MAUAJI YA KUTISHA ARUSHA "WAMEMLAWITI, TOBOA MACHO NA KUMKATA MAPANGA KICHWANI"

  Рет қаралды 221,023

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 849
@AminaLibisa
@AminaLibisa 5 ай бұрын
Uyo mdada anajua kila kitu mpelekeni police akabanwe yani anajibu kama amekufu mbuzi uyo hatakiwi uhojiwa kama anatongozwa mpeni kibado kweli kunawanawake magaidi wallah mungu tunusuru yarab 🙏
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 5 ай бұрын
😢😢
@AminaLibisa
@AminaLibisa 5 ай бұрын
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭😭
@Nyanandi
@Nyanandi 5 ай бұрын
Mwanamke mkavu hvo jmn kama vle hajafiwa ni mhusika kabsaaa😢
@AminaLibisa
@AminaLibisa 5 ай бұрын
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭
@AminaLibisa
@AminaLibisa 5 ай бұрын
@@Nyanandi yaani ni sumu ni jangili kabisa wallah 😭
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 5 ай бұрын
Kulikuwa kuna issue gani mpaka upigiwe simu uulizwe kuwa amefika nawe ukajibu hajafika na kwa nn huyo Rafiki wa mumeo asimpigie muhusika??? Kuna utata hapo jeshi la police wafanye Kazi yao
@athumanfuko199
@athumanfuko199 5 ай бұрын
damu ya mtu haiendi bure watapatikana tu.
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 5 ай бұрын
​@athumanfuko1kabisa99
@user-xe2gw3bh9d
@user-xe2gw3bh9d 5 ай бұрын
Kabisa jamani huyu mama anajua yote
@user-nb5op7ss2s
@user-nb5op7ss2s 5 ай бұрын
Point san.
@rabiamenshoo1988
@rabiamenshoo1988 5 ай бұрын
Huyo mwanamke abanwe vizuri,atatoa ushirikiano wa kumjua muuaji.
@sharifaaliy1519
@sharifaaliy1519 5 ай бұрын
Ni kweli kabusaa
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 5 ай бұрын
Kwa sbu kahojiwa na mwandishi asiye na mipaka?
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 5 ай бұрын
Huyo mwanamke ndo anajua Kila kitu
@stephenrwaich1078
@stephenrwaich1078 5 ай бұрын
na huyo mwanajezhi achunguzwe sana pia
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 ай бұрын
Huyu mwanamke akikutana na wataalamu wa uchunguzi atasema ukweli.
@zainabwage4658
@zainabwage4658 5 ай бұрын
Yaan ufiwe na mumeo alaf uwe na nguvu yakuongea km ivyo hapana kwa waliofikwa na misiba km hii wanajua maumivu yake maana uwez hojiwa unaweza ongea kwanza akil unais zimesepa polen ndugu wafamilia mungu awape subra inauma mno
@joharimanyanda3358
@joharimanyanda3358 5 ай бұрын
Huyu anajua kifo Cha huyo mtu
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 5 ай бұрын
Tena hana wasiwasi kabisa, tena anaongea kashika kiuno, hana hata tone la huzuni,
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 5 ай бұрын
Yani anajua uyo
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 5 ай бұрын
Yaani hadi namshangaa mumeo tena wa ndoa jamani
@pendomushi6351
@pendomushi6351 5 ай бұрын
Mfano mzuri tuliona Kwa yule dada alie liwa na mamba dada alilia Kwa uchungu yule 😢😢😢huyu hata simanzi hanaa
@faridahaji5948
@faridahaji5948 5 ай бұрын
Huy dada ni kiboko hivi anajuaaa maumivu ya kufiwa na mume kweli uso mkavu hivi unajuaaaaa
@anithiajohn9209
@anithiajohn9209 5 ай бұрын
Jaman amekufa kwa mateso sana inaumiza sana mungu tupe mwisho mwema😢😢
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
Amiin yaarab kwakweli
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 ай бұрын
Amina
@QwaridaNadamassay
@QwaridaNadamassay 5 ай бұрын
Kweliiii jmniii
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 5 ай бұрын
Aisee dunia hii JAMANI dunia hii mweee😭😭😭😭😭
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
