.
@winfridmsindo9844 жыл бұрын
Ulimdesi sana masanja
@mc_mrope5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaa daaah nimechekaa saana
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Kila lock imeachia kama umesikia hvyo like hapa
@issarajabu13864 жыл бұрын
%100
@ousmanjuma33964 жыл бұрын
Hizi zina inspire sana ungekifanya kama kipindi
@alexlingwendu67804 жыл бұрын
Kaka umenikumbusha mbaali saana.Mwaka 2007Nilikutana na mzee Mooja alikua anaombaomba msaada.Alipita baa nilipokua Napata mchemsho.Mzee alipokua anaingia watu wakawa wanamnyooshea vidole wakisema huyu mzee alikuaga Tajiri saana.Nikajiongeza nikamfuata nikampa 2000/=Nikamuuliza Mzee imekuaje ulikua tajiri na sasa ni ombaomba.Daaa Alianza kwa kwa kuniambia Mwanangu ukitaka kua lofa masikini kama Mimi Nitafute maana ni stori ndeefu.tukakutana kesho yake hapo hapo .Bar Mambo alionieleza daaa ni kama hayo ulionena masanja.Japo Yeye alizidisha zaidi. Coz Hata mke alifukuza na watoto aliwakataaa.Kukesha kwenye baaa na Kuwatuza wasanii ilikua ndo zake.Kuwanunulia viwanja madem ndo ilikua mtego wa kupatia mademu.Hakika dk za mwisho alianza na kulia coz hafahamu hata huyo mkewe alienda waaapi?
@lindajohn21565 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@elibarikielikana18244 жыл бұрын
Mwenye akili kaelewa pakubwa sana apo so bible akili Hapa ndo Kichwa kisichokuwa na akili ni Mzigo kwa Miguu..
@jacklinejimmy89654 жыл бұрын
Brother una akili nying maana tunatabia ya kwenda kinyumenyume
@diiksondiki60844 жыл бұрын
😀😀😀😀 mungu anakuona masanja ila mm nimekuelewa sana 🙏💪
@mwambinguphilip554 жыл бұрын
Toa tipu
@alexkyando71555 жыл бұрын
Vice Verser is absolutely true
@mankonlentv77765 жыл бұрын
mgaya nimejifuz kitu 😂😂😂 usipotumia akili utakua maskin wakutupwa kazkaz ndo msing gomg laik kam umemuelew mgaya
@msafirimbeya33294 жыл бұрын
kaka hongera sana kwa kuelimisha jamii nimekuelewa sanaaaaaaa
@harithwhite5894 жыл бұрын
Hapa ndo pana ule usemi usemao "asiyejua maana haambiwi maana"
@hamisikareem6484 жыл бұрын
Hatar sana
@briannyiti82344 жыл бұрын
😂😂😂 utafikiri mazuri
@sele25074 жыл бұрын
Toa details
@anthonyjoseph49795 жыл бұрын
UTAKUA MASIKINI SUGU!!!!!!Hahahahahahahahaha.
@isayandege1454 жыл бұрын
Hilo somo limeshiba sana,
@pastorgodsonjohn85624 жыл бұрын
Unaua MTU bila kujijua kabisa mbavu zangu
@denicmsigwa51994 жыл бұрын
Fundisha namna ya kupata hela kaka mambo gani hayo wewe mpangwa
@abelmusyani45834 жыл бұрын
Jiongeze ww
@bonipahcemsigwa63754 жыл бұрын
denic msigwa usiopoelewa somo hilo hata akikufundisha jinsi ya kuwa tajiri hutaambua kitu pia. Jiongeze mwenyewe ndg.
@denicmsigwa51994 жыл бұрын
@@bonipahcemsigwa6375 Haya kaka mkubwa
@anthonyjoseph49795 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Bro Keep It
@emmanuelherman71865 жыл бұрын
We jamaa una akili nyingi xn! Unazipata wap
@majaliwagibson72954 жыл бұрын
Duuuuuuuhh Nimekupata
@yusuphmlekwa46455 жыл бұрын
Sasa ntapataje hiyo pesaa ili ntumbue hivyo?
@dogosafi1785 жыл бұрын
How to be a pua person 💀😂😂
@mauwakiza21204 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@cmotheboss25874 жыл бұрын
Ww umefanya hvyo?
@bjzee19814 жыл бұрын
Amka saa 5 anza kuangalia movies, kisha anza kibashinia siasa, nunua mi bundles, Kata utumbo . Wee. Si nunui tena mi bundles za ma mb.
@hildapatrick59455 жыл бұрын
Yan we masanja umewaza nn mpaka ukaamua kufundisha hlo somo,
@samgeorge8234 жыл бұрын
Ha ha ha ha
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Nimekuelewa sana masanja
@alfamtewa42455 жыл бұрын
Umetishaaaaaaa
@nikkimbishiunju24024 жыл бұрын
Mzee ni How to BECOME not to BECAME....
@jebace4 жыл бұрын
usimsahihishe ameshakuwa maskini wa kiingereza how to become poor in english
@ev.mhugohantish2884 жыл бұрын
Dah!!! hahahaha
@mussahassan87515 жыл бұрын
hahaha mtumish me nataka unifundishe jinsi ya kuwa tajir
@bjzee19814 жыл бұрын
How to became a poor person
@kiatu4 жыл бұрын
BJzee 19 Ndio TZ
@qemuelnade4484 жыл бұрын
ukitafsir kinyume nakufuata utakuw tajiri.
@alfredngongi75095 жыл бұрын
nimekuelwa Masanja unacho maanisha, 😁😁ubarikiwe
@ivockmdenye40675 жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiii somoo kaliiii
@lelyafriaq42404 жыл бұрын
Masanja wewe ....nimecheka
@giftmkumbwa13315 жыл бұрын
hahahah ndio sifa ya msanii, ubunifu%
@athumanally87004 жыл бұрын
Nimee kuelewa wajina
@Zenaprays5 жыл бұрын
Wow
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Semo hili lifanye kinyume ndio utafanikiwa sana
@mkingasana4004 жыл бұрын
nice speech bro...sorry ndugu nawezaje kuwasiliana na ww kuna jambo LA muhimu nlkua nataka tuongee tafadhali ...my number ni 0787248906
@noelmunuo46605 жыл бұрын
Hahahaha how can dada become a poor,
@simbasanajose61105 жыл бұрын
hahahahahaha uko sawa
@djcoco_designer57394 жыл бұрын
Uwe una zungumzia kufa nikiwa
@jacquelinosmond2214 жыл бұрын
Djcoco_ Designer haaaa,wee wa nchi gani?yaani unashindwa kugeuza,lol
@emanuelmuna22965 жыл бұрын
hahaa masnja bhana!! hili somo matata sana!!!
@Mnyaruge5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@gauedwin19605 жыл бұрын
Niaje msee..wacha niende na kinyume ya hii mwanawane