No video

Mbunge wa Starehe 'Jaguar' akamatwa

  Рет қаралды 226,599

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Jaguar amekatwa katika majengo ya bunge kufuatia matamshi ya chuki dhidi ya raia wa kigeni wanaofanya biashara humu nchini
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya

Пікірлер: 515
@buharimwanga284
@buharimwanga284 5 жыл бұрын
Mi ni mTz huyu mbunge muangalie akimaliza muda wake msimpe kura ataharibu uhusiano wetu wa kindugu baina ya nchi zetu,tunawakenya wengi sana tz habaguliwi mtu no matter they do we considered them as Tanzanian,tunawapenda sana.
@shambebro382
@shambebro382 5 жыл бұрын
Good job Matiagi👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 may God protect Kenya from stupid empty headed Politicians....
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 жыл бұрын
Amen
@godfreysolomon7615
@godfreysolomon7615 5 жыл бұрын
Sure
@ayoubchacha9090
@ayoubchacha9090 5 жыл бұрын
Sisi watanzania tunawapeda wakenya wrote, Hugo jaguar pumbavu sana
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
Ayub huu uhusiano ni wa milele na hautatikiswa na watu vigeugeu
@icetruth
@icetruth 5 жыл бұрын
He should resign, and continue singing, kigeugeu, leave us in peace with our neighbors, wewe jagua jagua love thy neighbor
@malkoashaali5430
@malkoashaali5430 5 жыл бұрын
YES YES KENYA IS FREE OF ALL WELLCAME TO KENYA ANYONE WHO WHATS TO CAME KENYA IS PEACE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝️☝️☝️☝️✌✌✌✌
@amiinaishmail4788
@amiinaishmail4788 5 жыл бұрын
How many Kenyans are out there working in different countries.........don't destroy our image out here ....
@alimonja1739
@alimonja1739 5 жыл бұрын
YEESS good question !! even here zanzibar we have many kenya in our hotels but we lives together like sister and brother why he say that i think he is crazy
@bakariluhala7332
@bakariluhala7332 5 жыл бұрын
Mahusiano ya Tanzania na Kenya ni makubwa kuliko huyo mpuuzi mmoja tu.
@siznic2156
@siznic2156 5 жыл бұрын
Akili zake anazijua😂😂😂😂 sahii anajutia..
@dorischilla1627
@dorischilla1627 5 жыл бұрын
Kwel kabisa yan
@hassanakida9226
@hassanakida9226 5 жыл бұрын
Hana anachojua
@jaybajay9973
@jaybajay9973 5 жыл бұрын
Hana alijualo huyu mpuzi
@silingasilinga7164
@silingasilinga7164 5 жыл бұрын
Hamtu pendagi siku hizi mbona
@osodeswagg651
@osodeswagg651 5 жыл бұрын
Sukuma ndani....km umekubali like.plz
@khadijahtumna2016
@khadijahtumna2016 5 жыл бұрын
The comedy In Kenya is in high level!..... Ataachiliwa tu
@miriamotundo6479
@miriamotundo6479 5 жыл бұрын
Kwani they needed a whole police unit to arrest one person? Kenya jamani....drama nayo 😂😂😂😂😂
@yusuphharuna1476
@yusuphharuna1476 5 жыл бұрын
Bora mm mungu aliniachisha bangi na pombe sasa namtumikia
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Welldone heshima ifanye kazi..hawajui wakenya wangapi tuko nje ya nchi struggling to make life..wanadhani kila mtu anakulia kwa golden plate kama hao...kamata wote
@nestorycyprian4112
@nestorycyprian4112 5 жыл бұрын
He learnt only being musician but he knows nothing about international relation policy , it is nestory from tz
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Watanzania Huwa wanatubagua Lakini kauli ya Jaguar ilikuwa mbaya kiasi
@kalulu44
@kalulu44 5 жыл бұрын
Jaguar has a point. DIAMOND IS SELLING MORE RECORDS IN KENYA THAN HIM
@bintsaid9313
@bintsaid9313 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 5 жыл бұрын
Huyo Mbunge BWEGE kweli...!!?? Tanzania wafanya biashara number moja Ni Wakenya . Hivi UBAGUZI mtaacha lini ndugu zetu.!!??
