Majambazi sugu wakamatwa na polisi kwenye mpaka wa Burundi na Tanzania

  Рет қаралды 3,001,871

Mashariki TV

Mashariki TV

4 жыл бұрын

Jeshi la Polisi la Burundi kwa ushirikiano na Jeshi la Polisi la Tanzania wamewakamata majambazi sugu ambao wamekuwa wakiendesha vitendo vya ujambazi na mauwaji katika nchi hizo mbili. Wasemaji wa majeshi hayo wameahidi kuendelea kushirikiana ili kukomesha uhali kwenye mipaka ya nchi hizo

Пікірлер: 445
@MajaliwaBitomwa-qu7mc
@MajaliwaBitomwa-qu7mc 27 күн бұрын
Hongera sana sheji zetu kwakazi kubwa mlio ifanya Hao wafanyie serekali kazi mpaka kufa
@TedyDaudy-c8t
@TedyDaudy-c8t 19 сағат бұрын
Hongelen sana jeshi lapolisi mnafanya kaz nzuri sana mungu awalinde🙏🙏🙏🙏🙏
@OmarSaidsaulSaid
@OmarSaidsaulSaid 5 ай бұрын
Asante ni sana jeshi la Tanzanie kwa hicho kitendo chenye muridufanyizia mwendelee n'a kazi kenye mulikabiziw n'a mungu verry good
@mwajumalugenja3895
@mwajumalugenja3895 4 жыл бұрын
Hongereni sana ushirikiano no jambo nzuri bgp kwenu
@mamadoukamate3384
@mamadoukamate3384 4 жыл бұрын
Azzvilañ
@zainabumilanzi2909
@zainabumilanzi2909 2 күн бұрын
Mungu awasimamie asikari wetu nawaomba muwakate mkono mmojammoja kwa Kila jambazi wasiweze kushika bunduki
@jamesoduororawo8379
@jamesoduororawo8379 4 жыл бұрын
Hongera Sana Mr. Otieno tiji ler.
@catherineernest-y2z
@catherineernest-y2z 7 күн бұрын
Asante sana kazi nzuri❤
@ibrahimumatunda4449
@ibrahimumatunda4449 4 жыл бұрын
hongera pia jeshi letu la Tanzania na la jeshi la Burundi kwa ushirikiano
@zachaamasta3298
@zachaamasta3298 4 жыл бұрын
#nakubali jexh
@tysonphilip2094
@tysonphilip2094 4 жыл бұрын
Kazi nzuri pande zote mbili
@mosesimsalaba7050
@mosesimsalaba7050 4 жыл бұрын
Shirikianeni kurinda nchi zetu bwana awe nayi
@JonathanSamson-xf3oc
@JonathanSamson-xf3oc Ай бұрын
Hongereni San jeshi la ulinzi na usalama kwa kutimiza majukum yenu
@raisaafrica0255
@raisaafrica0255 4 жыл бұрын
MUNG AWABARIK SANA KWA KAZ NZUR TANZANIA N BURUNDI MUKIWA HIVO AMAN ITAKUEPO
@thieriniyorukundo2365
@thieriniyorukundo2365 3 жыл бұрын
Ongera sana kwa ushirikiyano na undugu wema kati y'a serkali y'a Tanzaniya na Burundi kwa kuwanasa ayo majangiri,endeliyeni na musi-mamo uyo uyo
@GabrielKusongwa
@GabrielKusongwa Жыл бұрын
Hamonahz
@francinendihokubwayo7822
@francinendihokubwayo7822 4 жыл бұрын
You people should know that Swahili is not his first language. He tried.
@AyubuJuma200o
@AyubuJuma200o Ай бұрын
kazi nzuri sana Mungu azd kuwapa maarifa
@johnmlaya
@johnmlaya Жыл бұрын
Safi sana jeshi kaz nzuri,
@JailosuwezoDavid
@JailosuwezoDavid 2 ай бұрын
Mbalikiwe saana kwa kuilinda apya yetu❤ naushilikiano mzuri❤
@BekaBoystudio-wl2wn
@BekaBoystudio-wl2wn 4 күн бұрын
Asanteni sana jeshi la polisi
@JhumarMungala-ey3sg
@JhumarMungala-ey3sg 10 ай бұрын
Congretulations, burundi kiswahili limewapiga chenga ila no matter ndo ujirani mwema uo.
@user-pv7xd6ko6q
@user-pv7xd6ko6q 5 ай бұрын
Asanteni sana watanzania, ndoa sasa ujirani mwema!!!
