Wewe mgeni uku huyu jamaa anachambua vizuri sana take your time utanishukuru
@robertsongola60348 сағат бұрын
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
@bone102Сағат бұрын
Sema ww hujamuelewa usiweke uwingi mzee 😂
@josephatn50409 сағат бұрын
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
@jonamnyone80144 сағат бұрын
Kwa kiswahili hakuna awali ya kwanza na awali ya pili. Hivyo Mbwaduke yuko sawa
@user-lw2ox8fu7t4 сағат бұрын
Huyo ni nyuma mwiko wabishi kwel
@chrispinmkanda60973 сағат бұрын
@@user-lw2ox8fu7t 🤣🤣🤣
@lameckshaba8133 сағат бұрын
Bwana wewe yanga ni wadogo tu. Acha kuipamba
@samwelsimon73922 сағат бұрын
yaani hapo ndo mimi nachokaga niona wanayanga wanaibeza simba jayanti
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
@saidmailo849115 сағат бұрын
Mbele tunakata nyuma tunanyoa yanga tunapiga mbele na nyumaaaaaaaa
@user-id2md4mp8w16 сағат бұрын
Yanga tunataka fainali ligi ya mabingwa Afrika
@StellaMbegu16 сағат бұрын
Kwan wao walkuw wanasemaj hatotangazwa
@Mariampaul-me7qo22 сағат бұрын
Mchambuzi boraaaa🎉🎉🎉
@Mariampaul-me7qo23 сағат бұрын
We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤
@bbanyikwa23 сағат бұрын
Tusubiri DEBORA tuone naye atafanya nini uwanjani maana kwa kikosi hiki cha yanga kinaogopesha haki😢
@revocatusmalimi4525Күн бұрын
Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
@MbwadukeStatsКүн бұрын
Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.
@malietamalieta9658Күн бұрын
Aziz ki angekua mcongo walai asingebaki yanga ila anaupendo wa Hali ya juu Mwenyezi Mungu atusaidie huu msimu tufanye vizuri next season kimataifa alivyosema yeye anataka yanga kuisaidia kimataifa then ata wakimuuza tutampa baraka zote popote atakapotaka kutafuta malisho umri unaruhusu
@denimpemba15 сағат бұрын
Amiiiiiiin Yaa Rabbi ijaalie team yetu ifanye vizuri sana sana sana
@zakayomoleliКүн бұрын
Siku nyingine tafuta Mahali penye utulivu hapo Kuna kelele
@KS-iw7qvКүн бұрын
Tatizo mic... angepata tie mic
@Izzoh2021Күн бұрын
Sijawahi kuwa na shaka na uchambuzi wako na ww utabaki kuwa bora kwa uchambuzi wa mpira tz
@RomaniDanielcosterКүн бұрын
Ila sijachelewa sana kamanda wangu nisipo kuskiza bado sijaangalia michezo