@africanchief3523
@africanchief3523 5 жыл бұрын
Wanasiasa vigeugeu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 жыл бұрын
MWANASIASA KIGEUGEU! Amesahau wimbo wake haraka sana! Such a let down;
@johnnzayiramya9339
@johnnzayiramya9339 5 жыл бұрын
YEYE SASA AMEKUWA KIGEUGEU
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 жыл бұрын
@@johnnzayiramya9339 Alikuwa na piont lakini matamshi yake ni Xenophobic. Angefikiria sana kabla ya kuongea, aibu kubwa!
@justelena4517
@justelena4517 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@haweyaabdillahiadhan7621
@haweyaabdillahiadhan7621 5 жыл бұрын
Hahaha lakini mimi si kigeugeu my dear
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 жыл бұрын
@@haweyaabdillahiadhan7621 Lol, nimekuamini!
@vivianwanini5906
@vivianwanini5906 5 жыл бұрын
Yes.. Kenya we love people, Kenya we are not like middle East ama South Africa... Kenya knows God.
@haweyaabdillahiadhan7621
@haweyaabdillahiadhan7621 5 жыл бұрын
Oooh vivian jina nzuri dear
@hammerQ954
@hammerQ954 5 жыл бұрын
Jaguar karibu sana zanzibar uje uone tunavyoishi na wakenya ni kama tumezaliwa tumbo moja . Kuwa makini sana na ulimi wako .... wakenya karibuni zanzibar 🙌🙌🙌🙌
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 5 жыл бұрын
WE TANZANIANS WE HAVE MANY FRIENDS FROM KENYA, WE WERE VERY SAD TO HEAR THIS GUY SAYING THAT, AND WE BEGAN TO MISS OUR GOOD FRIENDS ACORDING HIS WORDS.WE THANK THE GOVERNMENT OF KENYA FOR WHAT HAS DONE.GOS IS GOOD! NOW AGAIN WE STILL HAVE OUR GOOD NEIGHBORS OF KENYA! WE WELCOME YOU TO OUR COUTRY AGAIN.THANK YOU!! GOD BLESS KENYATA! AND THE CITIZENS OF KENYA!!!
@blizzokassim6495
@blizzokassim6495 5 жыл бұрын
Kenya we love u....na bora mlivyokanusha hyo kauli mana nadhani Wabongo mnatuelewa vizuri tutavuruga nchi yenu jumla jumla...Kama Alshababu tuu wanawashindwa msiitest Tz kumalamamake
@joankioko5203
@joankioko5203 5 жыл бұрын
So many Kenyans work outside kenya what a statement is this?what if all other countries talk like him God grant wisdom to this leader's
@afropages2322
@afropages2322 5 жыл бұрын
This guys will never have wisdom. For him to even conceive the idea!!!
@shadadiabdul6689
@shadadiabdul6689 5 жыл бұрын
Huyo jamaa alikua amelewa.Ukiona Watanzania wako Kenya basi ujue kuna Wakenya wapo Tanzania. Tumemsamehe ajifunze kuheshimu uhai wa Binadamu na utu.
@clarionphilips2556
@clarionphilips2556 5 жыл бұрын
Matiang'i you are our next president, kamata wakora wote! No peace for criminals like jaguar, funzo kwa politicians corrupt! Jaguar ni msanii sio minister, arudi kutunga nyimbo
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Good job East Africsn community parliament for discussing this . Otherwise Serikali ya Kenya sidhani wange hangaika because ange shikwa mara tu baada yaku ropoka maneno yale. But hadi bunge la East Africa na Tanzania kuingilia kati ndio ana shikwa leo
@twalibbakari4338
@twalibbakari4338 5 жыл бұрын
huyu Jaguar ni mjinga hajui sana sasa hivi watu wafikiria kufanya kazi na biashara kwa pamoja yy afikiria ugomvi
@stephenlankai5411
@stephenlankai5411 5 жыл бұрын
Kazi nzuri sana , ...kukamatwa kwa m chochezi
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 жыл бұрын
Huyu Mbunge ni Jipu, hakuna maendeleo mkibaki wenyewe, ajifunze kutoka mataifa Makubwa yote yana wahamiaji, ninachoshukuru Serikali ya Kenya iko makini na wameshatoa tamko. Salam kutoka Dar es salaam
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Kukamata mwasiasa Kenya ni kama kutafutia kura juu ataachiliwa na aendewe na wafuasi wake....
