Aaahahaahaa!! Kelele , vilio, na malalamiko ni furaha na shangwe kwa wana Yanga kama we mwananchi gonga like
@saudazongera21 минут бұрын
Mzee kula ukalale, hayo ni maneno tu mpira mguuni babaaaaa;;;
@frednandjackson16 сағат бұрын
Vituu tunavyopenda😂wanayangaa 😂😂💚💛💚💛 yaaani mpakaa wasemeee bado hawajasemaaaaa💛💚
@kaisarimbisso5011Сағат бұрын
Safi sana kuona jamaa wanavyotaabika. Na bado. Tutawakong'ota sana hawa panya road
@ANIMOOHQ15 сағат бұрын
Basi Camara ni waziri wa mambo ya nje na Kijili ni waziri wa mambo ya ndani😂😂😂😂😂
@saidlindi961912 сағат бұрын
Pumbavuu sanaaaaaa nyinyi Yani mama aache kazi zake kwaajili ya nchi awawaze ninyi mnaojifunga wenyewe kwendraaaaaa YANGA BINGWAAAA
@eliakasenya603815 сағат бұрын
Kila timu ishinde mechi zake !!! Azam tv nawapa big up sana#Azam max
@Mhabeshi.Madayi13 сағат бұрын
Maxxxxxxxiiiih...Wamejiweka wenyeweeeeee😂😂😂😂 Mtalalamika mpaka na sehemu zote za faham mwaka huu yanga bingwaaaaa.....
@zeralucyntazimila660012 сағат бұрын
Nyie like goli Max aliwafumua wala hawakujifunga wenyewe walifumulieq😅
@charlesmwita424513 сағат бұрын
YANGA BINGWA
@Rukaka_jr13 сағат бұрын
Kabla hawajahama ligi tupige game moya ya kuagana 😅😅😅
@NasskhefСағат бұрын
😂😂😂😂😂😂urogwe halafu useme umeonewa
@piussimtala511112 сағат бұрын
Polenii,Wazee,Yanga Bingwa!!
@lumistarboy849916 сағат бұрын
Hapo chacha 😅😅😅 wazee wa Yangsc walikua wakitoka mnasema wanalia Lia Sana...😂😂😂
@abubakarijuma829512 сағат бұрын
tabulele rahaaaaaaa sana yanga bingwa tena 💛💚💚💛💛💚💚💛💛💚💚💛
@SaidOmary-z1k13 сағат бұрын
Nahisi haya yote ni maumivu ya kufungwa ingekua kama simba kashinda ile mechi msinge yaongelea Hayo leo
@BENEDICTMHINA-pd1kr16 сағат бұрын
Daaah ukisikia Wazee wa ovyo ndio hawa sasa😂😂😂😂😂😂
@IndalesioHenery3 сағат бұрын
Nabado mpaka mseme yanga itawatesa sana
@charlesmseti434513 сағат бұрын
Mbna waziri mkuu ni simba na hatusemi acha uchonganishi. Kula Chuma hicho.Acha Kulia mungu atakujalia!!!
@NakhlahKayfah-rh3jw15 сағат бұрын
YANGA BINGWA💚💛
@HamisRamadhan-v5e10 сағат бұрын
Hivii huyu mzee hana kazi zingine za kufanya, maan namuona anafany kaz ya mashine anasaga mahindi unga wanasonga ugali wanakula wengine, yanga oyeeeeeee💚💚💚💚
@matiankomola239115 сағат бұрын
Ona Aibu Mzee wangu! Mzee una ushaidi na hayo unayoongea!
@WAKAWAKATV-m8y4 сағат бұрын
Duuh maneno ya huyu mzee aibu naona mimi ...wazee awajielewi hata kidogo
@chiefnumborecords481912 сағат бұрын
Daaaaah kweli mmevurugwa sana tena sana poleni sana wazee wa simba ila ushauri wangu msimuingize Muheshimiwa Raisi na mambo ya mpiraa hapo aijakaa sawa wazee wangu
@hamzaabdallah863712 сағат бұрын
Ila mmeumia sana masikini. Hata sisi Kuna kipindi tulilalamika sana hivyo , ila tukagundua kuwa siraha ni kusajili Timu mzuri na kujipanga na Uongozi Bora.