@anyagenyekalangali-zt1xo
@anyagenyekalangali-zt1xo Жыл бұрын
Jeshi la polisi wanapaswa kupongezwa Kwa kazi nzuri wanayofanya
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 4 жыл бұрын
Rwanda wanapokea wezi polis Burundi kathibitisha
@ndayikengurukiyealfred1959
@ndayikengurukiyealfred1959 3 жыл бұрын
Inkuru zumu police
@andrewkimambo1581
@andrewkimambo1581 4 жыл бұрын
Viva Africa .. Thank you inspector.
@erickmwaihoba2464
@erickmwaihoba2464 4 жыл бұрын
Joseph nivizuli kuwakamata na kuwafikisha vyombo vya habar
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 4 жыл бұрын
Hawa waliwahi kututeka mliwa wa simba biharamlo walikua wanaongea kurundi walinipiga sana fimbo nashkuru mungu nilisalimika ila wametesa sana watu tanzania hata kuua tena sisahau ilikua siku ya kwanza ramadhani nimefunga na huku nafanyiwa unyama nilimlilia sana mungu kabla sijafika nilipokua naelekea niliskia baadhi yao wamekamatwa na kuuliwa asante mungu
@hankyi9884
@hankyi9884 Жыл бұрын
Pppppqpqqà Pp P
@hankyi9884
@hankyi9884 Жыл бұрын
Pppppp. p
@adnanjuma4657
@adnanjuma4657 Жыл бұрын
Mkubwa hovyo,huezi ongea bila kuyitolea mfano Rwanda that's not professional
@lamecknelson8380
@lamecknelson8380 3 жыл бұрын
Asante sana na wakomeshe ili siku nyingine wasirudie tena
@stelabenitho2315
@stelabenitho2315 4 жыл бұрын
Hongera sana
@magarindombe2304
@magarindombe2304 Жыл бұрын
Hongeren policy kwa kuilisha usalama huko burund
@DizamngoniwambewuMtachi
@DizamngoniwambewuMtachi 9 ай бұрын
Tanzania ndi dziko labwino Pilirani apolisi athu timakunyadirani
@shemahabonayo1287
@shemahabonayo1287 6 ай бұрын
Towa Rwanda kinywani mwako we shenzi. Iyo ni mchezo wakubomowa kambi za watu wenye mulikimbiza nyie wawuwaji. Mutaka kuingiza roho mbaya TZ. Inchi imewashinda kuongoza kazi kutesa warundi na kutukana rwanda. Asie juwa ya kesho tesa binadamu mwenzie. Awo watu ni ma baba wa familia munawakamata tu juu mutengeneze mambo yakufuza wa kimbizi. Ila kuna mungu anawaona.
@lazizerujanabose8802
@lazizerujanabose8802 4 жыл бұрын
Ongera Musemeaji wa police yetu Burundi kuyiongelea police na nina kupa 20/20 kwa kiswahili fresh umeongea
@fredricksakagabo5198
@fredricksakagabo5198 4 жыл бұрын
Umesikia kiswahili ndugu yangu nihatari kabisa
@mondelypok3921
@mondelypok3921 4 жыл бұрын
Haxymester
@joseyela7523
@joseyela7523 3 жыл бұрын
@@fredricksakagabo5198 v
@joseyela7523
@joseyela7523 3 жыл бұрын
@@fredricksakagabo5198 w
@joseyela7523
@joseyela7523 3 жыл бұрын
@@fredricksakagabo5198 soka
@lutenganokajeti937
@lutenganokajeti937 4 жыл бұрын
Jamani polisi waoongezwe maana majambazi ni wauwaji! 👐 🖐
@miamujohn6535
@miamujohn6535 3 жыл бұрын
Hongelen Askari kwa Kaz yenu nzuri
@thieriniyorukundo2365
@thieriniyorukundo2365 3 жыл бұрын
Ukiteteya,ukisema kama si wajambazi,wameshikwa na silaha nyingi ,masase na boom 2,wewe unaonesha ni wandugu zako majambazi
@SupraBoy1994
@SupraBoy1994 4 ай бұрын
Wow!
