Рет қаралды 41,503
Ulimwengu umegawanyika katika sehemu kubwa mbili, ambazo ni ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Ulimwengu wa roho ambao ni ulimwengu usioonekana kwa macho ndio asili hasa ya mambo mbali mbali yanayotokea katika ulimwengu unaoonekana kwa mwili. Iko mipango ya kishetani anayopangiwa mtu katika ulimwengu wa roho na mipango hii ndio ninayoiita MASHIMO YA KICHAWI.