KUTOKA OMAN: JE, NI KWELI WATANZANIA WANAOFARIKI OMAN HAWAZIKWI KWA HESHIMA? ZIYUNI AFUNGUKA...

  Рет қаралды 41,395

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 640
@globaltv_online
@globaltv_online 3 ай бұрын
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@PriscaJames-wt3yk
@PriscaJames-wt3yk 3 ай бұрын
Upo sahihi
@SophiaMohamedi-y7z
@SophiaMohamedi-y7z 3 ай бұрын
Me naomba namba za huyo mam
@RaheemaOm-d5e
@RaheemaOm-d5e 17 күн бұрын
Nikweri asiye sitahiri kufanya kazi aondoke situharibie ss wengine
@husnashaibu6312
@husnashaibu6312 3 ай бұрын
Alhamndulillah nipo 🇴🇲 na niko happy 😊 utafutaji unachanga moto zake kikubwa Sabra tuh kufanya kazi kwa bidii na malengo.... ❤️ ❤️ ❤️
@umahmed8273
@umahmed8273 3 ай бұрын
Aunty ziyuni uko vizuri una sema kweli kabisaaa
@aseelaisaa428
@aseelaisaa428 3 ай бұрын
Hongera sana ❤habibti Zayuni umesema vizuri sanaaaa hongeraaaa well say
@halimaa9367
@halimaa9367 3 ай бұрын
Dada ziyuni nakupenda sana zaid ya sana majibu Yako mazur dada zari umefanya vizur kuja omani ❤
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv 3 ай бұрын
Mazuri yapo na mabaya yapo kikubwa tuna pambana Alla ndie anae jua changa moto zetu msimakize maneno waja🎉
@hemedkassim
@hemedkassim 3 ай бұрын
Nipo naww❤
@warshatissa7128
@warshatissa7128 14 күн бұрын
Barikiwa sana ukhuty zayun❤❤❤❤
@YasmeenKhalifa-zq1zk
@YasmeenKhalifa-zq1zk 3 ай бұрын
Mashaallah huyu dada nimempenda 🎉🎉❤
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
Hebu huko huko Tanzania kwanza pitieni zungukeni majumbani na muwahoji hao wadada wenu wa kazi wa huko tuone raha ya kazi zao na mishahara yao!!mana hapa oman wanateseka sana changamoto zipo nyingi sana kuliko huko!!
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 10 күн бұрын
Huyu aunt mashaalah mungu ampe umri ni mtu na nusu kwa mazungumzo yake ty mashaaalah
@Lumi063
@Lumi063 3 ай бұрын
Well done umeongea uzuri Sana, kama Oman kubaya wasije hawaja lazimishwa👏🏻👏🏻👏🏻
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤❤❤Very good point,,, Becouse if one have problem Don't tell for all have problem!!! Kweli kabisa ikiwa mtu mmoja kaja Kufanya kazi kutoka Tanzania na anayo problem kwanini awachanganye wote Oman??? Oman is not problem but people from outside of Oman them they have the problems😮
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤❤❤MashaAllah dada Zyun❤❤❤ninamuomba Allah akuzidishie imani na akupe umri mrefu wenye sihha na baraka zake Allah Amiin Amiin yaarab Amiin🤲🏻
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
Kabisa kinawaweka nini!? kwani lazma?
@faisalnasser5895
@faisalnasser5895 3 ай бұрын
Mungu Akulinde kipenzi changuu umeongea pointi nzuri sanaa kiukweli
@HappyBamboo-wm4ep
@HappyBamboo-wm4ep 8 күн бұрын
Asante dada zeyuni allah akubariki❤
@SaidyissaSaidy
@SaidyissaSaidy 3 ай бұрын
Ni kweli Aunt yupo sahihi mtu anaenda kufanya kazi anasahu kama kaja kufanya kazi ata Dar wapo walio sahau kama wamekuja kutafuta maisha
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 3 ай бұрын
@@SaidyissaSaidy nyie wakina madam wa kiswaili ndio mnashida na chuki zenu binafsi hamtaki mfanya Kaz atumie cm mnaroho mbaya sana na chanzo Cha matatizo Oman ni nyie warabu wenyewe turiowakuta hawana shida kabsaa,,,nyie ndio mewafundisha roho mbaya na kuwatia hujinga..Kwan nyie hamna ma group mnatusema uko na kushauriana ujinga unataka mfanya Kaz Aishi kma yupo jera kunguni nyie warabu washwaili?
@sultanalnaamani2156
@sultanalnaamani2156 3 ай бұрын
Shukran dada Ziuni umejibu vizuri pia yote uliyoelezea nikweli na ni usia mzuri kwa wenzetu
@asmaasmi9019
@asmaasmi9019 3 ай бұрын
Bora wafahamishe dadaty Zeyoun wajuwe kama hapa Oman tuna binaadamu❤
@cyizaumusalama8521
@cyizaumusalama8521 3 ай бұрын
Allah najuwa kenyemunawafanyianga mukiwa wazuri Allah Ana jua mukiwa wabaya Allah atawazabisha kwaju mumetesa viumbe mvake
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 3 ай бұрын
Many thanks Auntie kwa maneno mazuri bora Zari kakupata wewe amejuwa ukweli
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Kabisaaaaa ❤❤❤
@ashazuber6548
@ashazuber6548 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤Aunty ziyun alicho ongea ni point kabisa❤
@lalilaally200
@lalilaally200 10 күн бұрын
MashaAllah umezungumza vzr maana Hawa wasichana waongo Sana wengine
@aishaomar9621
@aishaomar9621 16 күн бұрын
mashaaAllah tabaraka Allah kweli una meneno mazuri❤ hata mimi niko n subra napitia mengi iala kikubwa subraa❤❤
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 3 ай бұрын
Yes vimekushinda rudi kwenu very good aunt Ziyun.
@Tashmaorg
@Tashmaorg 3 ай бұрын
Ingekua rudi tu kawaid wengi wangekua washaondok ila rud changamot kwa maboss ila tunashkur wabay so weto. Ila changmot zipo
@jarsjam8894
@jarsjam8894 3 ай бұрын
Aunt zituni umezungumza uzuri sana na ukweli mtupu Allah akujaze kheri
@jokhaadawi3692
@jokhaadawi3692 3 ай бұрын
Anti ziyuni mashaallah umesema ukweli hongera habibty mungu akubarik
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 3 ай бұрын
Mashallah zari huyo na The wave
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤The Wave pazuri saaaana ❤utapenda
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 Ай бұрын
Watu washinyanga wanaroho nzuri mno, alhamdulillah mashallah,minatamani kusaidia watu sina uwezo tu
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 3 ай бұрын
dah dada unasema ukweli mtupu hongeraa ongea ukweli always
@RitbayRitbay
@RitbayRitbay 3 ай бұрын
Dada nimekubali snaaa snaa mashaaallah umeongea vzr.
@fathiyaalrawahi6382
@fathiyaalrawahi6382 3 ай бұрын
Umezungumza vizuri Zeyuni mashaallah. Wapo walokaa miaka hawataki kurudi .washazoea Oman na ukikaa vizuri kwenye family watu wote watakupenda na ukiondoka na zawadi siku za idd wanatunukiwa
@hashilalkharusi4680
@hashilalkharusi4680 3 ай бұрын
Matizo kila sehemu yapo
@Nadir_Abdullah
@Nadir_Abdullah 3 ай бұрын
Lakini na haki tuseme mabosse wenge hapa omani Havana huruma
@kamarhelo
@kamarhelo 3 ай бұрын
​@@Nadir_Abdullahnikweri kabisa
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 3 ай бұрын
​@@Nadir_Abdullahsahihi
@BakaryOmally
@BakaryOmally 3 ай бұрын
​@@Nadir_Abdullah Rudini kwenu
@BakaryOmally
@BakaryOmally 3 ай бұрын
​@@kamarhelonjooeni nyumbani uku
@WahidaAlharthi
@WahidaAlharthi 3 ай бұрын
BRAVO ANTI ZIYUMI MASHAALLAH. NAAM NA. AYO. MANYUMBA. WAMEJENGA UKO TZ PESA WAMETOWA WAPII
@umahmed8273
@umahmed8273 3 ай бұрын
