Uyo mdada anajua kila kitu mpelekeni police akabanwe yani anajibu kama amekufu mbuzi uyo hatakiwi uhojiwa kama anatongozwa mpeni kibado kweli kunawanawake magaidi wallah mungu tunusuru yarab 🙏
@user-uj5wg9mm2t5 ай бұрын
😢😢
@AminaLibisa5 ай бұрын
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭😭
@Nyanandi5 ай бұрын
Mwanamke mkavu hvo jmn kama vle hajafiwa ni mhusika kabsaaa😢
@AminaLibisa5 ай бұрын
@@user-uj5wg9mm2t 😭😭
@AminaLibisa5 ай бұрын
@@Nyanandi yaani ni sumu ni jangili kabisa wallah 😭
@aminathaabubakarmasoud5655 ай бұрын
Kulikuwa kuna issue gani mpaka upigiwe simu uulizwe kuwa amefika nawe ukajibu hajafika na kwa nn huyo Rafiki wa mumeo asimpigie muhusika??? Kuna utata hapo jeshi la police wafanye Kazi yao
@athumanfuko1995 ай бұрын
damu ya mtu haiendi bure watapatikana tu.
@user-qq6mv6vh3e5 ай бұрын
@athumanfuko1kabisa99
@user-xe2gw3bh9d5 ай бұрын
Kabisa jamani huyu mama anajua yote
@user-nb5op7ss2s5 ай бұрын
Point san.
@rabiamenshoo19885 ай бұрын
Huyo mwanamke abanwe vizuri,atatoa ushirikiano wa kumjua muuaji.
@sharifaaliy15195 ай бұрын
Ni kweli kabusaa
@mosesg.pendael83815 ай бұрын
Kwa sbu kahojiwa na mwandishi asiye na mipaka?
@sistymbombo16165 ай бұрын
Huyo mwanamke ndo anajua Kila kitu
@stephenrwaich10785 ай бұрын
na huyo mwanajezhi achunguzwe sana pia
@gibsonjosephat63525 ай бұрын
Huyu mwanamke akikutana na wataalamu wa uchunguzi atasema ukweli.
@zainabwage46585 ай бұрын
Yaan ufiwe na mumeo alaf uwe na nguvu yakuongea km ivyo hapana kwa waliofikwa na misiba km hii wanajua maumivu yake maana uwez hojiwa unaweza ongea kwanza akil unais zimesepa polen ndugu wafamilia mungu awape subra inauma mno
@joharimanyanda33585 ай бұрын
Huyu anajua kifo Cha huyo mtu
@mariamfritsi49435 ай бұрын
Tena hana wasiwasi kabisa, tena anaongea kashika kiuno, hana hata tone la huzuni,
@sharifamahamudu1825 ай бұрын
Yani anajua uyo
@nusrathmanyawa45015 ай бұрын
Yaani hadi namshangaa mumeo tena wa ndoa jamani
@pendomushi63515 ай бұрын
Mfano mzuri tuliona Kwa yule dada alie liwa na mamba dada alilia Kwa uchungu yule 😢😢😢huyu hata simanzi hanaa
@faridahaji59485 ай бұрын
Huy dada ni kiboko hivi anajuaaa maumivu ya kufiwa na mume kweli uso mkavu hivi unajuaaaaa
@anithiajohn92095 ай бұрын
Jaman amekufa kwa mateso sana inaumiza sana mungu tupe mwisho mwema😢😢
@laylayl51665 ай бұрын
Amiin yaarab kwakweli
@Carolina-sm5zt5 ай бұрын
Amina
@QwaridaNadamassay5 ай бұрын
Kweliiii jmniii
@stellamsokwa67855 ай бұрын
Aisee dunia hii JAMANI dunia hii mweee😭😭😭😭😭
@chimamilion5 ай бұрын
Yn unamwinamisha mwanaume mwenzio mpk unafika kilelen😢nawaza sana maumivu aliyoyapitia poleni familia 😢nawewe dd mbona mkavu ivo ata uzimii jmn
@AsdDsa-fi5qk5 ай бұрын
Malaya atazimia kweli wkat amefurah
@yama_virginhairthequeen10655 ай бұрын
Inasikitisha sana jmn
@SalamaNauthar5 ай бұрын
