Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤
@peterchesam57375 жыл бұрын
Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz
@BurhaniLiyau6 жыл бұрын
MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU
@josephmpunta26626 жыл бұрын
Watapata tabu sana
@stephenemganga36046 жыл бұрын
Mwngne anardsha tumbo
@sauliali48776 жыл бұрын
Ajali dar
@lucyshula56695 жыл бұрын
Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...
@trilionea_online_TV6 жыл бұрын
Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP
@paulmadundo80846 жыл бұрын
Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M. Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
@maikomgwao49066 жыл бұрын
Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa
@limokisuda41456 жыл бұрын
dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii
@mosesjnr84366 жыл бұрын
Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏
@jensennashon61476 жыл бұрын
Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.
@ShangweMfilinge5 ай бұрын
Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa
@leticiaclemenceАй бұрын
Nalipongeza jeshi la polis Kwa kazi nzuri ya kuwakamta hao waaalifu, opreshen hiyo ifanyike nchi nyima
@mindirajabu90393 жыл бұрын
Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏
@mohammedabdallah63906 жыл бұрын
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
@mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын
mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka
@mohammedabdallah63906 жыл бұрын
Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli
@p.kasongot9796 жыл бұрын
mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma
@mwalukoerick28016 жыл бұрын
mohammed abdallah
@gregorychogelo20136 жыл бұрын
mohammed abdallah 😂😂😂😂
@mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын
Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.
@romanarberti81506 жыл бұрын
mtanzania mzalendo
@lonickmpumilwa3 жыл бұрын
Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi
@kassimandrea85406 жыл бұрын
Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu
@darweshathumans83026 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr
@thepowerofsilentsoul21353 жыл бұрын
Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,
@TedyDaudy-c8t2 ай бұрын
Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏
@thomassylivester67515 жыл бұрын
uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono
@selemankilawa15896 жыл бұрын
safi kamanda Mtoto hapa kazi tu
@Loftyattorneys6 жыл бұрын
Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana
@jilindamalgwe18115 жыл бұрын
Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi
@rajabumazua19356 жыл бұрын
kamanda upon making hongera sana
@JOSEPHASSENGA-jk2iu5 ай бұрын
Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"
@sembosayenda71826 жыл бұрын
Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana
@yahyamajidyahyahilalal-har87626 жыл бұрын
Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.
@anatorydesdery45936 жыл бұрын
Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote
@swithinshayo85864 жыл бұрын
Hongera sana afande wa Dodoma.
@yohanajamestz99504 жыл бұрын
Muroto baba uko vizuri
@cassianandrewnyonyo28946 жыл бұрын
Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee
@saddykayage65196 жыл бұрын
Nampenda sana kamanda huyu
@KlemenceShirima-r6i2 ай бұрын
Kamanda upo vizuri
@amandusmark30606 жыл бұрын
Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,
@wechemakambo21826 жыл бұрын
Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆
@msafisoon35826 жыл бұрын
Aman Mark .
@angelamartinchiteji24616 жыл бұрын
Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..
@MaaniBoniphas4 ай бұрын
daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao
@gileskandege49506 жыл бұрын
Chapa kazi wajina
@bakariathumani90116 жыл бұрын
Kazi nzuri
@ommyd71963 жыл бұрын
Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz
@manjaruujr65046 жыл бұрын
Dodoma safiiiiiiiiii
@radhiambwana17926 жыл бұрын
man jaruu jr safi kabsaaaa
@dttrnts3926 жыл бұрын
Achakurudisha tumbo.
@sadikidaudi12236 жыл бұрын
Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi
@msafirmasiku97216 жыл бұрын
Hongera sana kamanda
@pacxym38746 жыл бұрын
woooyooh!!!!!! Dodoma safi!!
@maheligati29364 жыл бұрын
.safiiii kamada
@simpeponestory76376 жыл бұрын
Amani kwako bro Yusuph
@divineidentity94456 жыл бұрын
Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂
@kharidilukanda8956 жыл бұрын
Dodoma noma aipimiki
@lambooluseba88756 жыл бұрын
Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!
