No video

Mauaji yalivyofanyika Kanisani Njombe | Mtuhumiwa alivyomkatakata marehemu

  Рет қаралды 1,398,049

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 582
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 2 жыл бұрын
Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 2 жыл бұрын
Punguza fujo
@theresiakisoviated.4886
@theresiakisoviated.4886 2 жыл бұрын
Hivi si wamsagesage huyo aliyemuua mwenzake jamani auawe na yeye hivohivo
@khalidmasudi2649
@khalidmasudi2649 5 ай бұрын
S2S2​@jestinabenedict4620​@@jestinabenedict4620
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.
@muungujaunguja8609
@muungujaunguja8609 2 жыл бұрын
Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake
@nelsonwangoko2427
@nelsonwangoko2427 2 жыл бұрын
Daah afande kaongea kwa uchungu sana
@innocentbugobola2234
@innocentbugobola2234 2 жыл бұрын
Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 2 жыл бұрын
Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢
@irenewile
@irenewile 2 жыл бұрын
Pepo
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
@janethmagita6297
@janethmagita6297 2 жыл бұрын
Jaman Yani sahivi kuuuana ni kama kawaida tu watu hawaogopi jaman
@elizabethsuthelizabethsuth2049
@elizabethsuthelizabethsuth2049 2 жыл бұрын
Dada mimi naona wauliwe
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@user-dm5gm3qs5s
@user-dm5gm3qs5s 7 ай бұрын
Upo elz jmn
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji
@esterkelvin6922
@esterkelvin6922 2 жыл бұрын
Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah
@josephinalugembe8285
@josephinalugembe8285 5 ай бұрын
Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur
@mzeeomary5780
@mzeeomary5780 2 жыл бұрын
Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure
@happybakari643
@happybakari643 2 жыл бұрын
Kwel kabisa
@rajabually8659
@rajabually8659 2 жыл бұрын
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 6 ай бұрын
Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 жыл бұрын
Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄
@jacklineandrew5909
@jacklineandrew5909 2 жыл бұрын
Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 8 ай бұрын
Kabsa
@amosmichael8986
@amosmichael8986 11 ай бұрын
Daaa polisi hongeren kwa kazi nzuri sheria ifate mkondo
@jaz9974
@jaz9974 2 жыл бұрын
Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya
@reginapiusi6750
@reginapiusi6750 2 жыл бұрын
Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭
@joycemagessa350
@joycemagessa350 2 жыл бұрын
Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Hakika Tunahitaji Kutubu Toba Ya Kweli😭😭😭
@robertedward1992
@robertedward1992 Жыл бұрын
Huyo bwana anyongwe kabisa
@mamaahmad8615
@mamaahmad8615 2 жыл бұрын
Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 9 ай бұрын
Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana
@geroldjacob9845
@geroldjacob9845 2 жыл бұрын
Daaahhh amemkatakat kam ngo'mbe wa buchan, kwanz huy binadam au mnyam hatar . Askar umetutolea huzun jins unavoeleza tukio nice expression
@kebekebee
@kebekebee 2 жыл бұрын
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
@Almachiusrwehumbiza
@Almachiusrwehumbiza 7 ай бұрын
Vituk
@nzizajovinpaul4955
@nzizajovinpaul4955 2 жыл бұрын
Akiwa Gerezani atubu Dhambi zake mbele ya Mungu Baba" hii dunia imezeeka mauji kila kukicha na itegemea Mbingu mpya na Nchi mpya.😭😭😭😭😭😭😭
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 7 ай бұрын
Hakuna Toba yamuuwaji huyo auliwetu
@fetychina3273
@fetychina3273 2 жыл бұрын
SUBHANALLAH😭😭😭
@rehemajohn5410
@rehemajohn5410 2 жыл бұрын
Hongera kamanda kwa kuripoti vizuri tukio.
@user-vm8mn7ds4o
@user-vm8mn7ds4o 6 ай бұрын
Mbaya sana hii cjui binadam tumekuwaje mungu tu atusamehe kwakwel
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 2 жыл бұрын
Hongera afande kwa Kazi nzuri. Muoneshenu huyo mtuhumiwa afahamike na Wananchi.
@rev.thobias2756
@rev.thobias2756 Жыл бұрын
Hongera kamanda kazi nzuri kweli mapepo na mashetani yana leta vifo uko sahihi
@noahlarapho3411
@noahlarapho3411 2 жыл бұрын
Pole sana Afande na job nzuri, safi.....