@kapayaomarry7783
@kapayaomarry7783 4 жыл бұрын
Kazi nzuri makamanda
@miamujohn6535
@miamujohn6535 3 жыл бұрын
Vzr
@SsebumaFrancis-fi4hx
@SsebumaFrancis-fi4hx Жыл бұрын
Wajambazi wote muatafute muaeke magelezani Kunawatu tuliteseka mkulima lakini ukirudi batakwambia reta pesa zikikosa watakuwua
@asteriashios1852
@asteriashios1852 10 ай бұрын
Vunjeni hiyo miguu mkifanya hivyo hayatakuja tena tanzania mnawachelewesha ondokeni na miguu mkiwaacha hawataacha wizi ndo kazi waliochagua
@bedomanjohnson8026
@bedomanjohnson8026 2 жыл бұрын
Sm keep it up
@rutibabaratheodore7828
@rutibabaratheodore7828 Жыл бұрын
Rwanda wanawapa ma Hotels? hamuna uhaki yeyote bwana. hatupo malafiki nawajambazi, wende ujifunze Kiswahili na kusema sawa Politician.
@munyemanavianney9454
@munyemanavianney9454 4 жыл бұрын
Kiswahili sio sana .mzhe watu . lakini bravo mumefanya kazi nzuri
@jamesmarwa-ch8vw
@jamesmarwa-ch8vw Жыл бұрын
Many thanks from people's of Tanzania and Burundi.
@troubleboy2590
@troubleboy2590 4 жыл бұрын
Nimubarekure ntimwibagire Ko KIGOMA kariyuBURUNDI barundi barundikazi ntimwibagire
@amismuhitira507
@amismuhitira507 2 жыл бұрын
Ongeraa Sana Burundi natanzaniii tukopamoja
@user-hd4ry1mu2j
@user-hd4ry1mu2j 6 ай бұрын
Ushirikiano wa kulinda usalama ndo kitu muhimu zaidi ili raia waishi bila ya hofu
@MuhamedyMuhamedy
@MuhamedyMuhamedy 22 күн бұрын
Tuzidi kurinda mipaka yetu iri amani iyendere asateni kaushirikiyano muzuri wa mataifa mawiri kuwakamata madui kama hawa wanao vunja amani
@user-kj2xh6bt5y
@user-kj2xh6bt5y 6 ай бұрын
Ongera sana jeshiila burundii na tanzania
@jeaninewalda493
@jeaninewalda493 4 жыл бұрын
Hawo majambanzi wataona mot watanzania
@FRANKO-wj7zv
@FRANKO-wj7zv 4 жыл бұрын
Desire Nshimirimana k
@LukascAmri
@LukascAmri 19 күн бұрын
Naipongeza sana jeshiraporisi kwakazinzry wanayoifanya
@JudithKaembe
@JudithKaembe 6 күн бұрын
😭😭wapewe adhabu ya kulingana na makosayao
@user-bm4fp5ui3v
@user-bm4fp5ui3v Жыл бұрын
Wataishia usalama wa taifa adhabu ni kuwamaliza kwani wanaua wananchi wapigwe risasi hadharani
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 жыл бұрын
Hofu yangu isije kuwa Wapinzani huko Burundi
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 4 жыл бұрын
Alhamdulillah kweli penye awakuwauwa mana warundi kwakuuwa wanajitaidi😔😔afu izoninjatu zinawasumbua jamani nkurunziza shenzi kbs 😏 😏 samekata kutoka kuutawala
@tatiya6883
@tatiya6883 4 жыл бұрын
urishudia wangapi mushenzi mbwa weee nyoko
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 4 жыл бұрын
@@tatiya6883 🤣🤣mbwa mamako babako adiukomzima mxiuu wauwaji wakubwa nyie mburu kengewe
@zabibuilovemycountryofburu9156
@zabibuilovemycountryofburu9156 3 жыл бұрын
Wewewewewewewewewewe Ashura komanaukomazike pumu pumuliachooni mende nainzi zikwigie mdomoni koma kuzungumzia ichiyetu vibaya Ashura Kwani warundi niwauanji kuliko zingine INCi Ashura yani uko tz hakunawauanji Ashura kwanini hua mnazungumzia lNCiyètuvibaya
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 3 жыл бұрын
@@zabibuilovemycountryofburu9156 🇫🇷👈
@zabibuilovemycountryofburu9156