Yn unamwinamisha mwanaume mwenzio mpk unafika kilelen😢nawaza sana maumivu aliyoyapitia poleni familia 😢nawewe dd mbona mkavu ivo ata uzimii jmn
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 5 ай бұрын
Malaya atazimia kweli wkat amefurah
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 5 ай бұрын
Inasikitisha sana jmn
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 5 ай бұрын
Itakua kahusika huyu dada
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 5 ай бұрын
Yaani mimi mpaka sasa sijui walimzalilisha alikuwa ameshakufa au hai daaaa dunia hii
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
@@user-vy2bc6xg3i yn nikijikata nakisu nais kufa cjui yeye alipitia wakt gan jmn
@ramadhaniayubu6103
@ramadhaniayubu6103 5 ай бұрын
Ahaaa uyo mbona atasematu ngoja police wamuhoji vizurii kabisa
@Lllllllmmn
@Lllllllmmn 5 ай бұрын
😮😮😮😢mwamke kafiwa ila ata dalili ya uzuni hamna usoni khaaa mkavu
@africandarling6925
@africandarling6925 5 ай бұрын
Yani mwanamke anajua huyu kila kitu wallaah
@user-cn5ft9ss6x
@user-cn5ft9ss6x 5 ай бұрын
Jicho kavuu...mmmmm ,😢😢😢😢😢😢😢😢
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 5 ай бұрын
Tena mkavu mkavu tena
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 ай бұрын
du dunia watu wamekuwa na roho mbaya Sana usimuamin hata mke wako maisha ya Sasa syo kama ya zaman Ila Arusha matkio yamezd Sheria kdogo iwe Mt akiuwa nae anyongwe ad kufaa🪓💉✂️⚔️🗡️
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 5 ай бұрын
damu ya mt aiendagi buree
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 5 ай бұрын
Baba wa watoto wako huyo hao watoto watakuwa wakubwa na hiyo storry wataikuta uso wako utaficha wapi dada?kuachana haikutosha halafu unajichanganya mara useme alompigia cm cmjui,mara rafiki zake sasa umejuaje kama ni rafiki yake kama humjui? Nafsi yako inajua ukweli,yani umetoka monduli umekuja kusalimia watoto mara mtu anakuuliza huyo amefika inaonyesha wazi ulikuja kishari kwa mauaji kabisa halafu ni mume wa ndoa khaaa jamani wenye uhitaji wa ndoa hawapati wasio hitaji wanapata ,na mchepuko unakubaliana nao hadi kumwaga damu ya mumeo mmmmh kumbe kwenye ndoa unaweza ishi na shetani mwenye jina la ushetani kabisa
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 5 ай бұрын
Yaana uso wa huyu mama unaonyesha ujasili kama hajapoteza kitu jamani huyu mke wa malehemu sijamwelewa anajichanganya maneno Sana ila atambue mungu analipa hapa hapa Duniani na damu NI nzito mtalipwa wote wahusika hata msipokamatwa na vyombo vya Dola mungu atawalipa NI kiasi cha MDA tu
@hellenmwayole8715
@hellenmwayole8715 5 ай бұрын
Dada anapanga Cha kuongea yaani anajichanganya anapanga sentensi hazipangiki, harafu anahofu furani. Duu Bora kuachana Kwa amani
@onyaluoma848
@onyaluoma848 5 ай бұрын
Eti flani typo,badala ya mume yupo!!!!
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 5 ай бұрын
Yaani ikiwa ndo mchepuko kafanya hayo lakini pia akirudi kwako Nako hata ishi nawewe maana ushaumtia ukakasi usisahau kuwa huyo ni mwanaume kama huyo huyo hivyo atakuogopa atahisi utaweza kumfanyia anything like that happened hivyo kama umeweza Kwa aliye mume wa ndoa Tena kakupa na uzazi baba watt utashindwa nini Kwa mchepuko ? nyie ndo mnaoharibu maana ya ndoa na kuacha doa lisilotakata hata Kwa clorox ,
@susankitila2898
@susankitila2898 5 ай бұрын
😭😭
@roseafrael75
@roseafrael75 5 ай бұрын
Kwann unfanyie binadamu mwenzio kitendo cha kikatili namna hii,, kwann jamani 😢😢😢 ,,, kwann wamemuua kifo cha kikatili kiasi hiki,,,Mungu awaadhibu wahusika wote nimeumia mnoo,, serikali wafanye uchunguzi,, inaumaaaaa sana.
