Dada your on the point good speech i understand you dear awo hawayelewi bring these social media into justice siyo kwakuhonga pesa
@KamndeErick3 ай бұрын
Majirani zetu wakenya tumieni haki yenu kikatiba viongozi wetu wa Afrika wakiingia madarakani hawawatambuii walio wapigia kura ufisadi ndio kipaombele chao,MUNGU,awakumbushe viapo walivyoapa wakati wanaingia kazini kututawala
@ajayphili81213 ай бұрын
Kenya ni janga ukiwa nje ya Kenya utaona kama ni vyema kuandamana kwao lakin kuna hasara kubwa kuna kundiku kibwa la wafanyabiashara wadogo hasa na wakubwa kushuka kiuchumi na kufilisika kabisa lakin pia aman ya nchi ni ndogo watu wanaweza kukuvamia na kukupola na huwezi kushtaki kwa kipindi hiki cha uarifu tuendelee kuwaombea
@shabanisango63773 ай бұрын
Raisi wa msumbiji anashukuru jumuia ya SADC eti imeleta usalama mchini msumbiji kwani vita imeisha cabo delgado kwa maana hadi sasa cabo delgado kuna vita acheni kuchaganya wana inchi
@jonahchepkwony19223 ай бұрын
Hawa waboraji wanataka kuzua vurugu ndio walaumu serikali uchumi Kenya umeimarika na madeni kupungua serikali ya Rais Ruto bado ni janga miaka miwili ushukani na imefanya mengi
@NelsonMuindee3 ай бұрын
Mbona tangu maandamano yaanze sijaona kikundi chochote kikitetea watu wanoibiwa mali zao?
@lilianpuka2183 ай бұрын
Kuandamana ni haki ya raiya kupaza sauti zao ili kupata haki 🙋🙋🙋🎉👍
@SalumMattar3 ай бұрын
Hapa ndipo pakubwa sana Waafrika tutatuwe matatizo yetu wenyewe
@johnsabinus85823 ай бұрын
Polisi walio enda haity waludi kenya 😂😂😂😂😂😂😂😂
@bigmandubesamuelndetsa2683 ай бұрын
Musiwe mkasahau habari za inchi ya Congo 🇨🇩 Drc
@shamsham10183 ай бұрын
Israeli vita gasa
@augustinembola15023 ай бұрын
Asante bbc
@medardkalinjuma55033 ай бұрын
Nyie ni wajinga mnashindwa kutafuta maisha yenu mnataka serikali iwagawie hela mswada ushaondolewa sasa mwataka nn ,mnaandamana na kuharibu mali za watu hiyo niakili au utopolo , uhuru ukizid ni uwendawazimu.
@ClementJacob-sd8lf3 ай бұрын
Bro your talking no sense when the price of simple food for the poor will come down do you know what government mean you will see what will happen in Kenya acha wapolani tena awo wafanyabishala ndo wizi sana