MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA..

  Рет қаралды 35,145

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

Күн бұрын

Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...

Пікірлер: 56
@Stevmwamba2090
@Stevmwamba2090 3 ай бұрын
Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
@User255tv
@User255tv 3 ай бұрын
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
@OS-pf6op
@OS-pf6op 3 ай бұрын
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 3 ай бұрын
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
@sallyeliya5213
@sallyeliya5213 3 ай бұрын
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MartinMgogo
@MartinMgogo 3 ай бұрын
Yes dube ni mtu na nusu
@ZainabuIddi-t6o
@ZainabuIddi-t6o 2 ай бұрын
💚💚Yang aaaaa
@LawyerKalikumbi
@LawyerKalikumbi 2 ай бұрын
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 3 ай бұрын
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
@BedictoPetroKazumba
@BedictoPetroKazumba 3 ай бұрын
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@charlesroswe
@charlesroswe 2 ай бұрын
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 2 ай бұрын
Yeah!
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 3 ай бұрын
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
@raikamsela
@raikamsela 3 ай бұрын
Young African 💛💚🔰💪
@jacksontanda5431
@jacksontanda5431 3 ай бұрын
Welcome at House of cups DUBE
@ImanuelMwaipaja-wf7xq
@ImanuelMwaipaja-wf7xq 3 ай бұрын
Kwaiyo una watishia makolo
@robertphilip385
@robertphilip385 3 ай бұрын
Ndiyo
@AsajileMichael
@AsajileMichael 3 ай бұрын
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
@malietamaliet
@malietamaliet 3 ай бұрын
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
@JacksonKadwela-cb6sq
@JacksonKadwela-cb6sq 2 ай бұрын
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 3 ай бұрын
@KarokiaNdirango-lj3wf
@KarokiaNdirango-lj3wf 3 ай бұрын
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
@michaelnkobi2201
@michaelnkobi2201 3 ай бұрын
Saaaafiii
@jacksontanda5431
@jacksontanda5431 3 ай бұрын
Ngoja 2one
@FettySalim-f8g
@FettySalim-f8g 3 ай бұрын
Vizuriiiiiy
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 2 ай бұрын
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 2 ай бұрын
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 3 ай бұрын
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
@Mobmob2013
@Mobmob2013 3 ай бұрын
Kolo unateseka Ukiwa wapi
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 3 ай бұрын
Kolo unawivu usije ukajinyonga
@bsmonline8482
@bsmonline8482 3 ай бұрын
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 3 ай бұрын
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 3 ай бұрын
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
@EdgarAlphonce
@EdgarAlphonce 2 ай бұрын
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 2 ай бұрын
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@Ba63828
@Ba63828 2 ай бұрын
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 2 ай бұрын
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
@amaniomar1755
@amaniomar1755 3 ай бұрын
Safi 🎉🎉🎉
@AndrewFilemon
@AndrewFilemon 3 ай бұрын
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
@FabianDasson
@FabianDasson 3 ай бұрын
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake 7:40
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 2 ай бұрын
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
@juliusejulius6704
@juliusejulius6704 3 ай бұрын
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 3 ай бұрын
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
@omarydaudy3744
@omarydaudy3744 3 ай бұрын
Hata mudathiri alikuwa azam
@Mobmob2013
@Mobmob2013 3 ай бұрын
​@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 3 ай бұрын
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
@fatmaally7252
@fatmaally7252 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi
@mrishojuma4695
@mrishojuma4695 3 ай бұрын
Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MO NA BABRA
36:04
Ngome Tv
Рет қаралды 92 М.
English Grammar Test ✍️ If you pass test, your English is amazing!
11:31
English lessons and quiz with teacher Bannet
Рет қаралды 737 М.