@petromwarabu998315 сағат бұрын
Wizara imejaa Simba Tff Simba. Kweli hawa vichaa
@saidlindi961912 сағат бұрын
😂😂😂kaka mi nachekaga tu ,,,,,hawana mantiki hata kidogo
@mahyorokalokola401215 сағат бұрын
Hivi kwa mpira gani mlionao Simba mpaka Yanga wahonge marefa. Nyie tengenezeni timu. Maneno maneno hayo hayawasaidii
@EDWARDMARKO-t4r15 сағат бұрын
Na mtasemaaaa🤣🤣🤣an mpaka msemaaa an apo badooo🤪🤪
@SinzaRobert12 сағат бұрын
Kijiliiii oyeeeeeeh
@magesakhamis480815 сағат бұрын
Mamae mpaka mseme😂😂
@vicentsimba43155 сағат бұрын
Wanunuzi wa mechi ni Simba
@deusluziga424115 сағат бұрын
Wewe Mzee acha hizo. Hizo mbinu za kuibomoa Yanga hutafanikiwa
Kayoko ndiye aangalie dhambi ya rushwa ya mpira ambao kipa alidaka ukatoka nje yeye akaendeleza, haya mambo kipindi cha nyuma mlikuwa mnafunga hadi magoli ya mikono linaanza kujirudia
@magesakhamis480815 сағат бұрын
Haya majamaaa aseee😂😂@@isaackaitira7654
@malietamaliet15 сағат бұрын
@@isaackaitira7654😂😂😂mechi zidi ya azam magoli yote yalikua offside mbona ukuongea??? mechi zidi ya Dodoma Jiji sikuona unaisemea Ile penaty ulikua wapi??? Mechi yetu na nyie ya ngao ya jamii magoli mangapi tulinyimwa ?? Mbona sikuona andiko lako sai kayoko ety ana dhambi dhambi mnazo nyie
@isaackaitira765415 сағат бұрын
@@malietamaliet magoli yalikuwa offside gani unajua sheria ya mpira kipa akisha ucheza offside inakufa, ile ya Dodoma ile ni clear ulitaka avunjike mguu ndiyo uweke penalt, mmezoea mbereko ndiyo maana mnafunga hadi magoli ya mikono mmedhulumu Kengold goli la wazi
Jibu unalo. Sisi wananchi mzee tutawakera mpaka basi
@emanuelyamani510212 сағат бұрын
Huyu mzee ni kuma eti 😢😢😢 yanga bingwa matako yako
@SinzaRobert12 сағат бұрын
Bado hamjasema nabado mpaka msemeeee😂😂😂😂😂
@Josephtibu-l9e7 сағат бұрын
kweli kabisa mzee 😢😢😢😢😢
@emmanuelmbwile324015 сағат бұрын
Wazeee mmechanganyikiwaaa
@jumaally72415 сағат бұрын
Wanasimba tuwe makini sana timu yetu inataka kusambaratishwa
@moyolameck55514 сағат бұрын
Na tutaisambaratisha🤣🤣🤣
@eddyrich.331212 сағат бұрын
Na bado mpaka mhame nchi
@EgidiusTryphone11 сағат бұрын
Hahahahahaaa hasira za mkizii🤣🤣🤣🤣💚💛💛
@KondoAminiСағат бұрын
Lengo ni kumuondoa GSM Ili timu ziwe dhaifu kiuchiumi wazifunge kirahisi haya nanyie Makolo mnadhaminiwa na GSM mpaka mnamkubali kufungwa mara nne mfululizo 🤣🤣🤣💚💛💚💛💚💛💚💛
@@KayandaSalumwe na uyo mama ako ndo hamna akili maumbwa kwann hamkutoka mlipomaliza mechi na Dodoma Jiji ama Ile yetu na nyie ngao ya jamii kumbavu zako
@@isaackaitira7654 kwani nyinyi hamfungwi kina nani team mbovu game ijayo achezeshe mo na Ahmed Ali alafu uwanja uwe bunju yaani nyinyi mkidhulumu team mwafurahia Bado mtasema sana team mbovu
@cathbertkamugisha154715 сағат бұрын
Pameanza kuchangamka huyu mzee atatoka machozi aisee😂😂😂😂😂Alikamwe anawatesa sana jamani
@AlhajiBayakas2 сағат бұрын
Wataje tuwajue nass
@Buysar_fx12 сағат бұрын
Mtawauwa bure wazee wa watu 😅😂😂kwa presha yanga hii dah
@saidmansoor852815 сағат бұрын
Makamu wa Rais alisema kama mshabiki na ni haki yake baada ya kuelezwa mipango na plan za YANGA ndio akasema haki yake hiyo kama prime minister kujisifu na Simba haki yake pia, HATA AZAM ANGEONESHA KIBU ALIZIDI, NA FAULO ZA NJE YA BOX ZIWE PENALTY ACHENI HAYA MAMBO HAYO
@isaackaitira765415 сағат бұрын
@@saidmansoor8528 Faulo nje ya box kuna faulo ya penalt alichezea na Boka ndani ya box, kuna faulo ya penalt alifanyiwa na Bacca huyo Aucho na Boka wamecheza faulo ngapi za redi kadi, mbona Majaliwa ni simba hajawahi kuongea kwamba simba atakuwa bingwa kabla ya ligi
@kassimabuu29785 сағат бұрын
Sajilini yanga wapoborasana
@KasimuRamadhani-x7d14 сағат бұрын
Miaka minne yanga hawajaongea mna midomo sn simba
