#psychologically wanamtibu kwa kumpa majukumu kuliko wangemtenga ingeonyesha kumnyanyapaa na kuona hafai kabisa yuko vizuri aendelee kupewa kazi ajue dunia tunamuhitaji na bado anaoneka vizuri
@spreadlove53007 ай бұрын
Ila jamani watu waache kuongelea afya za watu kwa uhuru kiasi hiki mtu anaweza kufa hata kwa maneno ya waja 😮😮😮
@dianajohnson72687 ай бұрын
kabisaaa,
@HaniffaOmary-v5r7 ай бұрын
Kweli kabisa😂
@CatherineNzeki7 ай бұрын
Umesema kweli
@najmasalim-rg6ow6 ай бұрын
Sio kufa huwenda akajufatilia kama haumwi aende hospital kufanya check
@DubaiRolla-rx9nz6 ай бұрын
😂😂
@btylove18707 ай бұрын
Bongo watu wengi wanakunywa pombe nyingi sana kwa sifa ila wengi hawajuwi madhara ya too much alcohol kwa mwili! Mungu akuponye Gadner🙏🤍
so much true love from his fans. maskini poleni sote. RIP
@zahirallyzorro39406 ай бұрын
Unnecessary ni maradhi. Labda ana Sukari. Ameamua apungue. Sio tatizo. Nilipokata Uzito Marafiki wanahisi ni na 🔥 sio kweli
@rahabnkya82765 ай бұрын
RIP GARDNER Gabriel Habash. Parents poleni sana.
@liannsambu72646 ай бұрын
Jamani garden 😢😢😢😢😢
@zephaniamwangu98576 ай бұрын
So sad Amefariki asubuhi ya Leo
@kissamwamunyange10187 ай бұрын
Tumuombee ndg yetu Allah ampatie afya njema. Gadner anaumwa gaut
@rosehaule67657 ай бұрын
Mungu ni mwema atamponyaa Marathi ni kawaida tu mbona jamani tumshukuru Mungu na kuzidinkumuomba atuepushe na Marathi nankuombea wenzetu
@sabinahobe34787 ай бұрын
Samahani gaut ndio ugonjwa gani?
@GoodDeeds-Jesus6 ай бұрын
Aletaye afya na uponyaji ni Bwana Yesu pekee na si vinginevyo
@shanatatrigger65376 ай бұрын
Ugonjwa huu unasababishwa na ulaji wa nyama ya mbuzi isiyoiva vizr @@sabinahobe3478
@geofreylucas78706 ай бұрын
@@sabinahobe3478 gout ni mojawapo ya dalili za kinga mwili kuwa weak na wakati mwengine kinga mwili kujishambulia zenyew yaan autoimmune disease
@safiamani70057 ай бұрын
Ana jikongoja doze doze! “Mambo ✊matano “✊
@letisiamakonda38737 ай бұрын
😂😂😂
@trice_yanga5 ай бұрын
dah😂😂😂
@Ostica..Omie..junior7 ай бұрын
Daaah...aiseee bora azingatie treatment zake..ahache ku mis dose atapotea
@AishaHaji-jn7sg7 ай бұрын
Kwani wewe kakwambia anaumwa nini…punguza ujuaji
@leaherasto9296 ай бұрын
Anaendaga JKCI sijui shida nimoyo
@nancyg86646 ай бұрын
Jaman
@lilyjones35846 ай бұрын
Katika comments zote, hii ndiyo haikukosea tatizo lake! RIP Gardner G Habash. You'll always be missed 😢
@nancyg86645 ай бұрын
@@lilyjones3584 yan kabisa masikin
@foodbasiccourt20287 ай бұрын
Mbona hapo ana unafuu aliisha
@maroahkissiry48637 ай бұрын
POMBE HASA POMBE KALI NI HARARI KWA AFYA . SNS pin hii comment yangu tuwasaidie wengi
@Hillary_Daudi_Mrema7 ай бұрын
Ukitazama Afya ya Gadner utagudua macho yake yamekuwa ya njano, amevimba magoti, amevimba viwiko vya mkono na tumbo limevimba pia maana yake Ini na Figo kilichobaki ni mapafu kujaa maji maana yake moyo kutanuka. Mungu anakupenda Gadner mrejee akupe Afya njema na uzima wa Milele bado muda upo
@agnesjohn93827 ай бұрын
Kwa hiyo hawezi kupona jamani
@magorymara55157 ай бұрын
Mara hii umeshampima majibu unayo😂😂 bongo nyoso sana
@nancyg86647 ай бұрын
@@magorymara5515😂😂😂kaona na magoti ndan ya surual noma sana
@aediayumgo85467 ай бұрын
Siyo mchezo nataka uwe Daktari wangu😅😅 Kwa vipimo hivi😂
@HaniffaOmary-v5r7 ай бұрын
Weeh umetisha sana 😂😂
@vikimartin94416 ай бұрын
Jamani! Kukonda kupo au tuseme wembamba upo,hata ukimtazama G.na huyo jamaa wanaeongozana nae jamaa ni mwembamba Ila muonekano wake ananguvu, lakini! Bro G.kapungua au niseme Kawa mwembamba Ila mwili wake haina nguvuu, Ila sauti yake bado Ina nguvu yakutosha,bro.alipofikia azingatiwe misosi, jd ulipo okoa maisha ya brother, ulishe Kama mtoto,mlazimishe kula msimamie ale.
