Mzee nimekupenda bureeeee!!! Mpeni like ,huyu mzee jirani mzuri!
@shidabundala89843 жыл бұрын
Mzee ameongea point kabisa
@emanuelamasawe40973 жыл бұрын
Tena sana
@mathiasmihale2093 жыл бұрын
@@shidabundala8984 k
@musajosephjoseph35143 жыл бұрын
Ni kweli mzee umeongea Kweli. Mondi hawezi maana inasemekana pesa za boss Mama anamchango.
@zumbeshauri81143 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu mzee hakika pigo watalipata
@mwanaidijumanne41463 жыл бұрын
Yani nimekupenda we baba mpaka bac omeongea pont sana ongela ❤️❤️❤️❤️😘
@ferdinandlameck22873 жыл бұрын
Kwakweli mimi sio mpenzi sana wa comment but this touched my heart. Nashukuru sana mzee kwa ushauri wako
@Saadah-jm5xs3 жыл бұрын
Like za kenya zote zije hapa mzee ubarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏
@hassamaimun91033 жыл бұрын
👍
@gibishinchambi19713 жыл бұрын
Mzee unatoa ushauri mzuri sana MUNGU akulinde sana safii sana
@diwanisereki563 жыл бұрын
Niwachache Sana wazee wa ainahii nakubari Sana huyumzee
@annkabuga19043 жыл бұрын
Amen
@mwatelaedward16383 жыл бұрын
Doo kweli huyu mzee ameongea sawa kabisa
@zainabuwanjala28223 жыл бұрын
Baba pole sana,mungu yuko nawe,vya mashetani vinaliwa na shetani
@carolynemohammed5183 жыл бұрын
True 😢
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
True true Kwanza mamadangote anataman huyu mzee afe leo au kesho
@saidalguhum19963 жыл бұрын
Mzee maneno yako yabusara sana yataka Nasibu (Daimond) ayasikize kwa makini sana. Thanks alot Mungu akubariki.
@marycianaanthony63853 жыл бұрын
Mzee umeoongea BIG POINT DAIMOND laana inamnyemelea
@maryjonh3113 жыл бұрын
baraka nyingi zimebebwa na wazaz.mzazi akikasirika kuna mambo ayatakaa sawa
@marycianaanthony63853 жыл бұрын
@@maryjonh311 hakika
@nancyalusah88223 жыл бұрын
Mzee has spoken....Wisdom and knowledge
@jennypEva3 жыл бұрын
You talk truth papa ❤️✊
@SaraSara-gi9he3 жыл бұрын
Uyu mzee anajua kuongea aki eti alikua muuza mchele ezakua walikua wengi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamsuma30033 жыл бұрын
😂😂😂😂😂✌👌👌👌
@edinakiula61493 жыл бұрын
Jamn baba wawatu mpaka huruma inauma sn😭😭😭😭😭
@hildadaniel48923 жыл бұрын
Sana
@AnnKk-sj8ij3 жыл бұрын
Baba asante.kwa ushauri wako, mzee Abdul hio mali yake diamond c halali achana nazo mungu akupenda .
@gibishinchambi19713 жыл бұрын
Mzee nimependa ushauri wako sana nmependa sana
@dismaskanondo55553 жыл бұрын
Kwangu mimi ningeomba msimtupie mzigo mondi na pia naombeni msije pekenyua saaana yandani, kwani wote hatujui yanyuma bali wanafamilia tu ndo majaji👏👏
@محمدالقايد-د6ب3 жыл бұрын
Mzee kaongea point
@faisalissac95073 жыл бұрын
Hi I am from Uganda I want to tell diamond go and ask your mother very well you have so many father's😂😂
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
🤣🤣real
@jacklinengozi11223 жыл бұрын
👍
@dsmith76003 жыл бұрын
nope, he should reconcile and beg for fogiveness from his father..ama angojee lana.
@augustuss45033 жыл бұрын
@@dsmith7600 baba mlezi ni muhimu sana, but they say karma is a bitch, , what goes around comes around.
@beatricemdoe28503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@naimafaiz52743 жыл бұрын
Atapata shida Dimond malipo ni hapa duniyani from kenya 🇰🇪
@verrynicemushi25633 жыл бұрын
Hapo mashehe wakae wawasaidie hii familia ina shida sana, kiburi cha fedha
@minabuelysee83 жыл бұрын
Ma Sheikhs hawaezi kuwakalisha chini maana ao wako mmambo ya dunia tu Ni kufuru tupu
@fatmas73383 жыл бұрын
Hili tatizo mashekh washalimaliza yaliyobaki ni mzozo tu alishasema kua daimond ni.mtoto wa nje ya ndoa kwaio hana baba si nyange wala abduli huyu sio mtoto.wao mtoto ni sanura hiyo ni Kia dini yetu ya kiislam
@ramadhanimbulu67163 жыл бұрын
@@fatmas7338 kwani huyo diamond ni yesu hadi asiwe na baba..?