@raymondthomas396015 сағат бұрын
Nyie wahuni tu😂😂😂
@swaijeremia12 сағат бұрын
Kesho mkifungwa tena ndyo mta nyamaza na msipo angalia na kwajisi mlivyo Adhirika kisaikoloji mnaweza kufungwa tena kesho,walahi
@vincentkatonga698512 сағат бұрын
wazee kama hawa nikupiga risasi na kuuwa kuma la mamaako mpira uchezwi kwa siasa
@saidilindukwa12 сағат бұрын
Sasa kabla ya kuhama ligi tucheze mechi moja kwanza Kisha Muhame vizuri,,Goli 5 mlisema mtaenda takukuru hamkwenda Sasa ruksa nendeni Sie tutawakanda Tu mpaka mseme timu Na uongozi wenu vyote vibovu umfunge Yanga Kweli,,?? Hameni ligi muende mtakako lkn tucheze mechi moja ya kuagana kwanza dadadek😂😂😅😂😂
@BabaFaa-k7iСағат бұрын
Huyu mzee lumbukeni sana anahtajka kuelekw milembe
@JohnMbogo-c1n11 сағат бұрын
Mzee jikite kwenye sala...uzwazwa na uzee ni mafuta na maji....ukifungwa fungika mzee jipange mtalialia hadi lini😅😅😅....msiwaingize viongozi wa nchi kwenye upumbavu wenu timu hamna mnabaki kulalama. Mlikua mnasema ooh Yanga anashinda goli moja leo hilo hilo goli moja mmeumia panya road wote😂😂😂😂
@idrissaidrissa38766 сағат бұрын
Kumbe inauma azam waliumia san kwa magoli ya ofsid mukawa munafurai leo mmejifunga wenyew mnalia😂😂😂😂😂😂😂
@liberatusmsasa710311 сағат бұрын
Kweli nimeamini KOLO NI KOLO tu! Yanga bingwa!!😂😂
@NicholausMangula2 сағат бұрын
Manara anawauma sana mlikaa na mtu muhimu kawaona hamna lolote kakukimbieni Leo mwalia na bado
@hafidhazizmohamed529114 сағат бұрын
Huyu mzee anaumizwa na timu yao mbovu anatafuta sehem ya kujipoza
@salimramadhani523714 сағат бұрын
mpk mshuke daraja au muhame timu😂😂
@makamahenge134714 сағат бұрын
Mzee hauna point umeongea ujinga tu hayo nimakasiliko yakufungwa.
@claudmwandambo2001Сағат бұрын
Mtakaaa San vikao 😅😅😅
@ecoty569834 минут бұрын
Kwanini asiwe bingwa yanga
@JemesMwamwala3 сағат бұрын
Mzee Rudi shamba aaaaa
@NicholausMangula2 сағат бұрын
Leo mnamkataa Karia
@JoshuaMwambene-h5j16 сағат бұрын
MPIRA ni uwekezaji wazee wangu Simba hamna timu pale
@isaackaitira765416 сағат бұрын
Ndiyo mmewekeza kwa marefa ndiyo mtaji wenu
@rajabdibwa641514 сағат бұрын
Hata wakija tena Simba tutawafunga hawana timu😂
@isaackaitira765414 сағат бұрын
@@rajabdibwa6415 Kwa jinsi mlivyoweka kwa marefa kama Aragija, Kayoko na Sasii mtashinda na mipira iliyotoka nje
Kila mtu apambane na hali yake. 😅uchungu wa kufugwa, simba na yanga ni watani, hauwezi kumpeleka Ally Kamwe popote, watani watakuwa watani. Pole wazee wa simba nyie amuogopi😊😅😊😊
@BENEDICTMHINA-pd1kr16 сағат бұрын
Daaah hawa wazee uchawi wao umedunda na nawasikitikia majirani wahii mizee imekaa kichawi chawi 😂😂😂😂😂
@JumaKibanduro2 сағат бұрын
Hahaaaaa wemzeww
@remidusmwanandenje-yy5gs15 сағат бұрын
Pameanza kuchangamka sasa ata mechi kumi bado🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MauBonde15 сағат бұрын
Nyinyi ndio mliotuletea siasa kwenye mpira hatutaki 😂😂😂😂😂,😂
@TimotheoSimtowe12 сағат бұрын
Bado hamjasema😂😂😂😂
@AliAya-d6z15 сағат бұрын
Hhhhhhhhhh yaani inachekeaha sana
@StawaIsmail-q9j12 сағат бұрын
Hahahahahahaahaahaha polen
@michaeljames40311 сағат бұрын
Yanga bigwa😢😢😂😂😂 bado hamjasema mpaka msemee
@hamzaabdallah863712 сағат бұрын
Nimeumia sana kusikiliza ujinga Huu
@ROBYMTARATIBU14 сағат бұрын
Simba ni mbovu kubariniii
@AderickKasigwa16 сағат бұрын
Hamjasema mpaka maji muite mmaaaaaaaaaa
@VcentPaul26 минут бұрын
Bado hamjasema😂😂😂
@LucyVictor-c9c15 сағат бұрын
Mmmh!!?? Kweli hawa ni wazee,.... mambo ya Pan African na Nyota nyekundu tena
@saidkilungi64111 сағат бұрын
Zee jinga saaana hili Kwa hiyo viongozi wote wawe Simba jinga kweli hilo maxxxxxxx gooooooooooooo acheni kuingiza viongozi hamna hata hayaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