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt 5 ай бұрын
Tuombe Rehema kwa Mungu tunapo elekea siko
@FrancisMotivation002
@FrancisMotivation002 5 ай бұрын
Arusha pamejaa Majambazi Sana, Wahuni wote Wa Tz wapo Arusha, Huyo Mwanamke aulizwe vzr kuna Jambo anaficha lipo nyuma ya pazia
@husseinnuru7544
@husseinnuru7544 5 ай бұрын
Jaman hata kwetu Tanga kologwe yupo mkaka ameuliwa hvyo hvyo mungu tusamehe natulehem siisi eewe mola 2saidie
@FrancisMotivation002
@FrancisMotivation002 5 ай бұрын
@@husseinnuru7544 Ni hatari Sana, Watu wanafanya mambo Hayo wanadhani Dunia ni Yao
@mwananganzi
@mwananganzi 5 ай бұрын
Pole sana kwa familia ya tumaini . Mungu awape subra na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 5 ай бұрын
Subuhanallah. Binaadam. Unamuua mwenzio ujuiww utakufalini. 😢 inalillahi.wainailahi..rajuun. yani kuuwa binaadam wanaonakawaidatu. 😢😢😢yarabi tujaaliemwisho mwema
@zalbak2738
@zalbak2738 5 ай бұрын
mwanzo alisema Aliyempigia hammjui baadae anamjua aiseee ikoo namnaa
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 5 ай бұрын
Huyu mwanamke muongo eti huyo alie mpigia cm anasema hamjui badae anasema anamjua huyu kunakitu anaficha na yy kahusika yy na huyu jeshi huyu anajuwa mbinu zakuu tobowa macho washenzi wakubwa Mungu awabainishe na awahukumu poleni wafiwa
@gabrielmurro7134
@gabrielmurro7134 5 ай бұрын
Alafu anasema baadae nilimpigia simu shemeji nikamuuliza Mbona ulisema Hivi Alafu tukio limetokea
@pcpoint1224
@pcpoint1224 5 ай бұрын
Mwana jeshi jeshini, uku uraiani ni punda kama punda wengine, wakamatwe ili kupatkane ukweli hii nchi hatukufundishwa tabia hizo
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 5 ай бұрын
Mwanamke anajua kila kitu
@vurilyrics3004
@vurilyrics3004 5 ай бұрын
Duuuu! Tuliosomea cuba tushajua tu huyo mama anahusika mana hata maelezo hayajitoshelezi
@esterswai9454
@esterswai9454 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu baba,,siyo rahis lakn Mungu atakuvusha
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 5 ай бұрын
Suspect everything but trust nothing... yote kwa yote yanawezekana inawezekana mwanamke akawa anajua na inawezekana asiwe anajua....ila kuwa na mahusiano na mwanajeshi anaonekana kuna kitu anaficha.
@paulmushi2428
@paulmushi2428 5 ай бұрын
Hilo neno la kwanza amefika? Kisha akabadili kauli, mala aliyepiga haijui namba mala aliyepiga ni rafiki ya aliyeuawa!! Hapo kuna walakini juu ya huyu mwanamke!
@zamdakimaro8040
@zamdakimaro8040 5 ай бұрын
Kabisa
@wilfredmoshi6507
@wilfredmoshi6507 5 ай бұрын
Sure anajichanganya maneno yake.
@kisinza6077
@kisinza6077 5 ай бұрын
Yaani anajichanganya na maneno yake makavu sana Hana hata Ile Hali yakiwa amefiwa!!!
@evertheobald1811
@evertheobald1811 5 ай бұрын
Mtu anaishi naye halafu hajui aliko mume wake kweli?
