Mwenyekiti wa zamani na Mwanachama wa Klabu ya Yanga, Yusuph Manji ni miongoni mwa waliofika katika Ukumbi wa DYCCC, Dar es salaam leo kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka 202.
Пікірлер: 100
@fadhiliamiri47793 жыл бұрын
Mimi ndio kwa kwanza ku comment hapa weka like yako hapa 😂😂😂
@geofmedia18773 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kingkiba63483 жыл бұрын
Boss
@sweetberthacharles69603 жыл бұрын
Karibu Boss wetu nyumbani
@elianifaaluka47903 жыл бұрын
Yanga oyoooooooo
@happyshayo3723 жыл бұрын
Welcome Sir MANJI 🤑🤑🤑🤑😜😜😝😝😘😘😘😍🙌🙌🙌
@venancephilbert93973 жыл бұрын
Tusishangilie sana ....kwann ilikuwa ilivokuwa ipo kwa bongo za wachache. God bless🇹🇿
@paulmafuru94643 жыл бұрын
Karibu sana tuwakomeshe mikia fc
@pitargamba92083 жыл бұрын
Pole ivi mkia unakalia mbele au nyuma?
@geofmedia18773 жыл бұрын
Karibuuu
@oscarkasalile84423 жыл бұрын
Karibu boss wetu tumeteswa sana na simba,
@gracegrace62003 жыл бұрын
Masikini boss wako unamuonea huruma. Huyo ndiyo kakupa umasikini mpaka unamuita boss. Pole sana. Simba alikuwa anakuokowa wewe. Huyo ni mwizi mkubwa amuka
@erickevarist87383 жыл бұрын
Wa 2 mm Amin manji jeshi kubwa Rudi nyumban kumenoga
@selemankishema57803 жыл бұрын
Ilibidi watu wakimbie walipozaliwa do!!! Tawala zingine mtihani ilikuwa mavisasi tu
@godfreymbwambo44603 жыл бұрын
HUYU HAKUZALIWA TANZANIA , BALI NI SECOND CLASS CITIZEN!!
@tashone78843 жыл бұрын
Huyu second citizens wapi kuna madaraja hayo uraia. Kama wanayo Haki ya kupiga na kupigiwa Kura na kuwa viongozi kuanzia mabolozi Hadi mawaziri Ndani Amir Jamal,Salim Ahmed Salim,Zakhia Mehji,Mohamed dewj etc rangi zetu siyo sababu hizo chuki zako Tu ulilishwa matango Pori.
@emmanuelsimon5453 жыл бұрын
Kama huna la kuandika kaa kimyaa acha ushabiki wa kijinga mm yanga lakn kwenye masuala ya nchi hayana ukirabu
@robertmgore36533 жыл бұрын
Acha hizo
@godfreymbwambo44603 жыл бұрын
ACHENI MAMBO YA USHABIKI HAPA YASIYOKUWA NA MACHO WALA MIGUU. MIM NILIKUWA NAMFAHAMISHA HUYO ANAYEDAI KWAMBA AMEZALIWA TANZANIA! AU NI ILE MIHEMKO YA KICHAMA??
@leothardngonya23693 жыл бұрын
Nyumbaniiiii!!!!! Ulikimbia nini? Rudi hukohuko.
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
Ndio karudi
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
Mikia wewe
@johnmalambo17383 жыл бұрын
Uhuru mwingine nimaumivu sasa nahao wezi wanatoka wapi lakini mzee alishatufumbua macho tunaona msifikiri hatuoni tunaona
@adammakoye93323 жыл бұрын
Mo sasa huko ana.......
@neemaremus49243 жыл бұрын
Mhaho
@bsmonline84823 жыл бұрын
😂
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
Magufuli shikamooo 😆
@jorampeter61313 жыл бұрын
Jamn mhujumu uchumi huy amerud? Na viongoz mpo? Nan alietuloga watz?? Kufkia uchumi wa kat haikuwa rahis,,njia mojawapo ilkuwa kuwaondoa mafisad wote walionyonya nchi yetu,,wakwepa kodi,,lkn leo wameanza kujazana,,,wanyonge zetu changamoto ni wapi zitasikika?Eee Magufuli tutakukumbuka daima,Rest in peace
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Unauhakika kama nimuujumu uxhumi acha ushetwani sio kila jambo unaloambiwa unaliweka akilini
@azerageorge66473 жыл бұрын
@@aishaarusha894 Really???kati ya huyo manji na mwendazake nani shetwani au hayawani???Acheni kuropoka msiyoyajua nyie majuha
@sweetberthacharles69603 жыл бұрын
Alihujumu uchumi waukoo wenu?
@vitalismakyaohamnakitu17143 жыл бұрын
Mbumbumbu ni wengi
@aishaarusha8943 жыл бұрын
@@azerageorge6647 juha ni bibiyako mzaa babuyako sikuzote sheitwani hataki sheitwani mweziwe asemwe kama kafanya hovyo
@nipolive..27453 жыл бұрын
Wapambanisheni manji na mo
@gracegrace62003 жыл бұрын
Wamewateka Watanzania kupitia mpira. Wanatuibia huku akiri zetu zote ziko kwenye mpira. Nani kishaona timu ya mpira ya wahindi. Funguweni macho mpira ni kama dawa ya kulevya na wahindi wengi wanajuwa. Shika timu ya mpira, kisha mushike Rais basi tenda zote kikapuni. Kwa Hayati Magufuli walishindwa kuingia Ikulu kupitia mpira.
@byabatotv32833 жыл бұрын
Wapi Bashite😂😂
@robertmgore36533 жыл бұрын
Nchi ya majizi wauza madawa wazee wa kukoromea viongozi
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
Mikia wewe
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Wizi
@justinefelis87723 жыл бұрын
G s m alikuja kwa m bwe bwe lakin waapi.
