Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
@User255tv3 ай бұрын
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
@OS-pf6op3 ай бұрын
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
@AmanaAmos-hv3yz3 ай бұрын
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
@sallyeliya52133 ай бұрын
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MartinMgogo3 ай бұрын
Yes dube ni mtu na nusu
@ZainabuIddi-t6o2 ай бұрын
💚💚Yang aaaaa
@LawyerKalikumbi2 ай бұрын
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
@ShafiiHungo3 ай бұрын
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
@BedictoPetroKazumba3 ай бұрын
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@charlesroswe2 ай бұрын
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
@MbwadukeStats2 ай бұрын
Yeah!
@mrishojuma46953 ай бұрын
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
@raikamsela3 ай бұрын
Young African 💛💚🔰💪
@jacksontanda54313 ай бұрын
Welcome at House of cups DUBE
@ImanuelMwaipaja-wf7xq3 ай бұрын
Kwaiyo una watishia makolo
@robertphilip3853 ай бұрын
Ndiyo
@AsajileMichael3 ай бұрын
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
@malietamaliet3 ай бұрын
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
@JacksonKadwela-cb6sq2 ай бұрын
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
@emanuelsamwel9993 ай бұрын
❤
@KarokiaNdirango-lj3wf3 ай бұрын
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
@michaelnkobi22013 ай бұрын
Saaaafiii
@jacksontanda54313 ай бұрын
Ngoja 2one
@FettySalim-f8g3 ай бұрын
Vizuriiiiiy
@gasperelasto88422 ай бұрын
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
@MbwadukeStats2 ай бұрын
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
@abdallahakida79083 ай бұрын
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
@Mobmob20133 ай бұрын
Kolo unateseka Ukiwa wapi
@RashidKaoneka-bj8mm3 ай бұрын
Kolo unawivu usije ukajinyonga
@bsmonline84823 ай бұрын
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
@fredyjunior69613 ай бұрын
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
@EdgarAlphonce2 ай бұрын
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
@MbwadukeStats2 ай бұрын
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
@Ba638282 ай бұрын
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
@MbwadukeStats2 ай бұрын
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
@amaniomar17553 ай бұрын
Safi 🎉🎉🎉
@AndrewFilemon3 ай бұрын
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
@FabianDasson3 ай бұрын
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake 7:40
@AjiaMohamed-rt5pb2 ай бұрын
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
@juliusejulius67043 ай бұрын
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
@abdallahakida79083 ай бұрын
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
@omarydaudy37443 ай бұрын
Hata mudathiri alikuwa azam
@Mobmob20133 ай бұрын
@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
@NeemaAkyoo-s4s3 ай бұрын
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo