MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA

  Рет қаралды 405,200

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 822
@shilatusabuni89
@shilatusabuni89 Жыл бұрын
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi
@nurunewz103
@nurunewz103 Жыл бұрын
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
@emmanuelgeorge3262
@emmanuelgeorge3262 Жыл бұрын
Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
@plujorilugano9489
@plujorilugano9489 Жыл бұрын
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 Жыл бұрын
Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 Жыл бұрын
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
@mosesmwita7906
@mosesmwita7906 Жыл бұрын
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Acha alie
@pidiusdominic3673
@pidiusdominic3673 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@allykamanga4366
@allykamanga4366 Жыл бұрын
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 Жыл бұрын
@@allykamanga4366 haahaha
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Жыл бұрын
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Жыл бұрын
Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 Жыл бұрын
Unaona ee!!! big up sana asee!!!!
@drKanti865
@drKanti865 Жыл бұрын
I see the bright future for this woman...May God bless her
@jumaseseme1654
@jumaseseme1654 Жыл бұрын
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 Жыл бұрын
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
@ibutilehyila9146
@ibutilehyila9146 Жыл бұрын
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
@godwinshoo5032
@godwinshoo5032 Жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika
@banzimtizii5020
@banzimtizii5020 Жыл бұрын
Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika
@edigarfurumericus3745
@edigarfurumericus3745 Жыл бұрын
Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
@besttrendingcovers1838
@besttrendingcovers1838 Жыл бұрын
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
@nelsonludovick3360
@nelsonludovick3360 Жыл бұрын
Huyo jamaa hakuna kitu kabisa
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 Жыл бұрын
Alafu anajifanya mbishi anajua kila kitu ..
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Mwakaaa huu ni wake
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Huyu hadi ndanj kwa mkewe ni boya mpumbavu huyu
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja Ай бұрын
Tumtumbue et
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Жыл бұрын
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Жыл бұрын
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 Жыл бұрын
Tena mbunge na waziri mwenye dhamana kubwa.
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
@godwinananias5358
@godwinananias5358 Жыл бұрын
Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
🤣🤣
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Жыл бұрын
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
@annastellalugayana8454
@annastellalugayana8454 Жыл бұрын
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
@taichi5370
@taichi5370 Жыл бұрын
This Lady is future Head of State!!
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Kweli ...hili ni jembe
@joelmwanza6009
@joelmwanza6009 Жыл бұрын
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
@jacobmsigwa383
@jacobmsigwa383 Жыл бұрын
Mzee wa TRAT na TRAB anazingua
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 Жыл бұрын
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
@josephdidas325
@josephdidas325 Жыл бұрын
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 Жыл бұрын
Hata mimi sijawahi kumwelewa. Ni kilaza kufa mtu 😃😃😃😃
@celinamutta5058
@celinamutta5058 Жыл бұрын
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
@edwardnatharyblessed7067
@edwardnatharyblessed7067 Жыл бұрын
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 Жыл бұрын
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
@lusticendokole9385
@lusticendokole9385 Жыл бұрын
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
@samwelimasoya5612
@samwelimasoya5612 Жыл бұрын
Huna uwezo kuwa sipka huna huruma
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 Жыл бұрын
Huyu mama kiboko
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Жыл бұрын
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
@abdulabdy6822
@abdulabdy6822 Жыл бұрын
You are so smart madam Speaker..all the best
@kazembe987
@kazembe987 Жыл бұрын
Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa
@pitysimon9731
@pitysimon9731 Жыл бұрын
....Trab na trat 😂😂😂😂
@ajuayelubano9595
@ajuayelubano9595 Жыл бұрын
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
@ladislauslyagula4096
@ladislauslyagula4096 Жыл бұрын
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
@johnjumalesso8153
@johnjumalesso8153 Жыл бұрын
Uyo waziri hafai kabisa
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 Жыл бұрын
huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏
@amoji126
@amoji126 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@maryshirima1234
@maryshirima1234 Жыл бұрын
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
@bulugusoteli
@bulugusoteli Жыл бұрын
Wazir wa fedha ni ziro hakuna kitu
@nelsabugo3613
@nelsabugo3613 Жыл бұрын
Spika Mungu akulinde
@edwardnatharyblessed7067
@edwardnatharyblessed7067 Жыл бұрын
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
@williamchongeraj
@williamchongeraj Жыл бұрын
Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 Жыл бұрын
TRAB na TRAT...🙄
@emmanuelsilasi6395
@emmanuelsilasi6395 3 ай бұрын
Trab na trat imejaa longolongo😂😂😂
@clevisaboytz544
@clevisaboytz544 Жыл бұрын
Dr Tulia 🔥
@obeidmpombwe9951
@obeidmpombwe9951 Жыл бұрын
Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa
@amanichuwa6687
@amanichuwa6687 Жыл бұрын
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
Msukuma😂😂😂😍
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
@subirajohn8298
@subirajohn8298 Жыл бұрын
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
@mbakijonas6792
@mbakijonas6792 Жыл бұрын
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
@ramazonejohnson2831
@ramazonejohnson2831 Жыл бұрын
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
@victorkalolo9517
@victorkalolo9517 Жыл бұрын
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 Жыл бұрын
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
@abdullherry3072
@abdullherry3072 Жыл бұрын
Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu
@amour5535
@amour5535 Жыл бұрын
Huyu akigombea urais nampigia kura
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Жыл бұрын
SURE 💯
@amiria.mustafa9859
@amiria.mustafa9859 Жыл бұрын
Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 Жыл бұрын
I like her. Give this woman the presidency.
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
Nafasi yake ni kubwa zaidi ya hiyo ya urais
@mohamedpius4895
@mohamedpius4895 Жыл бұрын
Hongera spika uongo hauna nafasi
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 Жыл бұрын
We we we usithubutu kabisa
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 Жыл бұрын
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 Жыл бұрын
Anaubabe wa kjnga kwanza zungu
@mikemollel8396
@mikemollel8396 Жыл бұрын
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
@juliusjoseph4889
@juliusjoseph4889 Жыл бұрын
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
@lordsmenas3267
@lordsmenas3267 Жыл бұрын
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
@emmanuelkisusu2465
@emmanuelkisusu2465 Жыл бұрын
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Жыл бұрын
Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....
@misanjolivigha2396
@misanjolivigha2396 Жыл бұрын
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
@isaya43.12
@isaya43.12 Жыл бұрын
Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Жыл бұрын
Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@manasentazi5692
@manasentazi5692 Жыл бұрын
Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂
@prophetlinustesha6333
@prophetlinustesha6333 Жыл бұрын
😂
@gametongwe3539
@gametongwe3539 Жыл бұрын
MAMA YENU HUYO KAMUWEKA KIJANA WAKE
@issaissaswaleh5547
@issaissaswaleh5547 Жыл бұрын
Amesoma kweli huyo Mzee, au dhambi za watanzania inamsokota.
@amoskatela1282
@amoskatela1282 Жыл бұрын
Spika endelea na mkazo wa namna hiyo ili wawe wanajibu hoja walengwa
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?
@dismassmariki6985
@dismassmariki6985 Жыл бұрын
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
@waltertesha3312
@waltertesha3312 Жыл бұрын
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
@babujinga5819
@babujinga5819 Жыл бұрын
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli
@noberthmsuyah884
@noberthmsuyah884 Жыл бұрын
Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Жыл бұрын
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
@ludoviclymo2044
@ludoviclymo2044 Жыл бұрын
Hatuna waziri wafedha tanzania
@efraimrichard6440
@efraimrichard6440 Жыл бұрын
Safi sana tulia napenda unavowabana huwangalii sura ya mtu sio waziri sio sio nani ukiona vitu haviendi sawa unambana Safi Sana hupendelei nakuelewa sawa doct TULIA ACKSON
@makoye8388
@makoye8388 Жыл бұрын
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 Жыл бұрын
Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi
@joeaub2185
@joeaub2185 Жыл бұрын
weka na nape hao watu ni wa mchongo...
@meddydoubledi1675
@meddydoubledi1675 Жыл бұрын
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Hatari Sana hwa Mawaziri
@immapeter640
@immapeter640 Жыл бұрын
Mh spika🔥🔥
@simoncharles683
@simoncharles683 Жыл бұрын
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
@anosiata8242
@anosiata8242 Жыл бұрын
Waziri kama huyo Alitakiwa aachia ngazi.. ni mzingo . Harafu anajifanya eti amesoma uchumi. Hovyo..