Itakua kahusika huyu dada
@user-vy2bc6xg3i5 ай бұрын
Yaani mimi mpaka sasa sijui walimzalilisha alikuwa ameshakufa au hai daaaa dunia hii
@chimamilion5 ай бұрын
@@user-vy2bc6xg3i yn nikijikata nakisu nais kufa cjui yeye alipitia wakt gan jmn
@ramadhaniayubu61035 ай бұрын
Ahaaa uyo mbona atasematu ngoja police wamuhoji vizurii kabisa
@Lllllllmmn5 ай бұрын
😮😮😮😢mwamke kafiwa ila ata dalili ya uzuni hamna usoni khaaa mkavu
@africandarling69255 ай бұрын
Yani mwanamke anajua huyu kila kitu wallaah
@user-cn5ft9ss6x5 ай бұрын
Jicho kavuu...mmmmm ,😢😢😢😢😢😢😢😢
@sharifamahamudu1825 ай бұрын
Tena mkavu mkavu tena
@DavalsonMarlony5 ай бұрын
du dunia watu wamekuwa na roho mbaya Sana usimuamin hata mke wako maisha ya Sasa syo kama ya zaman Ila Arusha matkio yamezd Sheria kdogo iwe Mt akiuwa nae anyongwe ad kufaa🪓💉✂️⚔️🗡️
@DavalsonMarlony5 ай бұрын
damu ya mt aiendagi buree
@tumainichanya32685 ай бұрын
Baba wa watoto wako huyo hao watoto watakuwa wakubwa na hiyo storry wataikuta uso wako utaficha wapi dada?kuachana haikutosha halafu unajichanganya mara useme alompigia cm cmjui,mara rafiki zake sasa umejuaje kama ni rafiki yake kama humjui? Nafsi yako inajua ukweli,yani umetoka monduli umekuja kusalimia watoto mara mtu anakuuliza huyo amefika inaonyesha wazi ulikuja kishari kwa mauaji kabisa halafu ni mume wa ndoa khaaa jamani wenye uhitaji wa ndoa hawapati wasio hitaji wanapata ,na mchepuko unakubaliana nao hadi kumwaga damu ya mumeo mmmmh kumbe kwenye ndoa unaweza ishi na shetani mwenye jina la ushetani kabisa
@SmilingCityMap-xb9md5 ай бұрын
Yaana uso wa huyu mama unaonyesha ujasili kama hajapoteza kitu jamani huyu mke wa malehemu sijamwelewa anajichanganya maneno Sana ila atambue mungu analipa hapa hapa Duniani na damu NI nzito mtalipwa wote wahusika hata msipokamatwa na vyombo vya Dola mungu atawalipa NI kiasi cha MDA tu
@hellenmwayole87155 ай бұрын
Dada anapanga Cha kuongea yaani anajichanganya anapanga sentensi hazipangiki, harafu anahofu furani. Duu Bora kuachana Kwa amani
@onyaluoma8485 ай бұрын
Eti flani typo,badala ya mume yupo!!!!
@tumainichanya32685 ай бұрын
Yaani ikiwa ndo mchepuko kafanya hayo lakini pia akirudi kwako Nako hata ishi nawewe maana ushaumtia ukakasi usisahau kuwa huyo ni mwanaume kama huyo huyo hivyo atakuogopa atahisi utaweza kumfanyia anything like that happened hivyo kama umeweza Kwa aliye mume wa ndoa Tena kakupa na uzazi baba watt utashindwa nini Kwa mchepuko ? nyie ndo mnaoharibu maana ya ndoa na kuacha doa lisilotakata hata Kwa clorox ,
@susankitila28985 ай бұрын
😭😭
@roseafrael755 ай бұрын
Kwann unfanyie binadamu mwenzio kitendo cha kikatili namna hii,, kwann jamani 😢😢😢 ,,, kwann wamemuua kifo cha kikatili kiasi hiki,,,Mungu awaadhibu wahusika wote nimeumia mnoo,, serikali wafanye uchunguzi,, inaumaaaaa sana.