Da Zari kweli haya magroup kweli yanawaharibu dada wa kazi. Nlikuwa na mafanyazi mzuri sana lkn akashawishiwa na magroup. Nlimkataza hakuniskia mwisho aka juju tia sanaa
@muscatOmanmct-i4u
@muscatOmanmct-i4u 3 ай бұрын
Da zar mashallah umependeza na ukirudi Tanzania nakuomba uvae hivo hivo
@drhalimalmaskari
@drhalimalmaskari 3 ай бұрын
Hongera mama Sausan umewashika pazuri madada wetu wa Tanzania. Hadi umenifurahisha sana Allah atakulipa kw kheir zako
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤❤❤Allahumma Amiin Amiin yaarab Amiin ❤❤❤
@FatumaNyamawi-x3i
@FatumaNyamawi-x3i 10 күн бұрын
Mmmh weng mnasifia na watu huku wanateseka..mtangazaji uliza maswali ya maana unauliza swali moja tu
@DalilaSailm
@DalilaSailm 19 күн бұрын
Mimi mdada wangu niko nae 10years MaashaAllah mpaka bint wake nimemleta
@Salsabiil12
@Salsabiil12 17 күн бұрын
Ijaza muhimu
@binthamoudshariff5492
@binthamoudshariff5492 3 ай бұрын
Asante bi dada kwa kuzungumza na watanzania
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Vipi kwa kumzungumza na Watanzania?? Yeye pia anahusu Tanzania na Watanzania ni ndugu zetu❤❤❤jamani jamani msitubague❤❤❤
@MoroGor-t1g
@MoroGor-t1g 17 күн бұрын
Manshallah dada umeongea kibinadam na kiungwan aswa hongera 🎉🎉🎉🎉
@HafsaShekigenda
@HafsaShekigenda 3 ай бұрын
Mashaallah zazuri nimekukubali unatupigania❤❤❤
@BisharaAbdallah-n4i
@BisharaAbdallah-n4i 2 күн бұрын
Masha Allah ahsante aunt
@SaadaAbdallah-o3b
@SaadaAbdallah-o3b 19 күн бұрын
Jamani changamoto zipo lkn subra ni nzuri,Tumekaa vzr Alhamdulilah mpaka nimerudi nimechoka Alhamdulilah naishukuru Oman nimefanya malengo yangu niliyoyataka
@mohamedkhamis3200
@mohamedkhamis3200 10 күн бұрын
Safi sana dada Ziyuni majibu sahihi kabisa,hawa viumbe hawabebeki,
@Shadia544
@Shadia544 3 ай бұрын
Nina miaka 9 hadi mwakani 10 alhamdulillah sijawai kubadili nyumba ata siku moja tuwe makini na marafiki na magroup ndiyo yanahalibu sana ✌️
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 ай бұрын
Uko sahihi ndugu yangu. Pia ongera zako
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 ай бұрын
Nikweli magroup ndoyanawaharibu watu
@ShufaaMvugha
@ShufaaMvugha 3 ай бұрын
Ndo hivyo ila ukijua ulichokifata Wala hautasumbuka na magroup
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 3 ай бұрын
Na hizo ijaza ni zanini, hunandugu hapa unaenda wapi? Udangaji tu.
@MwajeiJafu
@MwajeiJafu 3 ай бұрын
Ukhuty shadia 544 naomba no yako
@zoab2699
@zoab2699 3 ай бұрын
Aunty zeyuni yani umeongea point mama sausan asante sana 👌👌👌
@HappyBamboo-wm4ep
@HappyBamboo-wm4ep 8 күн бұрын
Kweli watanzania wanatoroka waenda mageto
@ZuanaAldugashi
@ZuanaAldugashi 3 ай бұрын
Mimi nimeishi na mfanyakazi miaka 14 na mpaka leo yupo tunawasiliana na nimeleta mwengine yupo mwaka na mimi ma sha allh wote wazuri sna alhamdulh zeyuni kweli maneno yako
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 17 күн бұрын
Tucontacti
@piliramadan875
@piliramadan875 3 ай бұрын
Uko vizuri dada zayuni
@alameratalloy8422
@alameratalloy8422 3 ай бұрын
Asante Ziyun kwa kumfahamisha dada Zari hali halisi ilivyo kuhusu wafanya kazi wa kutoka Tanzania. Nimefurahi kwamba amekufahamu.