@Gersah6 ай бұрын
R. I. P Gardner
@hawagwao83526 ай бұрын
R.I.P so sad
@ElishaSolomoni-kc4zk6 ай бұрын
AUKO TENA NASI KAKA R.I.P TURORUD UKU BAADA YA MWAMBA KUTANGULIA AISEEEE😭😭😭😭😭😭
@thabitngangila85627 ай бұрын
Itakua sukari au ngoma?
@malichanda31467 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Gersah6 ай бұрын
R.I.P Gardner
@fredmbossa-kc3qn7 ай бұрын
inawezekana ikawa sukari,sukari mbaya sana isikie tu kwa mwezako,,pombe hawezi kuwa hivyo mtu mwenye pesa pombe haiwezi kumkondesha hivyo ,,
@yvesniyongabo94377 ай бұрын
Hata kwenye Pombe kuna Sukari nyingi tu
@queenlinda2557 ай бұрын
Inawezekana ni sukari kweli
@jimboulaya7 ай бұрын
Pombe inasababisha sukari pia na kufeli kwa figo
@fredmbossa-kc3qn7 ай бұрын
@@jimboulaya mi nimeongelea ugonjwa sukari yani inawezekana anaumwa sukari ,,habari ya mtu kukonda anaweza akakonda kwaajili ya pombe kupita kihasi au anaweza akakonda kwaajili ya sukari ugonjwa ,,sio kila anaekunywa pombe anaumwa sukari ,,
@EstarMichael7 ай бұрын
kweli magonjwa nimengi sana kwenye hii dunia.. muhimu aangaliwe vzr na ndugu jamaa na marafiki kama nitatizo kubwa aseme asaidiwe mapema kupata matibabu❤
@angelzighe42544 ай бұрын
RIP 😭😭
@KS-iw7qv5 ай бұрын
But lazima tu Tufe... whatever it is.......
@deecokujory5 ай бұрын
Jmn kumbe alianza kuumwa mda mungu ampumzike salama jmn😢
@neemareuben3117 ай бұрын
Hii itakuwa ni sukari huwendaaa aiseee jmn 😢😢😢 inaumaaa sanaaaaa ila bina dam wataongea vitu ni vingi sn aiseeeeeeee jmn jmn 😢😢😢😢
@Hillary_Daudi_Mrema7 ай бұрын
Bado Mungu anakupenda Gadner mrejee akupe Afya njema ila tatizo haukubali kwamba Pombe sio nzuri kwako na bado unapenda kushindana na Vijana katika Pombe. Ikifika Mwaka 2050 Mkoa wa Kilimanjaro utabaki na wanawake tu maana wanaume wengi ni walevi hasa Rombo hakuna Vijana wameisha. Pombe ni hatari naomba Vijana tunywe Maziwa na juice ni bora
@fredmbossa-kc3qn7 ай бұрын
huyu sio pombe hatakuwa anaumwa unaweza kuta sukari ila sina uhakika
@mycmeranyswai79577 ай бұрын
sio kweli ndugu yang hayo ni mawazo yko tuu
@josephkiwale3747 ай бұрын
Kwan huyu Mzee ni WA kule Israel ya bongo
@jumaamohamed28157 ай бұрын
@@mycmeranyswai7957Ni kweli jamaa ni mlevi sana
@paulabelleghe4516 ай бұрын
Jamani roho imeniuma
@farajasaid92096 ай бұрын
Jamani tusimshangae sn qtapata unyonge
@davidlyamboko74776 ай бұрын
Wanaomshangaa hata afya zao hawajapima na wao binafsi huenda wana matatizo makubwa sana ya afya, ni suala la mida tu.
@aminakipande56456 ай бұрын
😂😂🎉🎉🎉
@Ostica..Omie..junior7 ай бұрын
Uyo jamaa...hapo amepata nafuu kidogo..ila alikonda zaidi ya hapo akawa ndani tu atoki nje kabisaa..hapo mnamuona sasahivi kidogo mwili umeanza kurudi kwa mbali
@sabinahobe34787 ай бұрын
Mm sina habar kumbe alikuwa anaumwa? Kwan bado yupo lipindi cha Jahazi?
@BenedictaMagantg6 ай бұрын
Mungu amsimamie.
@ConsalvaMumbara6 ай бұрын
Mungu amponye
@HipHop_20245 ай бұрын
Leo ameagwa na anaend kuzikwa
@RamadhanAthuman-d4c6 ай бұрын
Inawezekana akawa na maradhi au kisukari pole sana gadiner
Alivomtesa Jide enzi zile huwezi amini ni huyu daah kweli wanasema time will heal!
@geofreylucas78706 ай бұрын
Alimtesaje yan????
@vanessalaizer43635 ай бұрын
@@geofreylucas7870 na mapenzi dear, alikuwa ana mademu wengine
@vanessalaizer43635 ай бұрын
@@geofreylucas7870 na mapenzi
@itanzaniaAS5 ай бұрын
Huzuni sanaaaa
@emanuelgavile35037 ай бұрын
Fatilieni nyimbo ya jide mambo matano mtanishkuru
@FettyIddy-ps8lo6 ай бұрын
Aisee
@wemakingdaily14626 ай бұрын
Huyo atakuwa amemloga
@GbpAud_King5 ай бұрын
Figo
@simonmushi74686 ай бұрын
RIP captain
@wozanawewoz9797 ай бұрын
Hata kutembea inakuwa tabu kidogo, hafadhali nyumbani watu wanakwambia uku nje mpaka ufike hospital wazungu wanakwambia una miezi kadhaa tuu ya kuishi kama hujijalii
@prosecutorprince2816 ай бұрын
R.i.p kakaa😭😭
@mohamedyusuph13216 ай бұрын
Levi hilo
@NgaizaKimbeNgaizakimbe7 ай бұрын
Pole Bro Ila Punguza Pombe Kama Ni Sabababu..🚶🚶🚶
@officiallnobystar7 ай бұрын
Sio Pombe Tu Na labda Matatizo Ya Figo
@happynelson11365 ай бұрын
Kama mtu anakonda na pombe na mimi ningekonda maana pombe inanifanya ninenepe kila nikijaribu kupunguza uzito sipungui mpaka nipunguze pombe na nimekunywa pombe kwa mda wa miaka kumi, jamaa huenda alikuwa ana ugonjwa unamsumbua na hakuutibu mapema mpaka ikapelekea kulazwa na baadaye kufariki, apumzike kwa amani
@majidfrolian49045 ай бұрын
Kweli
@happynelson11365 ай бұрын
@@majidfrolian4904 pombe sio tatizo lake mimi nakunywa pombe miaka kumi na pombe inanifanya ninenepe nimekunywa pombe miaka kumi na leo nimekunywa bia kumi na nipo fresh ila kupungua mwili sipungui maana pombe inanifanya ninenepe
@Aziz-p6s7 ай бұрын
Maradhi yapo Pole gadner utapata nafuu kwa uwezo wa allah
@GoodDeeds-Jesus6 ай бұрын
Jina likimbizalo mapepo na kuleta uponyaji ni Jina la Yesu pekee na si vinginevyo. Hallelujah
@Sylvester19936 ай бұрын
Dah amepatwa na nini shemeji yetu wa zamani?