@zabibuilovemycountryofburu9156 3 жыл бұрын
@@ashuraussein7582 nanyipia mkowauanji wakubwa nyie usitakikuzungumzia inci yetu vibaya ashura
@allysospiter5073
@allysospiter5073 4 жыл бұрын
Pongezi Sana endeleeni ivo ivo
@prophetprophesy7415
@prophetprophesy7415 3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God know you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (TWINS ALIVE FOUNDATION) in Rivers state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348157404923) tell him I sent you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you in Jesus name
@tachovenamembe9398
@tachovenamembe9398 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa usilikiano
@benalex4960
@benalex4960 4 жыл бұрын
Uniform ya polisi ya bulundi inafanana na ya Kenya polisi
@omarramadhani3054
@omarramadhani3054 4 жыл бұрын
Kibao cha mpaka nimeona kipo.chini ufanyike utarstibu kiwe juu kionekane vizuri
@josesaenemafindamafinda1431
@josesaenemafindamafinda1431 4 жыл бұрын
Omar Ramadhani
@chazvicent7299
@chazvicent7299 4 жыл бұрын
Omar Ramadhani pw
@evelynejohn710
@evelynejohn710 4 жыл бұрын
Kweli kabisa halafu kichafu
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 4 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣weumenichesha.EtiKichafu..nipo.Oman.hapaNawapataVizuri.​@@evelynejohn710
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 10 ай бұрын
Yani kama unawapa kiburi hawa majambazi dungu hawaja kuingilia wabaya sana sikiaty kwajilani wanachinja kabisa wahukumiwe kunyongwa
@NiyibiziEnock-vz7os
@NiyibiziEnock-vz7os Жыл бұрын
Hao majambazi sugu wachukuliwe hatua kal ili liwe fundish hat kwa majambaz wengine
@frankmalimba5539
@frankmalimba5539 4 жыл бұрын
Uweni hao maana wao wameua sa2 sio watu wazuri
@allykazoa8324
@allykazoa8324 4 жыл бұрын
Kabixa
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 10 ай бұрын
Wauliwe hao wabaya sana wakikukuta ndani wallah wanauwa watu majambazi sio watu bora ukutane nasimba kuliko hao
@user-wk8hc2kv2j
@user-wk8hc2kv2j 6 ай бұрын
Rwanda inawazidi usalama usafi n'a wema pia
@lifemateus5283
@lifemateus5283 2 жыл бұрын
Lamentável isso
@simonkasato7617
@simonkasato7617 4 жыл бұрын
Hongereni
@dicksonchihumbhu1475
@dicksonchihumbhu1475 4 жыл бұрын
Ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upanga wauwen hao
@aftapat5365
@aftapat5365 4 жыл бұрын
Mzee wetu umeongea kiswahili kizuri 🤣🤣😳🙏🇧🇮🇧🇮♥️♥️♥️
@user-xe7kp9dr4i
@user-xe7kp9dr4i Ай бұрын
Amejitaidi😂😂
@user-ty8ci5oi9m
@user-ty8ci5oi9m 5 ай бұрын
Hao wameibia watu wengi mpakani so mimi niliona kuna kingine hao Madeleva wanatoka Tanzania hawana vitamburisho vya babarabalani mpaka wanauza wasafili kwa ma polici watanzania kwakua hawana kalatasi zagutosha wakati wagutoa Rushwa wenyewe kesi inasingizia wasafili. Mimi niliyibiwa mpaka wakanipitisha njia mbaya kuvukaa mpakaa
@user-tm4km1kw5h
@user-tm4km1kw5h 6 ай бұрын
Good work
@EgidiMuando-mq3sn
@EgidiMuando-mq3sn 4 ай бұрын
Mungu awabaliki
@user-nv5bb6zf3d
@user-nv5bb6zf3d 10 ай бұрын
Doh wizi umekithir sasa?msiwauwe isipokuwa kila jambazi moja apewe grass 3 za uice ya cement alfu waachilieni.hii itapunguza wizi.