@hhurbert
@hhurbert Жыл бұрын
Dr Tulia anaupiga mwingi sana
@davidmwamanda6473
@davidmwamanda6473 Жыл бұрын
Trat Trat, Trab Trab, Tabutabu😁😁😁
@benjaminntwale1325
@benjaminntwale1325 Жыл бұрын
Manake hapo kwanza ncheke, waziri kiazi
@Bihomebuja
@Bihomebuja Жыл бұрын
I really love mh msukumu from Burundi. Dr wa mathematics.
@barakaelkaaya40
@barakaelkaaya40 Жыл бұрын
waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma
@amisimudigo3726
@amisimudigo3726 Жыл бұрын
huyu waziri wa fedha hakuna anachokijua zaidi ya wizi tu sijui huyu mama kamtoa wapi
@alexkamba5264
@alexkamba5264 Жыл бұрын
Ukweli Spika uko vzr xana big up
@annakisiga889
@annakisiga889 Жыл бұрын
mwiguru hakuna kitu hapo tumepigwa ndio maana jpm alimtumbua akabaki na ubunge tu yaan hapo hakuna kitu kabisa
@zenj1986
@zenj1986 Жыл бұрын
Asante Spika. Uko sawa kabisa
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.
@eliwandoakituku3713
@eliwandoakituku3713 Жыл бұрын
Mbegu yamagufur
@moriscollins4494
@moriscollins4494 Жыл бұрын
Mungu akurinde tu mana hao watu unavyowabana watajipanga ila kwa jina la Yesu utalindwa usiku na mchana
@balozimedia4891
@balozimedia4891 Жыл бұрын
Kaka Mbunge mbona mbishi sana jamani? 😃
@nurunewz103
@nurunewz103 Жыл бұрын
Waziri wa fedha gani anaeshindwa na hesabu ndogo.
@egnomsigwa8418
@egnomsigwa8418 Жыл бұрын
Napata mashaka kama wizala ya fedha inamtosha mwigulu kichwa kigum kuelewa safi sana spika tulia nakupenda sana
@zaikiumba7861
@zaikiumba7861 Жыл бұрын
Hakika ww Ni mpenda haki
@princehancesam9892
@princehancesam9892 Жыл бұрын
Uyu Dada amesoma kuliko Dr mwigulu daaa mungu akupe maisha marefu MH TULIA akson
@Bashirubakarisalala
@Bashirubakarisalala 2 ай бұрын
Sasa mwigulu kasomea wap
@jomba6514
@jomba6514 Жыл бұрын
Mh mw fanya utafiti upendwi kuliko unavyo fikilia tokea nizaliwe wewe ni 1 kwa kiwango icho
@AmiriJuma-pp2xf
@AmiriJuma-pp2xf Жыл бұрын
Hawa mawazili mnawatowa wapi akachunge mbuzi singia hakuna wazili hapo
@rosemary3816
@rosemary3816 Жыл бұрын
Big up mama uko vizuri👏👏
@nimrodmareges3131
@nimrodmareges3131 Жыл бұрын
Kazi ipo
@joramkimario9321
@joramkimario9321 Жыл бұрын
Jaman nasema Tena hapa kwa mwigulu hamna kitu.naona aende tu nyumbn hyo safas wapo weng wanaoiweza
@iddykivu1336
@iddykivu1336 Жыл бұрын
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
@didasrugimbana6260
@didasrugimbana6260 Жыл бұрын
Huyu Mr Trab na Trat miyeyusho sana kwakwel
@kusigwamakoye1300
@kusigwamakoye1300 Жыл бұрын
Safi sana Dr Tulia 🙏🙏🙏
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 Жыл бұрын
Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥
@mh9251
@mh9251 Жыл бұрын
Dr. Tulia anaitwa tulia (relax) lakini hawezi kuTulia ikiwa mtu anabisha sehemu ambapo sheria au hoja inaeleweka wazi alafu mtu anaendelea kumpinga.
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Wababaishaji watanyoooka tu hivi u Dr mwigulu aliupataje??maana anaonekana zero brain
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 30 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 26 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 5 МЛН
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 121 М.
MBUNGE BWEGE ALIVYOZUA BALAA BUNGENI LEO
13:38
Millard Ayo
Рет қаралды 733 М.
KUFUKUZWA KAZI WATUMISHI DARASA LA SABA, MSUKUMA ALIAMSHA DUDE
5:00
Mwananchi Digital
Рет қаралды 636 М.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 30 МЛН