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 жыл бұрын
Ahsante baba unaongea kwa uchungu mno baba ,,sukuma ndani uyo jambazi afai
@JoseJoseph-s1x
@JoseJoseph-s1x Ай бұрын
😢😢😢😢uwo ni unyama mkari WaTanzania tunaenda wapi mungu haulage roho ya m2mishi wake mahari pema Peponi 8:12
@jacklinepaul105
@jacklinepaul105 Жыл бұрын
Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 жыл бұрын
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
@gadafimasoud310
@gadafimasoud310 2 жыл бұрын
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
@amockkalinga1520
@amockkalinga1520 2 жыл бұрын
Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
@TedyDaudy-c8t
@TedyDaudy-c8t 23 күн бұрын
Emungu tusaidi jaman mtumishi wa mungu unafanya mauaji jama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LucyOmary-e8s
@LucyOmary-e8s 25 күн бұрын
Hongereni sana kwa kz nzuri mungu awabariki
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 2 жыл бұрын
Subhana Allah. Upo vzr ktk kueleza
@zainabmohammed6700
@zainabmohammed6700 2 жыл бұрын
Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭
@user-id1me9ve1o
@user-id1me9ve1o Ай бұрын
Toka nione asikali huyu ni wa pekee unge kuwa kalibu ninge kupa tano ya soda Kazi nzur jaman ❤😢
@florencemanasseh9949
@florencemanasseh9949 2 жыл бұрын
Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭
@nayfatyally4108
@nayfatyally4108 7 ай бұрын
DAR JA NA SIMBA DU
@nayfatyally4108
@nayfatyally4108 7 ай бұрын
mambo
@TedyDaudy-c8t
@TedyDaudy-c8t 23 күн бұрын
Polisi hongelen mungu awabarki kwa kazi nzur
@LucyOmary-e8s
@LucyOmary-e8s 25 күн бұрын
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
@IddyDaruweshi-ev4qg
@IddyDaruweshi-ev4qg Жыл бұрын
MASHA ALLAH KHEIR RPC KAMANDA HAMISI KONGOLE SANA NA VIJANA WAKO UPO VIZURI SANA
@annahchaz5537
@annahchaz5537 2 жыл бұрын
Nimempend police watu wote mnaowakata waalifu mngekua mnatup habali hivi ingependez natamn afand nikup jpo soda nimepend kaz yko
@GiveniWigenge
@GiveniWigenge 9 ай бұрын
That is a magic action why njombe rigion is the first for any bad action we need large protection from goverment
@annamwanauta583
@annamwanauta583 2 жыл бұрын
Yani nimekwelewa vinzuri sana asante kwakazi nzuri sana
@jamesmbuyuntvtzshijacom.5268
@jamesmbuyuntvtzshijacom.5268 2 жыл бұрын
Asante kwa kazi ya porisi muliyoifanya
@Gaudensiamuganga
@Gaudensiamuganga Ай бұрын
Mtuumiwa ni Jambazi alieshindikana Mpk alipata nguvu ya kudeki aseee,ila sasa Damu ya Mtu uwa inalia mbele za Mungu ndo maana hajafika mbaliii.Uyu afande🤝🤝🤝anasistiza Watu tusishadie Mambo tusiyoyajua yakatupa shda😔😔inauma jaman kaka wa watu
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Afande unaongeaga vizur tunahuzuni Lakini unatusabayi ongea Yako napendaga hatar
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭mungu wangu Tanzania imefikwa na nn mbn mauwaji yamekuwa mengi hivi
@user-ng6yt2od7l
@user-ng6yt2od7l 2 жыл бұрын
Tuombe Mungu tuu anaweza yote😭inatisha
@user-rq1tv9dc4s
@user-rq1tv9dc4s 8 ай бұрын
Ushirikina unatawalla Sana jaman mungu awafungue watu watoke kwenye hizo roho jaman niukali usio elezeka
@sagilododomamedelipeter1893
@sagilododomamedelipeter1893 2 жыл бұрын
We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 жыл бұрын
😂😂
@laurencemwanga6441
@laurencemwanga6441 6 ай бұрын
Mungu awabariki amani itawale. Maaskari hongereni
@happymariki4757
@happymariki4757 2 жыл бұрын
Asante sn afande, uko vizur. Yaani umeelezea kiungwana japo kwa majonz na masikitiko makubwa kulingana na tukio lenyewe na mazingira. It pains deeply. Asante kwa kukazia kuwa, "EPUKENI KUSHADADIA MANENO YA KUSIKIA". Hili limekuwa janga la kitaifa na linazid kushka kasi na kuota mizz. Kuna wanaoteseka sana kutokana na maneno ya uzushi. Mungu atupe kiasi kwa kila jambo.