@Carolina-sm5zt5 ай бұрын
Tuombe Rehema kwa Mungu tunapo elekea siko
@FrancisMotivation0025 ай бұрын
Arusha pamejaa Majambazi Sana, Wahuni wote Wa Tz wapo Arusha, Huyo Mwanamke aulizwe vzr kuna Jambo anaficha lipo nyuma ya pazia
@husseinnuru75445 ай бұрын
Jaman hata kwetu Tanga kologwe yupo mkaka ameuliwa hvyo hvyo mungu tusamehe natulehem siisi eewe mola 2saidie
@FrancisMotivation0025 ай бұрын
@@husseinnuru7544 Ni hatari Sana, Watu wanafanya mambo Hayo wanadhani Dunia ni Yao
@mwananganzi5 ай бұрын
Pole sana kwa familia ya tumaini . Mungu awape subra na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu.
Mwana jeshi jeshini, uku uraiani ni punda kama punda wengine, wakamatwe ili kupatkane ukweli hii nchi hatukufundishwa tabia hizo
@habisnasalum-nz4zo5 ай бұрын
Mwanamke anajua kila kitu
@vurilyrics30045 ай бұрын
Duuuu! Tuliosomea cuba tushajua tu huyo mama anahusika mana hata maelezo hayajitoshelezi
@esterswai94545 ай бұрын
Mungu akutie nguvu baba,,siyo rahis lakn Mungu atakuvusha
@eaglecrown11015 ай бұрын
Suspect everything but trust nothing... yote kwa yote yanawezekana inawezekana mwanamke akawa anajua na inawezekana asiwe anajua....ila kuwa na mahusiano na mwanajeshi anaonekana kuna kitu anaficha.
@paulmushi24285 ай бұрын
Hilo neno la kwanza amefika? Kisha akabadili kauli, mala aliyepiga haijui namba mala aliyepiga ni rafiki ya aliyeuawa!! Hapo kuna walakini juu ya huyu mwanamke!
@zamdakimaro80405 ай бұрын
Kabisa
@wilfredmoshi65075 ай бұрын
Sure anajichanganya maneno yake.
@kisinza60775 ай бұрын
Yaani anajichanganya na maneno yake makavu sana Hana hata Ile Hali yakiwa amefiwa!!!
@evertheobald18115 ай бұрын
Mtu anaishi naye halafu hajui aliko mume wake kweli?
@elinurukitomali60085 ай бұрын
Mungu nisamehe hy dada mckilizeni maelezo yake nizairi anajua
@ShukranMwakyambo5 ай бұрын
Uso wake unaeleza Kuna kitu anajua
@vesitinarevocatus73335 ай бұрын
Haswaaa kwanza iyosim ilopigwa kwake kulikuwa nampango
@ShukranMwakyambo5 ай бұрын
@@vesitinarevocatus7333 baba mdogo anasema walitengana yeye anasema sijawahi kuachana na mme wangu Kwanzaa kwa kifo alicho kufa mumewe anaa nguvu zote Kwanza macho yake tu. Yanajieleza j. apo sio mpelelezi
@athumanfuko1995 ай бұрын
huyo atasema yeye mwenyewe
@IrenMushi5 ай бұрын
anaonekana ana ukwel mzm huyo sister
@officialfadhilomar52495 ай бұрын
Tujitahid kufanya mambo mazuri mambo mema.... Kuna matatizo yanaweza kuwajia hata vitukuu vyako ikiwa ni malipo ya yale ulio ya tenda... Wacha mitohani ije ila isiwe ni kwaajili ya yale mabaya tulio fanya.. Poleni sana wahusika mungu awape nguvu... Mungu atulinde sisi na vizaz vyetu
@AminaMwaba-rj3lo5 ай бұрын
Kwa kweli daaah
@nelsonnikodem11005 ай бұрын
Poleni sana familia baba kasema haishii na mkewe mkewe kasema anaishi nae mbona kuna walakini
@ansilamadicha86805 ай бұрын
Dada mkavuuuu😢 hyu alkula mchongo
@elinurukitomali60085 ай бұрын
Hy dada oajiwe vzuri na aoneshe hy alompigia
@ednahumazi7775 ай бұрын
Mumulizee vizuri.huyo.mdada
@yudatadeimdoe92155 ай бұрын
Kesi rahisi sana hii kwa upande wa upelelezi****
@gfydfdf88695 ай бұрын
Jamani huyu mwanamke anahusika,,damu itakulilia dada,mwongo sana dada hata machozi mukafu hivyo,huu niunyama sana huyu,hadi mumelala..