@susankaburu140
@susankaburu140 5 жыл бұрын
Hii ni business iko kenya atawachiliwa bail ya 250 atakosa kweli
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
@@susankaburu140 sure
@consolataakwabi7321
@consolataakwabi7321 5 жыл бұрын
Hahaa...alidhani yy ni nani...kamatwa kabisa.......anajuwa ni wakenya wangapi wako outs8de KENYA.....
@unclemusaa6188
@unclemusaa6188 5 жыл бұрын
Shinda apo
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 жыл бұрын
Hajui ,asituharibie sisi wenye tuko mbali coz atatusaidia.
@janetkerubo7643
@janetkerubo7643 5 жыл бұрын
@@rachealimoli4653 aki
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Consolata Akwabi Hajui , anaamka tu na kuanza kuropoka , hajui atasababisha wakenya wangapi kupata shida nje ya kenya , anaangalia tumbo lake tu .
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Consolata Akwabi Atulie , ajifunze masuala ya kidiplomasia , shida na majirani si nzuri . Angeshauri serikali ya Kenya kukaa na serikali jirani kuangalia a best way kuhusu biashara za wananchi wao wakiwa nchi jirani .
@jumahili8121
@jumahili8121 5 жыл бұрын
Mimi ni mtanzania. Nilikuwa mshabiki wa song za Jaguar. Kumbe ni pumbavu kabisa. Sisi siku zote tunashirikiana. Kuna wakenya wengi Tz. Benki ya KCB iko hapa, kuna viwanda, magari na biashara nyingi za wakenya. Lazma tujifunze kuvumiliana.
@deusgabri
@deusgabri 5 жыл бұрын
Msingemkamata ningeshangaa sana.....huyu ni mbunge mjinga sana....WANANCHI WANATAKA EAST AFRICA yeye anachochea ubaguzi.....
@denyoshfitness4394
@denyoshfitness4394 5 жыл бұрын
Team Jaguar
@nassibnassib4845
@nassibnassib4845 5 жыл бұрын
Citizen.. Mgepiga ile ngoma yake ya Kigeugeu.
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 жыл бұрын
Haki!
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 5 жыл бұрын
Kitu kibaya ni kuwasema vibaya watanzania na waganda. Hajui kuna wakenya wengi wapo wanaishi Tanzania. Kuna wakenya wengi pia wapo Tanzania pia wakenya na watanzania wameoana sana.
@hassantnikweliameir1233
@hassantnikweliameir1233 5 жыл бұрын
wakenya wamechukua ajira zetu katika sekta utalii hapa Zanzibar je huyu Jaguar anasemaje?
@isayamwidete6420
@isayamwidete6420 5 жыл бұрын
Its where i get the dought, to choose youth speciffically to MARIJUANA SMOKERS,to hold heavy position!!!!shame on you JAGUAR!!!We are waiting to see you hr in TANZANIA!!🇹🇿🇹🇿🇹🇿after all your foolish announce!!!!!!
@mgemawilliam4105
@mgemawilliam4105 5 жыл бұрын
Kweli serikali ya Kenya mko vizuri, maana kama mngemuacha huyo mpuuzi akaendelea kupayukapayuka hovyo, angewaharibia mahusiano na nchi jirani hasa sisi ndugu zenu wakaribu na wakihistoria Tanzania. Tunawapenda sana Wakenya
@ben-kings8954
@ben-kings8954 5 жыл бұрын
The government should be tight on this...we have to consider our kenyans in foreign countries
@SA-xj8hc
@SA-xj8hc 5 жыл бұрын
Benjamin Nyangena come to Zanzibar to see the influx of Kenyans who sell their bodies to “Muzungu”
@kosalbai
@kosalbai 5 жыл бұрын
Suleiman Abdallah umalaya sio geni duniani. It’s the oldest profession. Are there no Tanzanian or Zanzibari whores?
@jj7520
@jj7520 5 жыл бұрын
@@SA-xj8hc Yani una andika matako/akuna Manufaktur inkine kwenu?weka eshima kidogo man!
@user-nw8lm1qb8u
@user-nw8lm1qb8u 5 жыл бұрын
@@SA-xj8hc umetumaliza waaaaaaa
@phylliswanjiku7719
@phylliswanjiku7719 5 жыл бұрын
we salute you honorable Moses kuria and Korir for speaking for the business men and women
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
Wanjiku go to Tanzania & Kampala or even Juba & find out who is selling newspapers if not Kamau or Njuguna wake up
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
I can see team tangatanga hand in this.The fools being used don't know that after the completion of expelling foreigners their paymaster may well use the same medicine against their folks.2007/8 is again a likelihood !