@WinifridaEvarist-oc9tb
@WinifridaEvarist-oc9tb 2 ай бұрын
Mungu tusaidie wat tumekosa upendo tunauana tu mhhh polen dg😢😢😢
@NelsonTibesigwa
@NelsonTibesigwa 11 күн бұрын
Hongereni sanaa
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Hahahahahahaha samahani Kwa kucheka...weww ni zaidi ya masanja
@rosetagaye5731
@rosetagaye5731 2 жыл бұрын
Jamani binadamu tumekuwa kama wanyama,....Mungu atusaidie.
@princessvyona3412
@princessvyona3412 2 жыл бұрын
Aiiii jamani Ghaiii 😳😳😳😳🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️mnasema nini,hii dunia ni kama Mungu alirudi kitambo akachukua wengine tukabaki wale wabaya
@LucyOmary-e8s
@LucyOmary-e8s 25 күн бұрын
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa😂
@MwanaidMwanaid-d6d
@MwanaidMwanaid-d6d 2 ай бұрын
Jaman! Daaaaaah poleni sana
@editrudesmbonde9051
@editrudesmbonde9051 2 жыл бұрын
LORD JESUS,we are sick of this SPIRIT of KILLING every where. We need you,intervain our Nation,🙏🙏
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
Amen 🙏🏻
@danfordmahumi232
@danfordmahumi232 2 жыл бұрын
Damu ya ndugu yake itamlilia maisha yake yote. Mwanzo 4:9
@frolamazimba465
@frolamazimba465 2 жыл бұрын
Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 жыл бұрын
Sema kamanda unatupunguzia maumivu
@priscakomba2786
@priscakomba2786 2 жыл бұрын
Ndashangaa Polis wakisema uchunguzi unaendelea Mtuhumiwa ahukumiwe chapu
@Veronikalumola-zq4vm
@Veronikalumola-zq4vm 7 ай бұрын
Jaman ubinadamu ni kazi poleni sana afande kwa kanzi ngumu
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 2 жыл бұрын
Subhana llah
@ErnestKalyamtima
@ErnestKalyamtima 4 ай бұрын
Mbarikiwe sana jesh la polis kwa kaz nzr mungu awatie nguv
@reubenismail3672
@reubenismail3672 2 жыл бұрын
Hongereni Sana police mpo fasta sana
@happychuwa1410
@happychuwa1410 2 жыл бұрын
Jamnii hongeren police kazi yenu ni njema
@swaiseif2989
@swaiseif2989 2 жыл бұрын
Ma askar mnakaz ngumu Sana mungu awalinde yni hii kaz hii nisingeweza ya upolice uwiii
@user-xy8ix3ck3n
@user-xy8ix3ck3n 6 ай бұрын
😢😢😢😢 wayu wanaroho kama za wanyama ndugu wa marehemu poleni sana mungu awalinde
@rosejordan5391
@rosejordan5391 2 жыл бұрын
Jamani kunawatu ni wanyama,, alijipanga kabisa 😭😭😭😭😭😭na mifuko kabisa Mungu iokoe nchi yako kilasiku matukio
@user-dj1vx6tr2t
@user-dj1vx6tr2t 2 жыл бұрын
A uuzhu bi LLAHI MINA SSHAI TWAANI RRAJIIM
@samwelshilungu4370
@samwelshilungu4370 2 жыл бұрын
This reporting tho!
@km4km437
@km4km437 Жыл бұрын
Dunia imeisha mungu amlaze mahali pema peponi
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 2 жыл бұрын
Mungu atukumbuke wana damu maana maasi yamekuwa mengi Yesu kristo mfalme wa haki, mtawala wa amani njoo sasa kwa sababu tumechoka namatukio ya duniani.