@jumawaziri85016 ай бұрын
daaah amekwisha sana kikwelo hayuko sawa
@EvalinaMunishi6 ай бұрын
😊pombe Kali anakunywa sana, ila jamani mke ana faida sana kwenye familia. Alipokuwa Na Jide alikuwa na afya nzuri sana
@najmasalim-rg6ow6 ай бұрын
Hio mipombe kweli kaah
@annamussa1856 ай бұрын
Mnamwonaje eti yuko sawa mnieleze😊😅
@aminakipande56456 ай бұрын
😂😂😂ila watu
@sistertrashid24887 ай бұрын
Chezea watanzania wewe wewe tuma picha tunakupima tu hatuna baya vipimo macho
@florangido2025 ай бұрын
Huyu atakuwa alikuwa na Sukari, sema akutilia maanani Na ndiyo maana alipata matatizo ya Moyo. Sukari akiwa nyingi kwenye Damu bila matibabu MOYO UTANUKA....Hakuwa serious na na Sukari (Dayabetic)
@LinnaJohn7 ай бұрын
Kondeni nyie sasa mnajadili watu
@wemaMichael-fr4th7 ай бұрын
jamani
@ElishaSolomoni-kc4zk7 ай бұрын
Duh aisee pole xna kaka
@machintangachibwena59226 ай бұрын
Rest In Peace Gadner G Abash
@peresmagasi53306 ай бұрын
DM
@safwaqusa79416 ай бұрын
kati ya ini au figo vinamuhusu huyu mzee though hatujui km kashaenda hospital or not but for the sake of health clouds media should give him a break
@YunisJerald7 ай бұрын
Mmejuaje mgonjwa
@michaeljames34807 ай бұрын
😢😢😢😢 duhhh amekonda sanaaaa
@sophiekindem90716 ай бұрын
Acheki Kisukari!!
@bigirumanalululouise45405 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@jasminimussa62147 ай бұрын
Huyu baba amebaki kichwa tu jmn😢so sad 😢 sijui nn shida….😢.
@gibbs13207 ай бұрын
Amebaki kichwa tuu kama wewe ulivyobaki na KOMWE lako tuu.
@noelbryson78407 ай бұрын
Wewe acha unafki mpuuzi wewe! Yani huna hata chembe ya aibu kuandika vitu vya uwongo? .. Unasema amebaki kichwa?? .. Kudhoofika kwa mwanadamu ni hali ya kawaida..
@JaneMasengeta6 ай бұрын
3:19 @@noelbryson7840
@barakakusa76067 ай бұрын
Hayo ndiyo Mambo matano ya Komando Jide so sishangae pengine ni stress za mapenzi,Jide mrudie mwenzako tafadhali dada😢😢
@zariadunia63285 ай бұрын
Huyu mwanae alijua kugombea malai za baba yake pasi nakumuangalia mzee wake alikuwa akinywa sana pombe nahisi mambo yaliharibikia hapo angekuwa anaishi na baba yake akimpikia nabkuhakikisha anakula lkn binti alikuwa akiishi peke yake sawa lkn angemuangalia kwa chakula kisha akaondoka kwake
@helenkambi39185 ай бұрын
Maskini kumbe alikua mgonjwa kitambo Gardner jamani ila ni kazi ya Mungu
@ChristinaWallasch7 ай бұрын
Mambo ya health food, gym, inaleta slim shep,
@wemaMichael-fr4th7 ай бұрын
mim niligundua hili tangu mwaka jana
@hijamwinyi32335 ай бұрын
Hebu mpimz8sheni muonekano wa nnkama yuwauma alikuwa anenepe sio vizur
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Hapa Alikuwa amepata nafuu..sasa amezikwa leo😢
@MuniraShughuli-kc7vj7 ай бұрын
Ana Sukar itakua maskini mm pia tuna kkangu alikua na mwili wake alipogunduliwa ni Sukar in amaliza mtu mwili haraka
@LandrickXl7 ай бұрын
Eee 😢
@millymack13707 ай бұрын
That's alcohol
@SalumOmary-t5y7 ай бұрын
Wanakuka sana watoto wazur niamin watu maarufu wengi wana cycle ya HIV
@estakapufi75827 ай бұрын
Japa haukuna kingine apunguze mitungi, mpaka yupo ivo vitu vya tumboni avufanyi kazi ipasavyo jamani, maana haifichiki kabisa aende hospital akapimwe tu mapema siompaka afikie hatua ya kulala kitandani.