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 5 ай бұрын
Mungu nisamehe hy dada mckilizeni maelezo yake nizairi anajua
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 5 ай бұрын
Uso wake unaeleza Kuna kitu anajua
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 5 ай бұрын
Haswaaa kwanza iyosim ilopigwa kwake kulikuwa nampango
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 5 ай бұрын
@@vesitinarevocatus7333 baba mdogo anasema walitengana yeye anasema sijawahi kuachana na mme wangu Kwanzaa kwa kifo alicho kufa mumewe anaa nguvu zote Kwanza macho yake tu. Yanajieleza j. apo sio mpelelezi
@athumanfuko199
@athumanfuko199 5 ай бұрын
huyo atasema yeye mwenyewe
@IrenMushi
@IrenMushi 5 ай бұрын
anaonekana ana ukwel mzm huyo sister
@officialfadhilomar5249
@officialfadhilomar5249 5 ай бұрын
Tujitahid kufanya mambo mazuri mambo mema.... Kuna matatizo yanaweza kuwajia hata vitukuu vyako ikiwa ni malipo ya yale ulio ya tenda... Wacha mitohani ije ila isiwe ni kwaajili ya yale mabaya tulio fanya.. Poleni sana wahusika mungu awape nguvu... Mungu atulinde sisi na vizaz vyetu
@AminaMwaba-rj3lo
@AminaMwaba-rj3lo 5 ай бұрын
Kwa kweli daaah
@nelsonnikodem1100
@nelsonnikodem1100 5 ай бұрын
Poleni sana familia baba kasema haishii na mkewe mkewe kasema anaishi nae mbona kuna walakini
@ansilamadicha8680
@ansilamadicha8680 5 ай бұрын
Dada mkavuuuu😢 hyu alkula mchongo
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 5 ай бұрын
Hy dada oajiwe vzuri na aoneshe hy alompigia
@ednahumazi777
@ednahumazi777 5 ай бұрын
Mumulizee vizuri.huyo.mdada
@yudatadeimdoe9215
@yudatadeimdoe9215 5 ай бұрын
Kesi rahisi sana hii kwa upande wa upelelezi****
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 5 ай бұрын
Jamani huyu mwanamke anahusika,,damu itakulilia dada,mwongo sana dada hata machozi mukafu hivyo,huu niunyama sana huyu,hadi mumelala..
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 5 ай бұрын
Njo nashangaaa
@ukhtyrehemaabdy2830
@ukhtyrehemaabdy2830 5 ай бұрын
Inauma sanaaa ukwel Allah anaujua Allah awahukumu wahusika wote
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 5 ай бұрын
Mungu wangu nakusihii kama alivyoandika Isaya:49:26 adui zake wale nyama zao wenyewe kwa wenyewe na walewe kwa damu zao wenyewe kwa wenyewe.
@brightonfilbert
@brightonfilbert 5 ай бұрын
Mungu anawaona hao wauaji😮😮 ukatili uliopitiliza
@neeskpop
@neeskpop 5 ай бұрын
Huyo mwanamke, aojiwe vizuri, kwa sbb, maelezo yake hayaeleweki. Pole kwa wafiwa.
@kulngeleza6733
@kulngeleza6733 5 ай бұрын
Mkewe anahusika kwa asilimia zoooote eeh mungu wa😢hii dunia wapi uku jmn ya allah tunaomba usaidie umma 😢 wako
@jesuspower2390
@jesuspower2390 5 ай бұрын
itabidi usaidie police kumbe unajua kila kitu
@maryamm7765
@maryamm7765 5 ай бұрын
Dah 😢😢😢damu ya mtu aipotei
@alisterlexter1115
@alisterlexter1115 5 ай бұрын
Mhhhhh mbona kuna utata “Aliyenipigia simu simjui”……….mara tena “alienipigia namfahamu ni rafiki yake” “Baba mdogo kasema walikuwa wameachana kwa muda” na huko monduli alikuwa amechukuliwa na mwanajeshi 😢 Huo ni unyama jmni inaskitisha sanaaa kwakwel na inaumaaaa kwann wamefanya hivyooo daaaah💔💔🤲🏻😭 eeeh Mungu waliofanya hivi roho zao zisitulie milele wakataabike mpaka waamue kutubu kwa walichokifanya😢
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 5 ай бұрын
Ni ukatili wa kutisha sana. Binadamu binadamu ninyi damu hizi zitawalilia milele. Mwanaume unamuua mwenzako kwajili ya mwanamke ambaye ni sawa na siti ya daladala?. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
@beathagabriel8438
@beathagabriel8438 4 ай бұрын
Usifike huko kutukana mwanamke kuwa siti ya daladala. Kumbuka una dada, mama, shangazi, nk.Mtuhumiwa yeyote atuhumiwe kivyake. Usihusishe jinsia na kuidhalilisha kwa kosa la mtu binafsi.