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 жыл бұрын
Mimi ni mtz. lakini nafanya kazi na wakenya hapa tz. na ninawapenda maana wanajituma xana na wako na bidii ktk kazi
@eunicemutinda2484
@eunicemutinda2484 5 жыл бұрын
Hapo sasa
@susankaburu140
@susankaburu140 5 жыл бұрын
tupendane dunia nikusongeana
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Sure
@maureenbisieri6776
@maureenbisieri6776 5 жыл бұрын
Kashim kweli kabisa👍👍👍
@sylvestermatinde7527
@sylvestermatinde7527 5 жыл бұрын
We are here 4revalution,si fitina wote east Africa why jaguar aanze bifu za kisenge na ye juzi tu hapa ndio kapata ubunge, aache nyodo mbio zake zitaishia ukingoni.
@isaacsimon3580
@isaacsimon3580 5 жыл бұрын
Jaguar amesahau kuwa yeye Kazi yake kubwa ni music, ubunge unapita. Atafanyeje music wake kwenye nchi zingine kama mbaguzi hivyo? Kachemka sana huyo mbwa
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
Amejikaanga
@trendingupdatechannel7757
@trendingupdatechannel7757 5 жыл бұрын
Just love my country
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 жыл бұрын
Yule Ambassador wa China hapa Kenya hivi majuzi alizunghumza vizuri na kutengheneza uhusiano kati ya nchi mbhili so kwani huyu Jaguar angheminghilia huyu Ambassador pia?
@njengakamau1058
@njengakamau1058 5 жыл бұрын
Acha iwe funzo kwa wengine wote....uhusiano wa Kenya na Tanzania ni mkubwa kuliko jaguar
@reubenfavour
@reubenfavour 5 жыл бұрын
That Was A Reckless Statement From JAGUAH..... KWENDA KABISA
@unclemusaa6188
@unclemusaa6188 5 жыл бұрын
Wewe ndio utakwenda
@Ita_Martin
@Ita_Martin 5 жыл бұрын
Kenya hatuna chuki na Watanzania...karibuni...matamshi ya Jaguar hayaambatani na msimamo wa wakenya..🇰🇪
@isayajilala1645
@isayajilala1645 5 жыл бұрын
Martin K. yameisha joh hata sisi tz hatuna noma na nyie
@johnmohblaxta
@johnmohblaxta 5 жыл бұрын
hope pia Tz watatukaribisha vile unawakaribisha huku
@imaniseverini1538
@imaniseverini1538 5 жыл бұрын
Me mtanzania .. Hatujui tumemfanyia nini huyo mbunge
@mahbubdawood2909
@mahbubdawood2909 5 жыл бұрын
Sio wote watu wa nje ni wabaya kuna wenghine wanatakia Kenya mafanikiyo na mtu kama huyu Jaguar ni adui wa uhusiano zakuleta maendeleo katika inchi wacha akakule sembhe ya bure
@marygaspar6429
@marygaspar6429 5 жыл бұрын
Wanasiasa vigegeu! kawa kigeugeu mwenyewe, hivi tukimuweka Diamond bungeni yatakuwa haya haya? maana huyu alikuwa mwanamuziki kama Diamond!
@mayamayasa4447
@mayamayasa4447 5 жыл бұрын
Why are you humiliating a Kenyan for talking for his citizens? What are MPs for? To represent us. Which country have you ever heard of jailing its citizens for speaking against illegal immigrants? Kenya is the first one to be against its Citizens to support immigrants. This is foolish! Release Jaguar!
@Prisca.W
@Prisca.W 5 жыл бұрын
"Anafululizwa sijui anapelekwa wapi"😂😂😂😂😂
@abdyaly2413
@abdyaly2413 5 жыл бұрын
Matiangi ameifanya kazi nzuri.. Manake huyu jaguar anatuebisha sana, chuki si kitu kizuri, maneno zake za jana zilikua na ujinga mengi..
@davisamark8515
@davisamark8515 5 жыл бұрын
Anaharibu siasa za kenya na mahusiano ya nchi rafiki na kenya
@joyann985
@joyann985 5 жыл бұрын
Let me look where Hon. Babu Owini is🙌🙌💃💃💃
@tutasorthiostory
@tutasorthiostory 5 жыл бұрын
He’s working for his people , check him out !
@shabanborondi6526
@shabanborondi6526 5 жыл бұрын
Amewaongelia wa TZ tu?...mbona kuna wakenya kibao wanafanya biashara hapa Bongo...huyo jamaa was just having a bad day he didn't mean what he said
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
MUSI PUMNAZE WATU AKILI WASIO KUWA NA PESA NDIO HUKAMATWA NA WAOZEE JELA WENYE HELA NI KUTUFUNGA MACHO TU JU ATATOKA HAKUNA KITU HAPO
@bonnybonny8337
@bonnybonny8337 5 жыл бұрын
How about Kenyans who get harassed by Tanzanian authorities everyday? What is Uhuru's PR govt doing about that?
@ssamamc3465
@ssamamc3465 5 жыл бұрын
Jaguar's remarks are Xenophobic but I remember Tanzania burnt our live chiks and took cattle yet it wasn't such a big deal to them.
@wizydeko1496
@wizydeko1496 5 жыл бұрын
Niko na rafiki yangu kutoka Kenya tuncheka tu ili boya linavyokamatwa pumbafuu
@zachgodfst7421
@zachgodfst7421 5 жыл бұрын
Payukeni 2,,,,,,,,,, kuku zetu ?? Cow zetu??? 🏃‍♂🏃‍♀🏃‍♂🏃‍♂🏃‍♀ ......🏋‍♂🏋‍♀🏹🏹
@margaret8940
@margaret8940 5 жыл бұрын
Ebu watuambie. Wamejaa hapa wanapayuka payuka. Mbona hawakupayuka wakati kuku na ngombe zetu ziliangamizwa. Kenyans wamechoka na wameamua.
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 5 жыл бұрын
Waliingia illegally bila kufwata utaratibu wa boarders
@sylvestermatinde7527
@sylvestermatinde7527 5 жыл бұрын
Acheni fitina nchi haijengeki bila wageni,Tz wanalisha Kenya kW njia nyingi,kazi nzuri kwa waziri Wa ulinzi ,Sikh zote mkikuyu ana fitina ya kijinga bila kujua kidole kimoja hakivunji njawa.
@stonecold4630
@stonecold4630 5 жыл бұрын
Sylvester Matinde .acha ukabila mkikuyu anatokezea wapi? Kwani nyinyi wa bongo pia mumeambukizwa ugonjwa wa ukabila na chuki dhidi ya wakikuyu? Jua wakikuyu ni wateule
@mrope348
@mrope348 5 жыл бұрын
@@stonecold4630 mna uteule gani nyie chuki na choyo zimewajaa tele
@mercypedha5519
@mercypedha5519 5 жыл бұрын
I hope hii ni ukweli na anepekekwa Polisi na Sio kwa Hoteli kufumba watu Macho😏 wapi Matiang'i he need ku pinch mapua ya Jaguar
@jayramadhan4584
@jayramadhan4584 5 жыл бұрын
Kumtioa bunge haiwezekani cz ame changuliwa na wanchi sio serekali.
@banshbansh2329
@banshbansh2329 5 жыл бұрын
@@jayramadhan4584 😅😅😅
@hajiismaily3401
@hajiismaily3401 5 жыл бұрын
Acha akamatwe mahusiano yetu yalikuwa tangia zama hizo yeyeniwajuzi tu
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 жыл бұрын
True
@geoffreywaiyakimugure3816
@geoffreywaiyakimugure3816 5 жыл бұрын
tanzania ni wanyonyaji
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 жыл бұрын
Usha wait nyonywa au nikuropokwa tu
@rachealimoli4653
@rachealimoli4653 5 жыл бұрын
Usha wahi nyonywa au nikuropokwa tu
@maremidundo6997
@maremidundo6997 5 жыл бұрын
@@geoffreywaiyakimugure3816 acha wakunyonye rabda ukona mazima mingi😠😠😠😠😠
@shirowdestinys5775
@shirowdestinys5775 5 жыл бұрын
Hapo sawa
@wisdomband8677
@wisdomband8677 5 жыл бұрын
Dah tz tupo vizuri Kenya siji tena
@janenana9579
@janenana9579 5 жыл бұрын
Hiyo ni kufungwa macho kwa raia maskini, Ole wenu amepelekwa 5 Star Hotel.Sisi raia wanyonge jela imejengewa wanyonge. 5 Star PAP.
