Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Masheikh fanyeni Kaz ya Allah, Allah atakulipen in sha Allah
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@user-nh5hi7wr4g3 жыл бұрын
Natamani ue rafiki yangu ustadh mazinge na mungu ajalie tuonane inshaallah. Niko swiss
@kimoyochemokos69083 жыл бұрын
Hakika uisilamu ndio dini ya haki mbele ya Allah. Majadiliano hayo, yanatuhekimisha zaidi ya ile tuliyokuwa tunajua! Baraka ya Allah iwe nanyi aamin
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@abuusufian65063 жыл бұрын
Mazinge jr wa Kenya 🇰🇪 karib tena Tanzania 🇹🇿
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Shukran
@happyarooun60373 жыл бұрын
Allah awahifadhi ndugu zetu
@islamicnewschannel25513 жыл бұрын
Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.
@ahmednoor95463 жыл бұрын
Mashaallah mola awalipe kheri na wape ujasiri kwa kazi mnayofanya
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@hafsaali79763 жыл бұрын
""Mashaallah mashekh wetu,Hao washaanza kufundishwa uislamu umo makanisani mwao.. tangu lini wakristo waka sujudu.
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Hakika
@ritanget91743 жыл бұрын
Sisi hatusujudu hiyo yenu ya kupiga kipaji cha uso kwenye ardhi
@hafsaali79763 жыл бұрын
@@ritanget9174 ndio ilio fanywa na yesu yakupiga kipaji chini na moses..sasa twawashanga nyinyi iyo ibada yenu yaklelele na kuva miniskati mbele ya mchungaji.
@jasminmohamed61453 жыл бұрын
MashaAllah Shukran Jazakallahu kheir
@aishamusa9413 жыл бұрын
Ma sha Allah mwenyezi mungu awalipe kheri kwa kazi zenu in sha Allah na awajaalie Jannah
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@abdiazizmohammed65053 жыл бұрын
Mashallah Ustad Suleiman mazinge
@gharibislam15863 жыл бұрын
Mashallah
@rahmitermohaz98043 жыл бұрын
Besides May Allah reward what you're doing for spreading Islam all over the entire county in Kenya... Amiin
@lioncoin3 жыл бұрын
Shetani ( IBILISI ) ama MUOVU atahukumu wafuasi WAKE na BIBLIA NA sio QUORAHAN wakati wa hukumu mbele ya mwenyenzi mungu "Yahweh" "Jehovah" (( I AM THAT I AM )) ili tuingie ufalme wa mwenzi mungu , tutubu thambi zetu na tumkumbali yesu kristo na mwisho TUBATIZWE NA MAJI MENGI KAMA YESU KRISTO,, mbila hii hakuna kuingia ufalme wa mwenyenzi mungu Yahweh
@jumahyusuf55243 жыл бұрын
MaAshllh....
@UMMYYFATMA Жыл бұрын
MASHAALLAH 🙏
@ramazecha28772 жыл бұрын
Uislamu ndio dini ya haki mbele ya mungu
@musanike30792 жыл бұрын
Hongera
@jamilaomariomari83283 жыл бұрын
Allahu Akbar..mashaAllah my name sake 😃👏.karibu katika wislamu.
