Hongera bro kwa maumuzi ya busara ni bora kuvunja UCHUMBA kuliko kuvunja NDOA
@YOSHUAMWAMPETA28 күн бұрын
Ulijuaje?
@jacklinedonat524028 күн бұрын
Kuna kitu Mungu kamuepushia huyu dada,japo makosa kwa huyu dada yapo ni kweli.huyu mwamba ni mkali so mwanamke atakae olewa nae ajipange.
@danielpeter808527 күн бұрын
Jidanganyee...we kuweza
@FarajaKassim-dw2kh27 күн бұрын
Wangapi wanaolewa na watt kosa la huyo dada ni kweli n kutosema kweli ila watt sio kioingamizi cha ndoa n kwamba huyo baba sio muoaji na anaonekana ana roho mbaya huwez jua kweli Mungu kamuhepusha na mangapi
@monicamassawe343526 күн бұрын
La hovyoooo jinga tuuu
@aryanamendes870022 күн бұрын
We kuweza
@mcgabby2 күн бұрын
We acha siasaaa limtu una Kaa nalo mwaka na halisemi kama linawatoto wakati linaona kabisa mwanaume ana process zote za kuoa huo ni umalaya sio mkee hapo, Hata mwanaume akificha kama Hana mtoto then ndani ya ndoa akuletee mtoto ni hishara mbayaa sana ya umalaya tuuu@@FarajaKassim-dw2kh
@christinewomanoffaith547928 күн бұрын
Namlaumu mwanamke kwa kutokuwa wazi Mpumbavu
@YOSHUAMWAMPETA28 күн бұрын
SAWA KABISA
@paullameck-r5j27 күн бұрын
yote ni sawa tu hata angesema ukwel asingeolewa
@JudithLusonzo27 күн бұрын
Janaume choyo hili yaani kama ilikuwa tule robo itabidi tule nusu una hata haya muache mrembo wa watu Mungu atampa mume sahihi .na mdogo wetu nawe uwe mkweli ukipata mwingine mwambie ukweli tu❤
@AishaNikule26 күн бұрын
😂😂😂 Ety janaume choyo kwakwel
@ndondiafrika24925 күн бұрын
janajike lililo liongo
@estermathias835420 күн бұрын
@ndondiafrika249 janaume choyo😂😂😂
@mcgabby2 күн бұрын
Mwamba siyo mchoyo acheni wenge hata matajiri hawagawi pesaaa, hayaa mlisha ona wapi familia ikitaka kula inatembea kwenye nyumba ya wasio jiweza ili wale ote..? Hapo shida ni usiri wa mwanamke kwanini afiche Watoto..? Haya Inge kua Kwa upande wa mwanaume haitakiwi kuficha Watoto wazazi ni wazazi tu labda Mmoja afee Sasa ndoa Gani Hiyo ya wanaume wawili😢
@estermathias83542 күн бұрын
@@mcgabby ni lichoyo si lisemesema lenyewe.😃😃choyo ni choyo tu
@aishamrisho686027 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 nimejua kucheka haswaaa eti siwezi kule watoto wa mwenzangu nitanunua unga mwingi
@estermathias835420 күн бұрын
😂😂😂mchoyo huyo
@yohanakateko27 күн бұрын
Kaka shida unga kaka kumbe
@betitympeleta969728 күн бұрын
Tatizo analo mwanamke hapo
@veronicamoringe221027 күн бұрын
Umepoteza Baraka za Mungu kupitia hao watoto,
@OliverNtiruhungwa27 күн бұрын
Anaweza kuoa ambae Hana mtoto na asipate mtoto kamwe
@RenatusMatungwa-o7c26 күн бұрын
Hakuna kitu km hicho kwani ni watoto wake?