@alvismumkaranja3360
@alvismumkaranja3360 5 жыл бұрын
Basi na sisi tutafukuzwa kwao
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 5 жыл бұрын
Great job Fred Matiang'i. We are proud of you. These empty headed politicians should face the music
@evalenad6256
@evalenad6256 5 жыл бұрын
Safi sana safi sanaaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾akafungiwe mbali huko
@lucassalvatory7251
@lucassalvatory7251 5 жыл бұрын
Unaleta ujinga kwa kuwasema watanzania hovyo afu ubaki salama ??? Nice Matiang
@ednacharles524
@ednacharles524 5 жыл бұрын
alifanya vibaya Sana, kusema watawafukuza na wachape hao wachina, lakini jaquar anafaa ajue pia kuna wakenya wengi wako inje ya nchi na tuko free sana
@peterirungu2904
@peterirungu2904 5 жыл бұрын
Weh kwenda you don't know what you're saying,.tembea middle east ujione who kenya treaded
@reginakaloki6590
@reginakaloki6590 5 жыл бұрын
The singer kigeugeu. Ndani sasa may be he never knew about kigeugeu
@Josethekenyan
@Josethekenyan 5 жыл бұрын
release jaguar
@sheegitonga8836
@sheegitonga8836 5 жыл бұрын
Waaah.... cogratulation acha alale ndani....kwani Kuna Nini....Hawa wamechizikah hawana adabu
@starlight_channel
@starlight_channel 5 жыл бұрын
Tukipiga Tz kesho kwa Afcon watanzania wako kenya warudi kwao,wakitushinda tuitishe marathon, wakitushinda tuitishe collabo ya OG na Simba,wakitushinda tuitishe magufuli 🔒tuwafungie huku Kenya.
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 5 жыл бұрын
Hahhahaha huyu mlevi wenu jagua mwambieni akome tukilianzisha huku mtatafutana ako magu hataki utani na raiya wake
@jj7520
@jj7520 5 жыл бұрын
Heee 😂😂😂😂waaa kenya 😎
@mbarukgude5335
@mbarukgude5335 5 жыл бұрын
Stupid politician, mbona huyu mtu ni falaa wa ina gani? Hajui kwani wakenya wangapi wako worldwide wafanya maendeleo ya kenya huyu akiwachwa asijaribu kuibisha kenya ..akifanya hivyo alivyo sema basi abiria tutamfunzaa adabu mjinga
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
Utashangaa Kenya ikinyolewa bila wembe
@starlight_channel
@starlight_channel 5 жыл бұрын
@@sospeteranyango6274 🤣🤣🤣🤣🤣
@sarahhamisi2070
@sarahhamisi2070 5 жыл бұрын
tz Kenya mbona ni ndugu
@nimky1422
@nimky1422 5 жыл бұрын
Enyewe vle Aliongea sio poa lakini Kenyans we must wake up and protect our small business men and women
@sospeteranyango6274
@sospeteranyango6274 5 жыл бұрын
Protect what has any of them hindered u 4m putting up your mahindi choma jiko.Hawa watu wanajituma.Wao sio serikali saidia.
@francisjkidua8303
@francisjkidua8303 5 жыл бұрын
Well done
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 5 жыл бұрын
Jaguar, kigeu geu! "anatugeukia"
@mumblessed001
@mumblessed001 5 жыл бұрын
Jaguar umefudishwa kuongea matope na kina kuria acheni za ovyo hio ckazi yako mehemehe majirani wetu wameishi kufanya biashara na pia wakenya hufanya biashara Tz acheni upuzi mumekula mkajza matumbo sasa mtukosanishe na majirani bure kabisa
@jerryomish4581
@jerryomish4581 5 жыл бұрын
Huyu aende aozee kamiti . How many jobs has he offered to the youths
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 5 жыл бұрын
Huyo anampango wakuvuruga amani yawakenya mkemeeni hafai ikibidi na Ubunge avuliwe hanasifa yauongozi
@Dymitri-Babushka.
@Dymitri-Babushka. 5 жыл бұрын
Sukuma ndani huyu NGURUWE
@peterolal249
@peterolal249 5 жыл бұрын
Vijana ambao wameingia bunge wakijifikiria na kujijaza na chuki isiyifaa. Let him face the law and be answerable to his words. Am just requesting top leaders to keep off from this.
@rehemadani3600
@rehemadani3600 5 жыл бұрын
Mimi naomba anyongwe nikama muuaji vile, kinachomchanganya nimbunge mfanya biashara ndiyo Maana anakulupuka kuzungumza
@lilamhanzi1929
@lilamhanzi1929 5 жыл бұрын
Use the link to get the app for "free top up"
@magesatv9659
@magesatv9659 5 жыл бұрын
Kumbe wakenya ndo mlivyo sisi tunaishi na ndugu zenu Kama ndugu zetu nyinyi mnawatenga ndugu zetu najua jaguar atakuwa amefikisha kilio Cha wakenya walio wengi ila Nini fresh toka tanzania
@timelessbeauty5677
@timelessbeauty5677 5 жыл бұрын
Juzi tu mwanamke alikuwa analia jinai ambavyo jagua amemu abandon na watoi ...we asked him to pray God to take over from her ...now look at machozi ya mwanamke what it does, this is the beginning....
@kamaumuritu4713
@kamaumuritu4713 5 жыл бұрын
Make kenya great again.
@oduorevans3493
@oduorevans3493 5 жыл бұрын
Mad leader
@johnnzayiramya9339
@johnnzayiramya9339 5 жыл бұрын
JAGUAR AMEGUKA KIGEUGEU HHHHH SHAME ON HIM
@akibarahamadi5058
@akibarahamadi5058 5 жыл бұрын
mbunge rofa sana uyo ajuwi chenye anafany
@adhiambonyasuna4043
@adhiambonyasuna4043 5 жыл бұрын
Jaguar is not apolitician,akuje polepole,ama aende aimbe.these young Kenyan politicians are giving us headache.kupayuka
@joethige
@joethige 5 жыл бұрын
No one is above the law. Let him pay for his sins
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 5 жыл бұрын
Huyu Jaguar nimemchukia kuanzia leo kasahau kama yy alikuja sana Tanzania enzi zile anaimba na kasahau kuwa kuna wakenya wengi tu na tunawajua wako Tanzania pia???? Huyu mbunge mavi mchochezi na kichwa chake kama pumbu... Kenya na Tanzania ni majirani wema atuache....
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 5 жыл бұрын
What a shame mzungu na mchina Mnawasujudia ijapokuwa wengi wao wanaharibu Afrika yetu kwa namna moja ama nyingine, alafu ikija kwa waafrika wenzako unaleta fitina na chuki, We cant wait to see Africans unite and be brothers and sisters lakini kwa ajili ya watu Kama nyie tunafeli kabisa, wenzetu huko Ulaya hawana boda wala chuki wanafanya kazi bega kwa bega ili kuona Ulaya yao inaendelea. Ndio maana wanasema black people with black mentalt shame on you again
@shedrackboniphace7755
@shedrackboniphace7755 5 жыл бұрын
Kwan jaguar ni binadam au mnyama,atajua hajui
@limolimo4701
@limolimo4701 5 жыл бұрын
mkiwapiga wabongo huko kenya mimi naanza naanza na huyu mpangaji wangu ningumi 2
@dyddadizzo
@dyddadizzo 5 жыл бұрын
Hiyo ni nyumba ya Wazito👊.akae huko😂✋
@semanasitv8303
@semanasitv8303 5 жыл бұрын
wakati mataifa makubwa wakiungana kumpiga mnyonge mataifa fukara wanabaguana waafrika tunanongwa kweli kweli
@franga7870
@franga7870 5 жыл бұрын
Sasa mtu mmoja amekuwa taifa?duh!
@eliudijastini8372
@eliudijastini8372 5 жыл бұрын
Kalewa uyoo bwege maisha hayaendi ivoo na watu hawaishi ivoo
Vijana waliokuwa wahalifu Mombasa wabadili maisha
2:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 120 М.
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 30 МЛН
Мы сделали гигантские сухарики!  #большаяеда
00:44
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,9 МЛН
The journey of Kenyan roses to the world: The Dubai experience
22:44
Why UK 🇬🇧 is going Bankrupt? : Detailed Economic Case Study
20:37
Think School
Рет қаралды 1,5 МЛН
WAJINGA NYINYI  |  KAMENE AND KIBE
21:55
Kiss 100 Kenya
Рет қаралды 64 М.
Waandamanaji wenye ghadhabu waliingia ndani ya Bunge
2:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 103 М.
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 30 МЛН