2023 mara yangu ya kwanza kusikilkza huu wimbo hapa kwa kila like ya hii comment ntakuwa nakumbushwa ujumbe pia kurudi kusikiliza, na ikiwa nimepumzishwa jina la BWANA ni jema.
@frankdanford82453 жыл бұрын
Mimi sio msabato Ila nawapenda sana wasabato munajua kuimba mno
@jipemoyo54614 жыл бұрын
Oh sasa nyimbo hizi zanipa msisimko wa ajabu. Zimetungwa na kuimbwa kwa mahadhi yaliyo bora ajabu. Natamani kufika mbinguni nikashuhudie uzuri huu wa ajabu na nikale matunda matamu ajabu huko jijini Yerusalemi. Mbiu SDA Choir mmebarikiwa. Nawaombea kupaa zaidi katika huduma hii. DAN WANYOIKE - Kutoka Kenya.
@jipemoyo54614 жыл бұрын
Waimbaji wote wapendeza. The ladies are giving a very nice solo voice. My fellow Gentlemen; you are superb. Missing to be part of You. Tanzanian brethrens you are blessed. This is fantastic.
@mariamkondo82304 жыл бұрын
mungu awabariki sana! kwa kutubariki kwa nyimbo za kutia nguvu ili wote tukaze juhudi wa kufika pale
@cathbethkiplimo22564 жыл бұрын
nawapenda sana wana mbiu sda am from kenya mungu azidi kuwabariki
@rozimalima-t8dКүн бұрын
Mbarikiwe kwa wimbo mzur na wenye ujumbe mzur
@ochangamigwanga41004 жыл бұрын
kazi nzuri sana mbiu,hamjawahi kutuangusha kanisa la waadventista wasabato ulimwenguni kote.safi sana
@joselynebenjamin90804 жыл бұрын
Amin
@agneskitugi65794 жыл бұрын
Ok
@gideonmounde5484 жыл бұрын
Pls vol one night habari njema na hallelujah pls naitaka hauko you tube
@gladysombati28064 жыл бұрын
@@joselynebenjamin9080 3ou
@veronikageorge70303 жыл бұрын
Amen
@leahdominic81993 жыл бұрын
I love you mbiu with your sololist da happy nataman siku moja tuimbe wote
@norahnyanchokasosi5444 жыл бұрын
Kazi safii watoto wa magufuli,, WanaMbiu you never disappoint 💕💕 💕 watching you from Kenya. Blessings!!
@mokiridaniel67954 жыл бұрын
Yaan mbiu choir hamjawahi kuniangusha🙏🇹🇿
@elizabethmarco74574 жыл бұрын
Barikiwa kwa nyimbo nzuri
@gracejohn17694 жыл бұрын
Mungu awabariki wapendwa kwa kweli nyimbo zenu zinabariki, Mungu azidi kuwatumia apendavyo.
@georgegabriel91804 жыл бұрын
Asante mbiu kwaya. Kazi nzuri,hiyo key board nimekubali safari hii kiukweli.
@piuscheseret90333 жыл бұрын
MUNGU AWABARIKI CHOIR YA MBIU,YOUR SONGS ARE A BLESSING TO ALL OF US.HUU WIMBO HASWA UMEIMBWA KIAJABU SANA.SIFA NA UTUKUFU NI KWA MWENYEZI MUNGU WA MBINGUNI.
@aiyasageo25723 жыл бұрын
Who's from Mombasa listening to these grate voices
@faithmwikamba43913 жыл бұрын
Here🙌
@uwamahorojirber71263 жыл бұрын
E
@brianorina37983 жыл бұрын
Me
@brianorina37983 жыл бұрын
Like your songs, they rilly insipires me
@marthadanstan4242 Жыл бұрын
@@uwamahorojirber7126 gv good
@shukranimugasa35214 жыл бұрын
THERE IS ONLY ONE MBIU CHOIR IN THIS WORLD... GOD BLESS YOU RICHLY
@cynthiachepkogei64904 жыл бұрын
Mbiu you've always be the best choir .May God bless you people
@janehamisi60694 жыл бұрын
nyimbo zenu wasabato zinanifariji sana nazipenda
@joselynebenjamin90804 жыл бұрын
Amin
@senator1663 жыл бұрын
Takuja kuwatembelea apo Tandale Mungu akipenda 🙏🙏
@corneliuskiprotich27534 жыл бұрын
Great message,uplifting.... From Kenya SDA community
@nsiamassawe30754 жыл бұрын
Uimbaji Wa kisabato unanifanya nitamani kuitwa msabato.
