MBWADUKE: DUH! SIMBA HII YA DEBORAH BALAA/ MWAMBA NI MTAMBO HALISI WA KUPIKA MABAO/ OKEJEPHA...

  Рет қаралды 31,036

Mbwaduke Stats

Mbwaduke Stats

9 күн бұрын

Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like....

Пікірлер: 59
@shukurumgaya5950
@shukurumgaya5950 7 күн бұрын
Nakuelewa kaka like wekundu
@hassanhatibu5412
@hassanhatibu5412 7 күн бұрын
Mungu ibariiki Simba yetu tuko pamoja
@AmiryHamza-gs8pp
@AmiryHamza-gs8pp 7 күн бұрын
Aisee wapinzani wajipange simba nguvu moja❤
@shabanimzalla7108
@shabanimzalla7108 7 күн бұрын
Simba sc nguvu Moja 🇹🇿❤❤
@user-yg9xn1cx5q
@user-yg9xn1cx5q 7 күн бұрын
Mungu bariki Simba yetu
@PauloPareso
@PauloPareso 7 күн бұрын
Kaka hongara sana uko vizuri ❤❤
@sangaelly8548
@sangaelly8548 Күн бұрын
Kwakweli mwakani huu tumesajili sanaaa shida moja kunaupande wapili kuna kazee kamoja hatari sanaaa
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 6 күн бұрын
Bora utusifia baba mwaduke tungesema ss tungekoma
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 5 күн бұрын
Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 6 күн бұрын
Vyura ndio kazi yao kuroga wenzao mungu anawaona
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 5 күн бұрын
Duuh!
@user-ep3it9qe4j
@user-ep3it9qe4j 7 күн бұрын
Simba nguvu moja ❤
@mbutolwekasagule439
@mbutolwekasagule439 6 күн бұрын
This is Simba brother 😮😮
@ernestmalyosi9187
@ernestmalyosi9187 7 күн бұрын
Simba nguvu moja
@flova7022
@flova7022 6 күн бұрын
Kuna mganga amelipwa 100usd huku south Africa ili awaloge Simba s c new players. Wasiperfome
@Cutenaah
@Cutenaah 6 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwikooo💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@PentaseAmylase
@PentaseAmylase 6 күн бұрын
THIS IS SIMBA BROTHERS & SISTERS. ❤
@JacobGeorge-eg2ww
@JacobGeorge-eg2ww 7 күн бұрын
Tukutane Benjamin mkapa maneno yametosha
@AthanasEvaristMahega
@AthanasEvaristMahega 6 күн бұрын
❤❤❤ nguvu moja
@kassimchammah7549
@kassimchammah7549 6 күн бұрын
Kaka mm nasema tu unajua upewe maua yako bro
@ChandeMuinde-zs6rj
@ChandeMuinde-zs6rj 6 күн бұрын
Makofi yawafikie wana simba.
@user-wn9bp5cl1j
@user-wn9bp5cl1j 7 күн бұрын
Simba inahatari
@MwajabuZahoro
@MwajabuZahoro 7 күн бұрын
Chama umeiona mbaya yule anaua
@ibrahimkibona6701
@ibrahimkibona6701 6 күн бұрын
Fanya na uchambuzi wa kocha mpya simba
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 6 күн бұрын
Cmba wasajili xana tatizo pini jaman daaah
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 7 күн бұрын
Hawa watu mwaduke usimalize uhondo Watsons wapinzani
@user-ys4zk3hx4f
@user-ys4zk3hx4f 6 күн бұрын
Mbna kama pogba
@drallan6879
@drallan6879 7 күн бұрын
Hi mze WA DATA
@Jafaryamily
@Jafaryamily 7 күн бұрын
Waache waendelee na usajili ya wachama sisi kimya kimya
@molove-h9t
@molove-h9t 6 күн бұрын
💯💯💯
@jacobtandila2019
@jacobtandila2019 7 күн бұрын
Namfananisha na pogba
@mwanangusana
@mwanangusana 7 күн бұрын
😂😂😂 kwa kufananisha tuuu mpo vzr ila ngoja tusubiriii mvua inyesheeee ....... Tutapajua lawama zipelekwe wapiiii😂😂😂