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 5 ай бұрын
dah ivi uyu dada kafiwa kweri au nirafikitu maana ata anauzuni ata kidogo dah mungu atuongoze
@zainabwage4658
@zainabwage4658 5 ай бұрын
Mm nahis anaigiza tu izo nguvu zinatoka wap
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 5 ай бұрын
Nimeishiw
@leviskiwanga9070
@leviskiwanga9070 5 ай бұрын
Pole sana Mr Barick wana southern sun tunakupa pole sana -levis
@judithrichard5546
@judithrichard5546 5 ай бұрын
Jamani huyu mwanamke ni anahisika mana sio kwa ukavu huo huyu dada anajua kila kitu yani tunavyojua ukifiwa na mumeo jamani huwezi kuongelea chochote na kumbe walitengana na yeye anasema wapo wote hapana jamni akamatwe huyu dada. Tunataka majibu waandishi wa habari
@jumarajab5316
@jumarajab5316 5 ай бұрын
kesi ndogo sana hii kwa upande wa upelelezi ila nikubwa kijamii kwakuwa ni mauaji
@hamisaally968
@hamisaally968 5 ай бұрын
Uyu baba jamanii yaani usiku upo na mwanao asubuhi yupo chini amedhalilika😢😢Mwenyezi Mungu akupe subraa wallah😢
@EdghaMoses-js8lj
@EdghaMoses-js8lj 5 ай бұрын
Maelezo ya huyu dada. Sijaelewa vizuri ila sitasema chcht sababu mwanasheria wangu kasafiri jaman
@neemareuben311
@neemareuben311 5 ай бұрын
Huyu dada mshenzi sn anajua kila kitu abanwe vzr mpk chuchu atasema ukwel au wafwatilie cm yake na huyu mumewe watajua chanzo nn😢😢😢😢
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 5 ай бұрын
Muuwaji kabis anajua kila kitu
@Allybinamour
@Allybinamour 5 ай бұрын
subhanallah! jeshi la police zianze kwa huyu mke, lakini arusha kwa sasa inaonekana ni mji namba moja kwa ukatili tanzania.matukio mazito kama haya yanatokea mara kwa mara kipindi hiki.
@mosessamson1811
@mosessamson1811 5 ай бұрын
Sio vyema kwenda kwa hisia ila huyu dada, ashikiliwe na ahojiwe vyema, Kuna jambo kwenye mabano.
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭jamani huko Arusha muogopeni mungu hivoo yaani hamuogopi mungu hatakidogo poleni Sana wafiwa wotee wallahi inaumiza sana
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 5 ай бұрын
Daaah! Poleni ndug nahis maumivu makali sana daaah!