@yusuphmdadike87583 жыл бұрын
Masheikh wazungumzie zinaa? Huyo mzee ajao anagombea mtoto
@sheikhanasser47143 жыл бұрын
@@yusuphmdadike8758 hagombaniii mtoto anagombaniya heshmaa yake ikiwa mama mtu hakusema hadhari yasingekuwa yote na fadhiii za mtu aliyekuleya pia zinaheshimika
@Mindsetting4success3 жыл бұрын
Now I understand why Diamond has a lot of children with different moms, like mother like son.
@emanuelamasawe40973 жыл бұрын
Hahahahah
@rashidbiyengo42383 жыл бұрын
A b
@rashidbiyengo42383 жыл бұрын
Sabokilaivu
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Pesa za mashaliti hawezi kumsaidia huyo mzeeaki mpa msaada atapoteza pesa zote ataflisika😭😭😭
@henriettenkuba70783 жыл бұрын
Hata kufa anaweza akafa
@revocatussebastian56983 жыл бұрын
Kweliiii
@everinemasoka63273 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana. Mama Diamond anajizaraulisha sana tena sana na anakosesha mtoto wake heshima.
@mwanashazingas66843 жыл бұрын
Huyu mzeee ni 🔥🔥🔥🔥🔥Noma na nusu
@zachaamaster37983 жыл бұрын
#mzee noom uyo sijapata kuona
@sultanaswaleh88923 жыл бұрын
PONGEZI sanaaa ! Mzee umeongea point !💯👋👋👋🇰🇪.. kwe yako mama alikuwa hakutulia . Waswahili walisema...mpigwa na wengi hajuwi anae muumuza.mama ana mpitosha
Daimondi kamdhalilisha mama yake jinsi alivyo Malaya alivyowapanga wanaume hiyo aibu inabaki Kwa Nani pia yeye daimondi karithi Tabia ya huyo mama je na km huyo mama siyo mama yake hosipitali wanabadilishaga watoto makabila mengine bwana pole daimondi hekima hukupewa kabisaaa
@maryamanalisi1973 жыл бұрын
Yani mzee wangu umeongea. Km wazee 100 hivo 👏👏👏tena km sio huyo. Baba mlezi vile wenyewe wanasema angekuwa wp mm nlikuwa namheshim kaka nasb lkn now... Ziiii😏😏
@albertmwakipesile47273 жыл бұрын
Tuliwaambia diamond anatumia nyota ya mzee wake yeye hajui na akibibisha aendelee kumzarau tutamsahau kama Mr nice atakua na hela ila umaarufu hautakuwepo
@shadia23053 жыл бұрын
Diamond! Even if isn’t you father is the man was always there for you until you make you are life. If you don’t have something you hide for! Why you don’t want to talk with this man even if his you’re worst enemy. The truth it will come out one day. This isn’t normal. From 🇬🇧
@esthermwaniki79383 жыл бұрын
Nimekwama hapo kwa kizungu chako 😳
@chantalharakandi25763 жыл бұрын
Baba umeongea ukweli kabisaaa nimekupenda sana Mwenyezi Mungu akubariki
@paidenasra45483 жыл бұрын
Diamond platnumz ni freemasonry, so akimsaidia uyo mze atapotea.
@henriettenkuba70783 жыл бұрын
True
@mamumiyaskitchenvlogs58583 жыл бұрын
Nami limenijia wazo kama hili,maybe ni moja ya masharti wasimsaidie Mzee Abdul,kwa mana haieleweki hii issue yao,Dai anasaidia maskini kibao ashindwe vp kumcheki budake,loh! huu mtihani
@sandejumachipossi28303 жыл бұрын
me nakubar
@joymsupagladysijeya83843 жыл бұрын
Kabisa Dee
@collinsstanley61263 жыл бұрын
Ohooo Mimi naona unahitahi therapy wew watu wanahusltle unasema freemanson
@uwimanacitegetse99263 жыл бұрын
Uwondo ukweli mzee jilani ameuwongea 💕👌🏾
@ezraamasawe64233 жыл бұрын
Uyu mzee jiran sana flashi 3 daimond ajielew
@davidlyanga77133 жыл бұрын
Duuu!!mzee nimekuvulia kofia
@paschaliaanyona97013 жыл бұрын
Nimekupenda bure kwa mzee mwenzangu
@mwanaidathuman783 жыл бұрын
Mama malaya tuuuu
@hemedmussamohamed3093 жыл бұрын
@@mwanaidathuman78 dimond bado hayajamkuta yakimkuta ndipo ataijua dunia pesa ni zakupita tu akumbuke alikula ugali wa mzee abdul na mzee amekwisha muachia mungu kazi kwake.