@mifungaanyesi35473 жыл бұрын
Mashallah masheilh
@musitemusite43163 жыл бұрын
Maashaallah
@mwanamwinyibmwakinalo40943 жыл бұрын
Allah awape umri na awalipe kila la kheri masheikh wetu , nawapenda buree
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@alhajjaliomar27593 жыл бұрын
Mashaallah
@jangombeboys45363 жыл бұрын
MR
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
"ALLAHU AKBARU"...ALLAH ATUWEZESHE SOOTE KWAAJILI YA KUFANYA KAZI YAKE,INSHAALLAH"
@yoryskills49933 жыл бұрын
Keep it up shekh mazinge
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
👌
@adambakari37973 жыл бұрын
Mashallah kazi nzuri mashekh wetu, yani wakijua kiswahili vizuri wataweza kuelewa bibilia, na vizuri munawafunza kiswahili pia
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Naam
@hassanambarakmbarak87593 жыл бұрын
Safisana mazinge hatukuoni banaaa
@rahmitermohaz98043 жыл бұрын
I would like to see in Nairobi Eastleigh again Inshaa Allah
@myoutubecom-gg7sb3 жыл бұрын
MashaAllah
@mwanaishamlima20473 жыл бұрын
Mashallah Mungu kazi nzuri
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Amin
@stylestheentertainer33883 жыл бұрын
Good job Sheik Mazinge
@zaby-n-mamashasha66713 жыл бұрын
Mungu awajaliy kheri kwa rehma zake ,yn tunawapend kwa ajili ya Allah
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@mwaitaali68163 жыл бұрын
Masha Allah Mey God bless you all
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@maherzain6153 жыл бұрын
Hahaha MashaAllah huyu hata amemshinda mazinge mzee huyu kichwa kibaya makanisa yote ulimwenguni yako kichwani na waloyaanzisha na mwaka yaloanzishwa
@ahlanwasahlan3733 жыл бұрын
Maa Sha Allah
@athumankitsanze85123 жыл бұрын
Allah atuongoze sote inshallah,
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@mangeraalbert79823 жыл бұрын
Bismillahi,
@jumakalukule53123 жыл бұрын
Mashehe kazinzuli m /mungu atawalipa kwakuwaelimisha madhehebu mengine
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@prettyaysha78923 жыл бұрын
Sheikh pia Hawa waarabu wanaswali faradh, sunna zote na dhuha lakini wengi hawana mark na Hua wanasema mm nna mark ju siko mweupe
@shifaazawadi44383 жыл бұрын
Hao ambao hawana mark nisababu hawagongeshi kwa nguvu chini wanafanya kupapasa
@Rolemodel_wa_taifa3 жыл бұрын
Alama inakuja tofauti tofauti
@jamilaomariomari83283 жыл бұрын
Miswala zao wanazishonelea sponge
@mwanamwinyibmwakinalo40943 жыл бұрын
Miswala kama sofa atakuapi na alama
@thebibleandthebibleonly86023 жыл бұрын
Uongo wenu utajulikana tu ndangaya wenye hawajui lakini kiama kinakuja tuambie vile miti inasijundu kama huu sio unafiki na uongo
@Kazubassyathyvry893 жыл бұрын
Allah awalipe kila la kheli
@kenyadawahtv903 жыл бұрын
Allahuma Amin
@nasserm.nasser50873 жыл бұрын
Subhanallah Mitume (amani ziwe juu yao) wanatajwa wakisumsujudia mola wao ktk biblia. Masjid maana yake ni sehemu ya kusujudu na ndio waislamu wanaenda huko kusujudu Mwanadamu anakuwa karibu sana na mola wake ktk kusujudu. Njema iliyoje waislamu kujaaliwa kumsujudia mola wao zaidi ya mara 17 kwa siku
@ernestdaud22063 жыл бұрын
Yani nyinyi waongo wakubwa eti ufunuo wa Yohana 9 aya ya 1 eti mwenye anasujudu anapata alama kwenye paji ya uso,uongo mtupu fundisheni ukweli acha uongo.
@ritanget91743 жыл бұрын
Wachana na hawa waislamu hawajui lolote ukifwata mafundisho yao utapotea bibilia yataka uisome ukiwa uko na akili tena uwe na Roho wa mungu hao wamejaa jazba
@thebibleandthebibleonly86023 жыл бұрын
Hakika umenena waongo tena wanafiki
@rudathekaka6993 жыл бұрын
Asalam alaykum, napenda kuwakumbusha ndugu zangu usomeni vizuri uislam na sio kutukana pa si na elimu ya maarifa. Kwa hakika dini ya haki mbele ya Allah ni uislam
Wamisionary (Wa mpango mkakati/Wafuasi wa Shetani) wametumia/wanatumia ujanja kuwapoteza ndugu zetu wa damu (Wakristo) wamewatungia na kuwaletea madhehebu tele kwa kivuli cha aukrusto.
@ritanget91743 жыл бұрын
Waislamu pia wako mathehebu mengi ama wafikiri hatujui na wala thehebu halikupeleki mbinguni ujue hivyo
@kutailadifi28543 жыл бұрын
@@ritanget9174 UISILAMU Uko 1 tu, hakuna tofaut
@ritanget91743 жыл бұрын
Yesu hakupiga magoti usidanganye Yesu alilala kifudifudi kulala na tumbo lakini hakupiga magoti
@abdur-rahmanmuhammad28983 жыл бұрын
😀😁😁😁 Rudi shule ukasome kiswahili vizuri
@muslihmohd94203 жыл бұрын
Aya haisemi alilala bali alianguka kufudifudi hata nchi akasujudu.
@@muslihmohd9420 kwa hivyo mshaelewa Yesu hakupiga magoti kama nyinyi waislamu
@muslihmohd94203 жыл бұрын
We vp nani alisema kusujudu ni kulala na tumbo,mswahili wa wapi wewe
@ritanget91743 жыл бұрын
Hiyo ni alama ya shetani hiyo iko kwa kipaji cha uso
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Ulimshuudia shetani akiziweka hizo alama ktk vipaji vya waislam?? WW Mungu anakuona
@masala80993 жыл бұрын
Rita elimu huna matako ww
@ritanget91743 жыл бұрын
@@masala8099 nyinyi mlizaliwa kwenye matusi sisi wakristo huwa hatutukani tukana kabisa lakini ujue kwa mungu hufika kama hauko kwa Yesu Muhammad ni motoni utaenda pole sana
@ritanget91743 жыл бұрын
@@kutailadifi2854 wewe njoo kwa Yesu anakupenda utoke huko kwa shetani na Muhammad wake
@kutailadifi28543 жыл бұрын
@@ritanget9174 kwa yesu ni wapi? WW unajua aliko kwa Ss huyo YESU , somaga bibilia yenu ujue yesu ninani hasa na anamahusiano gani na kipenzi chetu cha Allah MTUME Muhammad , soma bibilia utajua shetani makao yake yako wapi,😆😆😆kanisaniiiiii Ndiko kunakiti chaenz cha shetani ,🤔🤔🤔mnano
@muliamadi8593 жыл бұрын
Jamani Ismail gitahu apatikani?
@myself41283 жыл бұрын
Nyinyi Endeleeni kuwaongopea watu Kwa Mungu wenu Wa kiarabu lakini siku inakuja ambayo mtajutia nafsi mlizozipoteza,Mbinguni wataingia wacha Mungu tu sio watu walioshika dini Bali watu walioishi kwa kumpendeza Mungu, Dini ya kweli ni kuacha maovu na Guarentee ya uzima wa milele ni Kristo tu hakuna Isa wala mohammad wala mussa,
@alexkijomoko71353 жыл бұрын
Ngoja siku ya kiama utajua Yesu ni nani
@abdur-rahmanmuhammad28983 жыл бұрын
Yesu Kristo alikuwa Dini gani
@najmamakame98813 жыл бұрын
Hahaha ila wewe yesu sio muafrica ujue...alikuwa myahud nakushangaa sana unachukia warabu 😂😂😂we ni mwehu kabisaa....namuomba Allah akuongoze la sivyo tutakutana siku ya hukum in sha Allah ukilia na kusaga meno
@ahmednoor95463 жыл бұрын
Wacha wivu hakuna mungu wa waarabu wala wa afrika aliekuumba ndie aliumba warabu.tafuta ukweli ukowapi
@kutailadifi28543 жыл бұрын
Msikie na huyu kafir anae Sema sie tumamfata Mungu wetu mwarabu hv ninyi Paulo aliwaachia laana Eee, Ss haijawah kudhibitisha Mungu Ni kabila gani, au ukoo gan msipende kutoa kashfa Kama hiz Jmn
@zenakadiara85353 жыл бұрын
Mashallah
@mdmalik84843 жыл бұрын
Mashaallah
@shenjamamzingi79503 жыл бұрын
"ALLAHU AKBARU"...ALLAH ATUWEZESHE SOOTE KWAAJILI YA KUFANYA KAZI YAKE,INSHAALLAH"