haya ni maahindano ya kula yaliyopewa jina la tonge nyama. leo ameweza kupatikana mshindi mpya baada ya kumvua ubingwa mshindi aliyefululiza katika awamu mbili zilizopita rasmi taji linashikiliwa na Bw. Saidi toka msamvu
Пікірлер: 6
@mozeekamana2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@emmanuelchejo71542 жыл бұрын
Waje na iringa mr tonge nyama tuwasiliane tafadhari kaka
@rancitv2 жыл бұрын
Tumekusikia
@aminakidevu21662 жыл бұрын
Balaaaa zito morogoro ya vipaji
@mbarakasaidi82432 жыл бұрын
apo unaingia kwenye shindano Unakula vizur inashiba unakunywa maji unaondoka siyo mpaka umalize😁