@azizasadi54073 жыл бұрын
Pôle sana Mzee Abdul, Kaza moyo baba najuwa unahekima sana n'a ukae kimya atafuzwa na dunia Modi. Hile kukukana naona nimasharti ya nguvu za giza zile zenye zinamfanya vile. Mungu atakulipa babaa. Courage
@shamsatambwe94173 жыл бұрын
Ni kweli mzeee unasema point nzuri sana
@Fredw63 жыл бұрын
Huyu mzee amenigusa moyoni kwahuu ushauri wake mzuri mzee wangu mungu akupe maisha marefu uzidi kuwashauri wote 🙏🙏🙏🙏🙏
@mauajames46703 жыл бұрын
Duh! Mzee wewe ni hataree nimekuelewa sana na una busara sana Mungu akupe maisha marefu
@harunalitupile49493 жыл бұрын
Wazee wete wangekua kama uyu MZEE maisha yangekua poa sana
@ladymuna49453 жыл бұрын
Jirani ww nimekupenda bureeee.
@azizayusuph62553 жыл бұрын
Kikushangze we ndio ulibeba mimba
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Jran km jiran🤣🤣🤣🤣🤣
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Kwan huyu mzee anakaa wapi
@saladaniel92743 жыл бұрын
Umalaya mbayaaa jamanii 😂😂
@wambokangombeyapi77903 жыл бұрын
Hongera jilani umezungumza busara sana
@chiababie66943 жыл бұрын
Yaani umlee mtoto ukitarajia mema kutoka kwake mwishowe malipo ni haya Mungu tupe nguvu zaidi ya kustahimili yajayo baadae ya malezi
@lukasmabula34943 жыл бұрын
Aseee mzee umetisha sana ety kunaumli baba yako anakuwa mtani wako big up sana
@seifmmaka59613 жыл бұрын
Sandra sio mama mzazi wa daimond kuna mama inasemekana ndio mama mzazi wa daimond amefanana na daimond sanaaa sanaaa
@singilamoki41523 жыл бұрын
Waaaaa makumbwa mbona anakaa wapi ama ni kichaa pengine
@thelionwomen49703 жыл бұрын
Baba kajuwa machauri kweli Mama diamond na yeye peke daimond wanajuwa walipo ingia kwa kweli baba uyu kazema neno ya kweli ata baba mlezi ananeno juu ya maisha yako.
@maimunaabdalla71463 жыл бұрын
Mwambie huyo boya asojielewa wenzake wakificha haibu za mama zao za nyuma,yeye atusifia mamake alivyokua kifangio cha waume,jamvi la wageni haibu pia hana mtoto wa kiume boya kabisa.🇰🇪
@lucykatimakamu86723 жыл бұрын
Ukiangalia vizuri in kweli Mond wanafanana na Nyange
@shangwekamando25993 жыл бұрын
@@lucykatimakamu8672 sana tena
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Kuma hyoo
@carolynemohammed5183 жыл бұрын
Kifangio😂😂😂😂😂🤸♀️🤸♀️
@papaambouf53253 жыл бұрын
Kweli diamond angeenda yy na mama yake wayamalize haya kwa huyu mzee
@nadnash76813 жыл бұрын
Mzee.nimefurahi.sana.mungu.akubariki
@elizabethswai96703 жыл бұрын
Mzee Abdul umesha kataliwa,ni vyema ukajikubali na Ku move on,maisha ni haya haya
@ELISSKGTV3 жыл бұрын
Ukiwa mzazi utaelewa uchungu....wacha kua mkundu
@beverlykadenge20953 жыл бұрын
@@ELISSKGTV Mwambie, this is not a joking matter
@ummyummy4783 жыл бұрын
Baba mlezi ana weza kua baba hata akashinda huyu baba mzazi. Ila watu wanakosa kuelewa hayo, nimependa sana ushauri wako mungu akulinde uwe mzee bora kwa Familia yako
@sharinv88643 жыл бұрын
Very true kuna mzee ubarikiwe.