@user-qq6mv6vh3e5 ай бұрын
Njo nashangaaa
@ukhtyrehemaabdy28305 ай бұрын
Inauma sanaaa ukwel Allah anaujua Allah awahukumu wahusika wote
@sophiakimaro51745 ай бұрын
Mungu wangu nakusihii kama alivyoandika Isaya:49:26 adui zake wale nyama zao wenyewe kwa wenyewe na walewe kwa damu zao wenyewe kwa wenyewe.
@brightonfilbert5 ай бұрын
Mungu anawaona hao wauaji😮😮 ukatili uliopitiliza
@neeskpop5 ай бұрын
Huyo mwanamke, aojiwe vizuri, kwa sbb, maelezo yake hayaeleweki. Pole kwa wafiwa.
@kulngeleza67335 ай бұрын
Mkewe anahusika kwa asilimia zoooote eeh mungu wa😢hii dunia wapi uku jmn ya allah tunaomba usaidie umma 😢 wako
@jesuspower23905 ай бұрын
itabidi usaidie police kumbe unajua kila kitu
@maryamm77655 ай бұрын
Dah 😢😢😢damu ya mtu aipotei
@alisterlexter11155 ай бұрын
Mhhhhh mbona kuna utata “Aliyenipigia simu simjui”……….mara tena “alienipigia namfahamu ni rafiki yake” “Baba mdogo kasema walikuwa wameachana kwa muda” na huko monduli alikuwa amechukuliwa na mwanajeshi 😢 Huo ni unyama jmni inaskitisha sanaaa kwakwel na inaumaaaa kwann wamefanya hivyooo daaaah💔💔🤲🏻😭 eeeh Mungu waliofanya hivi roho zao zisitulie milele wakataabike mpaka waamue kutubu kwa walichokifanya😢
@uwezawamungumkuu.amaniafrika5 ай бұрын
Ni ukatili wa kutisha sana. Binadamu binadamu ninyi damu hizi zitawalilia milele. Mwanaume unamuua mwenzako kwajili ya mwanamke ambaye ni sawa na siti ya daladala?. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
@beathagabriel84384 ай бұрын
Usifike huko kutukana mwanamke kuwa siti ya daladala. Kumbuka una dada, mama, shangazi, nk.Mtuhumiwa yeyote atuhumiwe kivyake. Usihusishe jinsia na kuidhalilisha kwa kosa la mtu binafsi.
@mugishamajeba96285 ай бұрын
dah ivi uyu dada kafiwa kweri au nirafikitu maana ata anauzuni ata kidogo dah mungu atuongoze
@zainabwage46585 ай бұрын
Mm nahis anaigiza tu izo nguvu zinatoka wap
@user-qq6mv6vh3e5 ай бұрын
Nimeishiw
@leviskiwanga90705 ай бұрын
Pole sana Mr Barick wana southern sun tunakupa pole sana -levis
@judithrichard55465 ай бұрын
Jamani huyu mwanamke ni anahisika mana sio kwa ukavu huo huyu dada anajua kila kitu yani tunavyojua ukifiwa na mumeo jamani huwezi kuongelea chochote na kumbe walitengana na yeye anasema wapo wote hapana jamni akamatwe huyu dada. Tunataka majibu waandishi wa habari
@jumarajab53165 ай бұрын
kesi ndogo sana hii kwa upande wa upelelezi ila nikubwa kijamii kwakuwa ni mauaji
@hamisaally9685 ай бұрын
Uyu baba jamanii yaani usiku upo na mwanao asubuhi yupo chini amedhalilika😢😢Mwenyezi Mungu akupe subraa wallah😢
@EdghaMoses-js8lj5 ай бұрын
Maelezo ya huyu dada. Sijaelewa vizuri ila sitasema chcht sababu mwanasheria wangu kasafiri jaman
@neemareuben3115 ай бұрын
Huyu dada mshenzi sn anajua kila kitu abanwe vzr mpk chuchu atasema ukwel au wafwatilie cm yake na huyu mumewe watajua chanzo nn😢😢😢😢
@user-qq6mv6vh3e5 ай бұрын
Muuwaji kabis anajua kila kitu
@Allybinamour5 ай бұрын
subhanallah! jeshi la police zianze kwa huyu mke, lakini arusha kwa sasa inaonekana ni mji namba moja kwa ukatili tanzania.matukio mazito kama haya yanatokea mara kwa mara kipindi hiki.