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 3 ай бұрын
Kwel hta mm nimefurahi sana kuna badhi ya wafanyakazi wanatuharibia wengine wenye uhitaji wa kazi
@w4058
@w4058 3 ай бұрын
​@@meryamabdullah2081Allah akuzidishie moyo huo
@1vy1231vys
@1vy1231vys 3 ай бұрын
Safi kabisa ziyuni kuwapa ukweli
@sofiaoman5901
@sofiaoman5901 3 ай бұрын
Asanteni saana kwa ushauri wenu mzuri 🙏🙏
@umarwa6915
@umarwa6915 3 ай бұрын
Upo sahihi Ant
@Salamajamshi
@Salamajamshi 3 ай бұрын
nimempenda sana uyu dada nataman ata namba yake awe ananipa nasaha❤❤❤❤
@sharifaal-masroori2238
@sharifaal-masroori2238 3 ай бұрын
Vizuri umekuja Oman mwenyewe ukasikia khabari za wafanya kazi kutoka kwenu Tnz Wengi wao wamezidi kwa uwongo , hatujasikia mambo haya kwa wahindi au waphilipine , walokuwa hawawezi kazi wanatoa khabari office zao na wanabadilishiwa kazi au wanakwenda zao Hakuna matusi wala UWONGO kwa wafanya kazi hawa
@AsilahHamad-e4f
@AsilahHamad-e4f 3 ай бұрын
Mashaallah nimempenda sana huyu mama❤
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Ninamuomba Allah amzaidishie Afya njema na umri mrefu Amiin yaarab Amiin❤
@aysherkabby5937
@aysherkabby5937 3 ай бұрын
Huyu dada kaongea ukweli kabisa…. Kama huwezi kazi au hutaki rudi nyumbani kuliko kuanza matusi mtandaoni na kuwaharibia wenzio. Well said!
@fatmebakar1315
@fatmebakar1315 3 ай бұрын
mmmh huyu dada anawasema tu wadada wa kazi hao mabosi hawana makosa
@salmakaunga5171
@salmakaunga5171 3 ай бұрын
Kwanza wote wanaoojiwa awausiki wawaoji wafanyakz Oman inachangamoto sana tu sema watu wanavumilia
@azizaazizaa2186
@azizaazizaa2186 3 ай бұрын
​@@salmakaunga5171kabisaa
@hashilalkharusi4680
@hashilalkharusi4680 3 ай бұрын
Hakika aliyekuwa kashindwa kazi bora arudi kwao tu nahapa jirani Muomani jana kaleta mfanyakazi Mtabzania
@OfficialA83640
@OfficialA83640 3 ай бұрын
Kwahy hujamshauri kitu😂
@Kutaila99
@Kutaila99 3 ай бұрын
Mshaur apewe 150😊
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
150 sio kitu lakini kwanza akae na ajionyeshee Uzuri wa kazi zake,, si dada Zyun ameshasema ukikaa vizuri na ukawa na tabia njema basi kila mwaka unaongea na madam wako anakuongezea.. Wako wengine wamefikia hadi 170 na zaidi😂😂😂❤
@Mariam-c6b3o
@Mariam-c6b3o 3 ай бұрын
Wallah ant zuyuni nimekupenda sana tena sana sana
@HawaYahya-h8t
@HawaYahya-h8t 3 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله Allah akubariki dada ziyuni
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤❤❤MashaAllah dada maneno yako ni kweli kabisa ninakupenda❤❤❤maneno yako mazuri dada Zyun❤
@Maryam-v7g5n
@Maryam-v7g5n 3 ай бұрын
Masha allah nimempenda ❤❤❤❤
@MariamAa-zh7yu
@MariamAa-zh7yu 14 күн бұрын
Mashaallah mashaallah ❤❤❤
@abdullahabdul9246
@abdullahabdul9246 3 ай бұрын
Safi sana ziyun unaongea maneno mazuri Sana