@veronicamoringe221026 күн бұрын
@@RenatusMatungwa-o7c Hawa Watoto Mnaowalalamikia japo siwafahamu , subirini hapo mbele Mungu atakavyowajalia Maisha Mazuri tena ndo mmewatengenezea mazingira mazuri kwa Mungu , na hakika watakuwa watu nguvu Sana, Sasa Subirini watoto wa Jamaa , kila goti litapigwa ilimradi amemkataa huyo binti kwa kisingizio cha watoto , Ataufurahia ulimwengu labda kama kuna kitu kingine. Alafu pia mwanaume kama unataka kweli kuwa na familia hebu oweni tuu mapema huoni huyu kaka amechelewa sana , pengine ndo hivyo huwa anachagua sana.
@MatswelopeleMphela26 күн бұрын
Kabisa kabisa
@fidundadelaboss-bs8xx7 күн бұрын
Kwaiyo anapoteza Baraka za maisha kwa sababu ya watoto wa mtu mwingine?hao watoto hawatoi Baraka zozote asee
@CikeTanzania28 күн бұрын
Unasamehe tuu maisha yaendelee kuna wanaume wagumu sana kusamehe ila wakikosea wao sasa.😢😢😢
@lidyamhova852827 күн бұрын
Wanawake tuache uongo Ukweli unamfanya mtu awe huru tena huru kwelikweli Acha avune alichokipanda, kaka uko sahihi ni maamuzi mazuri uchumba sio ndoa .
@salmaabdallah959828 күн бұрын
Kwaiyo sisi ambao tumesha zaa tusahau kuusu kuolewa au kwasababu km umesha sema utaki mwenye mtoto maana yake ata angekwambia Bado asinge olewa vile vile Dah mungu atusaidie ambao tumesha zaa bila kujalisha tulizaa tukiwa wap kwenye ndoa au nje ya ndoa mungu atutie nguvu ....ila we kaka mungu anakuona km mungu anasamehe wewe ni nani ushindwe kusamehe ...Aya bwana mungu atakupa asie kua na watoto 👏
@christinewomanoffaith547928 күн бұрын
Hapana ni kuwa muwazi tangu mwanzo tu
@msafirimaulidi505428 күн бұрын
Nka kwann uzae na uyo nikuoe mim? Mim nawez oa mwenye mtt lkn awe mjane
@chikujuma1828 күн бұрын
Haya wewe ulie sema unaweza kuona alie na watoto lakin mjane sema tuu inshallah
@NafsahRajah28 күн бұрын
wapo wanaume wameowa wanawake wenye watoto na bado wanaendelea kuowa ila ukweli umuweka mtu huru kuwa proud na mwanao au wanao usiwafiche akikutongoza chakwanza mwambie unamtoto
@annamulungu287628 күн бұрын
Ukweli ndo tatizo kubwa!!
@beatricemshiu281628 күн бұрын
Mwanamke ukianza kudanganya uongo mkubwa km huo, wew ni hatari sana. Ndio maana mwanaume yoyote lazima aogope, na km kaweza kudanganya hilo huwezi jua kashakudanganya mangapi
@devothaignatius525626 күн бұрын
Pole mwanamke mwenzetu pia pole kaka yetu dada umekosea ktokusema ukweli ukweli umuweka mtu wazi
@angeljoseph810312 күн бұрын
Tena sana amemkosea
@agnesdeogratius701828 күн бұрын
Mweny watoto na mtoa mimba nani bora nyooooooo eti mtumishi wamungu ovyoooo
@jcobnyamweya846426 күн бұрын
Tatizo ni mwenye kuoa anataka kuanza kufunga mabao yake fresh mbona alazimishwe kubeba mabao ya wengine
@fatumamilimo733628 күн бұрын
sema kaka anaonekana ana roho mbaya na mbinafsi pia ni bora hata mlivyoachana mapema 😂😂😂😂😂
@festokemibala583227 күн бұрын
Isikukute isikie kwa wenzako!
