MAUAJI MWANZA: MAMA, WATOTO WAKODI MAJAMBAZI WAMUUWA BABA WA FAMILIA
Пікірлер: 29
@abubakarsalanga2497 Жыл бұрын
"Hakika wake zenu na watoto wenu na mali ni mtihani kwenu "Qurani...
@salomewandya7257 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@josephkulija293 Жыл бұрын
Kama hizi hbr ni za kweli hakika dunia imekwisha, binadamu wamegeuka kuwa hatari zaidi ya wanyama wa porini. Watu wamemsingizia shetani mpaka wamechoka. Hakika Mungu wanastahili adhabu. Mungu tufundishe kuyashinda haya kwani kwa sasa ni rahisi kuishi na Simba ndani ya nyumba kuliko binadamu.
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
duuuh watu wamekuwa na roho mbaya yani mama alikuwa anafurahi mtt wake kuiba mali za watu na za baba ake akaona amuuwe mumewe tena kushirikisha na watt ss uko jera wapelekwe wote wakaishi raha na mustarehe ndo walikuwa wanataka ona hao watt wadogo watakaa nani
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Subuhanallah wakanyongwe tu mm Mimi naitaka tarifa ya mtoto mchanga yupo wapi mbona bb wa mtoto hajampata
@anithawidambe7543 Жыл бұрын
MAMA WALIOWENGI NDY WANAOHARIBU WATOTO WAO. WANAWASAIDIA WANAPOFANYA MAKOSA. BABA ANAWEZA KUWA ANAREKEBISHA TABIA ZA WATOTO NA MAMA ANASIMAMIA. BABA ATAKUWA HANA SAUTI. WAMAMA JAMANI. TUNAHARIBU FAMILIA. HAO WASHEZI SANA WAKAMATWE NA WANYONGWE WAFE KABISA.
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Kabisaa ndiyo unakuta wababa wengi hawana sauti ndani ya nyumba
@adammj6258 Жыл бұрын
Halafu kuna makundi makubwa ya watu kila weekend wanajifanya wanaabudu tena kwa bidii sana lakin inaonekana hata hawajui wanachofanya
@Olaiserriomunyak1059 Жыл бұрын
Kwa mtizamo wangu, huyu mtoto mkubwa (mtuhumiwa) ni wale watoto wa kuletwa. (Sio wa marehem) 😭
@MwanaAlly-ij2ro4 ай бұрын
Subhana llaah kuzaa si kupata
@abedysteven4930 Жыл бұрын
Kwa kweli hii family n mbaya kama Ina uwezo wa kushirikiana na kuua baba Yao hata huyo mama wanaweza kuua! Baba anakataa tabia mbaya mama anaua baba hakika hyo damu itawalaaan na vizaz vyao vyote!! Watakuwa wanauana hvyo hvyo wajinga wapumbavu mungu asiwasamee ikiwezekana wanyongwe had kufa! Mana wakihukumiwa maisha wanaweza kutoka kwa msamaha!
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Ndo maana familia nyingi hasa zenye mali kdg hazina baba.. familia ndo adui yake wa kwanza.