"Mawazo" Sehemu Ya 2 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian

  Рет қаралды 25,610

Chomoza Tv

Chomoza Tv

Күн бұрын

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZbin : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2023

Пікірлер: 50
@lameckjohn3257
@lameckjohn3257 Жыл бұрын
Ukweli ni mmoja, njia ni nyingi.....mara nyingi sana nimekuwa najua vitu pasipo kuweka impression in my mind, cant believe all you've said today I knew them for the past 3 years.......surely be blessedly
@samuelbahizire761
@samuelbahizire761 Жыл бұрын
Le grand maître DR ELIE you are a blessing to générations Keeping you in my prayers
@witnekidoti6160
@witnekidoti6160 Жыл бұрын
asante sana kwa somo zuri sana najifunza mengi kutoka kwako
@documentariestvshow
@documentariestvshow Жыл бұрын
Hili Somo ni nyeti, watu tunasikiliza kwanza hatukimbilii kusoma comments. Mungu awabariki wafuatiliaji wote na team chomoza🙏.
@poliamgunda
@poliamgunda Жыл бұрын
Naendelea kujifunza nawashukuru chomoza kwa kuendelea kutuletea Dr Ellie
@rehemaelibariki9222
@rehemaelibariki9222 Жыл бұрын
Mungu akulinde Dr Ellie wewe ni mwalimu mwenye maarifa mapana nimepona mengi kupitia masomo haya.
@neemasimba927
@neemasimba927 Жыл бұрын
My all time teacher...Dr.Ellie !!stay blessed always team chomoza.
@josephkarabhona3538
@josephkarabhona3538 Жыл бұрын
Asante sana Doctor. Tunaomba utumie zaidi kiswaili.
@kevinmtei1457
@kevinmtei1457 Жыл бұрын
Thank you Daddy ❤️ you
@ruthn9381
@ruthn9381 Жыл бұрын
Happy 2023 Dr. Elie and Chomoza team. You have been a blessing in my life. Looking good Dr. Elie in that clean-cut suit. May God continue to bless you all for your service. Asanteni sana.
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 Жыл бұрын
Happy New year Team chomoza heri na baraka kwetu sote . Somo la leo ni nyeti sana itabidi nirudi mara yapili kusikiliza , shukran sana mubarikiwe
@thomasl.6079
@thomasl.6079 Жыл бұрын
After reading "road to reality" Reading Deepak Chopra, dr joe dispenza , I getting what dr is talking about...
@mleusatoshi3278
@mleusatoshi3278 Жыл бұрын
sure dr. Joe and Elie...
@TAASISI
@TAASISI Жыл бұрын
Please mention the outhers of each book I want to read them too
@veenahr7683
@veenahr7683 Жыл бұрын
Happy New Year Dr.Ellie na wenzako studioni🙏🙏✨✨✨✨✨
@brown24photography
@brown24photography Жыл бұрын
Dr Elie Mungu akubariki nimejifunza vitu vingi sana Asante
@happystevemaganga1873
@happystevemaganga1873 Жыл бұрын
Suti inampendeza sana Dr.👔👨‍⚖️
@gracelema7816
@gracelema7816 Жыл бұрын
Mungu tupe uelewa kuyajua haya maana yanatoka kwako ili tuwe halisi
@nancynoellacryson5271
@nancynoellacryson5271 Жыл бұрын
Sanaa
@subirajohn8298
@subirajohn8298 Жыл бұрын
Dr. Akili kubwa sana. Mungu akubariki
@egidekalume1085
@egidekalume1085 Жыл бұрын
Merci pour le message docta.on est richement béni
@henrymushi8340
@henrymushi8340 Жыл бұрын
Somo zuri sana, Godbless all team chomoza,ningeshauri katika somo hili Kama doctor anaweza kuwa na michoro,aelekeze kwa njia ya mchoro ingekuwa poa sana
@johnfubusa1598
@johnfubusa1598 Жыл бұрын
Mungu awape mahitaji ya mioyo yenu na balaka zote mnatubaliki sana
@brown8558
@brown8558 Жыл бұрын
Thank you Dr. Ellie and Chomoza Team.
@edgeranacret5455
@edgeranacret5455 Жыл бұрын
I love you God bless you Team chomoza, am blessed
@T-Fellow
@T-Fellow Жыл бұрын
Nakubali Dr. Elie
@MbawalaJr
@MbawalaJr 23 күн бұрын
Dr mimi nimebaki na swalii naomba ufafanuzi kwamba Mungu aliumba watu wawili mwanaume na mwanamke, badae akaumba mwili yaan mwili mmoja ambamo umecontain mwana mke na mwanaume kisha Mungu akawapulizia pumzi ya uhai ili mwili ule uwe na nafs hai. sasa Kuna wale watu wawil wale waliumbwa separately apo mechanism inakaaje walivalishwa ile miili au inakuaje
@nancynoellacryson5271