@SafiaHaji-y8f
@SafiaHaji-y8f 15 күн бұрын
MaashaAllah ummi sausan kaongea vizur sana sana,mm niliwahi kuja kufanya kazi Oman miaka mi4 nyumba tofauti,nilitaka kurudia nyumba ya mwanzo lkn haikua riski nikapata nyumba nyengin lkn alhamdulillah ckupata shida yyte,changamoto ilikua kwenye mshahara tu,lkn mara ya mwanzo nilipokuja ilikua si lazma yaan kwenda ubalozini ilikua hamna mkataba wwte lkn nashkur kule nilikokwenda kufanya kazi mwanzo hadi Leo nawacliana nao wakija tanzania naonana nao ,yaan nawashkur sana san Allah awalipe ujira mwema
@hamisaally968
@hamisaally968 3 ай бұрын
Aunty ziyunii❤
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 ай бұрын
Uyu aunt zayuni kazungumza vizur sana ubarikiwe mamy mimi niko na miaka 6 nimebadilisha nyumba moja tu asaiv niko salama Alhamdulillah naisha vizur na sijawah kurud tz
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤MashaAllah dada asante Allah akubariki❤anaesema ukweli ni mpenzi wa Allah❤❤❤
@ahmedalrashdi5747
@ahmedalrashdi5747 3 ай бұрын
Alhamdulillah mimi nnae dada kutoka morogoro ana miaka 5 hataki hata kaondoka tunaishi vizuri kabisa
@alhabsi6430
@alhabsi6430 3 ай бұрын
Mashkura um sausan makasarti umenyoosha mazungumzo mazuri👌 ili wafahamu vizuri❤nakupongeza sana
@nasseraljahwri6310
@nasseraljahwri6310 3 ай бұрын
😂Mnalalamikia nini?? Km mmeshindwa kaz simrudi tu kwenu? Kwan mmelazimishwa?? Acheni kashifa na majungu, kiubinadamu, ukishindwa kaz rudi Tz, wanongo mmezidi umbea na kashifa
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 3 ай бұрын
😂😂😂
@Bahati47
@Bahati47 3 ай бұрын
Kurudi sio tatizo tatizo ni kuwarudisha ndio hawataki yaani ukiingia ndani ya nyumba ya muarabu hutoki mpaka umalize miaka mi2
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
@@Bahati47lipa pesa zao ondoka huo mkataba mana gharama zake je akuwachie bure!??
@safiyaalhajri4205
@safiyaalhajri4205 3 ай бұрын
Manenoyenuyote um sausan Nikweli 👍👍👍mashakil wanajileteya wenyewe
@Mariam-c6b3o
@Mariam-c6b3o 3 ай бұрын
Walah nimekupenda ble dadangu
@nassrasaif9148
@nassrasaif9148 3 ай бұрын
Kweli unateswa rudi kwenu waache wenye malengo kaizi iendelee
@martineomary22
@martineomary22 3 ай бұрын
Dada yangu Allah akulinde
@jme5822
@jme5822 3 ай бұрын
Ant zuyuni kanileta mimi toka.2012.nyumba moja asante ant.
@hudhaifahharrith6635
@hudhaifahharrith6635 3 ай бұрын
Team ziyun tupo vzur Allahamdulillah wallah
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤MashaAllah Love❤ant Zyuni
@NasraAlMarjabi
@NasraAlMarjabi 3 ай бұрын
Kitu kikubwa waache kutukana matusi ya Ajabu Hawana haya
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 3 ай бұрын
We unaesema warud kwao we kwako Oman..si wakuja tu na ndio mereta shida hapa Oman zaman haikuwa iv?