@mapafutv3 жыл бұрын
Sema jamaa mbona km ndondocha hiv au madawa yake yale 😂😂😂😂😂
@samwelmubusi45123 жыл бұрын
Kurudi karudi je anamkwanja ?
@bsmonline84823 жыл бұрын
Huyo unafikiri ana njaa, hahahah mbona hujajiuliza set kasema anatoa bil 25 anazitoa wapi. Watu wana mipunga we na mimi ndio hatuna. Na huyo anatoa hela kweli ujue hanaga masihara ujue.
@jamesngonyan16703 жыл бұрын
Tunajua mnamuogopa tulien shidah iko pale pale
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
Wewe kwa akili zako unafikiri aliondoka kifala?
@msomimosomy98123 жыл бұрын
Niukichaa tuunaoshangiliwahapo
@idarsaideidarmuamede82453 жыл бұрын
utopolo
@amosmoses78003 жыл бұрын
DicTeTa ALivuLuGA saNA inch ALikuWa msheNZi ALikuWa nYaNi LisiLopeNDa maeNdeLeo yA watu .
@jorampeter61313 жыл бұрын
Sina uhakika kama wee ulmalza hat dars la 7,kila mkoa Magu aliugusa kwa maendleo bla kubagua vyama,barabar,umeme,mashule,mahospital,,,na yote aliwafukuza wote ambao walkuwa hawalp kodi,,walpa kod walpata fulsa ya kufany biashar,,na mpaka Tanzania tukafkia uchumi wa kati,,,upooo,,kam hauelew kisa mpira ambao nikiwa na shida na dawa haunisaidii chochote,,nan alietuloga watanzania?
@azerageorge66473 жыл бұрын
@@jorampeter6131 huyo kijana ni mpumbavu kbs,hajaenda hata darasa moja hana adabu.Angekuwa kasoma angalia hata handwritting yk ndo maana hajui anachosema.hebu kama anamzazi amweleze hayo maneno kama atamuunga mkono.Hao kinamanji wanawaibia kila uchao ila mambumbu kama hilo haliwezi jua.
@robertmgore36533 жыл бұрын
Kiazi wewe
@gracegrace62003 жыл бұрын
Mushenzi ni wewe unayeandika kama kuku. Hujielewi wezi wakubwa nyinyi. Munataka kuitafuna Tanzania oneni aibu. Kama sio Hayati Magufuli tusingekuwa na nchi mjinga wewe.
@azerageorge66473 жыл бұрын
@@gracegrace6200 asante sana rafiki.kwa kumwambie huyo hayawani@amos moses.Huyo shule haijui sababu ya hao wezi wao wanaowatetea
@pitargamba92083 жыл бұрын
LIMANJI mdomo kama amfibia
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Karibu manji yule kichwa ngumu kaondoka sasa nchi huru
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
Wasema 🤣🤣🤣
@robertmgore36533 жыл бұрын
Nchi ya wezi
@aishaarusha8943 жыл бұрын
@@robertmgore3653 mwizi gani tena
@azerageorge66473 жыл бұрын
@@aishaarusha894 c kama wewe na ukoo wako wote mmezoe vya kunyonga vya kuchinja hamuwezi
@aishaarusha8943 жыл бұрын
@@azerageorge6647 kumbuka wewe ukoo wako uko kwenye khasara mungu hatawaonelia huruma siku ya kiama nari itawahusu maibilisi nyinyi
@onesmojustice23483 жыл бұрын
Kwani takukuru wanasemaje kuhusu manji😂😂😂😂
@gracegrace62003 жыл бұрын
Hakuna chochote hapo. Huyu ni business partner wa Kikwete. Mpira ni kuwapumbaza watanzania. Hawa wanasaidiwa kuitafuna nchi na viongozi wetu. Sisi sio masikini. Kwa nini Manji awe tajiri? Ni tenda za udanganyifu. Fedha zilizomutajirisha Manji ni fedha za Watanzania
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
@@gracegrace6200 kuwa na wewe business partner na mama samia,mijizi imejaa Tanzania kibao mnamuona manji?
@gracegrace62003 жыл бұрын
@@luganomwaisumo1938 mpira ni kama ulevi. Wahindi wanajuwa kutuchezea kwa ujinga wetu. Unaona akiri zako zote kwenye mpira. Mwenzio kakushika pabaya. Akiri zako zote ziko kwenye mpira yeye hana intrest ya mpira. Umeisha chotwa akiri mbumbu unatowa majibu ya kijinga.
@luganomwaisumo19383 жыл бұрын
@@gracegrace6200 yaani wewe una ushaidi gani kwa hizo tuhuma zako?na ata kweli mbona mijizi ipo mingi ata serikalini
@gracegrace62003 жыл бұрын
@@luganomwaisumo1938 Kwanini Manji alikimbia? Manji Ni baadhi ya wawekezaji tulioambiwa wamekimbia. Manji akifanya biashara na viongozi wa juu. Wewe huwezi kuona pengine ni mpenzi wa mpira. Mpaka uwe na akiri ndiyo ujuwe muchezo unaochezwa hapa. Tanzania ni nchi moja muhindi anaingia bila fedha within few months anakuwa billionaires. Viongozi wetu ni lahisi kuwanunuwa. Wewe shika timu ya mpira kisha shika Rais uchumi wote utaaushika. Angalia na macho yako ni wahindi tu ndiyo wamekimbilia kushika timu za mpira. Soka sio intrest yao. Watanzania wanapenda sana mpira. Ukiishika timu ya mpira umeishika nchi. Kwa Hayati Magufuli walikwama.