Pr mungu aendelee kukupigania uzidi kutufundisha zaidi tumjue mungu
@definitelykoechy8726 Жыл бұрын
Mimi ni mkenya tunakupenda Sana pasy May God continue to protect you
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen. Asante sana
@beatriceomino6266 Жыл бұрын
Amen
@carolinechelangat92434 ай бұрын
Mimi ni mkenya,pr mbaga mafundisho yako imetubariki sana
@bernakimario Жыл бұрын
Pastor mbaga mungu akubariki sana na mahubiri yamenitoa mbali sana sitokusahau maisha yangu yote.ubarikiwe sana na familia yako.
@racheljumbe56145 ай бұрын
Kabisa mm niliwahi kumsikiliza mahali Fulani nikiwa kazini nikawa napata shida nilimsikiliza kwa Imani niliondoka pale kwa kuitwa kwenye kazi nyingine Mungu ambariki sana
@MrmobAmoc4 ай бұрын
Pr mbaga unanigusa sana mahubiri yako Mungu akuongezee karama yako hiyo maradufu❤❤
@lilianlima8609 Жыл бұрын
Amen, Amen utukufu kwa Mungu juu, tunakiri ushindi na kupokea neema
@ThieveryMulembetsi25 күн бұрын
Vrai parole de Dieu_ merci pasteur
@rachelwilson5289 Жыл бұрын
Yesu nirehemu nisiestahili, nakuhitaji Yesu Sana moyoni mwangu
@niyongaboanaclet46 Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor kwa masomo mazuri yanayo jenga kiroho,kimwili na nyanja nyinginezo za maisha!!!!
@LENATUSJULIUS-xz1nc2 ай бұрын
Nabarikiwa na mafundisho yako mchungaji Mmbaga, kwasababu unafundisha na kuhubiri pia, pamoja na hayo unafundisha psychology unagusa kila eneo barikiwa sana.
@peterkimani7503 Жыл бұрын
Nimesikiliza somo hili huku nikimwaga machozi.nitaishi na madeni hata lini????naomba kufanikiwa katika jina la Yesu.Amen
@spesiozabisansaba6424 Жыл бұрын
Mungu akutendee sawasawa na mapenzi yake,
@peterkimani7503 Жыл бұрын
@@spesiozabisansaba6424 Amen.Nashukuru
@janethdavid1026 Жыл бұрын
Pastor MUNGU akulinde na kukubariki Amen 🙏🥰
@speciozakaloli2 ай бұрын
Barikiwa saana Mbaga
@maryachuti4997 Жыл бұрын
Nakusikiza from nrbi kenya, barikiwa sana mchungaji.
@upendotv2776 Жыл бұрын
Aminaa nimebarikiwa sana Mungu kubariki mchunganji
@upendobaina21714 ай бұрын
Mch barikiwa,hakika nabarikiwa na mafundisho yako,yananitoa gizani na kuniweka niruni.Bwana apewe sifa.
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu na uzima tele barikiwa sana aminaa🙏🙏🙏🙏
@jenipharobert96949 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor mmbaga nsomba tu nikwambie ukwel ubatumiwa na Mungu mim nimekuwa mrahibu wa masomo yako kila siku lazima niweke bando nisikilize mahubiri yako hata masomo mawili. Ila kila siku lazima nisikilize na mara nikisikiliza nabarikiwa nafunguliwa nsinuliwa kiwango cha juu.Mungu akubariki sana
@neemamgeta2955 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho haya
@PhilbertJoachim4 ай бұрын
Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo
@johnbarasa90525 ай бұрын
Man of God am from Kenya. You teachings are very powerful indeed .
@RachelBariki3 ай бұрын
Mahubirazuri yananitia moyo mungu akubariki pastor
@yohanashingashinga3974 Жыл бұрын
Asante pastor kuanzia leo sitatumia kauli dhaifu ktk lolote nifanyacho
@PhilbertJoachim4 ай бұрын
Ubarikiwe pastor Kwa SoMo Hilo Kuna point ambazo ninzr sana
@everlynemoraa6214 Жыл бұрын
Kazi nzuri mchungaji, ninalo swali kati ya Petero na Yohana ,ni nani YESU alipenda sana????
@bettygesare5948 Жыл бұрын
Yohana
@jaynice-hn7jn2 ай бұрын
Mungu akubariki
@jacksonsungwana23445 ай бұрын
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana,barikiwa sana Mchungaji.