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 3 ай бұрын
​warudi bhana matusi yamezidi
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 3 ай бұрын
kazi zote zina changamoto acheni kutuharibia sis wengine tuliokua hatujapata ajira bado,,,, hata Tanzania pia zipo changamoto ,,
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Asante kweli kabisa maneno yako umesema ❤
@Shanitiba
@Shanitiba 3 ай бұрын
@@issaal-busaidi4479 wote walisema km wewe wanaolalamika kabla awajaenda lakin walivyofika ndio mstar wa mbele kulalamika sasa usiongee sana mabisha maneno siku zote ajira ni nzur usipokuwa nayo lakin ukishaipata siku zote hua haina maana sijui unalifaham hilo
@olivanooraladin5436
@olivanooraladin5436 3 ай бұрын
We dadake nimekupenda yaani unanyoosha maelezo vizuri
@bisharahassan1113
@bisharahassan1113 3 ай бұрын
Alhamdulilah umeongea vzr sana
@HusnaMwaluko
@HusnaMwaluko 3 ай бұрын
Mashallah dada ameongea vizr Yan Oman na miezi tatu lakn umenifanya nifikie pakubwa sana katika kupambana❤
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 ай бұрын
Wadada wakija hapa wskipata marafiki basi sumu inawaingia
@laylayl5166
@laylayl5166 3 ай бұрын
Tamaa piya siyo nzuri
@ahmedaljabri1206
@ahmedaljabri1206 3 ай бұрын
Nashukulu mwenyezimngu Alihamdulilahi mm niko Omani sijawai kuabadilisha nyumba atamalamoja nyumba niileile mbakasasa nina miaka 9 adi Eflumbili 2026 talehe 6 mwezi wapili inakuwa 10 kamili nashukulu mwenyezimngu Alihamdulilahi ❤❤❤❤❤❤❤❤Upendo ❤❤❤Upendo ❤❤❤Upendo Omani
@ReykijaziReykijazi-t4o
@ReykijaziReykijazi-t4o 29 күн бұрын
Hongera
@ReykijaziReykijazi-t4o
@ReykijaziReykijazi-t4o 29 күн бұрын
Ntaftie
@ahmedaljabri1206
@ahmedaljabri1206 27 күн бұрын
@ReykijaziReykijazi-t4o Asante mpendwa tukopamoja
@SaadaAbdallah-o3b
@SaadaAbdallah-o3b 19 күн бұрын
Shukran dada Z umeongea point
@Moto1234-jl5ti
@Moto1234-jl5ti 15 күн бұрын
Dada zari musarime huyo mama musukuma mwezangu ❤ mwenyenzi mungu 🙏 nimwema kirawAkati ubarikiwe sana mama yangu pia nadada zari😂 nimefurahi sana
@FaithiRinje
@FaithiRinje 14 күн бұрын
Maashaalh dada mtagazaji Kwa kujitoley kufika huko utube ujumbe❤❤❤
@hawaali8371
@hawaali8371 3 ай бұрын
Mimi Ni Mtanzania. Nimefanya Kazi Miyaka 11. Saudia Na Qatar, Sijawahi Kuteseka, Mpaka Sahivi Niko Qatar. Nabado Sina Mpango Wakuacha Kazi
@stellakaguo8728
@stellakaguo8728 3 ай бұрын
Mshukuru Mungu umepata watu wanaishi vizuri na wewe.
@hawaali8371
@hawaali8371 3 ай бұрын
@@stellakaguo8728 yah. Namshukuru MUNGU Sana🙏
@tauhidajumahamad1218
@tauhidajumahamad1218 3 ай бұрын
@@stellakaguo8728si uongo
@HusseinHaji-f5k
@HusseinHaji-f5k 3 ай бұрын
Qatar mshahara kuanzia bei gan mumy? Nataka kuja niko kwny proces
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 3 ай бұрын
Ata mm nilianza Oman , Dubai sai nipo Qatar nashkuru mungu nipo sawa km nipo nyumbani
@RoseAmilet
@RoseAmilet 3 ай бұрын
Mtangazaji jitaid kutafuta wafanyakazi wandani utapata ukweli
@nasramichael9911
@nasramichael9911 3 ай бұрын
Wew ndiyo umesema
@tauhidajumahamad1218
@tauhidajumahamad1218 3 ай бұрын
Sana
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
Wafanyakazi wamtafute mana wawe wazi sio unafiki chinichn
@azizaazizaa2186
@azizaazizaa2186 3 ай бұрын
Ndio wafanyakazi ndio waongee
@irenemichael
@irenemichael 3 ай бұрын
Kila mtu anahadithia aliyokutana nayo kama bos mkorofi utahadithia Ivo kama mzuri utahadithia Ivo watu hawafanani na wanalalamika kaz ngumu maranyingi hawajafanya kaz zawahindi ila ukipitia Kwa muhindi Oman utaona kazi nyepesi
@OmaGd-m3n
@OmaGd-m3n 14 күн бұрын
Nimepeda ukarimu wako mungu akubariki
@DARK-mo5vi
@DARK-mo5vi 3 ай бұрын
Aunty umeongea sawa kabisa
@NechLove
@NechLove 14 күн бұрын
Kwenye hiii dunia changamoto ni kila sehemu kikubwa Mungu akikaa na sis hakuna zoruba wala mawimbi itatupata
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 ай бұрын
Leo Zari umefanya kazi husika na maswali mazuri sana, Hongeraa sana sio kuhoji matajiri wenye makampuni yao.
