Shikamooo kamanda kwa kazi nzr. Ila wewe ni zaidi ya police 🤣🤣🤣 .Ila unafaa kuigiza pia
@jestinabenedict46202 жыл бұрын
Punguza fujo
@theresiakisoviated.48862 жыл бұрын
Hivi si wamsagesage huyo aliyemuua mwenzake jamani auawe na yeye hivohivo
@khalidmasudi26495 ай бұрын
S2S2@jestinabenedict4620@@jestinabenedict4620
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Poleni jeshi la polic kwa kazi ngumu, pia pole kwa Familia, na watanzania sote tuwe pole maana hivi vifo vinatuliza kila itwayo Leo.
@muungujaunguja86092 жыл бұрын
Jamani afande pole sana unaonyesha umeumizwa zaidi hadi kuongea shida pole baba angu afande na familia yake
@nelsonwangoko24272 жыл бұрын
Daah afande kaongea kwa uchungu sana
@innocentbugobola22342 жыл бұрын
Et Chuma !!akamuongezea chuma kingne mh hii Nchi yetu jmn kila sehem Mauaji ya kutisha eeh Mungu tuokoea Watanzania tuwe na Hofu ya Mungu..
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Dahhh😢😢🥺sidhani kama ni mara ya kwanza kuua huyo jamaa. Na nahisi anafurahia kuua😢😢
@irenewile2 жыл бұрын
Pepo
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Daah 😭😭😭😭😭Mungu amlaze mahali pema peponi, Ushauli wangu kwa jeshi la polisi wanaoua na wao wapewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine, Mungu hiondoshee tanzania roho za kikatili
@janethmagita62972 жыл бұрын
Jaman Yani sahivi kuuuana ni kama kawaida tu watu hawaogopi jaman
@elizabethsuthelizabethsuth20492 жыл бұрын
Dada mimi naona wauliwe
@sophiamakani61332 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@user-dm5gm3qs5s7 ай бұрын
Upo elz jmn
@noxlosingida23692 жыл бұрын
Huyu Afande noma sana kwa haya maelezo hadi ni mesahau kama ni tukio la mauaji
@esterkelvin69222 жыл бұрын
Kwa kweli nimejikuta nacheka kama mazuri ety pigo la pili ndolilomuua dah
@josephinalugembe82855 ай бұрын
Jmn 😂 ila watu mpk umenifanya nicheke utafikr mazur
@mzeeomary57802 жыл бұрын
Serikeli iweke sheria uki uwa basi na ww upigwe risasi adharani uone kama mauwaji haya taisha ila mtu anauwa anajuwa anakwenda jela kula nakulala bure
@happybakari6432 жыл бұрын
Kwel kabisa
@rajabually86592 жыл бұрын
Pole sana afande naona waongea kwa hisia sana hili tukio sio la kawaida katika jamii yetu ya watanzania huyo muuji apate adhabu kali sana ikiwezekana nayeye auwawe
@mwawekomiuda97796 ай бұрын
Kwa nini yy ameua hlf yy isiwezekane kuuawa. Yàani anyongwe hadi kufa.
@hassanmpemba57472 жыл бұрын
Afande unafaa sana umechukuwa nafasi ya mstaafu kamanda muroto yani umeiziba kabisa 😄😄
@jacklineandrew59092 жыл бұрын
Mungu naomba niepushie hiyo roho chafu🙏Mungu akiamua kukuabisha hufiki mbali
@user-uc8ei8kn3l8 ай бұрын
Kabsa
@amosmichael898611 ай бұрын
Daaa polisi hongeren kwa kazi nzuri sheria ifate mkondo
@jaz99742 жыл бұрын
Asante sana police kwa kazi nzur mlizozifanya
@reginapiusi67502 жыл бұрын
Jaman hii nchi imekuwa ngumu sana 😭😭😭😭
@joycemagessa3502 жыл бұрын
Mungu okowa Nchi yetu kila Leo Mauaji. Tumemkosea Mungu Tunaitaji toba ili tupone🙏
@yassintaibrahim242 жыл бұрын
Hakika Tunahitaji Kutubu Toba Ya Kweli😭😭😭
@robertedward1992 Жыл бұрын
Huyo bwana anyongwe kabisa
@mamaahmad86152 жыл бұрын
Mungu wangu hadi mwili unasisimka daaaah hata huruma huna we kaka muuwaji daaah ulaaniwe na mungu polc mmefanys kazi nzur sana hongereni yaana sasa hivi unakaa unamuogopa binadamu mwenzio daaah poleni wafiwa inauma sana jamani acheni roho mbaya na ukatili
@Aminmwansile-we8vn9 ай бұрын
Duuh inatisha Sana hongera kama kwa kuifanya hii kazi kwa wered wa Hali ya juu Sana mpaka mtuhumiwa amepatikana
@geroldjacob98452 жыл бұрын
Daaahhh amemkatakat kam ngo'mbe wa buchan, kwanz huy binadam au mnyam hatar . Askar umetutolea huzun jins unavoeleza tukio nice expression
@kebekebee2 жыл бұрын
Matukio ya ajabu yamefululiza sana matukio ya kuuwana tu mala kubaka watoto wadogo Mungu muumba wa mbingu na nchi TANZANIA tunakuhtaj utupe aman ya kweli umoja na ushikamano kwa jina la Yesu amen
@Almachiusrwehumbiza7 ай бұрын
Vituk
@nzizajovinpaul49552 жыл бұрын
Akiwa Gerezani atubu Dhambi zake mbele ya Mungu Baba" hii dunia imezeeka mauji kila kukicha na itegemea Mbingu mpya na Nchi mpya.😭😭😭😭😭😭😭
@mudhihirugara88457 ай бұрын
Hakuna Toba yamuuwaji huyo auliwetu
@fetychina32732 жыл бұрын
SUBHANALLAH😭😭😭
@rehemajohn54102 жыл бұрын
Hongera kamanda kwa kuripoti vizuri tukio.