@OsseasJulius-wm5sc
@OsseasJulius-wm5sc Жыл бұрын
Hao sio wa kuwaacha wapate hukumu inayowasitahili kisheria najua jeshi ra porisi navyombo vyote vya urinzi na usarama viko macho pande zote Tanzania na burundi shikamaneni kutokomeza uhalifu huu amani ienderee kuonekana hongereni Sana mungu awasimamie ktk majukumu yenu
@barakasaiboku9986
@barakasaiboku9986 3 жыл бұрын
Safi sana makanda
@cyondocomedicyondocomedi6290
@cyondocomedicyondocomedi6290 3 жыл бұрын
Kwizera Jean.Bosco
@TokyobuckettsLive
@TokyobuckettsLive 28 күн бұрын
Tz pia iko na Otieno all the way from kenya
@Shemahonge-ku7xx
@Shemahonge-ku7xx 14 күн бұрын
Wapo wajaruo tanzania
@danielkoisulye3874
@danielkoisulye3874 2 жыл бұрын
Hongeren xan
@LexuxLezan
@LexuxLezan Жыл бұрын
Beautiful songs
@AlexErnest-yx6ir
@AlexErnest-yx6ir Жыл бұрын
Aw
@BizimanaDismas
@BizimanaDismas 9 ай бұрын
​@@AlexErnest-yx6ir mj ljj'jj le} immopm/0 hhh(lkg mm) gj/hu ok je'kj ba hh hhh😊jk😊 je kb je ng hh+hh ilu- gjb n'n€n'n& l ne 0:13 +h
@symonwanjohi3294
@symonwanjohi3294 Жыл бұрын
Hapa Kenya majambazi kama hawa huwa polisi wanawapiga risasi na hiyo file inafungwa tunaenda kazi ya kusaka wengine.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 жыл бұрын
Safi makamanda wote wawili, ila Burundi wana Kiswahili kizuri saana, angekuwa kamanda wa kule angeongea Kimarekani huku yeye Ni Mkisii😎😎😎
@clivernapeyok8988
@clivernapeyok8988 3 жыл бұрын
😂😂
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
Kiswahili Tanzania sasa Burundi kiswahili kawaida sana
@user-rp9wc4qn1f
@user-rp9wc4qn1f 10 ай бұрын
Duu hongereni kwakazi munanao Fanya
@TEMBOWANIMSANII
@TEMBOWANIMSANII 5 ай бұрын
jamani Tanzania tufanyeni tuwe na amani kupendana
@HadijaMohamed-x5h
@HadijaMohamed-x5h 15 күн бұрын
Shukuran Sana kwaushilikiano wen
@victajuliusimshong9469
@victajuliusimshong9469 2 жыл бұрын
Mm kama mm ao watu waajibishwe iwe fundisho kwawatu wote tanzania pamoja na Burundi
@piusnkwale
@piusnkwale 4 жыл бұрын
Hongereni sana
@brighton_pbeat5851
@brighton_pbeat5851 4 жыл бұрын
Asante Tanzania
@user-wo4rc5gb3w
@user-wo4rc5gb3w 2 ай бұрын
Chungeni usalama wa nchi yenu nyie warundi msituingize sisi wanyarwanda kwenye ujambazi wenu hatutaki hilo
@brighton_pbeat5851
@brighton_pbeat5851 4 жыл бұрын
Good job
@bahatibernard3576
@bahatibernard3576 4 жыл бұрын
Brighton_p beat hata sura zinaonekana mbaya zamauwaji
@zebadayoekesa7163
@zebadayoekesa7163 3 жыл бұрын
Zebedyo
@allysospiter5073
@allysospiter5073 4 жыл бұрын
Nendeni na kure buhigwe wana sumbua sana
@nestorychunguye6213
@nestorychunguye6213 4 жыл бұрын
Mgox
@sudaissaid8428
@sudaissaid8428 2 жыл бұрын
Majambazi sugu mnawajua lkn?mnakamta wizi wa kuku eti jambazi sugu
@zakiaally5319
@zakiaally5319 3 жыл бұрын
Hongera
@kadabradotto2604
@kadabradotto2604 2 жыл бұрын
Pia
@AthumaniMilanzi
@AthumaniMilanzi 8 ай бұрын
Mbona kama saido yupo katika hao watuhumiwa
@cyondocomedicyondocomedi6290
@cyondocomedicyondocomedi6290 3 жыл бұрын
Kwizera Jean Bosco
@MariaLyson-y7d
@MariaLyson-y7d 25 күн бұрын
Mungu awaponye
@christiannsengiyumva6253
@christiannsengiyumva6253 4 жыл бұрын
Ewe akabi gatwengwa nk Akeza, hari ibisuma n abicanyi baruta abapolici bo mu burundi, amabi bamaze gukorera abarundi mu myaka cumi iheze ntayo twaribwabone kuva uburundi bubaho.
@motomoya8463
@motomoya8463 4 жыл бұрын
Acha domo wewe, rudi nyumbani ukaanze maisha.
@christiannsengiyumva6253
@christiannsengiyumva6253 4 жыл бұрын
@@motomoya8463 mbe wewe uvuye mu mwobo wahe? Nta kirundi uzi?uri umutanzaniya ko mbona benshi bigira abarundi?