@gracemadatta1456 Жыл бұрын
Hongera sana Mbiu SDA Choir. Mmekuwa baraka kubwa kwangu. Kwa wimbo mnaniitisha kuzidi kumwamini BWANA YESU. Ameahidi kuja kunitwaa kwenda makao ya amani. Mungu awe nanyi daima.
@yonamatola98544 жыл бұрын
Kila siku tutakuwa vijana, natamani sana kufika jijini Yerusalemi
@angnesmuthui25053 жыл бұрын
Me to
@realreen23494 жыл бұрын
Watching from kenya, Adventist for life
@golumene4 жыл бұрын
Que Dios les bendiga a todas las personas que se dedican con alegría a alabar a Dios Todopoderoso que en este momento les está mirando desde el cielo, muy pero muy contento recibiendo la alabanza de su pueblo.
@victormwita40784 жыл бұрын
Nyimbo inabariki kila msafiri anayengojea marejeo ya Yesu ambayo yamekaribia sana
@vivianngala67934 жыл бұрын
My all time choir ur voice n the message gives me so much hope I can't miss heaven for anything else nataka nizunguke Katikaka jiji jerusalemu
@elizabethongori3784 жыл бұрын
Mnaimba poa napenda nyimbo zenu
@sophymetto91664 жыл бұрын
Lack words to express how I feel to your songs may God bless you my SDA family
@benpius30764 жыл бұрын
My favorite choir you always sing very well, nice message and sweet harmonies
@alfredodindo47034 жыл бұрын
Mbiu SDA choir never fails me with their songs, they always kills it. much love and be blessed
@singwithlenin4 жыл бұрын
The man behind these great compositions is Gibson Nguru I hope so.
@collinscollo81884 жыл бұрын
May God bless you for the goood job you're doing, nyimbo zenu tamu sana🙏🙏🙏💯
@philipchumba10744 жыл бұрын
Ooooow!!! Nice one mbiu be blessed choir i daily listen to your music nd videos plz upload more it blesses more. Listening from Doha
@nathanaellugema54844 жыл бұрын
Wonderful song, wonderful style of singing the song,, be blessed Mbiu Choir
@nabsonkifuge51154 жыл бұрын
Mnanibariki sana kwa nyimbo zenu murua ,barikiwa sana
@aloisemukoma87013 жыл бұрын
OOH! God i pray for these brothers and sisters to have slot in Heaven. They are true definition of Heaven, Beauty and Gospel. Yes, they might not know but they are a blessing to the community. So AMAZING to listen them over and over again.
@ezelkan63503 жыл бұрын
Ezekiel from Kenya nawapenda sana kwa nyimbo zenu,wamama wazuri kama kuna yule aja olewa ningependa ni juwe hili tuwaziliane hivi karibuni.
@happysamson70794 жыл бұрын
Mungu awabariki wasafiri wenzangu mwende mbali.
@duncanoonyango56354 жыл бұрын
Wow.. 👏 👏 👏 👏 👏 God bless Mbiu... Looking forward to another meeting in Kibera #CAMPMEETING2020
@theobarddimoso88354 жыл бұрын
Kazi Nzuri imejaa upako na baraka tele.
@mereziawilson30444 жыл бұрын
kazi nzuri sanaaa...Mungu azidi kuwabariki...you know i love you guys
@fmwikwatyonews74154 жыл бұрын
mungu awabariki sana kwa kazi njema,tukutane yerusalemu .