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 5 ай бұрын
Mwisho wa dunia umekarbia kwakweli
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 5 ай бұрын
Waaa mungu atusaidie
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu walaani wote waliohusika nahuo unyama hatakama alikuwa amefanya kosa labda lakini siyo kwa unyama huo 😭😭😭
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
😢😢😢 siku izi ukikutana na binadamu mwinzio Kimbia maaana duh
@vumi8371
@vumi8371 5 ай бұрын
😢😢😢yani jamani
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
@@vumi8371 😪
@user-gu4wc5tv8o
@user-gu4wc5tv8o 5 ай бұрын
Mungu pekee ndiye anajua
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 5 ай бұрын
Saikokojia na muonekano huyu mwanamke anajua kila abanwe
@amoonatnzani9834
@amoonatnzani9834 5 ай бұрын
Huyo mwanamke anajua Mbona anasema hawajaachana Na kumbe wameachana
@pendomushi6351
@pendomushi6351 5 ай бұрын
Kwanza anajikanyaga haeleweki huyu anafahamu mchongo mzima
@cbegram6161
@cbegram6161 5 ай бұрын
Si atasingizia labda hajamuachia talaka kwa hiyo kisheria ni Kama hawajaachana ila wamepeana likizo
@celinamosha9420
@celinamosha9420 5 ай бұрын
Mbwa wewe shetani mkubwa yaaani natamani nikupige
@user-qx4ev2jv5w
@user-qx4ev2jv5w 5 ай бұрын
😂😂senge ili linajua kila kitu libanwe vizuri uyu dada anajua inshu nzima pumbavu
@amanisaid9863
@amanisaid9863 5 ай бұрын
Poleni sana familia damu ya mtu haimwagiki bure,,ipo siku tutajua ukwer wote namini jeshi la porece lipo
@user-ic3kl9jg9k
@user-ic3kl9jg9k 5 ай бұрын
Mzee pole sana baba yangu
@user-bj5uh1fx8l
@user-bj5uh1fx8l 5 ай бұрын
Huyo mwanamke anahusika abanwe atoe aelezo ila hiyo damu ya huyo kijana itamtafuna mtoto wa mwanamke mwenzake ameuwawa kwa mateso jaman
@kalebiestomihi
@kalebiestomihi 5 ай бұрын
arusha kwa kweli matukio yamezidi e mungu.tutetee bila wewe sisi hatuwezi inauna sana kama watumiwa wakimamatwa nao wauwawe tuu hakuna njia nyingine huyo.mwnamke anausika asilimia 99
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y 5 ай бұрын
Naunga mkono huyu mwanamke maelezo yake yana mgongano kwa mwandishi wa habari akipata police officer ataongea vizuri.tunao ungana na hili gonga like
@user-jj3tq1rh4p
@user-jj3tq1rh4p 5 ай бұрын
astghafulah daah
@user-ky4rb2lg3h
@user-ky4rb2lg3h 5 ай бұрын
Wanawake wenzangu,Mungu atupunguzie adhabu ya kaburi
@maulidjumakibula4674
@maulidjumakibula4674 5 ай бұрын
M/mungu ampumzishe mahala pema pepon kijana mwenzetu amepitia mateso makal sana had kufa kwake jaman.
@tzcruiseralteza2039
@tzcruiseralteza2039 5 ай бұрын
millard uyu mtangazaji wako ni mnoma sana anauliza good question kabisa
@pendomushi6351
@pendomushi6351 5 ай бұрын
Mungu yupo kabla huyo kaka kuzikwa majibu yatatoka damu ya mtu haiendi bure 😢😢😢inauma mmno
@janemsamati6700
@janemsamati6700 5 ай бұрын
nimesikitishwa sana na tukio hili jamani, damu ya marehemu itanena , poleni wote , RIP HENRY 😢😢
@leahmollel6589
@leahmollel6589 5 ай бұрын
Mhhh! Damu ya mtu huwa haipotei! Kitajulikana tuu😭😭😭
@joharikitundu
@joharikitundu 5 ай бұрын
Mdogo wangu.Hiyo kama umeahiriki naomba kuwa mkweli Ili watoto (kizazi chako) Kisipitiye Hy Damu ya maumivu ya marehemu yasije wasipitiye
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 5 ай бұрын
Aisee kosa gani hili la ukumu mbaya ya aina hii?. Shinda nini?. Wanategemea nini mbele za Mungu mkuu?. Wanadamu tumwogope Mungu maana yupo. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
@Gabzyholic
@Gabzyholic 5 ай бұрын
That is not how you interview a hot case that is open to inestigations AYO .Avoid court by leaving questioning potential people of interests either implicating or just questioning.
