MBWADUKE: TOBAAAH! MKATABA KUMBAKIZA KI YANGA TISHIO KWA WAPINZANI WAO/ KUNA PACOME, CHAMA, MAXI...

  Рет қаралды 14,390

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

22 күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
KUMRADHI
Kumetokea tatizo la kiufundi lililoathiri ubora wa sauti. Samahani kwa usumbufu.
By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"

Пікірлер: 43
@danmbizo3472
@danmbizo3472 20 күн бұрын
Uko vizuri nakukubali mno bro From Kenya hukufuatilia sana
@ShaibuMkullu-ck6sl
@ShaibuMkullu-ck6sl 20 күн бұрын
Huyu MBWADUKE apewe heshima yake jamani, anajua kuudadavula mpira
@firdawsrammy9992
@firdawsrammy9992 20 күн бұрын
Hakika
@elizabethkalinga0822
@elizabethkalinga0822 20 күн бұрын
Ni kweli kabisa a me we Mauwa yake, maelezo yake yamenyooooka haswa. 🌹🌹🌹🌹
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 20 күн бұрын
Anabalaaa siyo poa huyu baba
@fatmaally7252
@fatmaally7252 20 күн бұрын
Tabu ipo pole pale mungu ibariki yanga
@speciallvoice8091
@speciallvoice8091 18 күн бұрын
Chambuz Bora kwa Sasa ktk Nchi hii Ramadhani Mbwaduke
@Barakah2590
@Barakah2590 20 күн бұрын
Nakubali mjomba
@user-qi3wv8sf5j
@user-qi3wv8sf5j 20 күн бұрын
Upo vizuri
@user-tc7fh1mv8f
@user-tc7fh1mv8f 20 күн бұрын
Shukran mzee wa data japo kunakelele
@hosianawilliamson7396
@hosianawilliamson7396 20 күн бұрын
Mzee wa takwim upo vizuri
@AbdiSele-94
@AbdiSele-94 20 күн бұрын
From kenya nairobi
@saidmailo8491
@saidmailo8491 19 күн бұрын
Mbele tunakata nyuma tunanyoa yanga tunapiga mbele na nyumaaaaaaaa
@bbanyikwa
@bbanyikwa 20 күн бұрын
Tusubiri DEBORA tuone naye atafanya nini uwanjani maana kwa kikosi hiki cha yanga kinaogopesha haki😢
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 20 күн бұрын
Kaka unafanya vzr. Hongera. Nakuomba il kuboresha jukwaa letu, Uwe unasoma comment zetu unazfanyia kazi. Kwmfano kn ck nlkuomba kuptia jukwaaa hilhil utupe maarfa juu ya kias gan cha pesa timu znapata zkshriki nbc league!
@francisdavid001
@francisdavid001 18 күн бұрын
Upo vzuri sana Mzee. Ila studio kuna kelele nyingi 😢
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 18 күн бұрын
Shukran sana Kk! Kumetokea matatizo ya kiufundi na ndiyo maana tumeomba radhi. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono...
@abrahamannyonyi
@abrahamannyonyi 20 күн бұрын
Xana
@malietamaliet
@malietamaliet 20 күн бұрын
Aziz ki angekua mcongo walai asingebaki yanga ila anaupendo wa Hali ya juu Mwenyezi Mungu atusaidie huu msimu tufanye vizuri next season kimataifa alivyosema yeye anataka yanga kuisaidia kimataifa then ata wakimuuza tutampa baraka zote popote atakapotaka kutafuta malisho umri unaruhusu
@denimpemba
@denimpemba 19 күн бұрын
Amiiiiiiin Yaa Rabbi ijaalie team yetu ifanye vizuri sana sana sana
@Izzoh2021
@Izzoh2021 20 күн бұрын
Sijawahi kuwa na shaka na uchambuzi wako na ww utabaki kuwa bora kwa uchambuzi wa mpira tz
@user-jm2ul9ph5b
@user-jm2ul9ph5b 20 күн бұрын
Sauti. Haijakaa sawa 😢
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 20 күн бұрын
Lakini ujumbe umefika 😂
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 20 күн бұрын
Mi nashaur tu. Wapinzani wa yanga nbc league msipeleke timu uwanjan.😂 Mtalia machozi ya mauti😂
@RomaniDanielcoster
@RomaniDanielcoster 20 күн бұрын
Ila sijachelewa sana kamanda wangu nisipo kuskiza bado sijaangalia michezo
@user-yn4oi3cz2v
@user-yn4oi3cz2v 20 күн бұрын
The magician mzeee wa data leo sauti haija kaaa powa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 20 күн бұрын
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
@othmanali7408
@othmanali7408 20 күн бұрын
​@@MbwadukeStats👍
@TOLA92
@TOLA92 20 күн бұрын
Mbwaduke nakuelewa sana.. ila leo saut haiko sawa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 20 күн бұрын
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
@yusuphbenjaminkugaiwa7608
@yusuphbenjaminkugaiwa7608 20 күн бұрын
Kaka mkubwa nakukubari sana lkn leo sauti ina mwangwi sana kaka Yusuf Benjamin katoro Geita
@neemadaniel6233
@neemadaniel6233 20 күн бұрын
Mzee wa Data saut haiko poa
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 20 күн бұрын
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
@zakayomoleli
@zakayomoleli 20 күн бұрын
Siku nyingine tafuta Mahali penye utulivu hapo Kuna kelele
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 20 күн бұрын
Tatizo mic... angepata tie mic
@pascalemmanuel2557
@pascalemmanuel2557 20 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@pascalemmanuel2557
@pascalemmanuel2557 20 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@abrahamannyonyi
@abrahamannyonyi 20 күн бұрын
Xana😂
@siphaeldavid206
@siphaeldavid206 20 күн бұрын
Acha kurudia mada hili bando
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@wajanjaforever4822
@wajanjaforever4822 20 күн бұрын
Tumia microphone za kuvaa. Achana na hizi za CCM hoyeee
@sabatoongara8763
@sabatoongara8763 20 күн бұрын
Hahahhaha inamaana za CCM zikoje😊
@gasperelasto8842
@gasperelasto8842 20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂ila watu jmn
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 9 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН