The only soccer analyst in Tanzania - big up Mbwaduke !
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
SIMBA NI TIMU KUBWA TANZANIA ,🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
@IsaacParuzАй бұрын
Ubunifu Hadi Raha kaka mbwaduke hongera sana wote hapo na team yako
@assamkagilaАй бұрын
Namkubali sana huyu mwamba yuko vizur kweny uchambuzi wa soka
@MbwadukeStatsАй бұрын
Shukrani sana Mkuu. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono!
@gasperelasto8842Ай бұрын
Tuchambulie match ya yanga vs kaizer chief
@dubo2010Ай бұрын
@@MbwadukeStats formula karibia miaka yote ni (64 - idadi ya timu zinazoshiriki = idadi ya zitakazo anzia hatua ya kwanza)
@user-hn8vj1vn5yАй бұрын
@@dubo2010 Good! Ahsante sana Mkuu!!
@peterngatunga1527Ай бұрын
Samahani vijana wetu msiharibu lugha katika kujitambulisha hatusemi Kwa majina naitwa..... Bali Kwa jina naitwa naitwa.......... Asante sana
@gasperelasto8842Ай бұрын
Kaka asante sana kw kazi nzuri. Tunaomba utuchambulie match ya yanga dhidi kaizer chief
@salummohammed1176Ай бұрын
Kweli kaka umechambua vizuri sana asioelewa atakua mburura Simba SC nitimu kubwa
@Jaymedia16TzАй бұрын
Kk uko vzr ninakufuatilia sana tena sanaa achana na hawa wachambuzi uchwara wanajisifu eti wachambuzi hongera sana bro
@user-wl4yo4zp9tАй бұрын
Mbwaduke uko vizuri
@DAVIDKISWAGAАй бұрын
Uko vizuri sir mwanduke!
@MbwadukeStatsАй бұрын
Shukrani sana. Ahsante kwa kuendelea kutuunga mkono!
@DadeSaide-qr7tiАй бұрын
Asante sana. @@MbwadukeStats
@user-hw1fp6mb4s17 күн бұрын
Hata kama ukivaa miwani yanga huioni top 10
@user-uj5wg9mm2tАй бұрын
Simba nguv moja😂😂😂😂
@shabaniramadhani8026Ай бұрын
Uko vizuri brother
@rizikylaizer1602Ай бұрын
Leo nina raha napenda data zako mbwaduke sana❤
@FedricMwikwabeАй бұрын
Big up Mr mbwaduke
@YasiniJuma-rc9bbАй бұрын
Nadhani we ndo mchambuzi bora Tz!!👏🏽👏🏽👏🏽
@errydeo8865Ай бұрын
Hakuna mwingine He is the best of the best....
@YasiniJuma-rc9bbАй бұрын
@@errydeo8865 Ni kwel aisee
@jumaazuberi9317Ай бұрын
Miaka 4 simba anaenda kimataifa na anafika robo yanga ndani ya miaka hiyo 4 hawafiki popote na kucheza makundi nibaada ya miaka 25 watafanana vipi na SIMBA.
@mwitamalwa2773Ай бұрын
Simba ni simba tu so yakufananisha na team yoyote Tz😂😂😂😂😂😂😂
@ThuwaibaMkanaАй бұрын
Nimekuelewa baba mbwaduke❤
@OGVIDEOPRODICTION-z2lАй бұрын
asant
@charleznicholas416Ай бұрын
Mbwaduke namkubali sana huyu jamaa anachambuwa kwa akili
@User255tvАй бұрын
Noted. Kwa kutumia idadi ya 5 bora, hata makolo wangekuwepo CCL nao wangeanzia preliminary vilevile. Tukutane uwanjani.