@christiannsengiyumva6253
@christiannsengiyumva6253 4 жыл бұрын
@@motomoya8463 taha iwanyu muri tanzaniya wa mujinga w umuswahiri.
@motomoya8463
@motomoya8463 4 жыл бұрын
@@christiannsengiyumva6253 Uburundi buriko burater'imbere mutama. Tahuka gusa ugifitse umwanya.
@christiannsengiyumva6253
@christiannsengiyumva6253 4 жыл бұрын
@@motomoya8463 ntaha hehe kandi ndi ngaha buja?iryo tera mbere uvuga n ubukene abantu tubayemwo hamwe na cholera iriko irabica bigacika,amayarara yuzuye ama quartiers yo mu gisagara ,amahera y amarundi yacitse nka papier de toilette nivyo wita iterambere ?rya iyo misigazwa y aba dd utekereze ntawukeneye impanuro zawe kuko nawe ntuzi n ivyo uvuga.
@HajiraRamadhani-jc4of
@HajiraRamadhani-jc4of 8 ай бұрын
Matokeo ya mtihani darasa la Saba
@obisikeclintonisraelamaoyo9696
@obisikeclintonisraelamaoyo9696 4 жыл бұрын
Mbaka is Right
@failunaimba9774
@failunaimba9774 4 жыл бұрын
Anaongea vizuri nimependa
@zachaamaster2975
@zachaamaster2975 3 жыл бұрын
#nakubari jexhi jexhi
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 4 жыл бұрын
Amen Amen. Barikiwa nyote. Amen.
@kwatribitrus2334
@kwatribitrus2334 4 жыл бұрын
Amani na Upendo. Botrus
@user-wo4rc5gb3w
@user-wo4rc5gb3w 2 ай бұрын
Yaani nyie warundi sijui mtaritambua hili lini? Rwanda ni nchi ambayo inapenda amani sijui itakua na faida gani eti watu waue Burundi halafu wakimbilir Rwanda eti wapokelewe acheni uwongo wenu nyie
@nduwayoClaude-t7e
@nduwayoClaude-t7e Ай бұрын
Fanya kazi
@vincentalad-vw8gw
@vincentalad-vw8gw Жыл бұрын
Very unic
@SangwaTv250
@SangwaTv250 3 жыл бұрын
Mkuu wa police burundi amedanganyia Rwanda kwani Rwanda haina haha na pesa za kupatiya wajambazi wa Burundi ile ni udanganyifu mtupu
@metrixonamri9673
@metrixonamri9673 2 жыл бұрын
Sema nyie sio wazr sanaaaa
@abelsuleimanshiliwa2150
@abelsuleimanshiliwa2150 4 жыл бұрын
Hivyo ndivyo inavyotakiwa, siyo kuwaua, mnawakamata na kuwafikisha mbele ya Vyombo vya SHERIA.
@luciaalfred6213
@luciaalfred6213 4 жыл бұрын
Wewe moja wapo nini? Au wenzako Bora wauawe2
@damianlugendo9161
@damianlugendo9161 4 жыл бұрын
Na wewe ni jambaz ndo maana unawatetea
@lucynickson2537
@lucynickson2537 2 жыл бұрын
Hizo bunduki ziliibiwa lini leo mnazikamata ..hatuwaelewi
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 4 жыл бұрын
Safiiiii
@neemajuman5213
@neemajuman5213 4 жыл бұрын
ARPC wa meru hongera Sana kamanda,,
@manirambonanorbert2689
@manirambonanorbert2689 4 жыл бұрын
Swali ninayo Wale watu munakamata kweny Camp yawakimbizi nimajambazi??? Police mufanyekaz Alakini Pia musije mukavuluge wusalama waba kimbizi plz Tanzania na Burundi so vizulu kuvulug wakimbizi! !!
@muzogasbreak7367
@muzogasbreak7367 4 жыл бұрын
Anyone to explain for me in English what is happening please
@issahhamadu6068
@issahhamadu6068 4 жыл бұрын
Muzo Gasbreak ur
@kinyoboy8439
@kinyoboy8439 4 жыл бұрын
MejaLavaLaLva
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 4 жыл бұрын
Robbers who doing robbering in both Tanzania and burundi,they do criminal in one country and escape to another country,they are finally arested by police.
@donnuele7693
@donnuele7693 4 жыл бұрын
Ezekia Mbise sentenced to which penalty?
Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
8:19
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 23 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 10 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 121 МЛН
Heritage of the Golden Age: Metal detectors discover priceless objects!
8:05
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 23 МЛН