@user-vm8mn7ds4o6 ай бұрын
Mbaya sana hii cjui binadam tumekuwaje mungu tu atusamehe kwakwel
@upendoeliya93292 жыл бұрын
Hongera afande kwa Kazi nzuri. Muoneshenu huyo mtuhumiwa afahamike na Wananchi.
@rev.thobias2756 Жыл бұрын
Hongera kamanda kazi nzuri kweli mapepo na mashetani yana leta vifo uko sahihi
@noahlarapho34112 жыл бұрын
Pole sana Afande na job nzuri, safi.....
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Ahsante baba unaongea kwa uchungu mno baba ,,sukuma ndani uyo jambazi afai
@JoseJoseph-s1xАй бұрын
😢😢😢😢uwo ni unyama mkari WaTanzania tunaenda wapi mungu haulage roho ya m2mishi wake mahari pema Peponi 8:12
@jacklinepaul105 Жыл бұрын
Uwiii Mungu tunusuru na haya majanga uyo muuaji sio wa kubaki jamani serikali iingilie kati😥😭😭
@tanzanite99442 жыл бұрын
Pole sana Afande na kazi njema. Ila kwa kuwapa taarifa tuu ni kwamba America makanisa huwa yanalindwa na polisi wakati waumini wakiwa kanisani kwa usalama zaid. Hivyo na Tanzania mfanye hivyo kuwalinda waumini.
@gadafimasoud3102 жыл бұрын
Safi kabisa lkn ulinzi ni wakati wa ibada tu au muda wote? yaani 24hrs 7 days na je ni makanisa tu yalindwa huko America au nyumba zingine za ibada ambazo si kanisa? Mf misikiti , synagogue
@amockkalinga15202 жыл бұрын
Jamani,jamani,tunaenda wapi mungu tuepushe na hii roho ya mauti💔🙆😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤔
@TedyDaudy-c8t23 күн бұрын
Emungu tusaidi jaman mtumishi wa mungu unafanya mauaji jama 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LucyOmary-e8s25 күн бұрын
Hongereni sana kwa kz nzuri mungu awabariki
@yasminjuma91462 жыл бұрын
Subhana Allah. Upo vzr ktk kueleza
@zainabmohammed67002 жыл бұрын
Dah jamn kamuuw mwenziwe namn hii huyu s bnadamu alomuuwa mwenziwe anyongwe kabisaa asiwekwe ndan dahh😭😭😭
@user-id1me9ve1oАй бұрын
Toka nione asikali huyu ni wa pekee unge kuwa kalibu ninge kupa tano ya soda Kazi nzur jaman ❤😢
@florencemanasseh99492 жыл бұрын
Surely a church leader si mwatuharibia hata kuja kanisani. This is soo sad indeed 😭😭😭
@nayfatyally41087 ай бұрын
DAR JA NA SIMBA DU
@nayfatyally41087 ай бұрын
mambo
@TedyDaudy-c8t23 күн бұрын
Polisi hongelen mungu awabarki kwa kazi nzur
@LucyOmary-e8s25 күн бұрын
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa
@IddyDaruweshi-ev4qg Жыл бұрын
MASHA ALLAH KHEIR RPC KAMANDA HAMISI KONGOLE SANA NA VIJANA WAKO UPO VIZURI SANA
@annahchaz55372 жыл бұрын
Nimempend police watu wote mnaowakata waalifu mngekua mnatup habali hivi ingependez natamn afand nikup jpo soda nimepend kaz yko
@GiveniWigenge9 ай бұрын
That is a magic action why njombe rigion is the first for any bad action we need large protection from goverment
@annamwanauta5832 жыл бұрын
Yani nimekwelewa vinzuri sana asante kwakazi nzuri sana
@jamesmbuyuntvtzshijacom.52682 жыл бұрын
Asante kwa kazi ya porisi muliyoifanya
@GaudensiamugangaАй бұрын
Mtuumiwa ni Jambazi alieshindikana Mpk alipata nguvu ya kudeki aseee,ila sasa Damu ya Mtu uwa inalia mbele za Mungu ndo maana hajafika mbaliii.Uyu afande🤝🤝🤝anasistiza Watu tusishadie Mambo tusiyoyajua yakatupa shda😔😔inauma jaman kaka wa watu