@RehemaKilangwa27 күн бұрын
Huyu pepo tu hapan mume hapo
@fatumamilimo733627 күн бұрын
@@RehemaKilangwa kwakweliiii
@estermathias835420 күн бұрын
Eti badala ya nusu ya unga nanunua kilo😂😂😂😂 roho mbaya
@Tinnah-c6v28 күн бұрын
Janaume lenyew baya minywele tu,huna lolote ni uchoyo tu umemtawala,
@goddamwakimi588927 күн бұрын
Kafie mbele huko malaya nyie
@RehemaKilangwa27 күн бұрын
Hahahaha nichek tu
@BeatusNgereza27 күн бұрын
Nawewe uko hivohivo
@brysonasante580627 күн бұрын
Mwenzangu libaya kweli halafu linajishaua
@RenatusMatungwa-o7c26 күн бұрын
Kwanini unazalishwa hovyo ?mnatumika nyinyi
@pendoyohana239927 күн бұрын
Roho mbaya tu watoto ni baraka.
@faridamuniss646526 күн бұрын
Kwani jmn aliambiwa atalea hao watoto uchoyo wa wazi kabisa hakumpenda dada wawatu na minywele yake kama brash ujampenda usituchoshe bwanawe
@hawasaid715125 күн бұрын
@@faridamuniss6465Alafu ni m'binafsi
@violethNamz27 күн бұрын
Pongezi sana bro, tafuta ambae Ana mtoto. Nimependa mamzi yako ❤❤❤❤❤❤❤❤.
@NioneNyondo9 күн бұрын
Nakupongeza Sana kaka......maamuzi yakishujaa ......
@janetkazungu779527 күн бұрын
Kumbe uchoyo ndio shida 😢😢 pole kaka ila watoto ni baraka
@GetrudaNyalusy27 күн бұрын
Huyu uchoyo tu hakuna kingine maana kama mungu amemsaidia hata wagen ingekuwa shida kuja nyumban
@MwanakomboAbasi-j1r28 күн бұрын
Wallahi dunia imekosa utu katika dunia hujui nani atakufaa sisi sote ndugu mtoto wa mwanaadamu mwenzako mawe ni wako humjui atakufaa wako wala wa mwenzako tuacheni ubinafsi na choyo rizki Allah ndio anatoa mkizidi kwenye nyumba na Allah anazidisha rizki pana kila mja ana rizki yake
@thehajjzantourssafaricampa875628 күн бұрын
Walio zaa hawachani mama sisi kama kaweza kumdanganya kwamba Hana mtoto , basi anaweza kurudi kwa bwana alie zaa nae wanawake hawana ukweli ( ndio mana dini yetu yakislamu imesema tuiyogope duni pia tuwaogope na wanakwe
@festokemibala583227 күн бұрын
Tatizo kuongopewa tangu awali kwamba jimbo halijawahi kugombewa
Kabla ya huyo mtoto kukufaa, ni lazima umgharamie kwanza kw miaka 20 hadi 25 ili ajitegemee. Ni mzigo mkubw sana huo. Ww ungeubeba?
@stellamiyombe611726 күн бұрын
Jitu lenyewe libayaaaa
@BalbinaKitambi28 күн бұрын
Hili n libomu tu lina roho mbaya litakutesa mbona ni lizee sana lina tabia na li D. Mwanaume ni yule wa katavi tuuuu basi.
@agnesdeogratius701828 күн бұрын
Ahahhaah mbona katav
@Virgo-l1s27 күн бұрын
Kweli mwanaume Wetu yupo katavi
@agnesdeogratius701827 күн бұрын
Niyupi uyo?
@Zainab-qg6xv27 күн бұрын
Halafu linaonekana ni li mwalimu la shule ya msingi
@mujwasteven27 күн бұрын
Muacheni msimpangie
@user-sc7ev1wh9u8 күн бұрын
BgP broo
@coolruler682025 күн бұрын
Sahihi kabisa,,,hakuna baraka za kulea watoto wa mwenzako, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, pia linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo,,,,ila jamaa pia na wewe unazingua, unashindwaje kumgundua mwanamke aliyezaa, tena watoto wawili? Maana mwanamke aliyezaa ukimuangalia kifuani na tumboni hajifichi.
@AnethMushi-c3e24 күн бұрын
Nakataa Nina watoto 3 matiti yangu yamesimama na Yana buja ndan tumbon langu halina michiriz Wala Nini!