@johnsonisack1133Ай бұрын
Yap brother
@orestonjalika632Ай бұрын
Tatizo lako unajua sana boli wewe mbwaduke. umekuwa taa sana aise
@user-yr8eq7rr1zАй бұрын
Huyu ndo mchambuz, cyo wale kina ambokile ushenz mtupu
@silasjacob-j2lАй бұрын
watabakia kujifananisha na mnyama caf wenyewe simba yani hapo formula zitabadilika sana imradi2 mtoto asifanane na baba
@Kabeya410Ай бұрын
Bahati mbaya kwetu bahati nzuri kwao wangekua huku nao wangekua hawao wao wa 6 na zimetengwa 5 simba nae angeanza kama Yanga tu kule shirikisho ni mkurulo yaani 12 unakosaje hata yanga angekua kule asingecheza mwanzo Asante Mbwaduke hawa makolokolo wasitambe ni mfumo tu 😅
@abdallahmzee4335Ай бұрын
Ucjifariji kwani hukuwahi kuwa huko mbona ukupata hiyo nafasi ya kuanza awamu ya pili,Kubali tu Simba ni kubwa kwani ukikubali utakufa
@Kabeya410Ай бұрын
@@abdallahmzee4335 angalia kabla hapo nilikua sina point za kunibeba baada kufika fainali na kufika Robo niliyodhulumiwa ningekua huko timu 12 nayo unajisifu mkurulo huku kwetu ni timu 5 mimi wa saba ingekua kumi bora au saba bora nimo ningeanza mbele ila kwangu faida napata mazoezi mazuri we subiri hiyo raundi unaishia hapo hapo mwaka huu hata makundi hufiki Yanga kafika fainali shirikisho na mechi ugenini nimeshinda pamoja na figisu zote kanuni ndo imenitoa Sasa kama Mwanaume kweli fika fainali na ushinde fainali ugenini NIKO PALE NIITE MBWA
@abdunnurahmedsilim7456Ай бұрын
Siku zenu zinahesabika za kujiita eti ni wakubwa!@@abdallahmzee4335
@nahimanafiston6518Ай бұрын
Wawuuu
@labramsalum976Ай бұрын
Nakubaliiiii
@ibrahmsimaiАй бұрын
.saw
@sweetbertrwiza5982Ай бұрын
Hata kama kichwa chako kigumu kama jiwe lazima utaelewa tu!
@KASSIMSHEHEMBAАй бұрын
Kimataifa huwezi kulinganisha Simba na Yanga Simba ipo nafasi ya 6 afrika Yanga 43 huoni Yanga ni kibonde
@augustinokibena8387Ай бұрын
Kuhusu pot Yanga atakuwa pot ipi
@YunusHaji-i8iАй бұрын
Apewe tunzo na mauwa🎉🎉🎉🎉 yake Kwa kiwango chake jamaaa
@user-wn4qu9yu7nАй бұрын
Huwa nafurahishwa na data zako
@user-tr8kz6wc1jАй бұрын
Wasifosi tufanane
@khadijamisayo7476Ай бұрын
Simba ni Simba tu
@amidanjalle3468Ай бұрын
Sis ni simba
@brunoh_bxАй бұрын
Salma Hamidu naomba naomba yake me bado sijaoa jama😂😂 Nakukubal sana kaka Mbwaduke👏👏🔥🔥🔥
@emmanuelibrahim8159Ай бұрын
Umalaya tuu kuoa aaaaah😮
@brunoh_bxАй бұрын
@@emmanuelibrahim8159 😀😀 si ndo natak kuoa sasa jaman
@BashirusalumАй бұрын
Simba sio paka hata alowe vipi
@evansmoshi1923Ай бұрын
Maswali ya wanafunzi mashabiki wa utopolo
@BibeLunangelaАй бұрын
Acha uhongo
@user-tc7fh1mv8fАй бұрын
Brother mm swali langu nikuwa mbona bala laAfrica ina nchi 54 afu kuna timu 52 ,59 afu mda huo kuna nchi zimepeleka timu mbili hii imekaaje?je kuna nchi hazishiliki michezo kabisa au