No video

MPAKA HOME KWA DAZ BABA |MAISHA YAKE |ANAISHI KWAO |HUU NDO MJENGO WAO |MADAWA BANGI |KUDHOOFIKA

  Рет қаралды 81,313

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

2 жыл бұрын

Пікірлер: 260
@abasilihundu200
@abasilihundu200 2 жыл бұрын
Daah, haya maisha bhana. Daz Baba mpaka anatia huruma 😭😭😭
@yusufwazili5359
@yusufwazili5359 2 жыл бұрын
Daz kiukweli siyo yule ambaye nilikuwa nakusikiliza nikiwa dogo shule ya msingi..nyimbo zako na ulivyo tofauti sana,,
@hamisihaji7049
@hamisihaji7049 2 жыл бұрын
Babu big hapu sana
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Mtangazaji yupo vzur sana, very talented mekupnd bure mrembo,sema umekutana na mteja
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
😭😭😭daz baba kweli wakua hiv maisha yan kwenda kasi sana
@martinokello2793
@martinokello2793 2 жыл бұрын
daaaaah jman daz baba akiulzanajbu tofauti na anavoulizwa jmn nmpendaa dazbabaa mpka leo but kwa nn kawa ivoo jmn
@marcominja8850
@marcominja8850 2 жыл бұрын
Jamaa kajikaz kujionesha yuko sawa na mwenye mafanikio lkn kwa wataalam wa saikolojia unaweza kuona jamaa ni mtu aliyejichokea, kukata tamaa na ambaye hayuko sawa kichwani.
@jaffergeoffreypaul7133
@jaffergeoffreypaul7133 10 ай бұрын
Kwa ww uko sawa kichwani😂
@user-li2kv7uy3t
@user-li2kv7uy3t 3 ай бұрын
Swali lako liko sawa tena vizuri tu kwa mtu mjuaji wakati akili yake aijui yuko wapi🎉🎉🎉
@shamsaalrahbi5573
@shamsaalrahbi5573 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Huyo anomuhoji anaogop kwa kweli 🙏🙏🙏Honger mama kwa ujasir
@hamadathuman6939
@hamadathuman6939 2 жыл бұрын
Kweliii nilifikirii ni mimiiii
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Good interview daz...elimu dunia 🙌🏻
@bolotz1943
@bolotz1943 2 жыл бұрын
Vp bobu
@ericalexandre2166
@ericalexandre2166 2 жыл бұрын
Grace napenda sauti yako alafu ww mzuri
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 2 жыл бұрын
Dah,,mbona kama kaweka ugolo lakin😂
@waziriwahekima6824
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Daz amearibika Sana !!!! Yani madawa Na Bange imemuaribu Sana !!! Nilikua namfuatilia Mwamba toka nipo Shule ya msingi Adi now
@dariuskasitu5594
@dariuskasitu5594 2 жыл бұрын
Daaha daz baba jamani huyu msanii ana kipaji sana bangi sio pw
@abdullhafidh2663
@abdullhafidh2663 2 жыл бұрын
Mshkaji namkubali sana huyu Daz baba ktk kigongo cha Wife akiw na mangwear
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 жыл бұрын
Dada unaweza kweri pamoza Sana 🙌
@OmariRashidi-ly3ze
@OmariRashidi-ly3ze 4 ай бұрын
Duuh namkubali sana huyo jamaa❤
@user-li2kv7uy3t
@user-li2kv7uy3t 3 ай бұрын
Uwezi kumuelewa dazi mpaka huwe kwanza unajielewa kuna maswali mengine sio ya kumuongelesha mtu .... Maisha ya msanii ni sawa na Maisha ya Mtu mwengine tu
@aladinho1352
@aladinho1352 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kuna kautetezi kidogo kwenye bangi Daz Baba bana 😅😅😅😅😅
@ik3934
@ik3934 2 жыл бұрын
Mondo noma, mwamba kanyauka sanaaa aisee!
@allymnali4918
@allymnali4918 2 жыл бұрын
Wandishi someni...Hakuna mtu mwenye Ras😇😇😇
@babusadala5732
@babusadala5732 2 жыл бұрын
Ngada ....🌿
@bernadinodnawe184
@bernadinodnawe184 Жыл бұрын
At least, he recognizes angels guide him.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Mwandishi: umeshawahi kutumia madawa ya kulevya? Dazbaba: Aaah no labda wewe sijawahi 🤣🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♂️🤸
@salmakhan0092
@salmakhan0092 2 жыл бұрын
Nimecheka🤣🤣🤣
@zebidahlawrence9419
@zebidahlawrence9419 2 жыл бұрын
Dah 🤣🤣
@luqmanmbwambwa7127
@luqmanmbwambwa7127 2 жыл бұрын
daaah ndumuuu ety labdaa wewe
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 2 жыл бұрын
😂😂😂 kweli labda ndugu mtangazaji anatumia hayo mavitu
@user-yt5wl6bi4i
@user-yt5wl6bi4i Ай бұрын
Daz unaniumiza sana dah😢😢😢😢
@rajabukhamis467
@rajabukhamis467 Жыл бұрын
Kwanza pole sana dada leo nimeamini kama waandishi wahabari mnakazi ngumu sio kwa maojiono ayo nauyo mwamba 😂😂😂
@jumamwandai3941
@jumamwandai3941 2 жыл бұрын
Dah apo ni ana taarifa ya interview nd kapendeza full set dah namuonea hadi huruma asee 🙌😓 dunia hii jmn 😫😭😫 jamaa kachokaaa.!!!! Wasanii mastar... Msaidieni uyu jamn 😭
@righitkileo
@righitkileo 2 ай бұрын
Da! Jamn maisha ni kuamua au kuchaqua. Hawa walikuwa wasanii wakubwa na walikuwa na mashairi. Hatar sana yaan maskin sio Daz baba yulr
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 2 жыл бұрын
Duuuuh😃😃😃Kama unapenda Bifu kangalie Urusi na Ucreni ufulahi kiswazi
@nuromussa9926
@nuromussa9926 2 жыл бұрын
Mozambique tugonge hapa!
@Football-cl2hj
@Football-cl2hj 2 жыл бұрын
Sahir uyu dd kaolewa?
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 2 жыл бұрын
Duh !! Kweli tabata kama huyo ndo mwalimu wenu wa mashwart na kongfuu, aloo watoto wa manzese wakija na raisi wao ney wa mitego Tabata yote itakuwa mateka kwa dk 10. 😂😂
@semenitheclassic
@semenitheclassic 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😭
@amosmark8086
@amosmark8086 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 dah
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kapinda.
@mooh9saalim137
@mooh9saalim137 2 жыл бұрын
Daz unajua maisha kwa kila m2 magumu ila tunatamani kazi na sauti akoo pamoja#Daz baba #pemba island
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Жыл бұрын
Jiamina yatakuw sawa ukiitaji kuwashinda fanya kazi waoneshe kwavitendo😊
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Жыл бұрын
Pombe hazijawahi niathiri..ila maneno ya watu ndio huniathiri....jamani tuwe makini na maneno, ni sumu mbaya sana, maneno yanaumiza
@juniornamao527
@juniornamao527 2 жыл бұрын
Daaaaah😭😭
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 2 жыл бұрын
Ganja inazingua sana
@maxjofrey70
@maxjofrey70 2 жыл бұрын
mi nanyumba zangu lakini apa nakaa kwa baba😂😂 alafu apatusiongelee kuhusu family tuongelee music tu😄 Jamani wana simba hii kitahalam mnahii taje 🤣🤣
@safinamalero3971
@safinamalero3971 2 жыл бұрын
Bench la ufund
@safarimallya4536
@safarimallya4536 2 жыл бұрын
Bench la ufundi
@jesuslove2205
@jesuslove2205 2 жыл бұрын
Kitahalam mnahiitaje
@emmanuelmbelenzi3077
@emmanuelmbelenzi3077 2 жыл бұрын
Cap suluu
@hafidhali4336
@hafidhali4336 Жыл бұрын
Hahahah nimecheka sana
@abasilihundu200
@abasilihundu200 2 жыл бұрын
Mbona anafanana na Dogo Janja 😄😄😄😄
@inocentgalinoma9544
@inocentgalinoma9544 2 жыл бұрын
Baba ake...🤣🤣🤣🤣
@jumamwandai3941
@jumamwandai3941 2 жыл бұрын
G mill mill 💥
@AllyMKUMBA-gd2ti
@AllyMKUMBA-gd2ti 3 ай бұрын
Haaaa ❤❤
@user-pf5gg5gk6i
@user-pf5gg5gk6i 9 ай бұрын
Mbona kama akili haipo poa...acha drugs u're big..choose drugs or good future
@omaryteddy62
@omaryteddy62 2 жыл бұрын
Elimu dunia Ina tuludia wenyewe mungu tulinde utupe mwisho mwema
@angelrukyaa5598
@angelrukyaa5598 2 жыл бұрын
Mdada anajua sana kuhoji
@joanithamwaudama9928
@joanithamwaudama9928 2 жыл бұрын
Mnoooo
@waziriwahekima6824
@waziriwahekima6824 Жыл бұрын
Amesha changanikiwa Uyo namtangazaji upo vzr Sana Kwa interview
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 2 жыл бұрын
Hahahaha kuna watu ukiwaoji usipokua makini unaweza kupigwa..jamaa ayuko sawa huyu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣wewe
@nigamo9645
@nigamo9645 2 жыл бұрын
Kwa kweli
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 жыл бұрын
😂😂😂aisee bongo kweli bahati mbaya
@magorimagori9264
@magorimagori9264 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ana shida...apewe msaada
@slimbaj3148
@slimbaj3148 2 жыл бұрын
👩🏽‍🦰; kitu gani maishani mwako umewai kufanya na unajutia mpaka saizi. 😎; mi nawajutia wanaonisema vibaya tu 😎
@issazalala4907
@issazalala4907 2 жыл бұрын
Brow hayupo Sawa
@njonjolomahfudh3238
@njonjolomahfudh3238 2 жыл бұрын
ETI ANJAMU🤣🤣🤣🤣🤣
@kelvinmwakajumba1546
@kelvinmwakajumba1546 Жыл бұрын
Aaaaaaaaaah daz anaweza kukaa na kichaa akamwelekeza na kichaa akamwelewa
@lovvy854
@lovvy854 2 жыл бұрын
Dazbaba kapiga ma Ganja yaani kajimixxx snaa Hadi anajibu maswali opposite way😂🤣🤣🤣
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
Jamani alomuona Zahir hapa anipe like
@maximumtvonline
@maximumtvonline 2 жыл бұрын
Daah
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Jamani mperekeni soba jamani kuzeeka sana awiiiiii
@abdallahpesa1456
@abdallahpesa1456 2 жыл бұрын
Jamaa dishi lishayumba aulizwa A anajibu B
@frankbuya5339
@frankbuya5339 2 жыл бұрын
Daaaaah mwamba kachoka
@barakastephano8996
@barakastephano8996 2 жыл бұрын
Hahaha naona mdada tayari ushaanza kumhoji kwa uoga daz baba kutokana na ukakisi wake
@jumaabdala7530
@jumaabdala7530 2 жыл бұрын
Mmmh🤔🤔🤔pole
@Atb300
@Atb300 2 жыл бұрын
Kitasa uyu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdyleluu9051
@abdyleluu9051 2 жыл бұрын
Yah man nakuelewa daz znz
@Michael12372
@Michael12372 Жыл бұрын
Dah
@dullahsimbaulanga6472
@dullahsimbaulanga6472 2 жыл бұрын
>>>>Dah Labda ww me Sijawah Kutumia 😂
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
kazi_mnzuri_jamani maojiano_mazuri_
@clementselestine5308
@clementselestine5308 2 жыл бұрын
Enzi zako ni hatari,lkn makundi mabaya ...ulikuwa poa sana.
@plusabracadabra5166
@plusabracadabra5166 2 жыл бұрын
Hanjamu gani katika pombe na Sigara 😇😇😇so sad
@loxlox150
@loxlox150 2 жыл бұрын
Lafiki yangu unalewa saana unashika ndala mkoni yani ile siku nimekuona nilishikwa nabutwaa daz unalewa saana ulikuwa segerea mitaani ulikuwa ovyo punguza pombe
@kihoreedwin2655
@kihoreedwin2655 2 жыл бұрын
Mimi sijui maswala ya uhandishi wa habari lakini kama mwanafunzi wasaikolojia huyo dada anayeitwa G mili hana nidhamu amejawa dharau sana na amemkosea msanii. Tafadhali she needs a tutor for the sake of her carrier.
@nekashash2190
@nekashash2190 2 жыл бұрын
Huyo mwandishi sijui kasoma wap ..km ndio hivi kuna siku ..hajui jinsi ya kumuuliza msela...
@emmanuelnyakatai7311
@emmanuelnyakatai7311 2 жыл бұрын
Duh!.. Sasa huyu dazi mbona kaisha Sana ase. Namuona km ni mlevi fulan ivi..
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
kubali tu braza umechoka, unahitaji msaada
@slimbaj3148
@slimbaj3148 2 жыл бұрын
👩🏿‍🦰: Umeshawai kutumia madawa ya kulevya.? 😎: Aaah labda wewe..
