Waooo zuenaas jmn uranikumbukaaa kwel mm saudaa kidimaa wa mungur wew kwenu mongoromaa naomb nitfutee kipenz❤
@alimwadima2545 күн бұрын
Old is gold...wakati huo hakunaga Body za Kichina...Anita alikuwa na Mzigo c mchezo Full kuipamba video ya Tonya🎉
@arafaally28952 күн бұрын
Huyu ujana ulimpeleka mbio sasaiv akili ndio imekuja
@BenedictaMagantg5 күн бұрын
Achana na hao wanaxwivu. Go on, Anita, it is never late. Mungu hupanga route ya kufanikiwa.
@JackKanyigo5 күн бұрын
Mm naskia Anitha alikuwa anatoka Matonya lkn baadae akawa anatoka na pedeshee mmoja akamsaliti Tonya,akaimbiwa wimbo wa spare tyre
@ShukranSaidi6 күн бұрын
Elfu 50 yazamani ndo laki Tano ya sasa ebu kuwa na Shukra. Kwanza
@shamimulazaro95182 күн бұрын
Kweli
@nancyg86643 күн бұрын
aisee amekuwa mtu mzima balaa
@estherminnahboaz69562 күн бұрын
Kwani ye roboti hadi asikue
@nancyg86642 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 we unamuonaje, robot au binadamu?
@nancyg86642 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 we unamuonaje, ni robot au binadamu?
@fadhiliibrahim9702Күн бұрын
Hongera wewe uliebaki vilevile hukui
@nancyg8664Күн бұрын
@@fadhiliibrahim9702 asante hongera pia kwa kiherehere cha kureply comment isiyokuhusu
@DxbYae3 күн бұрын
Pole kwa mapito
@Halimamurushid2 күн бұрын
Ameishakuwa mshangazi😅😅
@antybabybintrashid23332 күн бұрын
Wewe bakia mdada wa miaka 7usionhezeke umri wala umbile lisibadlike bi dada
@ruqaiamohammed3454 күн бұрын
Walinambia nikuache ww ila mimi niishi mwenyewe mbuz gita walipiga we ndo wa maishanii aniita aniita wangu lelelilee tuishi pamojaaa na sukuma sukuma ili ck ziendee urud nyumban tuishi pamojaa enz hairud bhana hongera dada kwa kuwa hai mpk leo wanaosema umezeeka / mshangaz wajue kabisa uzee ni baraka
@NuruJuma-zv3yzКүн бұрын
Weweeee😂😂😂😂😂
@ruqaiamohammed345Күн бұрын
@@NuruJuma-zv3yz 😁😁
@AshaMwamba-i7gКүн бұрын
Jamaniii muwe mnatulete vitu Kama hivii kitambo jamani Hadi rahaa
🙄🙄🙄🙄kuzeka vipi umri tu unavyongozeka mwili unabadilika
@ThomasBenedictoКүн бұрын
We umejaje
@NuruJuma-zv3yzКүн бұрын
Ogopa Mungu wewe, unakunywaga naye?
@allysinge70965 күн бұрын
HAKA KADADA KATANGAZAJI KAMECHANGAMKA SANA MPAKA RAHA, NA ANAMBANANISHA SANA ANITA KWA MASWALI
@WilliamSumuni3 күн бұрын
Ivi sio frida amani au
@nancyg86643 күн бұрын
@@WilliamSumuni😂😂😂😂😂uwiii
@KingaluSalumu-yv2vu3 күн бұрын
Elene wewe nakupenda kutoka congo wewe mumbeya sana kuzidi kupara vevo
@christinamabula416Күн бұрын
Anita alikuwa mzr jmn
@rosedominick-k2h4 күн бұрын
Mnavituko sasa ni miaka zaidi ya kumi na leo ndio mnamuoji mtu au mmekosa vya kufanya yaani mnamuoji mtu uzeeni ahaaaaa😂😂😂😂😂
@dynachriss51262 күн бұрын
Acha wivu ulitaka uhojiwe wew muuza genge au😂
@yousramutwale246311 сағат бұрын
Punguza makasiriko
@IsaiahAkala6 күн бұрын
Welcome to Kenya ❤️🧡💕
@omanoman20445 күн бұрын
Sai hap ulopo ni mkirsto am unaingea wisilam gan duuh polen
@MuhammadHassan-xp6dc5 күн бұрын
mtoto ni mipango ya mungu fanya subra dada
@godriverkabelela32725 күн бұрын
Anita mzuri
@magdalinekenneth72386 күн бұрын
Hyo wa nnje inaweza kua alikua na mzungu huko mbn hakuwahi enda nae
@zenamtembezi4921Күн бұрын
Njoo uchukue dawa yauzazi unywe uzae
@RamadhanMbwana-o1j5 сағат бұрын
Wee pambana na maisha yako na wapuuze wasema ovyo, uko vizuri sana kaza Buti utafanikiwa . Inshallah...
@richardrobert94804 күн бұрын
Uje nikuoe mm
@ramadhanmahongole92936 күн бұрын
Anita❤
@aminahaji74535 күн бұрын
Anita ulipendeza sana na vibutu tunakupenda na kukuombea Mungu akuongoe
@DavidDavidmaleko2 күн бұрын
Mm namfaham uyo nilikuaga boyfriend wake
@ProsperUlungi-p3t2 күн бұрын
😂😂 boy friend au girlfriend
@EverlyneSpaete5 күн бұрын
usijangere jangere...TBT...
@HuseniMsumba4 күн бұрын
ANITA NAKUKUMBUKA KONDOAAAA ❤😅
@FRANKNCHEYE-wk8cz6 күн бұрын
Hatari na nusu aiseee
@Stellastella-yi5vu6 күн бұрын
Wanaume wa nje mapoyoyo tu .
@Jamalybella6 күн бұрын
Dada zuwena kondoa sehem gan
@FranckDaniel-cc5rg6 күн бұрын
Ashakua mshangaz
@BenedictaMagantg5 күн бұрын
Sio kiasi hicho, and she is still very beautiful.
@zulfajuma83945 күн бұрын
Kwani ww hutakua limujomba kila mtu ana muda wake
@FranckDaniel-cc5rg5 күн бұрын
@@zulfajuma8394 mm mwenyew ni limjomba
@ruqaiamohammed3454 күн бұрын
Ni baraka maana ni miaka mingi je aliozaliwa nao wako mpk sasa baadhi wameshakufa
@ankalmzito2542 күн бұрын
Watoto wa 2000 mkalaele 😂
@salimumwanyenza90103 күн бұрын
Huyu dada anafaa kuungana na Ahmed Ally kuwa msemaji wa Simba.
@farijalakhalid55582 күн бұрын
😂😂😂
@joycekalago5325 күн бұрын
Anataka kufanana na zamaradi mketema
@haulatysam446111 сағат бұрын
Mimi mwenyewe nilitaka niseme ivo kwakweli
@Malaikakisseto5 күн бұрын
Ya huyu Anita alikuwa anaishi mwananyamala mm nilikuwa namuonaga Sana A na mwananyamala kisiwani
@saidomar42185 күн бұрын
Miaka ya 2000 alikuwa alifikia kwetu kariakoo akitokea Kondoa, tuliishinae mtaa wa gogo nyumba namba 8 na mama yake mkubwa( jina nalihifadhi) ambae alikuwa anafanyakazi kwenye Club ya wazee pale Fire, mm nimeishinae nyumba moja kariakoo,,mpaka mama yake mzazi namjua,,,baada ya nyumba yetu kufanyiwa ukarabati yeye na mama yake mkubwa wakaamia Mwananyamala,,,mambo ni mengi,,hapo kwenye story mambo mengi kawalisha watu matango pori😮..
@nancyg86643 күн бұрын
@@saidomar4218😂tunashukuru kwa ufafanuzi wako ila hapo kwenye matango pori ungetuelezea wewe kwa undani maana Inaonesha wamjua vizuri
@daslamonline46652 күн бұрын
Kwa kopa
@NjuuHussein6 күн бұрын
Duh
@Rennyanselim5 күн бұрын
Mungu atakutia nguvu pole Anitha
@sebastiankatalle27325 күн бұрын
KUMEANZA KUCHANGAMKAAAA
@MagrethChorogo-n9h2 күн бұрын
Alikuwa na miaka 16 inamaana alikuwa asomi
@FatumaMohamedi-t6t2 күн бұрын
Kasema alikua kidato chakwanza.
@Warda-o7e3 күн бұрын
Mbona kazeeka
@molenicharles91076 күн бұрын
HAKUFANYA VZR...MAANA NI MUDA MUAFAKA WAHUYO MSHANGAZI KAJA..ANGEENDELEA KUKUKANYA...MTOTO WA KAKAKE
@perusjumanne34502 күн бұрын
Kwaiyo unamiaka 28😂pole kwa matatizo yamekuzeesha sana
@eladiuspeter5862 күн бұрын
Sio kweli. atakua na 33. mm nna 28 kipindi hcho nlikua 11 ,,
@Zahara-or3cf5 күн бұрын
Majibu kama muongo
@jilalamaligisa48545 күн бұрын
Asee yaani unawaza kama mimi
@OmanSaniwo4 күн бұрын
Dada mwandishi nasema ivi kama hakuishi tabata nichizike mimi, wallah naapa naswali mimi siwezi kumsingizia swala zang inakuwa haina maan. Mwandish nakwambia ivi kama unaitaji kwnda kuona alipokuw anishi niambie nikuelekeze na ukawaoji watu wa apo. Sina sababu ya kudangany ili iweje sasa nakuusu miaka ni yauongo na hakuwa anasoma jamaan Wallah naapa. Alisema ana miaka kati ya 30 mpak 35 namuuliza je analingan namimi kwasababu kipind icho mimi nilikuwa shule yamsing yeye alikuwa mkubwa sana wangu naalikuwa mke wamtu jamaan
@OmanSaniwo4 күн бұрын
Nikweli da ziwena ila unakera unavyo zungumza uongo kwanini usizungumze ukweli tu wa maisha yako alafu nikwambie kitu ukweli humuweka mtu huru ata unapoojiwa namtu mwingine unakuwa hur ujitafuni tafuni. Kwanini ukatae ujaish tabata na mi nimekujulia tabata chang'ombe nyumbn kwet nawewe ndiye ulikuwa mpangaji wetu wakwanza kuingia pale nyumbn nanimejuaje we ni mrangi? Na unaitwa zuwena? Ndugu mtangazaji mi cpo tz kwa sasa ningekuwepo ningekupeleka nyumbn ukawaoji wenyej wapale ama nikuelekeze. Yani mazungumzo yake meng niyauongo jamaan nikusingizie ili nipate nini mimi? Nauwez ukawa na uwo umli ulio utaja pale mwanzo sio kweli mi kwa sasa nina miak 32 unatak niambia tunalingana? Umesha kuwa mtu mzima sasa utaki kujikubali khaa uzee aukimbiliki ata ukisema unamia 20 ila utaumbuka tu.
@loner_wolf4 күн бұрын
@@OmanSaniwokwahiyo kama kakataa inamaana gani wewe kuforce ? Unafilana nini mzee , tafuta kazi utakufa bila maajabu pimbi wewe ....unamjua inakusaidia nini sasa ? Au nawewe unataka interview kwamba unamjua ?
@loner_wolf4 күн бұрын
Yaani kama ni demu basi UNA WIVU WA KUFA KBSA ....ILA KAMA NI MWANAUME NA SIO SHOGA , UTAKUWA JOBLESS ......maana nawaza inakuuma nini 😂😂😂
@maridhiaabdallah6304 күн бұрын
Hayakuhusu fanya yako we mwenyewe muongo usiingilie maisha ya mtu hata kama unajua kausha ndio ujanadume
@OmanSaniwo3 күн бұрын
Kama kufilana tunafilana nawewe khaa unajizima data leo 😂😂😂@@loner_wolf
@AthumanMhina-wf9rw6 күн бұрын
Umri hauna brek
@FrolenceRogath-fv6ku5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
Eti waislam tunajifunga ushungi. Hapo kakukataza nani kujiifadhi. Umejiachia hivyo iliiweje. Intakillah
@alimwadima2545 күн бұрын
Anaonyesha hair style😂
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
@@alimwadima254 🤣🤣🤣
@alimwadima2545 күн бұрын
@@HanifaOman-oo4pl 🤣🤣🤣...Eeeh Bana weee
@Lucy_ikupa2 күн бұрын
16 ulikuwa mdogo sana masikini
@Jamalybella6 күн бұрын
Wakwaza leo nipe like zenu
@AminaMalusa6 күн бұрын
WA KWANZA KUFANYAJE
@MaryTomito3 күн бұрын
Alikuwa kapanga sinza kwa mwaibula pia alikuwa na grosari
@barneymunuo5659Күн бұрын
Hata mm nishawahi kunjwa nae bia pale kwa mwaibula kwenye grocery yake enzi hizo 2009
@barneymunuo5659Күн бұрын
Ila ni mtu poa sana hanaga maringo
@BabyCappuccinoBabyCappuccino6 күн бұрын
Kumekucha tena mtu kashahojiwa na media moja tushajua kilichotokea basi apo kila media itaenda kumuhoji na maswali ni yale yale mnasema wasanii wanaiga mizik nanyie mnaiga maswali😂😂😂😂 looh
@philemonmagesa55486 күн бұрын
Ndo changamoto ya waandishi wasikuizi sio wabunifu ni ushamba TU maswali yaleyale mpaka yanachosha
@kiwandachamuziki52893 күн бұрын
😀😀😀
@BabyCappuccinoBabyCappuccino2 күн бұрын
Kweli kabisaa apo ukisikiliza maswali yote alio uliza mwenzie ndo anayouliza yeye waandishi walio ishia la pili B 😂😂😂
@matiyastizzo9141Күн бұрын
Zuwena jamani nilisoma naye chuo cha urembo makumbusho kwa madam Dora kitambo sana
@ShukranSaidi6 күн бұрын
Mbona kazeeka
@edithandunguru34056 күн бұрын
Mimi hizi kauli huwa zinanishangaza sana. Hivi huwa mnategemea mtu abaki hivyo hivyo miaka nenda-rudii? Au ninyi mko vile vile kama mlivyokuwa miaka hiyo?
@rehemavickie65216 күн бұрын
Miaka inasogea ulitegemea aweje? Kuna binadamu asiyezeeka?
@rehemavickie65216 күн бұрын
@@edithandunguru3405umeonae? Watu bhana
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs5 күн бұрын
Yeye labda bado ananyonyo maziwa ya mama yake mpaka Sasa Kwa sababu angekua ameacha kunyonyo hasingekua na akili za kushangaa mtu hakizeeka
@Userog2545 күн бұрын
Mbona ww haupo tumboni mwa mama yako
@saidnasibu580317 сағат бұрын
Ushungi mwanzo mwisho na hapo alipo yupo kichwa wazi