@mosessamson18115 ай бұрын
Sio vyema kwenda kwa hisia ila huyu dada, ashikiliwe na ahojiwe vyema, Kuna jambo kwenye mabano.
@laylayl51665 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭jamani huko Arusha muogopeni mungu hivoo yaani hamuogopi mungu hatakidogo poleni Sana wafiwa wotee wallahi inaumiza sana
@najmasalim-rg6ow5 ай бұрын
Daaah! Poleni ndug nahis maumivu makali sana daaah!
@martinabayyo99825 ай бұрын
Mwisho wa dunia umekarbia kwakweli
@johnmeshack44315 ай бұрын
Waaa mungu atusaidie
@laylayl51665 ай бұрын
Mwenyezi mungu walaani wote waliohusika nahuo unyama hatakama alikuwa amefanya kosa labda lakini siyo kwa unyama huo 😭😭😭
@dayana5513story5 ай бұрын
😢😢😢 siku izi ukikutana na binadamu mwinzio Kimbia maaana duh
@vumi83715 ай бұрын
😢😢😢yani jamani
@dayana5513story4 ай бұрын
@@vumi8371 😪
@user-gu4wc5tv8o5 ай бұрын
Mungu pekee ndiye anajua
@guyasidotto11985 ай бұрын
Saikokojia na muonekano huyu mwanamke anajua kila abanwe
@amoonatnzani98345 ай бұрын
Huyo mwanamke anajua Mbona anasema hawajaachana Na kumbe wameachana
@pendomushi63515 ай бұрын
Kwanza anajikanyaga haeleweki huyu anafahamu mchongo mzima
@cbegram61615 ай бұрын
Si atasingizia labda hajamuachia talaka kwa hiyo kisheria ni Kama hawajaachana ila wamepeana likizo
@celinamosha94205 ай бұрын
Mbwa wewe shetani mkubwa yaaani natamani nikupige
@user-qx4ev2jv5w5 ай бұрын
😂😂senge ili linajua kila kitu libanwe vizuri uyu dada anajua inshu nzima pumbavu
@amanisaid98635 ай бұрын
Poleni sana familia damu ya mtu haimwagiki bure,,ipo siku tutajua ukwer wote namini jeshi la porece lipo
@user-ic3kl9jg9k5 ай бұрын
Mzee pole sana baba yangu
@user-bj5uh1fx8l5 ай бұрын
Huyo mwanamke anahusika abanwe atoe aelezo ila hiyo damu ya huyo kijana itamtafuna mtoto wa mwanamke mwenzake ameuwawa kwa mateso jaman
@kalebiestomihi5 ай бұрын
arusha kwa kweli matukio yamezidi e mungu.tutetee bila wewe sisi hatuwezi inauna sana kama watumiwa wakimamatwa nao wauwawe tuu hakuna njia nyingine huyo.mwnamke anausika asilimia 99
@user-gb1hn5ml8y5 ай бұрын
Naunga mkono huyu mwanamke maelezo yake yana mgongano kwa mwandishi wa habari akipata police officer ataongea vizuri.tunao ungana na hili gonga like
@user-jj3tq1rh4p5 ай бұрын
astghafulah daah
@user-ky4rb2lg3h5 ай бұрын
Wanawake wenzangu,Mungu atupunguzie adhabu ya kaburi
@maulidjumakibula46745 ай бұрын
M/mungu ampumzishe mahala pema pepon kijana mwenzetu amepitia mateso makal sana had kufa kwake jaman.