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 5 ай бұрын
So true, just for the sake of views you cant jeorpadise the witnesses or disrupt investigation altogether
@godlistenJohn
@godlistenJohn 5 ай бұрын
Ww ni mswahili unazungumza na watanzania sasa hiyo lugha yakazi gani
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 5 ай бұрын
Wanaelewa hawa ayo kwani They don't understand kabisa
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 5 ай бұрын
I don't think it will affect anything in this case, pressure bust
@vee-stromz3577
@vee-stromz3577 5 ай бұрын
​@@ubuntubantu2404❤❤❤❤❤0p❤❤❤
@sundaydiga9296
@sundaydiga9296 5 ай бұрын
Mungu atuepushe
@julyhaule6850
@julyhaule6850 5 ай бұрын
Daah inauma
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 5 ай бұрын
Poleni sana wafiwa
@aickatesha4542
@aickatesha4542 5 ай бұрын
Mungu tusamehe turehem baba
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 5 ай бұрын
Inna Lilah wainna illlah rajiun Baki Allah TU,hao walokifanya Wallah hawata lala salama,Mungu wangu nae mjua hatowaacha wauwaji,
@abuuaisha9095
@abuuaisha9095 5 ай бұрын
Daaah.. Inasikitisha Sana..!!Lakini Mwanamke anaweza kuwa mshukuwa wa kwanza katika kulisaidia Jeshi la Police..!!Poleni Sana wafiwa..!!
@Satier47
@Satier47 5 ай бұрын
HUYO DADA ANAJUWA KILA KITU AMBACHO KIMEFANYIKA HAPO. NA HUYO MWANAJESHI WAKE, 😢 KAZI NI KWENU KUMUBANA HASA.... DADA HUYO KISHETANI KABISA 😢
@verohmchihiyo5029
@verohmchihiyo5029 5 ай бұрын
Hii inaumiza sana sana sana... Mungu wewe ndio unajua kila kitu naomba utoe haki kwa kila mmoja
@user-rl8ft3cu2q
@user-rl8ft3cu2q 5 ай бұрын
Mungu nijaalie kifo chema
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 5 ай бұрын
Baba jamani una uchungu,poleni sana.
@madahaisack1268
@madahaisack1268 5 ай бұрын
Huyu mwanamke Kuna walakinii
@mamaabduly
@mamaabduly 5 ай бұрын
HUYU MWANAMKE MTUHUMIWA NO 1...ABANWE ATASEMA KILA KITU
@Ezekiel-rh2ni
@Ezekiel-rh2ni 5 ай бұрын
Duh it's like huyu Dada apelekwe kwenye mahojiano vizuri
@kjb_user0077
@kjb_user0077 5 ай бұрын
Jamanii matukio kama haya sasa yametapakaa duniani kote...hii ni mwanzo wa sign ya malaika wa Mungu walio shikilia pepo nne za dunia wameanza kuachia taratibu taratibu.... Na kadili wanavyo achia kidogo na ndivyo roho wa Mungu anavyo zidi kuwa acha watu wanao ng'ang'ania dhambi... Hivyo basi huko mbele tunako enda kama Mungu akitu hifafhi hai...dunia ikisha kuwa katika udhibiti wa shetani 💯 tutaona mengi.... Maandiko yanasema watu watauana wao kwa wao,damu za watu zita mwagika kama maji kisa kona za dunia itakuwa ni mauaji ya kutisha... Ndugu zangu amani hii unayo iona leo,jilani yako anaku heshimu,mnasikilizana na wanao wanaku tambua kama mzazi si mda mrefu tuta ishi kama wanyama wanao windama.... Na hapa ndio mwanzo wa utungu...lkn ile dhiki kuu ya ulimwengu kabla ya YESU KRISTO au ISSA BIN mariamu kurudi kuchukua walio wake hiyo itakuwa bado..... MAANDIKO YANASEMA Dunia ita ingia katika dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea na haitakuwepo nyingine kama hiyo tena.... 1.Matetemeko yatakuwa mengi sana 2.Vita zitaongezeka 3.Njaa na uchumi kupolomoka wa dunia 4.Utu kuisha mioyoni mwa watu 5.Mafuliko yatakuwa yakutisha 6.Mioto kulipuka sehemu sehemu pasipo kujua vyanzo 7.n.k YOTE HAYA NIKWA SABABU DUNIA IMEAMUA KUWA KINYUME NA MUNGU WA KWELI NA KUFATA UONGO NA KUIACHA SHERIA YA MUNGU... 2 Petro 2:21
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 5 ай бұрын
Very Points
@Xyz-dc3yq
@Xyz-dc3yq 5 ай бұрын
Malaika mavi
@neemabaltazary2008
@neemabaltazary2008 5 ай бұрын
We mungu wa Israeli tusaidie
@zuhuzuli.5150
@zuhuzuli.5150 5 ай бұрын
Hakika Mungu atunusuru waje wake😢
@broumaiyyah8018
@broumaiyyah8018 5 ай бұрын
​@@neemabaltazary2008ndo Mungu gan huyo
@ednagodson7540
@ednagodson7540 5 ай бұрын
Dada mkavuu😮😮
@user-lh5cd5xn7k
@user-lh5cd5xn7k 5 ай бұрын
Dada eleza vizuri,,,. Mbona jicho kavu,,,,,kitakukuta kitu ,!!
