Language ni kipengele, km ujui effective eng commication utazunguka sana kutafuta kaz..nime experience ilo adi unakata tamaa, kwa ivo watu wajifunze lugha ni vzr
@JoshuaKeheta Жыл бұрын
Shukran
@vuionm Жыл бұрын
Big up
@Abduli23 Жыл бұрын
Me labda niulize Hicho kibali una patia wap..
@goodluckipupa720 Жыл бұрын
Ata mwenyewe uwezi kuhingia ndani😂
@thomasbinah7597 Жыл бұрын
Si bora tu hata usinge comment!!unaona hasi tu kwenye fikra zako bila shaka utakuwa bunju A hapo
@BillyNahum Жыл бұрын
@@thomasbinah7597😂
@BillyNahum Жыл бұрын
Acha zarau kuna taratibu zake za kuingia anaruhusiwa mwandishi wa habari mwenye kibali 😅
@GidioniHipoliti-is8jr4 ай бұрын
Xx naombaj hizo kaz
@wakuitwangosha Жыл бұрын
Sisi tunataka mbinu za wale ambao hawana vibari,halafu ww unakomaa na green card
@mkingageorge2641 Жыл бұрын
Ila mm napendekeza kuomba apointment naye ili umwambie shida yako kma unatka bila green card kwa upande wangu nilisha book na nika meet nae mambo ni fire sana
@saleheinnocent7636 Жыл бұрын
😂
@muttaperfect Жыл бұрын
😂😂😂😂 anakutengenezea njia ya kwenda kuishi kabisaa sasa sema sisi wengi tunapenda kwenda kutafuta alafu turudi zetu home tu
@ValetineLubeja Жыл бұрын
@@mkingageorge2641 sasa kama wengine tupo mwanza tunampataje sasa tusaidie kuomba hiyo appointment maana nina shida nae sana
@danstanmgaya1251 Жыл бұрын
Mwamba kama nakuona vile Mm napenda kwenda in legal way lakin sasa shida ni maokoto