@AnethMushi-c3e24 күн бұрын
Nakataa Nina watoto 3 matiti yangu yamesimama na Yana buja ndan tumbon langu halina michiriz Wala Nini!
@estermathias835421 күн бұрын
Usisema hakuna baraka kulea mtoto wa mwingine hahaha nakupa pole.mimi mme wangu alivyomkubali mwanangu mpaka sasa maisha sio ya kutembea kwa miguu .na mtoto imebidi amsomeshe hadi shule za privet.endelea kukalili na roho yako mbaya.huyo baba na utu uzima huo yy Hana watoto?
@ElizabethKiula-v7r19 күн бұрын
𝚆𝚎𝚠𝚎 𝚗𝚊𝚠𝚎 𝚗𝚒 𝚠𝚊𝚕𝚎 𝚠𝚊𝚕𝚎
@gracekagoma323128 күн бұрын
Hongera kaka ulifanya la maana kabisa.Siyo lazima kuomuoa mtu mwenye watoto kwa sababu kuna wajibu mkubwa.Ila kama mmekubaliana sawa tu.Kama hamjakubaliana kaka huna makosa ni sawa kabisa.Ulilofanya ninakuunga mkono japo m mwanamke🎉🎉
@AdaMapondela27 күн бұрын
Na wanaume wenye watoto mbona wanaoa,huo ni ubinafsi
@Mwamba-hc1jy27 күн бұрын
Unajifananisha na mwanaume???pole sana
@AnethMushi-c3e24 күн бұрын
@@AdaMapondelaIla Kwa makubaliano
@annagesura837527 күн бұрын
ovyooooooo eti simtaki mke mwenye watoto
@user-cp2do9pd5k25 күн бұрын
Ovyo vipi ndo ataki mke mwenye watoto alaaa kwani mtu haruhusiwi kuchagua,?
@swalehemusa454628 күн бұрын
Tatizo limeanzia kwa mwanamke uwongo uwongo uwongo namkumbuke mwanamke akizaa na mwanaume mwngine huwa kiporo upashwa moto
@JenJen-zl6dk28 күн бұрын
Ila nyie mkiwa na watoto mnataka tukubali mmmh
@zainabzain343427 күн бұрын
Sio kweli nakama wapo ila sio. Mpk akiolewq
@user-cp2do9pd5k25 күн бұрын
Kabisaaaaaaa kwanini akusema ukweli
@rehemambilinyi945226 күн бұрын
Mwandishi unajua sana kuuliza maswali
@patelokoh582828 күн бұрын
Mmmmmh si angemweka wazi kwanza. ... Pole sana dadangu .. juuu Kuna Siri zingine hasifichik...
@paullluhanyapaullluhanya244628 күн бұрын
Mwanamke ni msenge k kabisa
@zubedamwinazi41325 күн бұрын
Unaroho mbaya sana mchoyo sana
@Joe-tr2vk10 күн бұрын
Wanawake waache mambo ya uongo na utapeli. Mwanamke anayeficha watoto unategemea nini akiingia kwenye ndoa? Huyu jamaa inabidi awe Rais wa wanaume Tanzania,anajitambua sana.
@jacksonmkuye77397 күн бұрын
Na mwanamke aliyemficha je? Kw nn hakua muwazi
@franktibwita2289 күн бұрын
Uko sahihi bro
@christerlymakala79127 күн бұрын
SAFI SANA BRO😂😂😂😂😂
@RayMyonga26 күн бұрын
Million moja. Ni hela boss Acha udhaifu
@Joe-tr2vk10 күн бұрын
Kwa hiyo millioni siyo nyingi? Unayo mfukoni hapo?