@tzcruiseralteza20395 ай бұрын
millard uyu mtangazaji wako ni mnoma sana anauliza good question kabisa
@pendomushi63515 ай бұрын
Mungu yupo kabla huyo kaka kuzikwa majibu yatatoka damu ya mtu haiendi bure 😢😢😢inauma mmno
@janemsamati67005 ай бұрын
nimesikitishwa sana na tukio hili jamani, damu ya marehemu itanena , poleni wote , RIP HENRY 😢😢
@leahmollel65895 ай бұрын
Mhhh! Damu ya mtu huwa haipotei! Kitajulikana tuu😭😭😭
@joharikitundu5 ай бұрын
Mdogo wangu.Hiyo kama umeahiriki naomba kuwa mkweli Ili watoto (kizazi chako) Kisipitiye Hy Damu ya maumivu ya marehemu yasije wasipitiye
@uwezawamungumkuu.amaniafrika5 ай бұрын
Aisee kosa gani hili la ukumu mbaya ya aina hii?. Shinda nini?. Wanategemea nini mbele za Mungu mkuu?. Wanadamu tumwogope Mungu maana yupo. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
@Gabzyholic5 ай бұрын
That is not how you interview a hot case that is open to inestigations AYO .Avoid court by leaving questioning potential people of interests either implicating or just questioning.
@ubuntubantu24045 ай бұрын
So true, just for the sake of views you cant jeorpadise the witnesses or disrupt investigation altogether
@godlistenJohn5 ай бұрын
Ww ni mswahili unazungumza na watanzania sasa hiyo lugha yakazi gani
@kennethbenjamin2755 ай бұрын
Wanaelewa hawa ayo kwani They don't understand kabisa
@kilimanjaro77international265 ай бұрын
I don't think it will affect anything in this case, pressure bust
Daaah.. Inasikitisha Sana..!!Lakini Mwanamke anaweza kuwa mshukuwa wa kwanza katika kulisaidia Jeshi la Police..!!Poleni Sana wafiwa..!!
@Satier475 ай бұрын
HUYO DADA ANAJUWA KILA KITU AMBACHO KIMEFANYIKA HAPO. NA HUYO MWANAJESHI WAKE, 😢 KAZI NI KWENU KUMUBANA HASA.... DADA HUYO KISHETANI KABISA 😢
@verohmchihiyo50295 ай бұрын
Hii inaumiza sana sana sana... Mungu wewe ndio unajua kila kitu naomba utoe haki kwa kila mmoja
@user-rl8ft3cu2q5 ай бұрын
Mungu nijaalie kifo chema
@yukundapeter82005 ай бұрын
Baba jamani una uchungu,poleni sana.
@madahaisack12685 ай бұрын
Huyu mwanamke Kuna walakinii
@mamaabduly5 ай бұрын
HUYU MWANAMKE MTUHUMIWA NO 1...ABANWE ATASEMA KILA KITU
@Ezekiel-rh2ni5 ай бұрын
Duh it's like huyu Dada apelekwe kwenye mahojiano vizuri
@kjb_user00775 ай бұрын
Jamanii matukio kama haya sasa yametapakaa duniani kote...hii ni mwanzo wa sign ya malaika wa Mungu walio shikilia pepo nne za dunia wameanza kuachia taratibu taratibu.... Na kadili wanavyo achia kidogo na ndivyo roho wa Mungu anavyo zidi kuwa acha watu wanao ng'ang'ania dhambi... Hivyo basi huko mbele tunako enda kama Mungu akitu hifafhi hai...dunia ikisha kuwa katika udhibiti wa shetani 💯 tutaona mengi.... Maandiko yanasema watu watauana wao kwa wao,damu za watu zita mwagika kama maji kisa kona za dunia itakuwa ni mauaji ya kutisha... Ndugu zangu amani hii unayo iona leo,jilani yako anaku heshimu,mnasikilizana na