@africanbeez3644
@africanbeez3644 7 күн бұрын
@@mwanangusana gongowaz mkifungwa mara ooh ngao sio kombe 😅😅
@mwanangusana
@mwanangusana 6 күн бұрын
@@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂
@Cutenaah
@Cutenaah 6 күн бұрын
💚💚💚💛💛💛
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 6 күн бұрын
Kule🐸🐸🐸🐸🐸 yupo Loyce 😅😅😅😅
@FahmiHamiss
@FahmiHamiss 7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@anthonychibilili9758
@anthonychibilili9758 7 күн бұрын
Hebu ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja
@mwanangusana
@mwanangusana 7 күн бұрын
😂😂😂 mvua ikinyesha tutaona wapii panavuja ? Na wapi waelekeze lawama zao 1.kwa kocha 2.wachezaji 3.uongozi 4. Mdhamini au mfadhili 5. Au aondoke nazo Mangungu 😅😅😅😅
@anthonychibilili9758
@anthonychibilili9758 7 күн бұрын
@@mwanangusana kabisa maana..
@Jastus100
@Jastus100 6 күн бұрын
ILA HAKUNA MCHEZAJI YOYOTE UMEWAHI KUMPONDA WOTE HUWA UNASIFIA
@MbwadukeStats
@MbwadukeStats 5 күн бұрын
Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...
@Cutenaah
@Cutenaah 6 күн бұрын
Debora ni jina lakike😂😂😂😂💚💚💛💛
@stephenmakula9971
@stephenmakula9971 6 күн бұрын
Anatamkwa "Debra"
@Cutenaah
@Cutenaah 6 күн бұрын
@@stephenmakula9971 staki ni Debora usinilazimishe
@enroutetz
@enroutetz 6 күн бұрын
​@@Cutenaahna Joyce lomalisa alikua wa kike?
@Cutenaah
@Cutenaah 6 күн бұрын
@@enroutetz yule tumemfukuza hatutaki majina yakike
@richardmagasa4900
@richardmagasa4900 7 күн бұрын
Kumbe ni dada Debora😂😂😂
@poulynegray7899
@poulynegray7899 7 күн бұрын
Hakuna shida wenzetu mna dada Joyce
@rashidgogo5558
@rashidgogo5558 6 күн бұрын
Chama pia mlikejeli jina lakini leo amechoka memchuku kwahiy. mafisi fc tulien tumtumie mmalizie mizoga
@richardmagasa4900
@richardmagasa4900 6 күн бұрын
@@rashidgogo5558 kama mlichukuaga Niyonzima baada ya kutumika sana na Yanga so hyo ni kawaida kabisa hata nyie ni mafisi tu
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 6 күн бұрын
Simba nguvu moja
@FahmiHamiss
@FahmiHamiss 7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@mwanangusana
@mwanangusana 7 күн бұрын
😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂
@FahmiHamiss
@FahmiHamiss 7 күн бұрын
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
@mwanangusana
@mwanangusana 7 күн бұрын
Kaka mtatamba Sana pande izo kabla ligi kuanzaaa .... Ila ligi ikianzaaaaa pande hiz hamuwez kutambaaa 😂😂😂😂
@user-xq8pq2ey6t
@user-xq8pq2ey6t 7 күн бұрын
​@@mwanangusana🤫🤫🤫
@taseleli9181
@taseleli9181 7 күн бұрын
​@@mwanangusanaWewe wasema
@mwanangusana
@mwanangusana 7 күн бұрын
@@taseleli9181 we unaonaje kaka ....??
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 53 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 54 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 94 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 54 МЛН
DEBORA MAVAMBO SKILLS AND GOALS DEAL DONE SIMBA 2024-2025
9:53
Klik Hapa TV
Рет қаралды 17 М.
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 53 МЛН