@alijafar9098
@alijafar9098 2 жыл бұрын
Lil Wayne
@jescajohn6619
@jescajohn6619 2 жыл бұрын
mbona kachoka hivo
@emanuel1269
@emanuel1269 2 жыл бұрын
Uokoke Daz B ayo sio maisha
@dianaalfredy3790
@dianaalfredy3790 2 жыл бұрын
Kweli mwanamichezo
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 Ай бұрын
Sii.aliimba..nimesha..kuwa..mukumba..naitaja..murembo..wakuishi..na..mimi
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 2 жыл бұрын
Mdhamini gani atupe pesa ake Kwa hii hali
@sugarthompson9369
@sugarthompson9369 2 жыл бұрын
Nyama huli lakini una uwa watu jmn 😄😄😄
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 2 жыл бұрын
Sasa anaongea kwa mikwala😁😁😁😁
@shd12m55
@shd12m55 2 жыл бұрын
Hapo ni kwa dazbaba au ni kwao
@tonnyofficial6772
@tonnyofficial6772 2 жыл бұрын
kwao
@shkjumaa8339
@shkjumaa8339 2 жыл бұрын
mtangazaji unauliza embe kibada,,,,haaaa hahaha LABDA WEWE
@amirintangi3692
@amirintangi3692 2 жыл бұрын
Jamaa yupo sirias sana🤣🤣
@najimahgomez3334
@najimahgomez3334 Жыл бұрын
Mmmm choka kk ee
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 2 жыл бұрын
Kawa teja kbs na dalili zote za kukata tamaa na maisha
@nigamo9645
@nigamo9645 2 жыл бұрын
Majibu yake tu me hoi
@wardamunguakuzidishew9399
@wardamunguakuzidishew9399 2 жыл бұрын
Maskini kumbe ndio ulivo kwa ss mrudie mola wako fanya ibada kaka umechoka sana
@nicolousmwakalengela2258
@nicolousmwakalengela2258 2 жыл бұрын
Yaani nikitazama Hii interview naona Tumbàku tu
@kimcash3079
@kimcash3079 2 жыл бұрын
Anaakili nyingi kupita mtangazaji 🤣🤣majibu mubashara
@abdyleluu9051
@abdyleluu9051 2 жыл бұрын
Nikweli ata mm namuelewa
@ponelatz4630
@ponelatz4630 2 жыл бұрын
Mia mia yuko sahihi(only God can judge me)
@glorified6045
@glorified6045 Ай бұрын
Nilijua alishapata wife wa kuish nae
@andrewwagine3639
@andrewwagine3639 2 жыл бұрын
Anaitwa daz baba sio dàz nundaz
@aminasuleiman8120
@aminasuleiman8120 2 жыл бұрын
Kazeeeka🤣🤣🤣
@shamsaalrahbi5573
@shamsaalrahbi5573 2 жыл бұрын
Hakuna atakae kuwa Kijana milele
@babesangarefans6983
@babesangarefans6983 2 жыл бұрын
@@shamsaalrahbi5573 Kabisa
@slicehamfrey3504
@slicehamfrey3504 2 жыл бұрын
Mhhh anatisha
@loner_wolf
@loner_wolf 2 жыл бұрын
Rasta na dreadlocks ni vitu tofauti ..... Bob marley ndio rasta , hawa wengine wafuga nywele tu ..... Ifahàmike hivyo
@mahadiaomary1056
@mahadiaomary1056 2 жыл бұрын
Daaaah sjapendaa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Vishungi au dreadlocks mtu yeyote anaweza kufuga lakini Je wewe unafahamu maana ya rastafarian ?
@hamismohamed3541
@hamismohamed3541 2 жыл бұрын
Rasta wap usenge tu
@mussayusuph1979
@mussayusuph1979 2 жыл бұрын
Acha unga ustupange
@casmirmsofu6106
@casmirmsofu6106 2 жыл бұрын
Ila bado yukk vizuri kama akipata wa kumuongoza
@blacknesaya744
@blacknesaya744 2 жыл бұрын
Tizi Raman hapo Yan hamna kitu hapo 😀
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Jaman Soba mmebebe huyu maana dah kajua kuharibika aisee
@ngoshawaboma6180
@ngoshawaboma6180 2 жыл бұрын
daz baba kaeka ugoro .nimeona iyoo
@allan3723
@allan3723 2 жыл бұрын
Ras Yuko kwenye Dunia Nyingine
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 2 жыл бұрын
Mtangazaji una swaga nyingi za kishamba
@lavatz
@lavatz 2 жыл бұрын
Zaman mzikii haukuwalipa san daa
MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA WAVAANA MWENGE KISA DEBORA
17:18
Maximum Tv Online
Рет қаралды 3,9 М.
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 14 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 33 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
Mpaka Home MAISHA HALISI YA AFANDE SELE NA UTAJIRI WAKE
22:55
Mbengo Tv
Рет қаралды 128 М.
DAZ BABA - Huyu Hapa Daz Baba Daz Mwalimu | Amefunguka Yote - Part 1
28:09
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 14 МЛН