Kazi Marekani zipo nyingi sana. Lazima uwe na vibali na pia ujue jinsi ya kuomba kazi hizo
Пікірлер: 21
@mickymicky9692 ай бұрын
Barikiwa mkuu
@mtalikwamtalikwa568911 ай бұрын
Nakubali 💯 mzee baba
@user-we4rt4ud1b11 ай бұрын
Shukran
@keitawallet9538 ай бұрын
Ubarikiwe sana mkuu
@vuionm11 ай бұрын
Big up
@ngoynzoagermain8 ай бұрын
Pamoja sana 5/5🇨🇩🇨🇩
@hamudseif11 ай бұрын
Language ni kipengele, km ujui effective eng commication utazunguka sana kutafuta kaz..nime experience ilo adi unakata tamaa, kwa ivo watu wajifunze lugha ni vzr
@Abduli2310 ай бұрын
Me labda niulize Hicho kibali una patia wap..
@goodluckipupa72011 ай бұрын
Ata mwenyewe uwezi kuhingia ndani😂
@thomasbinah759710 ай бұрын
Si bora tu hata usinge comment!!unaona hasi tu kwenye fikra zako bila shaka utakuwa bunju A hapo
@BillyNahum9 ай бұрын
@@thomasbinah7597😂
@BillyNahum9 ай бұрын
Acha zarau kuna taratibu zake za kuingia anaruhusiwa mwandishi wa habari mwenye kibali 😅
@wakuitwangosha11 ай бұрын
Sisi tunataka mbinu za wale ambao hawana vibari,halafu ww unakomaa na green card
@mkingageorge264111 ай бұрын
Ila mm napendekeza kuomba apointment naye ili umwambie shida yako kma unatka bila green card kwa upande wangu nilisha book na nika meet nae mambo ni fire sana
@saleheinnocent763611 ай бұрын
😂
@muttaperfect11 ай бұрын
😂😂😂😂 anakutengenezea njia ya kwenda kuishi kabisaa sasa sema sisi wengi tunapenda kwenda kutafuta alafu turudi zetu home tu
@user-hi2ii3ks2c11 ай бұрын
@@mkingageorge2641 sasa kama wengine tupo mwanza tunampataje sasa tusaidie kuomba hiyo appointment maana nina shida nae sana
@danstanmgaya125111 ай бұрын
Mwamba kama nakuona vile Mm napenda kwenda in legal way lakin sasa shida ni maokoto