@jothamyohana95994 жыл бұрын
Tuna wapenda wote Na tarehe 20/9/2019 -21/9/2019 kwaya ya mbiu itakua morogoro ikimtukuza MUNGU kwa njia ya uimbaji kwenye tukio kubwa la Extravagaza malihali ni uwanja wa mpira jamhuri morogoro
@RomwardWM4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@pillymaira4088 Жыл бұрын
Nawapenda!! Mungu awajalie nguvu ya roho mtakatifu mmuinue kokote ulimwenguni pasipo majivuno Amina!!!
@marthakyando48362 жыл бұрын
Wimbo mtamu mbiu nataman asiwepo hata mmoja wakuzeeka muimbien bwana ama hii ndio kwaya itakuwapo mbinguni🤔🌹🙏🏻
@fatmakizimba7444 жыл бұрын
Nyimbo nzuri,na pia mmependeza sasa.
@samuelmuhindosivamwanza49884 жыл бұрын
Amina. Mungu Awabariki sana. Mwende mbali.
@mako3314 жыл бұрын
Nimewakubali aisee, one of the best
@elctemmanuelchoirkariakoo39912 жыл бұрын
What a wonderful song, May God shower His blessings to these souls.
@mariammaimbo68024 жыл бұрын
mko vizur Mungu awabarik mkaimbe na mbinguni
@millicentayot87334 жыл бұрын
Mungu awajalie nyinyi nyote na muendelee kukusifu milele na milele
@maselaochieng9598Ай бұрын
Listened to it a thousand times
@sheilaombongi80863 жыл бұрын
My favorite choir hallelujah Amen
@francishungi2720 Жыл бұрын
Ilove this choir it has done a tremendous job to spread the good news of the kingdom in east africa
@faithkimosop18872 жыл бұрын
Aky nimekuzwa sana na uu wimbo sana thanxs
@ntimifrank27704 жыл бұрын
Mbiu are Amazing... BLESSED BE THE SAINTS!!!
@isackkibet16533 жыл бұрын
my best song ever whenever am down always uplifted by this song..amen
@Segerethom4 жыл бұрын
You kindly blessing me abundantly.
@justusmuange43884 жыл бұрын
May our great God bless you nightly for the good job.
@mijashushu95524 жыл бұрын
Nikweli kabisa kuna matumaini kwawanao mjua Mungu. Mungu awabariki sana mmoja wenu asikose kuingia mji huo waajabu. Nami nautamani humji waajabu.
@kavutadanieli40714 жыл бұрын
Hongeren sana Mungu azd kuwabariki.
@nadamata13034 жыл бұрын
Ameen be blessed mbiu choir for your good work.
@abigailkalee71512 жыл бұрын
Mbiu SDA choir may God bless you. You really bless me.
@kabaranamaganga66464 жыл бұрын
Mbarikiwe makamanda wa yesu
@JayJay-mv7qh4 жыл бұрын
Such a wonderful song.More blessings
@hiralimathayo14404 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@umulkheirshivanhassan54642 жыл бұрын
Wonderful no one can imagine how heaven is beautiful nothing can explain how it is
@gloriousmelodiesministry21724 жыл бұрын
Lovely song keep it up guys 👌🏽👌🏽👍🏽
@dorothychangawa43162 жыл бұрын
Barikiweni
@georgemchalumbi50084 жыл бұрын
mbiu mbarikiwe sana
@deborahmaangi404 жыл бұрын
my best...be blessed for the good work
@danielndarera80874 жыл бұрын
Wimbo huo ni bora kweli kweli.Barikiwa mno kwa jina la Yesu
@juicymann14 жыл бұрын
Thank you Mbiu for a beautiful piece. May God be glorified.
@Kipchumba1174 жыл бұрын
Good work mbiu nawapenda tu saana,,more of the same album please
@willsonndayanse65574 жыл бұрын
Katika album zote ambazo mmetoa hii ni kiboko, High Definition Video. Good work. Mwende mbali mpotelee mbinguni.