@LovenessFedrick-cy9fh5 ай бұрын
Nilimuona mkaka mwanza alikuwa mnene siku Moja nikajua kumuona aliisha mwili uliisha wote dah sikari SI nzuri
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Nahisi sukari pia
@LandrickXl7 ай бұрын
tunalalamika kuhusu afya yake na akiisema tukaombwa misaada tunakimbia
@EstarMichael7 ай бұрын
hatutakimbia wote bwana wapo watu wema Bado kwenye hii dunia❤
@jrm94487 ай бұрын
Pombe sio chai.
@benjo_brighter7 ай бұрын
Amekonda sana aisee 😳🤔
@HadiaMohammed-ec2dn6 ай бұрын
😢😢😢
@NawechiTemu6 ай бұрын
Pombeeeeeeeeeee
@godfreykeita98046 ай бұрын
RIP
@abn83316 ай бұрын
Itakuwa mapombe tu huyo
@Jureyji7 ай бұрын
Sugar
@christinainnocent31847 ай бұрын
Labda kisukari sio pombe jamani si dunia nzima wangekonda🥱🥱🥱
@kiondomashaka62766 ай бұрын
Ameamua mpangilio wa vyakula tuu
@JohnsonBagambi6 ай бұрын
Pole mwambaa
@elbaricktv16327 ай бұрын
Mambo ma5
@JanetAhmad-v3h7 ай бұрын
Pombe tu
@hanifamziray2777 ай бұрын
Alisema hawezi kulala bila kunywa pombe atakuwa mvivu kulA
@judyngowi3917 ай бұрын
Atakuwa anafanya diet
@StevenJulius-u1d6 ай бұрын
Mungu wangu ni yeye kweli!
@fatmaabdallah77096 ай бұрын
Mpaka adondoke ghafla!
@ScopionScopion-zj9cd5 ай бұрын
lisemwalo lipo kama halipo linakuja Mimi siku moja rafikiang kaniangalia kwenye macho akasema ww huna mda utaumwa nakweli wk mbali hazikuisha nikapigwa nakitu kizigo ila mungu akanisaidia kukipangua mala moja nikalejea kazi kazi marafiki 36 Ninao fanya nao kazi kitengo kimoja walibaki 3 ndani ya mwezi dah dunia hiii
@elbaricktv16327 ай бұрын
Kwan huyu jamaa anaumwa nini au kaukanyaga?
@shuwehaharuna63097 ай бұрын
Walioukanyaga sikuhizi wananenepa
@YusuphMangulusa5 ай бұрын
Huwa wanakondaga kwanza wewe
@edsonnelson44647 ай бұрын
Inawezekana ni pombe, pombe ikikuzidi hata kula hauli na usipokula ndiyo matokeo yake hayo
@vanessalaizer43636 ай бұрын
Kweli mi nikinywa glass mbili za wine kula mbinde adi kesho yake jioni
@vi3ayo16227 ай бұрын
Jidee popote ulipo huyu ni mume wako wa ndoa, sahau yaliyotokea msaidie now anahitaji msaada huyu baba hana kazi hana kitu please jideee
@shwaibukhatibu28387 ай бұрын
Kwahyo clouds anafanyaje
@Aziz-p6s7 ай бұрын
Mama careen pia yupo
@judyngowi3917 ай бұрын
Kwahiyo clouds anafanya nin8
@geofreylucas78706 ай бұрын
@shwaibukhatibu2838 😂😂😂😂 inachekesha comment
@enoskilongo76856 ай бұрын
Laana za JAY DEE😂😂😂😂
@geofreymdemu19386 ай бұрын
Kwa hiyo Binti Wambura ni Kirusi cha magonjwa ama?