Kwakweli mwakani huu tumesajili sanaaa shida moja kunaupande wapili kuna kazee kamoja hatari sanaaa
@HalimaMaulidi-sv7le6 күн бұрын
Bora utusifia baba mwaduke tungesema ss tungekoma
@MbwadukeStats5 күн бұрын
Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.
@HalimaMaulidi-sv7le6 күн бұрын
Vyura ndio kazi yao kuroga wenzao mungu anawaona
@MbwadukeStats5 күн бұрын
Duuh!
@user-ep3it9qe4j7 күн бұрын
Simba nguvu moja ❤
@mbutolwekasagule4396 күн бұрын
This is Simba brother 😮😮
@ernestmalyosi91877 күн бұрын
Simba nguvu moja
@flova70226 күн бұрын
Kuna mganga amelipwa 100usd huku south Africa ili awaloge Simba s c new players. Wasiperfome
@Cutenaah6 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwikooo💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@PentaseAmylase6 күн бұрын
THIS IS SIMBA BROTHERS & SISTERS. ❤
@JacobGeorge-eg2ww7 күн бұрын
Tukutane Benjamin mkapa maneno yametosha
@AthanasEvaristMahega6 күн бұрын
❤❤❤ nguvu moja
@kassimchammah75496 күн бұрын
Kaka mm nasema tu unajua upewe maua yako bro
@ChandeMuinde-zs6rj6 күн бұрын
Makofi yawafikie wana simba.
@user-wn9bp5cl1j7 күн бұрын
Simba inahatari
@MwajabuZahoro7 күн бұрын
Chama umeiona mbaya yule anaua
@ibrahimkibona67016 күн бұрын
Fanya na uchambuzi wa kocha mpya simba
@HalimaMaulidi-sv7le6 күн бұрын
Cmba wasajili xana tatizo pini jaman daaah
@EzekiaMyila7 күн бұрын
Hawa watu mwaduke usimalize uhondo Watsons wapinzani
@user-ys4zk3hx4f6 күн бұрын
Mbna kama pogba
@drallan68797 күн бұрын
Hi mze WA DATA
@Jafaryamily7 күн бұрын
Waache waendelee na usajili ya wachama sisi kimya kimya
@molove-h9t6 күн бұрын
💯💯💯
@jacobtandila20197 күн бұрын
Namfananisha na pogba
@mwanangusana7 күн бұрын
😂😂😂 kwa kufananisha tuuu mpo vzr ila ngoja tusubiriii mvua inyesheeee ....... Tutapajua lawama zipelekwe wapiiii😂😂😂
@africanbeez36447 күн бұрын
@@mwanangusana gongowaz mkifungwa mara ooh ngao sio kombe 😅😅
@mwanangusana6 күн бұрын
@@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂
@Cutenaah6 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@audaxbizimana80846 күн бұрын
Kule🐸🐸🐸🐸🐸 yupo Loyce 😅😅😅😅
@FahmiHamiss7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@anthonychibilili97587 күн бұрын
Hebu ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja
@mwanangusana7 күн бұрын
😂😂😂 mvua ikinyesha tutaona wapii panavuja ? Na wapi waelekeze lawama zao 1.kwa kocha 2.wachezaji 3.uongozi 4. Mdhamini au mfadhili 5. Au aondoke nazo Mangungu 😅😅😅😅
@anthonychibilili97587 күн бұрын
@@mwanangusana kabisa maana..
@Jastus1006 күн бұрын
ILA HAKUNA MCHEZAJI YOYOTE UMEWAHI KUMPONDA WOTE HUWA UNASIFIA
@MbwadukeStats5 күн бұрын
Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...
@Cutenaah6 күн бұрын
Debora ni jina lakike😂😂😂😂💚💚💛💛
@stephenmakula99716 күн бұрын
Anatamkwa "Debra"
@Cutenaah6 күн бұрын
@@stephenmakula9971 staki ni Debora usinilazimishe
Chama pia mlikejeli jina lakini leo amechoka memchuku kwahiy. mafisi fc tulien tumtumie mmalizie mizoga
@richardmagasa49006 күн бұрын
@@rashidgogo5558 kama mlichukuaga Niyonzima baada ya kutumika sana na Yanga so hyo ni kawaida kabisa hata nyie ni mafisi tu
@AmaniKasekwa-uw8hp6 күн бұрын
Simba nguvu moja
@FahmiHamiss7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@mwanangusana7 күн бұрын
😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂
@FahmiHamiss7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@mwanangusana7 күн бұрын
Kaka mtatamba Sana pande izo kabla ligi kuanzaaa .... Ila ligi ikianzaaaaa pande hiz hamuwez kutambaaa 😂😂😂😂