Рет қаралды 82
Mbunge wa jimbo la mbinga vijijini,ndugu benaya kapinga Alhamisi ya tarehe 11 July 2024,ameendelea na ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi
Katika ziara hiyo ametembelea kata ya Mbuji,Akiwa katika kijiji cha mawono ambapo ndipo mkutano wa hadhara ulifanyika wananchi waliibua kero mbalimbali,kero hizo ni pamoĵa na changa moto za mtambo wa kahawa,bei nzuri ya mazao,jengo la ofisi ya kijiji,madarasa,nyumba za walimu na miradi ya zahanati....Endelea kutazama
KZbin channel ya Habari za Siasa,Michezo pamoja na Habari za Burudani..Inamilikiwa na NYUMBANI DIGITAL TV.
.
.
#itvtanzania #azamtv #datasports #manaratv #citizentv #wasafimedia #sammisago #ruvumatv #clouds360 #chademamedia #ccmtanzania #chadema #actwazalendo #ccmzanzibar #uvccmtaifa #mwanza #songea #uwanjawamkapa #azamtv #uchaguzimkuu #wasafitv #manaratv #wasafifm #timesfm #mbossokhan #diamondplatnumz #zuchu #tiktokchina2021 #uhondotv #sammisago #citizentv #ntvnews #jambofmtz #rwandaupdate #rwandatoday #burunditoday #ugandatoday #kenyadigitalnews #itvtanzania #ruvumatv #tbcfmlive #tbctv #mahakamani #sheria #polisiindonesia #jeshilapolisi #dppolice #usalama #gereza #grobaltvonline #chaneltentanzania #lemutuz #mangeshkumar #mangekimambi #mpenjatv #habarileo #mwananchi #mwanahabari #nipashe #kishambamedia
.
.
KZbin channel for Politics News,Sports as well as Entertainment News..Owned By NYUMBANI DIGITAL TV.