MBWADUKE: OHOOO... KI NINI TENA?
15:05
4 сағат бұрын
Пікірлер
@DavyShine-pb7jb
@DavyShine-pb7jb Сағат бұрын
Video camera jitahid unatuangusha
@elishajohn455
@elishajohn455 Сағат бұрын
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Сағат бұрын
Mchambuz msema kweli ajae hana makandokando
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila Сағат бұрын
Mkwala ni mtu makina sana tutajua hapa
@johnmushi8739
@johnmushi8739 Сағат бұрын
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
@johnmushi8739
@johnmushi8739 Сағат бұрын
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
@Godfreyolekidongo
@Godfreyolekidongo 2 сағат бұрын
Kuna zamalek, berkane, Aseck memosa,usm alger siowakuwabeza kabisa
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Сағат бұрын
Tunaruka na yeyote
@kirapadiherbalstv9953
@kirapadiherbalstv9953 22 минут бұрын
Hao ni watoto saana kwa Simba😂😂 Tabu iko palepale😊
@robertchazya2351
@robertchazya2351 2 сағат бұрын
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
@sadih5333
@sadih5333 2 сағат бұрын
Wapili ni mimi
@barakahiluka4905
@barakahiluka4905 2 сағат бұрын
Dah nakkubal sana
@annofrancis3697
@annofrancis3697 2 сағат бұрын
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
@johnkiwanga3081
@johnkiwanga3081 2 сағат бұрын
Wakwanza
@alexanderfute4559
@alexanderfute4559 3 сағат бұрын
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 3 сағат бұрын
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
@saidilikananowe1446
@saidilikananowe1446 3 сағат бұрын
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
@MeshackKamenya
@MeshackKamenya 3 сағат бұрын
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
@allytv1714
@allytv1714 3 сағат бұрын
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
@user-yn4oi3cz2v
@user-yn4oi3cz2v 3 сағат бұрын
Kwaheri AZAM
@adammafuru7971
@adammafuru7971 4 сағат бұрын
Mpiga picha holaa
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 4 сағат бұрын
Ww mwandishi inaonekana nimbaguzi ww
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 4 сағат бұрын
Tanzania zimeshiriki timu 6 bas sio 4
@bone102
@bone102 Сағат бұрын
Bendera ya Tanzania na zanzibar zinafanana kama zinafanana basi Tz timu sita ila kama hazifanani bas tz kapeleka timu 4
@johnmbwile3980
@johnmbwile3980 4 сағат бұрын
Jamani muelewe tuu!
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 4 сағат бұрын
Mpiga picha mbona host humuonyeshi
@khamisrashid6581
@khamisrashid6581 4 сағат бұрын
Tanzania kimataifa ni timu 5 sio 4 na uhamiaji za zanzibar
@user-pb1mw6mo9c
@user-pb1mw6mo9c 4 сағат бұрын
Tanzania zpo tm 6 kla mwndxh anakosea kusem tnatim 4 zpo 6 jman
@mzansi27
@mzansi27 3 сағат бұрын
Kwa mashindano ya CAF, Zanzibar ni nchi
@boscoShama
@boscoShama 6 сағат бұрын
Mtangazaji anaharaka kama muogea nje anarukaruka
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 5 сағат бұрын
Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@robertsongola6034
@robertsongola6034 8 сағат бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone102
@bone102 Сағат бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@josephatn5040
@josephatn5040 9 сағат бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 сағат бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t
@user-lw2ox8fu7t 4 сағат бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 3 сағат бұрын
​@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba813
@lameckshaba813 3 сағат бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 2 сағат бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
@AgartonMheza-ul3ww
@AgartonMheza-ul3ww 9 сағат бұрын
Dada jifunze kuhoji vizur
@Cutenaah
@Cutenaah 10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jumazubeir5787
@jumazubeir5787 10 сағат бұрын
💯🙏
@WillfredMisungwi
@WillfredMisungwi 10 сағат бұрын
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
@Magicalstp502
@Magicalstp502 9 сағат бұрын
😂
@HappyBabyKittens-wx2mb
@HappyBabyKittens-wx2mb 12 сағат бұрын
We jneas
@HappyBabyKittens-wx2mb
@HappyBabyKittens-wx2mb 12 сағат бұрын
Mbwaduke your professional
@AliRashid-nf9is
@AliRashid-nf9is 13 сағат бұрын
Guide alituvusha viongozi wamesahau alitupeleka robo
@AliRashid-nf9is
@AliRashid-nf9is 13 сағат бұрын
Ana hasira
@AliRashid-nf9is
@AliRashid-nf9is 13 сағат бұрын
Hana displini
@AliRashid-nf9is
@AliRashid-nf9is 13 сағат бұрын
Guide bora kuliko soa
@f.a6043
@f.a6043 15 сағат бұрын
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
@saidmailo8491
@saidmailo8491 15 сағат бұрын
Mbele tunakata nyuma tunanyoa yanga tunapiga mbele na nyumaaaaaaaa
@user-id2md4mp8w
@user-id2md4mp8w 16 сағат бұрын
Yanga tunataka fainali ligi ya mabingwa Afrika
@StellaMbegu
@StellaMbegu 16 сағат бұрын
Kwan wao walkuw wanasemaj hatotangazwa
@Mariampaul-me7qo
@Mariampaul-me7qo 22 сағат бұрын
Mchambuzi boraaaa🎉🎉🎉
@Mariampaul-me7qo
@Mariampaul-me7qo 23 сағат бұрын
We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤
@bbanyikwa
@bbanyikwa 23 сағат бұрын
Tusubiri DEBORA tuone naye atafanya nini uwanjani maana kwa kikosi hiki cha yanga kinaogopesha haki😢
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Күн бұрын
Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats Күн бұрын
Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 Күн бұрын
Aziz ki angekua mcongo walai asingebaki yanga ila anaupendo wa Hali ya juu Mwenyezi Mungu atusaidie huu msimu tufanye vizuri next season kimataifa alivyosema yeye anataka yanga kuisaidia kimataifa then ata wakimuuza tutampa baraka zote popote atakapotaka kutafuta malisho umri unaruhusu
@denimpemba
@denimpemba 15 сағат бұрын
Amiiiiiiin Yaa Rabbi ijaalie team yetu ifanye vizuri sana sana sana
@zakayomoleli
@zakayomoleli Күн бұрын
Siku nyingine tafuta Mahali penye utulivu hapo Kuna kelele
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Күн бұрын
Tatizo mic... angepata tie mic
@Izzoh2021
@Izzoh2021 Күн бұрын
Sijawahi kuwa na shaka na uchambuzi wako na ww utabaki kuwa bora kwa uchambuzi wa mpira tz
@RomaniDanielcoster
@RomaniDanielcoster Күн бұрын
Ila sijachelewa sana kamanda wangu nisipo kuskiza bado sijaangalia michezo