@zeramohamed96723 жыл бұрын
Namzee Abdul mama daimond alikuwa malaya
@mkingaboy5503 жыл бұрын
Wakina mama mnapiga vitunguu sokon😂😂✋asante jirani
@suzanemwangingo69323 жыл бұрын
Daimond ulitakiwa usingejibu chochote
@witnesmwafute54483 жыл бұрын
Hongra baba umeongey pointi
@farish28993 жыл бұрын
Mama Diamond ni malaya period na Diamond pia mi malaya tuu. He will pay
@zayutv1323 жыл бұрын
Nasibu kaa vizuri skiliza maneno ya huyu mzee yanatosha kuwa Kinga ya usalama wa maisha yako
@nurudinehamimu56583 жыл бұрын
Sanaaa mzeee mond anazingua.
@anastasiakilonzi95693 жыл бұрын
Kabisa mzee pia mm nimzazi kaa mama dagote bt watoto wako pamoja na Baba yako
@souvenirweber71693 жыл бұрын
Mama Diamond mchawi wa mtoto wake hamtakii mema.
@michelinemapendo66523 жыл бұрын
Kabisa frimanson
@anjunurdin23923 жыл бұрын
Huyu mzee ata akitoa radhi kwa diamond haiwezi kumpata diamomd .angekua amemuowa mama diamond ingempata..na kama mimi mama diamnd nakufungulia mashtaka litakalomkuta mwanangu nakujua wewe maana naona umemkalia sana.kisa kuambiwa sio wako? Jamani angekua Hana kitu angemtaka?
@robygang39903 жыл бұрын
@@anjunurdin2392 Mzee Abdul hajamkalia Diamond.... Mzazi ni mzazi hata kma hajamuoa mamake ila aliish nae, atakwenda mshtak amemfanyaje ama wap umesikia Mzee Abdul akisema amemlani Zaid ya kumuombea dua, na ye akienda shtak wamemdanganya siku zote na kutumia Jina Lake kumbe si babake....... Heshma ni kitu kidogo lkn kina thaman Sana iwe ni kw mzazi wako au si mzazi wako alimradi yuaeza kukuzaa
@salamafulu21853 жыл бұрын
@@anjunurdin2392 Kwan umefikilia kwa Makin Jambo uliloongea au umeropoka tu
@sheikhanasser47143 жыл бұрын
@@robygang3990 ikiwa mamayake amenyamaza yote hayo yasingekuwa si kila jambo kuleya dharau kwa huyu mzeee tusimtowe hukumu
@lizelizabeth64672 жыл бұрын
Wise man powerful words
@jafarimrisho19893 жыл бұрын
Nakupenda mzee wangu umenena kiume
@aminamohammed52883 жыл бұрын
Hongera mzere
@aishamaimuna13663 жыл бұрын
Mzee pole sana lakini naomba ukae kimya maana diamondi kashamaliza asema mamake hadanganyi baba waachie maisha yao mungu ndo wa muhimu iskuyie presha
@ramadhaniibrahimu83223 жыл бұрын
Kweli kabisa mzee uko sawa kiujumla mama mondi anamporomosha mondi kwa jamii
@petronillamnyambi76073 жыл бұрын
Mzee unabusara sana tatizo sio daimond ni mama dangoti anamwendesha sio vizuri hata kama ni baba mlezi ila kakulea jamani nyange mwanzo alikuwa wapi sio halali msaidie mzee abudulu kakulea mpaka mahali ulipo fikia daimond nyange unaweza ukawapokea sawa. Ila usitemee sahani ulipolia chakula mungu yupo daimond sikiliza maneno ya wazee .mama yako anakupeleka pabaya usiongee kwenye mitandao umemuumiza mzee jamani 🙏🙏🙏
@nurudinehamimu56583 жыл бұрын
Mzee umetoa point zamana wanangu kama mekubari ushauli wa huyuu mzee kamamimi gonga like.
@ukhtisanura16563 жыл бұрын
Asante mzee wangu umeongea point aliependa na kuona mzee kaongeaa point km mm pas agonge like hapa
@azizasadi54073 жыл бұрын
Naona uyu mzee anaongea vizuri sana mungu akubariki mzee
Walayi huyu baba wetu mwenyezi mungu akulinde na amupe maisha marefu. Hata Mimi nakubali ushauri wako baba. Sisi wote wanaume. Diamond, mtoto wa akili anasikiya mu Fuji. Na kinywa kya mzee kinanuka hila hakisemi uwongo.
@sultanaswaleh88923 жыл бұрын
Loo !! Mzee umeongea kweli kabisa !👋👋👋👋👋
@fauziamsumari86573 жыл бұрын
Baba upo vizuri mondi anatuumiza mashabiki zake asisikilize maneno ya mama mama ake anampotosha
@rahemaiddi73443 жыл бұрын
Diamond umeshambeba mzee abdulla mgongoni xaxa mtafute nyange akutue here mungu akusamehe daa
Exactly haya tunapita tu tunaasha kila kitu dunia mapito yasitudanganye😭😭
@haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын
Menu salami hizi Sanura mama wa Naseeb Abdul. Mganga anayemtumia anampelekesha kubaya. Sote tunajuwa Sanura ni mshirikina. Anaabudu waganga.
@honeysweet24043 жыл бұрын
Husbiallahu wanaimal wakike yani mungu atalipa InshaaAllah
@chedajuma81653 жыл бұрын
Jamani
@lupakisyomwangosi15813 жыл бұрын
Daah Mzee km ana masikio atasikia
@dayanapaul86783 жыл бұрын
Kweli baba angu MUNGU mwenyewe anasamehe 👏
@catewakesho64113 жыл бұрын
Huyu mzee haki nimempenda bure
@yohanamabula70883 жыл бұрын
Uko sawa mama ndyo ana matatizo
@sylviekamirogosa73673 жыл бұрын
Mungu akubariki baba yangu
@kudrawanjara43503 жыл бұрын
Mzee huko vizuri sana ushauli wako ni mzuri sana.
@afanamb45043 жыл бұрын
huyu mzee ana ushauri mzuri sana
@zainabomar71913 жыл бұрын
Kabisaa mzee wangu
@dechaggagirl16143 жыл бұрын
Duh huyu mzee kachana ukweli mtupu ila wachaneni na hiyo familia jmn mzee abdul aishi maisha yake kwan huyo damondi ni mungu?? yajayo yanasikitisha😌😌😌
@josengumbi40293 жыл бұрын
Nimeamini uzee dawa.
@halimaraju69603 жыл бұрын
Piga kelele kwa mzee wa kagera umeongea pweti sana nimekupenda buleeeee nasibu lana inamshusha kidogo kidogo bila yy kujua mungu hanamalipo hatakama baba mlezi hanaaki yake
@mary51623 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏Mungu akuripe baba muzuri🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@rahelwambura22463 жыл бұрын
Mzee hongera kweli kbs mond hakutakiwa kuendeleza hv kwenye midia angeweza kuyaweka chumbani kama alivyosema mwanzo halafu kama alihisi mama yake kazalilishwa kama anavyosema angetafuta jinsi B ya kuzungumza na jamii na kufunika kombe mwanaharamu apite lkn anataka kukuza mambo naye anaanza kutukanwa na kujishusha adhi yake kwa ajili ya wazazi wake
@minazsaid24703 жыл бұрын
Dah! Mpka huruma haya mambo yalikua yaishie kwenye vifua vyao wasituletee hazarani
@happysam2513 жыл бұрын
Baba pole sanaa familia ya dangote ni freemason wote na wako chini ya masharti kwa saizi...lakini haya yote niya dunia na kila mtu atarudi mavumbini alikotoka😭😭😭😭😭
@malengamsombwa3643 жыл бұрын
umeongea vizuri mzee
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Mzee mshabiki ana hekima sana
@sadokigaston35503 жыл бұрын
Diamond alivyo msenge..alisema kua.anamsaidia mzee abdul.....wakati..kila sku anagawa gari kwa ma fala wenzie......mzee abdul hajawah mnunulia hata suti ya kwenda kanisani
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Kwanimsaada mpaka Apewe gari
@tunsumeakimu71843 жыл бұрын
Sasa wewe shangwe unatetea Nini?au na wewe ndo ulivyomfanyia baba yako
@naomilapatrona69433 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 imeleta uzuni sana , Diamond geuka nyuma place 🙏
@mangulaoresta8393 жыл бұрын
Umeongea vzr xn mzee
@masschisaluni4203 жыл бұрын
Mzee BIG up sanaaa
@maishacenter-eastafricatv39763 жыл бұрын
Huyu mzee anaongea mazima, busara nyingi
@raudhamahmoud95383 жыл бұрын
Diamond nenda kamuombe Mzee mmalize tofaut
@neemaponera20373 жыл бұрын
Diamond Dunia siyo yetu hii, tunapita tu, kiburi cha uzima ni tatizo