@pakapakatuondoke6785
@pakapakatuondoke6785 2 жыл бұрын
Huwezi kumwaga damu ya mtu halafu ukasalimika soma kisa cha kaini alipo muua habiri mwanzo 4:1-n.k
@NellvanceJuckses-yd7bq
@NellvanceJuckses-yd7bq 4 ай бұрын
Tamaah kasyan
@Gaudensiamuganga
@Gaudensiamuganga Ай бұрын
Duuuuh Ama Dunia haina huruma na binadamu wanajipenda wenyewe sjuh kesho kwa Mungu tutasema nn wanadamu kwa matendo mabaya. Apumzike kwa Amani. Afande Uyu Yuko makini kuelezea alfu jambo ili limemuumiza mno anaongea kwa shda na anakazia Anauchunguu
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 2 жыл бұрын
TULISHAONA KWA MADIWAN WACHADEMA LEO KWA WATU BAKI INAUMA SANA
@EmmyLungwe-pi1oi
@EmmyLungwe-pi1oi Жыл бұрын
Where the earth is ended ooh my God
@AnethLebwanga
@AnethLebwanga Жыл бұрын
Jamni Yan kabisa huy alijipanga kabisa maan alikua yupo full na vifaa vyake daa inauma Sana
@user-wx1bg3wv1j
@user-wx1bg3wv1j 5 ай бұрын
Asante sana
@ChalilaKibuda
@ChalilaKibuda 5 ай бұрын
Mungu abariki kazi yako
@GodfreyAgustino
@GodfreyAgustino 18 күн бұрын
Poleni Sana
@onyeshatonwist589
@onyeshatonwist589 2 жыл бұрын
Eee mungu utuokoe watanzania na ushetani uliokuwepo kunasehem tu tumemkosea mungu haya ndio matokeo yake
@irenewile
@irenewile 2 жыл бұрын
Hivi wauwaji huwa wanajisikiaje ,,Mungu wangu ... wanaweza kulala kweli Au wanakuwa wamechanganyikiwa
@christinachazy8644
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Hawa watu wapewe Adhabu Kali sana
@anagresimaria9556
@anagresimaria9556 2 жыл бұрын
Tuwe na hofu ya mungu jamani
@user-go9jx5dg6j
@user-go9jx5dg6j 24 күн бұрын
Poleni sana
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 жыл бұрын
Safi sana kamanda upo vizuri kuliko alfred masako
@user-rk9lu4ri6k
@user-rk9lu4ri6k Жыл бұрын
Jamani kwanini kila mtu anategewa na ndugu zake 😢😢😢
@joerifaridi7431
@joerifaridi7431 2 жыл бұрын
Pole sana
@TheresiaDaniel-z4h
@TheresiaDaniel-z4h Ай бұрын
Huyu aliyeuwa ni mtumishi kwel anamjua mungu kwel
@estherjoseph4344
@estherjoseph4344 2 жыл бұрын
Jaman jamna jaman 😭😭😭😭😭
@feliciankazimoto8888
@feliciankazimoto8888 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Askari wetu.
@salmahanai3601
@salmahanai3601 2 жыл бұрын
Jamani tanzania kila siku mauwaji tuende wapi????
@user-zq5ld5px6u
@user-zq5ld5px6u 2 ай бұрын
Mmh! No body knows tomorrow........
@user-sw4in3kd9o
@user-sw4in3kd9o 2 күн бұрын
Jamani kwani tanzania imekumbwa nann emungu iponye tanzania maana ipipo fika sio pazuli ivi
@karolshirima8935
@karolshirima8935 2 жыл бұрын
Inawezekanaje ikawa mara ya kwanza kumuua mwanadamu...kwa ujasiri huu wa kikatili namna hii?
@samuelkirangori4723
@samuelkirangori4723 Жыл бұрын
Ohhh jaman
@agnesjeremiah
@agnesjeremiah Жыл бұрын
Pole xn
@neeemastewad7909
@neeemastewad7909 2 жыл бұрын
Pole jaman
@emanuelmlowe6854
@emanuelmlowe6854 2 жыл бұрын
Tunashukuru sana police lkn tunaomba tuonyeshwe hao wauaji ili tuwajue tujihamo
Rose Muhando - Wanyamazishe (Official Music Video) SMS SKIZA 7634235 TO 811
7:20
Rose Muhando Official
Рет қаралды 28 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 14 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 48 МЛН
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 2,5 МЛН
Kamala Harris's full speech to the Democratic National Convention
37:39
CBC News: The National
Рет қаралды 338 М.
FULL SPEECH: Barack Obama’s full speech at the DNC
36:08
ABC News
Рет қаралды 3,5 МЛН