@nancynoellacryson5271 Жыл бұрын
Somo zuri sana Asante Dr Ellie
@tegemeawilliammsewa1950
@tegemeawilliammsewa1950 Жыл бұрын
Asante baba, Heri ya mwaka mpya nanyi, nafamili pia
@frolalimbu8243
@frolalimbu8243 Жыл бұрын
Asante Sana Dr 😍
@pendomwaiteleke1636
@pendomwaiteleke1636 Жыл бұрын
Nilikumiss dokta heri ya mwaka mpya pia. Nakupenda
@philbertmtalo2156
@philbertmtalo2156 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Dr Ellie kuna wakati mtu anahisi pumzi imepungua kabisa mwilini wakati anatembea
@julianmsele3880
@julianmsele3880 Жыл бұрын
andika vitabu doctaa😍😍
@msnkuli6089
@msnkuli6089 Жыл бұрын
Dr Elie kaulambia ❤
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw Жыл бұрын
AMINA
@philbertmtalo2156
@philbertmtalo2156 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Dr Ellie uhai unatokea nje ya mwili tukisoma 1 king 8:10 and it came to pass when the priests were come out of the holy place that the cloud filled the house of the Lord mfano wewe Dr Ellie maana ya Dr Ellie ni Dr yenye mfano wa Mungu (noble), cloud na star tv maana yake ni cloud yenye star ambayo yana mfano wa Mungu ,ITV maana yake ni international yenye television ambayo yenye mfano wa Mungu ,Efm maana yake ni electronic yenye fm ambayo ni mfano wa Mungu
@anneeklund8433
@anneeklund8433 Жыл бұрын
💕💕💕
@kingboss25
@kingboss25 Жыл бұрын
🙏
@kingboss25
@kingboss25 Жыл бұрын
❤️
@pyzzocatto1829
@pyzzocatto1829 Жыл бұрын
Huyu baba ajengewe sanamu
@boniphace1
@boniphace1 Жыл бұрын
Mwelevu sana
@EdmondMosi
@EdmondMosi Жыл бұрын
Nawafuatilia sako kwa bako
@hamisiramadhani9217
@hamisiramadhani9217 Жыл бұрын
Sauti ipochini sana
@faustinemanota1198
@faustinemanota1198 Жыл бұрын
Naam
@neirahaule7830
@neirahaule7830 Жыл бұрын
Please,itakuwa vyema zaidi kama Elimu hii itawekwa katika vitabu.Kwani hii ni Elimu adimu sana
@faustinemanota1198
@faustinemanota1198 Жыл бұрын
Sahihi
@mohammedikidwaka9013
@mohammedikidwaka9013 Жыл бұрын
Naomba dokta Heri anisaidie philosophical reason why wengi tukiomba tunaangalia juu. Ata yy mara nyingi akiomba anaangalia juu. Kwani mungu yupo juu? Kama yupo juu kwann tunazikwa chini ya ardhi.
@amanihoya8334
@amanihoya8334 Жыл бұрын
juu utazikwa kwenye mti siutadondoka ndugu?kwanini ukiugua kichwa unakunywa dawa nakeenda tumboni nahatunywi kichwani?
@ElizabethLizzysingano
@ElizabethLizzysingano Жыл бұрын
Huu ni mfumo tulietewa na dini lakini kiuhalisia mungu hayuko juu mungu ni chanzo cha kila kitu maana yangu ni kwamba mungu hayupo sehemu kma tunavyodhani bali yupo kwenye kila kitu kilichopo duniani ( mungu ni roho ) anaye experience kwenye kila kitu
@silverman6930
@silverman6930 Жыл бұрын
Dr you never aged my guy 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙏
"Mawazo" Sehemu Ya 3 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian
29:38
Chomoza Tv
Рет қаралды 16 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 4.  (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian
25:10
Chomoza Tv
Рет қаралды 13 М.
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 34 МЛН
Angry Sigma Dog 🤣🤣 Aayush #momson #memes #funny #comedy
00:16
ASquare Crew
Рет қаралды 49 МЛН
Majibu (Response) Dr. Elie VD. Waminian. No 3
34:13
Chomoza Tv
Рет қаралды 15 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 10  (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian
35:04
Chomoza Tv
Рет қаралды 11 М.
"Mawazo" Sehemu Ya 1 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminian
29:06
Chomoza Tv
Рет қаралды 41 М.
Chaguo (The Choice) Dr Ellie Wa Minian No 2
31:48
Chomoza Tv
Рет қаралды 22 М.
Somo "Akili" Sehemu Ya 1. Dr.Elie V.D Waminian
38:02
Chomoza Tv
Рет қаралды 73 М.
Majibu (Response)  Dr. Elie VD. Waminian. No 2
31:02
Chomoza Tv
Рет қаралды 17 М.
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 34 МЛН