Acha uhuni ndugu yangu kumbe hata kupa bado kiukwer chama hawezi mfikia azzk Wala pacome SEMA Hujui mpira
@JumafMakwega2 ай бұрын
Acha poro za ajabu chama ni mchezaj mzuri lakini usiwashushe daraja wachezaji wengi kila mchezaji ana ubora wake huyo chama ana madhaifu mengi hakabi timu ikiwa haina mpira kwahiyo pacome azzk hata maxnzingeli bado wazuri kiliko chama wanajituma wanashambulia na kukaba chama mvivu kukaba sio mbora kuwazidi hao
@HijiraHussein3 ай бұрын
chamaaaaaaaaa mbna liko wazi mazeee
@SumiziBalungula3 ай бұрын
Pakome aziz hawana mpinzani
@JumafMakwega2 ай бұрын
Huyu jamaa anajipotezea viwers anaongea bila kuweka akiba ya maneno anaweza huyo chama asipafomu vizur kuwashinda hao aliowakuta kwahiyo usiongee sana
@malitozzy35383 ай бұрын
Ww jamaa mshamba sanaa unaongea utumbo wako fala ww
@FiliMsambwa2 ай бұрын
Anaumwa huyojama sisi kama yanga azizi ndokilakitu pale yangandomana analopwa mshahala mkubwa zaidi kuliko chama
@SumiziBalungula3 ай бұрын
Mahaba yamepunguza weledi wako.
@kimarobeatus3 ай бұрын
wee jamaa me nakukataaa
@kimarobeatus3 ай бұрын
Ata kama weee ni yanga bado sija ona point uliyo ongea chama ana goli ngap zakumfikia aziz mwaka huu
@errydeo88653 ай бұрын
Kwani CHAMA alikua kuzungukwa na wakina na pale Simba?