@JohanesMosenda8 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa karama aliyokupa ninatiwa nguvu naujumbe
@Eustina-g9l4 ай бұрын
Amen, ubarikiwe sana pastor
@carolinechelangat92434 ай бұрын
Mafundisho ya nehema kubwa sana
@WemaAlex-be1rb4 ай бұрын
Bwana,asifiwe,naomba msaada nahitaji kuonana na pastor
@sylviesaidi57404 ай бұрын
Pastor Naitaji msahada wa maombi kuusu kazi nipo America 🇺🇸 natamani ufungulifu tu 🙏🏻🙏🏻
@elizabethgurti4157 Жыл бұрын
Amen pastor unazidi kunibariki
@magrethmvwango2682 Жыл бұрын
Ameni kwaimani navunja laana ya magonjwa navunja laana ya kuto kufanikiwa Amen
@elewanenobalisimaneno698 Жыл бұрын
Be blessed pastor
@MaselinaMbapila3 ай бұрын
Umebadlisha mawazo yangu pastor
@anthonymichweya58005 ай бұрын
Wise teachings,God bless you 🙏
@PauloKihaga-oo9jr4 ай бұрын
Na barikiwa Santa na mafundisho Yako.
@busagibelias2005 Жыл бұрын
Thanks pastor, hii imekaa vizuri sana
@lyahnours8872 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako natamani nipate mda wa kuongea na wewe Sina namba yako nisaidie kuipata
@busagibelias2005 Жыл бұрын
Bilashaka wasaidizi wake watakusaidia
@elienew37884 ай бұрын
Asante sana kwa fundisho hili Mchungaji naamini Mungu anaenda kuvunja laana za umaskini kwa Familia Yetu Naendelea kuomba hata sasa asante sana Eee Kristo kwa kuzichukua laana na umaskini wetu ili sisi tu barikiwe na kuwa Marajiri Halleluya moyo wangu unafurahi na kumtukuza Mungu kwa kuzivunja laana za Umaskini ❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💜
@msafirimachibya Жыл бұрын
Pro nabarikiwa sana na masomo yako MUNGU aendelee kukutumia wa ajiri ya neno lake
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@linetokuku53904 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Kenya tunakufutilia sana wingi tumeona Mungu kupitia were Bwana akubariki
@petrosteven-jl9gi Жыл бұрын
Barkiwa pasta
@petrosteven-jl9gi Жыл бұрын
Barkiwa pasta mbaga
@bensonkahindi5451 Жыл бұрын
Nasikiza kutoka nrb barikiwa sana mchungaji
@felistapanga2387 Жыл бұрын
Mungu akubariki
@yohanashingashinga3974 Жыл бұрын
ubarikiwe sana Pastor
@eddahmateba51857 ай бұрын
Ndio tuko hapa nrb tunasikia pastor barikiwa sana
@emilydavid56843 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor
@LucyWensilauswiliam5 ай бұрын
Naweza kupata namba ya mchungaji naitaji
@AlyMusirima2 ай бұрын
Amina
@PendoEmmanuel-pq8yo2 ай бұрын
ukweli haujifich unaonekana 😢
@godsonmollel111 ай бұрын
Amen, blessed
@RadhiaIsmail4 ай бұрын
Kuitia mahubiri haya nimemuona yesu
@EDWARDLAZARO-es7tm10 ай бұрын
Amen pastor
@SaimonRichard-wv5yx2 ай бұрын
Nawezaje kuwasiliana na wewe?
@Amina-ej1kp4 ай бұрын
Kila ninapokusikiliza pst napata nguvu mpya yakusonga mbele
@JuliaLumande-r4p6 ай бұрын
Amina 🤔💖🙏
@SamuelMlipu4 ай бұрын
Bab mbariki paste izidi kupata nguvu ya kuhubir
@katotodrivingschool4603 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@crealmarwa Жыл бұрын
Message you Young people 🛖🎁
@kissanselu8569 Жыл бұрын
Amen
@AjilyJuma-ob8fz11 ай бұрын
🙏🙌
@mariamaswani8324 ай бұрын
Nimebariwa na mhubiri yako ila naomba maombi kwa ajili ya kaka zangu wanamiaka 45,50 hawajaoa mpaka leo