@thomkimaro58014 жыл бұрын
hakika nimepokea kitu katika hii nyimbo. Mungu awabariki na kuwalinda maana apa shetani katandikwa kwa abari njema ya mbinguni na mazuri yaliyopo. nice and best
@eliamshahara76654 жыл бұрын
mbiu mbarikiwe kwa kazi ya Bwana
@japhethsaid40234 жыл бұрын
Mbiu mbarikiwe sana
@asooraaasooraa48164 жыл бұрын
Ninabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri nawapenda Mungu awabariki mzidi kwenda mbali 💞💞
@Mr._clean4 жыл бұрын
Am always blessed by ur songs may the Lord richly bless u ..... Pendo whenever I see u am happy
@dottoaluphonc92624 жыл бұрын
Nzuri saaaaaaana
@ruthnanjela74963 жыл бұрын
I never stop listening to their songs they bless my soul.
@calvinceogutu67603 жыл бұрын
I like this may God bless you all
@cosmassimbakwira74972 жыл бұрын
Sioni choir inayozidi hii kwa kuimba
@amosbula12497 ай бұрын
I love this group.
@aloyssimbare5938 Жыл бұрын
Asanteni saaana kwa wimbo mtamu sana tena wakunimbusha nyumbani
@salimmbui14594 жыл бұрын
great song from Mbiu, i love the content 😍
@hamzamwilaphy29024 жыл бұрын
Na nyimbo zenu nzuri sana zinabariki
@gun2974 жыл бұрын
Very beautiful song and choir! Blessings.
@jamesonobwagi91372 жыл бұрын
My favourite choir Mbiu SDA. May God bless you!
@samuelonyangokepher11443 жыл бұрын
vijana wenye nguvu tele tamu sana
@shemmondo76 Жыл бұрын
Amen best song 🎇🎇🎇🎇🎇🎇 God bless you mbiu choir.
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
JE TAWI?!!I'm a Catholic but napenda sana nyimbooo zenu wapendwa jitahdn kuapdate nyimboo ili tulio mbali tubarikiwe distance istitutengenishee
@niscolahcheperur69624 жыл бұрын
WELCOME to our adventist world
@nadamata13034 жыл бұрын
Amen be blessed
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
Jitahdn kuapdate nyimboo
@mariajohnfelix80184 жыл бұрын
Ni SDA ndugu
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
@@mariajohnfelix8018 yes mpndwa ,napenda nyimbo zao
@alvinmasta48594 жыл бұрын
This draws me near to God always! Amen
@angnesmuthui25053 жыл бұрын
Amen
@godlovemrosso87154 жыл бұрын
nabarikiwa sana sana nanyi mbiu mungu na azidi kuwainua katika viwango vya juu
@ziphazambiamphande68972 жыл бұрын
I love you guys.may God almighty bless you all with your sweet music.
@aloisemukoma87013 жыл бұрын
Mji ni mzuri!!!! washangaza!!!! ukiwa pale ni furaha tele
@ongakisamwel778 Жыл бұрын
A very niice song it gives me hope for God's kingdom be blessed
@yohanadeus1292Ай бұрын
Mji ni mzuri na unashangaza walio wengi
@austineotieno42253 жыл бұрын
What a nice piece. May God bless you
@issokateketa12754 жыл бұрын
kwa hakika Mbiu mmekuwa baraka kwa ulimwengu. peperusha bendera ya BWANA hata ajapo. MTOBESYA, ZACHARIA
@omonywamotangi90153 жыл бұрын
Safari yenu next yafaa iwe Kenya kwetu hapa. Mungu awabariki kwa kazi mnayoifanya
@danielpaschal65263 жыл бұрын
Mmbarikiwe waimbaji na mungu awaongoze siku zote Amen
@andrewombongi7919 Жыл бұрын
I like this song every day I must play this sweet song
@marionjons2288 Жыл бұрын
Ameeen and Ameeen katika jiji lile Jerusalem ❤❤❤❤
@royduncan31923 жыл бұрын
Very melodious.Praise be to the Most high,Heavenly music Amen.
@judithcherono25954 жыл бұрын
Amen barikiwa sana
@japhethgeriad45194 жыл бұрын
Jamani mbarikiwe sana
@momanyijunior15664 жыл бұрын
you never fail.. you are our leaders, mfano wa kuigwa kila wakati