@fridamuss922
@fridamuss922 5 ай бұрын
Mhh siopowaa yani mtu waachane alafu apigiwe simu aulizwe mumeo yukowapii huyu ameyakanyaga poleni san ila huyo kaka kafa kifo cha mateso sana Mola wangu hachelewi wala hawahi atalipa hii karma tena kwa uzuri tu inalillah wain lillah rajiun😢😢😢😢
@Ambwene
@Ambwene 5 ай бұрын
Huyo Mwanamke inaonekana kabisa kwamba ni mtu wa matukio na ni muhusika mkubwa katika sakata hilo la kifo cha huyo kijana 😢😢😢😢
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 5 ай бұрын
Innaalillaahi wainnailaihi Raajiuun 😭😭😭😭 jamani watu mbona mnakua na roho za namna hivyo dah😭😭😭 inauma sana. Poleni sana ndugu janaa na marafiki
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 5 ай бұрын
Mungu anisamehe huyu dada mkavu mno utafikiri hajafiwa Mungu ajua
@rahellubandila1928
@rahellubandila1928 5 ай бұрын
Mungu turehemu Tz haya ni machukizo makuu sana mbele zako
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t 5 ай бұрын
Huyo mama anajua chanzo kwakumuangalia tu hata hatoi Machoz nimtata
@evertheobald1811
@evertheobald1811 5 ай бұрын
Mungu akutie nguvu baba yangu 😭😭😭😭😭
@ashurajuma4837
@ashurajuma4837 5 ай бұрын
Huyu mwanamke huyu mmmh yani utasema anahojiwa jirani jamani😢
@user-sk6xl8ds3q
@user-sk6xl8ds3q 5 ай бұрын
Mungu awatie nguvu family, Kwa ujumla
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 5 ай бұрын
Kama nikweli amehusika atapigwa na mungu mana ndoa nijambo la mungu kama unajijua sio wakuolewa kwanini kilazimisha moyo mbaka kuleta mazala makubwa ivo mungu tusaidie hali imezidikuwa mbaya 🙏🙏
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 5 ай бұрын
Yaani roho inaniuma sana
@user-sy2mp7mm8u
@user-sy2mp7mm8u 5 ай бұрын
Huyu mama ana taarifa muhimu
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 5 ай бұрын
Yani mates matan mwezio unampa kumuharibu kumfunga uson akiuonen mnavo muazib😢 na mmemp azab nyengin kumtoboa toboa kwakwel😢😢
@user-pr9mx6pd8p
@user-pr9mx6pd8p 5 ай бұрын
No one is safe nowadays sio wanaume sio wanawake😢
@MwanahamisNsila-sz1kr
@MwanahamisNsila-sz1kr 5 ай бұрын
Huyu mama anaonekana anajua kinachoendelea sikiliza maelezo yake anajikanyaga tu 😢
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 111 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
24 podcast: Sme v kaviarni - Olympijský špeciál
1:29:48
Televízia JOJ
Рет қаралды 28 М.
VIDEO YA MAKONDA AKIWASILI UWANJA WA NDEGE ARUSHA
2:20
masta tz
Рет қаралды 6 М.
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
Dina Marios tv
Рет қаралды 3,2 МЛН