@ameenaameena12242 жыл бұрын
Afande unaongeaga vizur tunahuzuni Lakini unatusabayi ongea Yako napendaga hatar
@aminahhuawei11332 жыл бұрын
😭😭😭😭😭mungu wangu Tanzania imefikwa na nn mbn mauwaji yamekuwa mengi hivi
@user-ng6yt2od7l2 жыл бұрын
Tuombe Mungu tuu anaweza yote😭inatisha
@user-rq1tv9dc4s8 ай бұрын
Ushirikina unatawalla Sana jaman mungu awafungue watu watoke kwenye hizo roho jaman niukali usio elezeka
@sagilododomamedelipeter18932 жыл бұрын
We ni comedy au kamanda🤭🤭😱😱
@kingkendrickk2 жыл бұрын
😂😂
@laurencemwanga64416 ай бұрын
Mungu awabariki amani itawale. Maaskari hongereni
@happymariki47572 жыл бұрын
Asante sn afande, uko vizur. Yaani umeelezea kiungwana japo kwa majonz na masikitiko makubwa kulingana na tukio lenyewe na mazingira. It pains deeply. Asante kwa kukazia kuwa, "EPUKENI KUSHADADIA MANENO YA KUSIKIA". Hili limekuwa janga la kitaifa na linazid kushka kasi na kuota mizz. Kuna wanaoteseka sana kutokana na maneno ya uzushi. Mungu atupe kiasi kwa kila jambo.
@WinifridaEvarist-oc9tb2 ай бұрын
Mungu tusaidie wat tumekosa upendo tunauana tu mhhh polen dg😢😢😢
@NelsonTibesigwa11 күн бұрын
Hongereni sanaa
@flova70222 жыл бұрын
Hahahahahahaha samahani Kwa kucheka...weww ni zaidi ya masanja
@rosetagaye57312 жыл бұрын
Jamani binadamu tumekuwa kama wanyama,....Mungu atusaidie.
@princessvyona34122 жыл бұрын
Aiiii jamani Ghaiii 😳😳😳😳🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️mnasema nini,hii dunia ni kama Mungu alirudi kitambo akachukua wengine tukabaki wale wabaya
@LucyOmary-e8s25 күн бұрын
Hakika wanadamu tumepoteza hofu ya Mungu mioyoni mwetu Mungu tunakuomba utusikie vilio vyetu,uwiiiiiiiiiiiii lnatisha saaaaaanaaaa😂
@MwanaidMwanaid-d6d2 ай бұрын
Jaman! Daaaaaah poleni sana
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
LORD JESUS,we are sick of this SPIRIT of KILLING every where. We need you,intervain our Nation,🙏🙏
@noxlosingida23692 жыл бұрын
Amen 🙏🏻
@danfordmahumi2322 жыл бұрын
Damu ya ndugu yake itamlilia maisha yake yote. Mwanzo 4:9
@frolamazimba4652 жыл бұрын
Jamani tunaelekea Wapi sisi wanadamu mungu tujalie mwisho mwema
@husnaseph94762 жыл бұрын
Sema kamanda unatupunguzia maumivu
@priscakomba27862 жыл бұрын
Ndashangaa Polis wakisema uchunguzi unaendelea Mtuhumiwa ahukumiwe chapu
@Veronikalumola-zq4vm7 ай бұрын
Jaman ubinadamu ni kazi poleni sana afande kwa kanzi ngumu
@mwanahamis54872 жыл бұрын
Subhana llah
@ErnestKalyamtima4 ай бұрын
Mbarikiwe sana jesh la polis kwa kaz nzr mungu awatie nguv
@reubenismail36722 жыл бұрын
Hongereni Sana police mpo fasta sana
@happychuwa14102 жыл бұрын
Jamnii hongeren police kazi yenu ni njema
@swaiseif29892 жыл бұрын
Ma askar mnakaz ngumu Sana mungu awalinde yni hii kaz hii nisingeweza ya upolice uwiii
@user-xy8ix3ck3n6 ай бұрын
😢😢😢😢 wayu wanaroho kama za wanyama ndugu wa marehemu poleni sana mungu awalinde
@rosejordan53912 жыл бұрын
Jamani kunawatu ni wanyama,, alijipanga kabisa 😭😭😭😭😭😭na mifuko kabisa Mungu iokoe nchi yako kilasiku matukio
@user-dj1vx6tr2t2 жыл бұрын
A uuzhu bi LLAHI MINA SSHAI TWAANI RRAJIIM
@samwelshilungu43702 жыл бұрын
This reporting tho!