@lillianwanjiru33976 жыл бұрын
uko sawa baba
@limokisuda41456 жыл бұрын
toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa
@MartinNdaloАй бұрын
Kamanda hongera
@thomasnyarusanda26086 жыл бұрын
Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.
@danielmahega58733 жыл бұрын
Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama
@pascalyfredynandy72205 жыл бұрын
duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo
@gesusgegangphray76895 жыл бұрын
Hiyo ndio kazi.TV yangu inch 42 lg imeibiw
@dogowamwaza8519 Жыл бұрын
Chapa kazi baba murotu
@winniemwasenga6 жыл бұрын
we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya
@aishachambo32936 жыл бұрын
Mzee upo vizuri
@sasherbaiby72776 жыл бұрын
kazi nzur afande
@emmanueljuvieh43166 жыл бұрын
nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅
@desultansaid36476 жыл бұрын
Uko vzr mkuuu big up
@williamlema96826 жыл бұрын
Safi sana kamanda mroto.
@HALIHAMISI4 ай бұрын
Kamanda nakukubali sana kaz nzur
@Blackie_blackie93275 жыл бұрын
Haha uyo aliekaba adi mama yake ndio katisha....
@omaryzuberi28976 жыл бұрын
Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma
@jamalsalimalmahry68785 жыл бұрын
Safi sana kamanda
@felixmuzambele90316 жыл бұрын
Muroto ww Mungu akulinde.
@alextercisio2 жыл бұрын
Funny 🤣🤣 haha huyu aje Kenya 🇰🇪🇰🇪
@clarencechigoda81915 жыл бұрын
safi sana kamanda
@hajihansy95985 жыл бұрын
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
@philip7886 жыл бұрын
Nimekupenda afande,!
@joelsamson87526 жыл бұрын
Safi sana kamanda unasafisha jiji
@basumegembotwa34376 жыл бұрын
Kamanda safi sana
@ziadaalute68366 жыл бұрын
good,gari iliyomuumiza Lisu?
@isaacbusungu96706 жыл бұрын
kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana
@yohanambonankila9326 жыл бұрын
Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao
@fadhilichawemba60716 жыл бұрын
kazi njema kamanda
@geofreywadeya99726 жыл бұрын
Safi sana kamanda Muroto
@ibbu-tz6 жыл бұрын
Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏
@bibukaelias99006 жыл бұрын
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
@ezekieljacob57953 жыл бұрын
Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .
@warsamemahamud16263 жыл бұрын
This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community
@lucky92856 жыл бұрын
Kamandaaaaa👏👏👏👏👏
@azizamwimbe94176 жыл бұрын
Kamanda tunakuitaji Dar💪💪
@michaelgissi30086 жыл бұрын
nakukubali sana kamand
@emmanuelimushi74136 жыл бұрын
daaaa aisee kat ya siku nilizocheka n leo nusu nianguke
@shukurusaidi55596 жыл бұрын
hongers
@amosimwalongowaukweliamosi39616 жыл бұрын
Piga kazi kamanda
@asiaokeay16546 жыл бұрын
kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu
@fabianmoses31055 жыл бұрын
Pouw Michael msombe presenter kumbuka mbali Sana miaka hyo kilimo primary school kizaz Sana mzee
@saumuhassan63656 жыл бұрын
Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.
@christinamatrida62196 жыл бұрын
Alijua atasamehewa alivyo ulizwa utabadilika duuuuh kumbe Afande hayuko hivyo
@Neighborsjiran6 жыл бұрын
Christina Matrida .
@awadhirajabu39716 жыл бұрын
Nimependa ufanyavo kijana zurura upendavo ukiiba Dodoma utoki sio kukamata ovo eti uzululaji kwanza ushaidi tunauona live wewe askari ngangali na vijana wako
@paulinaprosper11545 жыл бұрын
Kama ni ww angexemaje ukwel duh
@zegelibilishanga47614 жыл бұрын
Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà
@jackrinaman75216 жыл бұрын
Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha
@shehemzee80444 жыл бұрын
Hhhhhh asante
@emelinmshana62656 жыл бұрын
Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.
@cleopatraefatha38596 жыл бұрын
Nakukubali sana we kamanda umetupa msemo wenye maana na pia unaufanyia kazi