@vailethpauloPaulo28 күн бұрын
Na mungu atakurudisha uko uko kama ulipangiwa kuwa na mwanamke mwenye mtoto utapata
@vailethpauloPaulo28 күн бұрын
🎉hapo umekosea kuwa mtu akiwa na watoto,,,kuna watu awajazAaa na wanarudian
@YOSHUAMWAMPETA28 күн бұрын
WEWE NDIYE UMEKOSEA.KIJANA YUKO SAHIHI
@edgarelikana720428 күн бұрын
Watoto ni baraka kwenye familia, haupaswi kunena kwa kinywa chako hukutaka mwanamke mwenye mtoto, unaweza kuoa asiyekuwanao watt na msizae hata mmoja, lkn huyo mwenye watoto wakawa faraja ktk ndoa yako, ila binti pia changamoto hakuwa muwazi tu😢😢😢😢
@RehemaKilangwa27 күн бұрын
Na pengne lioe mwanamke Ambae hata kuja kuwa na uwezo wa kuzaa mungu anakuona
@OliverNtiruhungwa27 күн бұрын
Anaweza akanyimwa watoto maishani mm wake halafu akatafuta mchawi wake Nani kumbe alipiga teke baraka kupitia watoto wasiokua na hatia
@joycesarakikya421126 күн бұрын
@@OliverNtiruhungwa ni kweli kabisa, ajue na mdomo unaumba, Mungu ni wetu sote!
@elizabethkalinga082228 күн бұрын
Akina Mama tuwe wa Kweli Uongo mbaya sana, nivema ukasema Ukweli yeye Mwanaume aamue kusuka au kunyoa.
@DashuKondo26 күн бұрын
Mimi pia uwa sisemi ukweli mana nibola ndoa
@HezronPedias26 күн бұрын
Tatizo siyo wenye watoto wasiolewe kwanini afiche aulizwe unamtoto aseme Sina huo niutaperi
@tumainiwilla578328 күн бұрын
Haikua bahati yako dada huwezi jua Mungu kakuepushia nn kaza moyo lea wanao na mshukuru Mungu pia Ila na huyu mwamba bwana eti bajeti ya kununua unga nusu kilo jamn
@user-pj3lh8vz5k23 күн бұрын
kila kitu na kheri yake mungu anajua kheri kwake mwanamke hujui mbele kuna nini utapata mwengine riziki atoaye ni mwenyezi mungu c wewe baba
@user-kk4ri8xw4u28 күн бұрын
Ukipenda boga penda na uwa lake kwan we ukija na mtoto wa nje sitalea jmn
@mujwasteven27 күн бұрын
Angemwambia mapema ili ampende ivyoivyo sio kumficha
@FloraGermans19 күн бұрын
Mungu atakulaani utakosa watoto ujuewe haya
@user-cp2do9pd5k25 күн бұрын
Kakangu umeongea 👍 kwanini hakusemaaaaaa
@vailethpauloPaulo28 күн бұрын
Lakini mm huyu dada nimemuelewa tusimuhukumu kabisa huyu baba siyi baba
Hivi ndoa ni muhimu sana jamani peleka watoto kwa baba yao uolewe basi 🤣🤣🤣msituchoshe
@user-jb5ye7cf8s10 күн бұрын
UKWELI NI MZURI.SANA,UKIFAHAMU KWELI ITAKUWEKA HURU,UONGO NI WA SHETAN,DADA ANGEMWABIA UKWELI ILI KAKA AAMUE MWENYEWE,
@taqiyyamwijage332427 күн бұрын
Bigapp sana kaka
@HappyAnangisye-pf9ze28 күн бұрын
We ni mbinafsiii na mchoyo 😅
@danielsamwel362814 күн бұрын
Mi naona yupo SAWA kama una watoto kwanini usiweke wazi kwa mwenzio Na ingekuwa vyema kama angesema mwenyewe binti kuliko kuambiwa na watu wengine
@Blessedboi801928 күн бұрын
Huyu bwana Hatawahi ona mboni ya mtoto.
@EsterLazaro-u8c27 күн бұрын
Hakika
@RenatusMatungwa-o7c26 күн бұрын
Kwahiyo ww unapenda uongo?
@LindaMbilinyi-n3n28 күн бұрын
Hta km angekwambia kuwa ana watoto bdo usingekubal boya ww,mbona nyie tunakuta matoto na tunalea,roho mbya tu😢
@emanuelmaraki97587 күн бұрын
Nikweli mwambaa ulifanya lamaana sana mwanamke mwenye watoto akakufichaa nishidaaaaa sanaaa mwiziii waabadayee ata mm ilinikutaa kama aliamua kukuficha atakuwa mwiziii pesa inatafutwaaa
@mawlodafarida28 күн бұрын
Yuu kka smuowaji
@davidjackson350626 күн бұрын
Anaonekana mchoyo asingeweza kulea watt
@agnesivalentinodingoagnesi387727 күн бұрын
Bwana harusi hichoni choyo kwasuragani basi nyoooo nipishegemi😂😂😂😂
@veronicangwale715928 күн бұрын
Manywele tuu anaonekana wa hovyoooo😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
@MatundaModesta27 күн бұрын
Mi sijakupenda hata ungekuja kwangu ningekupeleka saloon
@azizasoli28 күн бұрын
Ila nae kajitakia kwann alimficha?
@christinewomanoffaith547928 күн бұрын
Umeona eeh
@CadeauZabibu27 күн бұрын
We do umefanya kuowa
@shuwehaharuna630928 күн бұрын
Umri huo hutaki mwanamke mwenye watoto Sura mbovu hasa
@aminielimushi870928 күн бұрын
Ukichagua usafiri wa uma kungali mchana ujue jioni utapanda Lori,,,,wewe umechelewa kuoa lkn utapanda la usiku Tena halina taa,,bwana afro vp mbona kama muda unasonga,?
@hamisimahenge58079 күн бұрын
"NAITWA BABA FULANI" 😂😂😂😂, Guys Nchi ngumu hii. Tukubaliane, Dada alifanya makosa kutomwambia ukweli jamaa, kama angekuwa mkweli mambo yasingefika huku😊😊😊
@TwitikeMwakyonde12 күн бұрын
Ulaaniwe,
@dicksonkilupa225828 күн бұрын
JAMANI KWA WAUNGWANA IKIWA MLIYAJUA HAYO MKAFICHA MREJESHEENI MAHARI ZAKE TU. WEWW HUJAKATAA ILA MUNGU AMEKUFUNULIA YA SIRINI.
@user-si8tr8ei5y27 күн бұрын
Wewe Kaka una roho mbaya Sana huwezi kuzungumza hivyo na ujue riziki anaetoa Allah
@AvelinaStephano28 күн бұрын
Kwanza ww baba nilichoyo
@vailethpauloPaulo28 күн бұрын
Wewe kaka wewe muogope mungu wako dunia hii 😢😢😢ni kweli kakosea ila upaswe kuongea kauli hizo😊
@BabaFarzan-ml4er26 күн бұрын
Kweli haijawahi kuwa Tamu
@RaheliClementi24 күн бұрын
Kwanza hufai wekaka ata hukua unapndeza kua mme Wake nibola t umemuacha mungu kamuepusha mmh
@Jassmin-media-official10 күн бұрын
Watanzania sijui mkoje huyu bwana yuko sahihi100%kabisaa hivo kuliko kumuoa akamuua sibora amesema ukweli?au haue watoto mimi naona yuko sahihi msichana kwanini hakusema ukweli, nimchunaji basi
@hawamafuru679128 күн бұрын
Wee jikatae tu umetumia mwaka mzima
@GloryJohn-o7s25 күн бұрын
❤ ukweli umuweka mtu huru jaman
@LabiloWabikongo27 күн бұрын
upo saw brow
@AmAm-xt1og22 күн бұрын
Huyu baba namuelewa anshuku ataruduana na mumeye mweny watoto
@loner_wolf27 күн бұрын
Bro hukuwa na sababu yenye afya ya kuoa . Yaan hukutaka kuoa kwa nia ya kuoa muoaji . Maana sio kwa uoga huo wa maisha .
@myunaniniahmad646325 күн бұрын
Mmmmm!!! Nayo ndo uchoyo au? Apo kwa unga umenimaliza.
@christinakomba68927 күн бұрын
Wewe mchoyo bana
@leonardalphonce892426 күн бұрын
Okosawa mzee baba
@JustinKahindi-f4l26 күн бұрын
Hongera bro kwa uamuzi wako huyo mwanamuke ni mwizi kama muda wote alikuficha mpaka ikafikia mahali mpaka wewe mwenyewe ukajua bila yeye kukwambia wachana nae
@emmiemmi386127 күн бұрын
Huyo sio mume
@omanoman204427 күн бұрын
Imekula kwako mahar hayarud hata kidog
@avelinabaluhya280428 күн бұрын
Uwazi ktk maandalizi ya ndoa ni jambo muhimu sana,mtu ajue ukweli wako wote kisha aamue mwenyewe siyo kumficha ni mbaya sana
@AngelineSaidi27 күн бұрын
Hongera kaka umechukua mHamuzi mazuri huyo mwanamke nimiani mama muongo namchawi niwatu wKuchomwa ila kaka mimi kwangulue kwa binadamu mchungu ukimpata mwanamke Asie zaa usisubutu kumwacha hata akukosee kiasigani mvumilie mana ikimuacha hataolea
@user-xk5we1iz6c27 күн бұрын
Majukumu sioo...wee ongopaa.ulifanya poa ndugu wacha akule jeuri yake
@CostantineBahakaso27 күн бұрын
Uko sawa
@rehemambila434224 күн бұрын
Nashangaa watu wanasema bhana harusi kakosea ,hiv unajiandaa na harusi, alfu uckie mchumba wako alikuficha kwamba ana watoto weeee kuwezaaaaa!atanificha vingap..
@MariamRashid-sm5zw26 күн бұрын
kweli baba angesema ukweli tu
@MaryannAlivitsa27 күн бұрын
Ila huyu kaka anaonekana kuwa na roho mbaya ila pia dada alikosea kumdanganya angesema ukweli na ndugu kumbuka hawa unadharau ju ya kuzaa wengine tulizaa na wanaume ambao hawako tayari kujukumika ndiyo maana tukatengana 😢😢😢 kumbuka kuna wale wamemalizia uzao wao kwenye choo ili wabakie mabinti wenye hawana watoto ila ni mama za marehemu
@gracekagoma323128 күн бұрын
Huyo dada ni hatari sana .Uongo kibao😮
@jcobnyamweya846426 күн бұрын
Ukweli ni jambo la muhimu sana
@isakahissa413024 күн бұрын
Maigizo imagine tukio la harus lmeisha Lkn bibi harusi kavalia shera siku ya interview Kukuza media kupitia sanaa zisizo na uhalisia Then unataka jamii ipende media yenu Kwa kupitia uongo or mimi najpunguza mamae
@atupakisyemapuli863727 күн бұрын
Upo sahihi sana kaka na umeongea kwa busara
@husseinkibona327716 күн бұрын
Mwanamke mshukuru Mungu amekuepusha na huyu mwanaume mbabaishaji anayejifanya ni mchumi sana wakati umri wake mwenyewe umeenda. asubiri apate malaika
Uongo kwenye mahusiano makubwa ya ndoa tena kwa kuficha watoto hapana kwakweli mwanamke mwenzangu umechemka. Kwanza unawezaje kumpenda mtoto wa mtu kuliko mtoto wako? Lia mpaka uzimie unasitahili hayo kabisa
@veronicamarandu27 күн бұрын
Hana akili ukweli ni kila kitu by Naike
@johnwoshi345928 күн бұрын
Hongera sana mwanamke ambaye amezaa ni screpa chuma chakavu ni shetani kasoro mkia acha nae we real man
@debbymwaka404828 күн бұрын
😂😂😂😂
@JenJen-zl6dk28 күн бұрын
Mmh so vizr ivo nyie mbona tunawakubali na watoto wenu😢
@HawaaMkubwa28 күн бұрын
Punguza maneno makali kwani alizaa na mbwa uyo alomzalisha pia alikuwa mume kosa lake huyo mwanamke nikutokuwa mkweli