wanao wanaku tambua kama mzazi si mda mrefu tuta ishi kama wanyama wanao windama.... Na hapa ndio mwanzo wa utungu...lkn ile dhiki kuu ya ulimwengu kabla ya YESU KRISTO au ISSA BIN mariamu kurudi kuchukua walio wake hiyo itakuwa bado..... MAANDIKO YANASEMA Dunia ita ingia katika dhiki kuu ambayo haijawahi kutokea na haitakuwepo nyingine kama hiyo tena.... 1.Matetemeko yatakuwa mengi sana 2.Vita zitaongezeka 3.Njaa na uchumi kupolomoka wa dunia 4.Utu kuisha mioyoni mwa watu 5.Mafuliko yatakuwa yakutisha 6.Mioto kulipuka sehemu sehemu pasipo kujua vyanzo 7.n.k YOTE HAYA NIKWA SABABU DUNIA IMEAMUA KUWA KINYUME NA MUNGU WA KWELI NA KUFATA UONGO NA KUIACHA SHERIA YA MUNGU... 2 Petro 2:21
@Sisopotashiumz5 ай бұрын
Very Points
@Xyz-dc3yq5 ай бұрын
Malaika mavi
@neemabaltazary20085 ай бұрын
We mungu wa Israeli tusaidie
@zuhuzuli.51505 ай бұрын
Hakika Mungu atunusuru waje wake😢
@broumaiyyah80185 ай бұрын
@@neemabaltazary2008ndo Mungu gan huyo
@ednagodson75405 ай бұрын
Dada mkavuu😮😮
@user-lh5cd5xn7k5 ай бұрын
Dada eleza vizuri,,,. Mbona jicho kavu,,,,,kitakukuta kitu ,!!
@fridamuss9225 ай бұрын
Mhh siopowaa yani mtu waachane alafu apigiwe simu aulizwe mumeo yukowapii huyu ameyakanyaga poleni san ila huyo kaka kafa kifo cha mateso sana Mola wangu hachelewi wala hawahi atalipa hii karma tena kwa uzuri tu inalillah wain lillah rajiun😢😢😢😢
@Ambwene5 ай бұрын
Huyo Mwanamke inaonekana kabisa kwamba ni mtu wa matukio na ni muhusika mkubwa katika sakata hilo la kifo cha huyo kijana 😢😢😢😢
@mohammedrajabumwamba13225 ай бұрын
Innaalillaahi wainnailaihi Raajiuun 😭😭😭😭 jamani watu mbona mnakua na roho za namna hivyo dah😭😭😭 inauma sana. Poleni sana ndugu janaa na marafiki
@rahellubandila19285 ай бұрын
Mungu anisamehe huyu dada mkavu mno utafikiri hajafiwa Mungu ajua
@rahellubandila19285 ай бұрын
Mungu turehemu Tz haya ni machukizo makuu sana mbele zako
@user-oo1vz3zi1t5 ай бұрын
Huyo mama anajua chanzo kwakumuangalia tu hata hatoi Machoz nimtata
@evertheobald18115 ай бұрын
Mungu akutie nguvu baba yangu 😭😭😭😭😭
@ashurajuma48375 ай бұрын
Huyu mwanamke huyu mmmh yani utasema anahojiwa jirani jamani😢
@user-sk6xl8ds3q5 ай бұрын
Mungu awatie nguvu family, Kwa ujumla
@joycemkeka37695 ай бұрын
Kama nikweli amehusika atapigwa na mungu mana ndoa nijambo la mungu kama unajijua sio wakuolewa kwanini kilazimisha moyo mbaka kuleta mazala makubwa ivo mungu tusaidie hali imezidikuwa mbaya 🙏🙏
@azizamvungi18715 ай бұрын
Yaani roho inaniuma sana
@user-sy2mp7mm8u5 ай бұрын
Huyu mama ana taarifa muhimu
@SihabaAbdallah-li6dx5 ай бұрын
Yani mates matan mwezio unampa kumuharibu kumfunga uson akiuonen mnavo muazib😢 na mmemp azab nyengin kumtoboa toboa kwakwel😢😢
@user-pr9mx6pd8p5 ай бұрын
No one is safe nowadays sio wanaume sio wanawake😢
@MwanahamisNsila-sz1kr5 ай бұрын
Huyu mama anaonekana anajua kinachoendelea sikiliza maelezo yake anajikanyaga tu 😢