@km4km437 Жыл бұрын
Dunia imeisha mungu amlaze mahali pema peponi
@fedhajoseph76872 жыл бұрын
Mungu atukumbuke wana damu maana maasi yamekuwa mengi Yesu kristo mfalme wa haki, mtawala wa amani njoo sasa kwa sababu tumechoka namatukio ya duniani.
@pakapakatuondoke67852 жыл бұрын
Huwezi kumwaga damu ya mtu halafu ukasalimika soma kisa cha kaini alipo muua habiri mwanzo 4:1-n.k
@NellvanceJuckses-yd7bq4 ай бұрын
Tamaah kasyan
@GaudensiamugangaАй бұрын
Duuuuh Ama Dunia haina huruma na binadamu wanajipenda wenyewe sjuh kesho kwa Mungu tutasema nn wanadamu kwa matendo mabaya. Apumzike kwa Amani. Afande Uyu Yuko makini kuelezea alfu jambo ili limemuumiza mno anaongea kwa shda na anakazia Anauchunguu
@jestinabenedict46202 жыл бұрын
TULISHAONA KWA MADIWAN WACHADEMA LEO KWA WATU BAKI INAUMA SANA
@EmmyLungwe-pi1oi Жыл бұрын
Where the earth is ended ooh my God
@AnethLebwanga Жыл бұрын
Jamni Yan kabisa huy alijipanga kabisa maan alikua yupo full na vifaa vyake daa inauma Sana
@user-wx1bg3wv1j5 ай бұрын
Asante sana
@ChalilaKibuda5 ай бұрын
Mungu abariki kazi yako
@GodfreyAgustino18 күн бұрын
Poleni Sana
@onyeshatonwist5892 жыл бұрын
Eee mungu utuokoe watanzania na ushetani uliokuwepo kunasehem tu tumemkosea mungu haya ndio matokeo yake
@irenewile2 жыл бұрын
Hivi wauwaji huwa wanajisikiaje ,,Mungu wangu ... wanaweza kulala kweli Au wanakuwa wamechanganyikiwa
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Hawa watu wapewe Adhabu Kali sana
@anagresimaria95562 жыл бұрын
Tuwe na hofu ya mungu jamani
@user-go9jx5dg6j24 күн бұрын
Poleni sana
@mrematvbabakoku83362 жыл бұрын
Safi sana kamanda upo vizuri kuliko alfred masako
@user-rk9lu4ri6k Жыл бұрын
Jamani kwanini kila mtu anategewa na ndugu zake 😢😢😢
@joerifaridi74312 жыл бұрын
Pole sana
@TheresiaDaniel-z4hАй бұрын
Huyu aliyeuwa ni mtumishi kwel anamjua mungu kwel
@estherjoseph43442 жыл бұрын
Jaman jamna jaman 😭😭😭😭😭
@feliciankazimoto88882 жыл бұрын
Kazi nzuri Askari wetu.
@salmahanai36012 жыл бұрын
Jamani tanzania kila siku mauwaji tuende wapi????
@user-zq5ld5px6u2 ай бұрын
Mmh! No body knows tomorrow........
@user-sw4in3kd9o2 күн бұрын
Jamani kwani tanzania imekumbwa nann emungu iponye tanzania maana ipipo fika sio pazuli ivi
@karolshirima89352 жыл бұрын
Inawezekanaje ikawa mara ya kwanza kumuua mwanadamu...kwa ujasiri huu wa kikatili namna hii?
@samuelkirangori4723 Жыл бұрын
Ohhh jaman
@agnesjeremiah Жыл бұрын
Pole xn
@neeemastewad79092 жыл бұрын
Pole jaman
@emanuelmlowe68542 жыл бұрын
Tunashukuru sana police lkn tunaomba tuonyeshwe hao wauaji ili tuwajue tujihamo