@fridafrida2142
@fridafrida2142 14 күн бұрын
Mmi nasema ukweli uku omani nyumba unatishe tu
@fridafrida2142
@fridafrida2142 14 күн бұрын
Unadanya kazi kwenye gorofa 3 unatumika. Unampigia aren't kuomba msaada apokei cm unaomba urudishwe nyumbani bado. Nitabu unafanyaje mpaka ufe
@fridafrida2142
@fridafrida2142 14 күн бұрын
Wengine atupewi cnakura unakuwa kama kichaa hiyo ukisema.kurudi nyumbani kijasho kitakutoka
@fridafrida2142
@fridafrida2142 14 күн бұрын
Wwe miika 15 ukiwa na utimamu bad Irish uraia usiende tz
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 3 ай бұрын
Nimekuelewa madam
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 3 ай бұрын
Ninamiaka kumi sasa iv nyumba moja nipo mpk sasa alhmdulillah Mungu ni mwema
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Asanteeeeeee ❤aambiwe ili wajue😊
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
Waambie ili wajue
@salama1113
@salama1113 3 ай бұрын
Mm ninamiaka 8 sijarudi adi leo nanipo nyumba 1 nabado nipo sana nashukuru mungu wajili wangu alihamdulillah
@SwahiliMafu
@SwahiliMafu 3 ай бұрын
Uje tukusugue kidogo
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤Asante dada jitahidi kuwa na bidii hiyo hiyo na Ujue wapi umetoka na Ujue malengo yako,, ❤
@نجاةالعبري
@نجاةالعبري 3 ай бұрын
Mnh ume kua aunt filipino au home is the best ww
@GgjTfg
@GgjTfg 19 күн бұрын
Mshukulu mungu
@hailinhelen4675
@hailinhelen4675 3 ай бұрын
yaani ziyun mungu akuweke sana hawa watu wanatuonea saana bora leo umesema kweli na hujampendelea mtu huwezi kazi rudi kwenu 😅
@halimamsafiri288
@halimamsafiri288 25 күн бұрын
Alhamdulillah nipo Dubai am happy miaka 6 nyumba moja
@خليفهالرحبي-ف4م
@خليفهالرحبي-ف4م 3 ай бұрын
❤❤❤ماشاءالله تبارك الله اختي❤❤❤
@Abbasbakarsth
@Abbasbakarsth 3 ай бұрын
Mash Allah dada
@Faraja-k1e
@Faraja-k1e 25 күн бұрын
Yes
@zeyounhabibty8587
@zeyounhabibty8587 12 күн бұрын
That’s fact dear kubalance story maboss wanamatatizo yao❤ na wafanyakazi wanamashaka yao
@AminaJuma-r4y
@AminaJuma-r4y 3 ай бұрын
Na watu wa kigoma niwavumilivu watu tuna miaka 10 sasa bila kurudi 🇹🇿na wengi tunatoka kigoma
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 ай бұрын
Njoo tuanzishe familia, mi mwenyew wa kgoma
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd 3 ай бұрын
Mashaallah ❤❤
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 32 М.