Mbwela uko vzr mola akuzidishie 🎉🎉🎉❤ natizama nkiwa Saudi Arabia
@FelistarMagige2 ай бұрын
Kweli mwisho wa ubaya aibu kazi nzuri sana mbwela😂😂❤❤❤❤❤
@JanetRiziki-ut2is6 ай бұрын
Waah nimejifunza kitu kaka mbwela big up sana broo ❤❤❤❤
@rehema-lg5cl9 ай бұрын
Nakupa hongera mbwela kabla sijamaliza kuangalia mna move zako ni ndefu vizuri halafu za mafunzo
@dinabilemanga17039 ай бұрын
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉 mungu akusahidie ufike malengo yako kaka mbwela ❤❤
@GervaisbituAkili9 ай бұрын
Ongeza bidi kaka
@fatumakushonda42778 ай бұрын
Kwa kweli mbwela uko sawa bwana🎉❤
@nadzuamrema58379 ай бұрын
Bwelaa umefanya mpka nimetamani Embe akii😋😋
@MariamuMolleliАй бұрын
Mbwela movie zako nzuri sana mimi ninafatilia sana nazipenda kiukwelli
@officialbhaddierozalia49454 ай бұрын
Nice movie ❤❤
@MaryamKjor3Ай бұрын
Aaaaa!!mbwela njoo ufumanie 🎉nakukubal sn
@Katuni8629 ай бұрын
Sauti inakera sana iwekeni ya chini isizidi sauti y mazungumzo
@margaretnamubi45658 ай бұрын
😢😢😢😢nice movie..msaliti jina mzuri ya hii movie
@Pclaver129 ай бұрын
Kali sana
@WardaKhalid-f2n9 ай бұрын
I love your work,keep it up mbwela👍
@Pili-n3l7 ай бұрын
Kwn kijijin pia watu wanaitana baby👌
@realrzzocmg4858 ай бұрын
Kaka mbwela unatumia akili nyingi sana movie zako mjingaa awezi kukuelewa❤❤❤
@mwalisuleih11647 ай бұрын
❤❤❤Nkxel kbxa ak mm namuelewa xan uyu kaka Masha'Allah mafunzo mazuri xan mbwela endlea kutufunza kaka
@paustephano9 ай бұрын
N nzuri hongera Sana kaka mbwela, Ila ushauri wangu punguza muziki hasa wakat mnaongea
@MariamAlly-j2g9 ай бұрын
Kazi nzuri ila mziki upo juu kuliko maongezi
@MakaiLukumayi9 ай бұрын
😅😅😅😅apo powa muache uyo tafuta akupendae
@halemasuliman-js8ug9 ай бұрын
Kaka mbwela uko vizuri
@thamratysuleiman30539 ай бұрын
Mimi kilio changu kwa waigizaji ,wanatukela na miziki kwenye cinema zao
@aximenterjuma3 күн бұрын
bwela kakangu mungu akubariki siku zotee
@JoyceWaweru-ng9hk5 ай бұрын
Usaliti unauma sana😢😢, hongera kwa mafundisho
@ESTERMREMA-v2q9 ай бұрын
Ya moto sana 👊
@nurusaid46989 ай бұрын
Tem Bwela Tuko Bega Kwa Bega Na Wwe Love From Qatar❤❤❤❤❤❤
@mudygii40029 ай бұрын
Mbela anajuwa sana
@Professor.Irene959 ай бұрын
Kazi nzuli bwela ❤❤❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉 jaman mie nampendaga jamani ❤❤❤ aitaki tuingiliane nshamwai
@RizikiZiki9 ай бұрын
Haya twakuaciya usigombe😂😂😂😂😂
@mariamchuu27043 ай бұрын
❤❤❤ mbwela umetisha sana
@mariamchuu27043 ай бұрын
Mbwela ❤
@kachalemielias36839 ай бұрын
Safi sana mbwela mambo ya kulazimisha sio mazuri
@HalimaOmar-n8t9 ай бұрын
Kama unaona mbwela ana tufatiji kwa movie zake..tujuane😊
@mwalisuleih11647 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤Xan tuu ak
@Kuyu-f2k9 ай бұрын
Kaz saf n uwa nkupendea roho saf n mawazo saf sn,,, Allah akuongoze ktk kaz zko zjayo inshallah
@MwanaidiZawadi9 ай бұрын
Kaz nzur
@zenakioga65679 ай бұрын
Mbwela ana plani B ambayo wanaume wengi hawana dàah hongera sana kaka ni zaidi ya mwànaume sahihi
@TuyishimeMakounmussa9 ай бұрын
Big up sana Mbwela
@mwanakheri-c5u9 ай бұрын
Dah shida kweli
@Mastine-r9b3 ай бұрын
Wanawake mashetani anapopambana mbwela
@mwalisuleih11647 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤Much love to you mbwela 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Masha'Allah yan apo mwisho mwisho ndo patamu zaid ak unanifunza xan kaka asante xan ❤❤❤❤❤ napenda movie zako yan zinauhalisia wa maisha laeima tue na msimamo kwnye mapenzi hongera xan mbwela
@Ummykassimtz9 ай бұрын
Yan mie ni shabiki wa mbwela lakini hajawai nipa ata like 😢😢
@Professor.Irene959 ай бұрын
Like Yanni bwana mie nataka anioe😅😅😅😅 nanimemwai sitaki tuingiliane 😂😂😂❤❤❤
@Ummykassimtz9 ай бұрын
@@Professor.Irene95 🤣🤣🤣 oyi mbwela ukuje bas harusi tunayo mbona
@mamakenajma32579 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂@@Professor.Irene95
@RizikiZiki9 ай бұрын
Jamani nyiye😂😂😂😂😂
@Ummykassimtz9 ай бұрын
@@RizikiZiki mie ndie na shika pesa ya mchango ya mwanangu mbwela oyi bibi harusi mwanangu mbwela kama muhindi mahari una lila wewe imeisha iyo
@haythamkhamis-d4p9 ай бұрын
Honger san nataman sku moj nifny kaz na wew
@BukuruAlexander7 ай бұрын
Mbwela bwana nimuingizaji mzuli sana nanaweza sana
@AminaAthman-g7n9 ай бұрын
Brother Mbwela Masha Allah I always love your movies
@Awoshy9 ай бұрын
Nzuri 🙌👏👏😍😍
@EmmyNadia-r5x15 күн бұрын
Kuna kitu nimejifunza kaka god bless u❤
@bramwelmunialo50759 ай бұрын
Good work🎉🎉🎉
@marrialmary35109 ай бұрын
Jaman uyu kaka ako na sauti nzuri❤
@mbwelamedia34699 ай бұрын
Kaka yup? Huyo
@marrialmary35109 ай бұрын
@@mbwelamedia3469 mbwela
@abubakarndegwa48359 ай бұрын
Good work mbwela...
@افلينافلين-ي9ك9 ай бұрын
Kazi nzuri sana bwela duhh
@BintmohamedNasiri9 ай бұрын
Movie nzuri sana yenye mafunzo ❤ila weeeh nimechukua masaa 2 kuiyangalia sijui nyie wenzangu 😂😂😂😂
@RizikiZiki9 ай бұрын
😂😂😂😂nishida hadi uvivu ju niubora aigawe marambili kama Donta TV wanavyofanya ndo powa
@koperawasona95519 ай бұрын
Wamaume wote duniani wanaakili yaziada joomana Mungu akasema tuumbe mtu kwa mfano wetu mwana mke sio mtu kwamfano wa Mungu mwanamke ni binadamu ametoka mbavuni mwamwanaume awezi kuwa naujaja kuzidi mfano wa Mungu
@GravitTaboi9 ай бұрын
Kazi safi kaka Mbwela ila tu hujai like my comments sijui shida wapi ila mm penda ww sana❤❤❤❤❤
@mbwelamedia34699 ай бұрын
Duh mbn mm Nalike comments zote kila movie nikiachia Na wakat mwengne najibu comment. Ndg yng
@MariamMariam-h8h7 ай бұрын
Jamani wenye wakiona moves za mbwela hawaezi pita bila kuangalia kama mm weka commenty yko hapa❤pamoja likes
@GHgh-hq3zj9 ай бұрын
Safi sana kbs ❤❤❤❤
@arafaramadan62349 ай бұрын
My Man miss you and good Job 😢 love you mbwela
@nelsonandanyiАй бұрын
Still reading your comments..... meanwhile Mbwela still one of the living legends.... 🇰🇪 🇰🇪
@ramadhaniselemani73689 ай бұрын
Like
@zeinabuAchiengOkara9 ай бұрын
❤❤❤❤
@ashamwanganzi64009 ай бұрын
Big kaka much love wallah❤❤
@HidayaMbopa9 ай бұрын
Kaka ommy unaupiga mwingi🎉🎉🎉
@RizikiZiki9 ай бұрын
Subhanalah we dada unamuciti mmeo alafu unamuombea nakifo juu😢iyo nizaidi ya unyama kama humpendi siubora umuace tu pakumuombea kifo🤭
@ZulfaJuma-z6sАй бұрын
Kazi nzur brother
@FatumaJumanne-p4d9 ай бұрын
Yaan cjamalza kuangalia lakn nahc huo wema ndio fimbo yako 😢
@bilalmubarak84149 ай бұрын
Nakukubali Sana mbwela
@badmanmo58569 ай бұрын
Nimekuwa wa 8 ila so mbaya nipe like 1 tu
@AmenaMm-r5t9 ай бұрын
Saf san kk mbwela mung akubarik
@Jton-u1h29 күн бұрын
Mwela mwamba kabisa🎉🎉🎉🎉
@RoseOenga4 ай бұрын
Never give up,i love you always big kaka ❤❤
@SaidyMkambala2 ай бұрын
bwela fundi sana🎉🎉🎉🎉🎉
@Shakila-pq2gv9 ай бұрын
Kazi nzur kaka
@femidayahaya48829 ай бұрын
KAKA MBWELA KARIBIA MESSAGE ZOTE...ZOTE NI SIFA JUU YAKO...HII YOTE NI JINSI MUNGU ANAVYOKUPENDA NA KUKUOA MAARIFA..KATIKA KAZI ZAKO. KIPAJI CHAKO KAKA KIWEKE MIKONONI MWA MUNGU ILI AKUWEKE JUU ZAIDI YA KILELE. BIG UP BROTHER.
@Zeldaommy9 ай бұрын
Mwanamke mnafiki ww sijui watu wa you tube wanaruhusu kucomment mara ngapi kwasababu mm najihisi kucomment tu leo😂😂😂😂😂
@MarthaMartha-tz6rl6 ай бұрын
Mbwela sai nsipo angalia movie zake sijihisi kamili uko sawa
@HassanMkina8 ай бұрын
Ila mbwela unajua kutunga muvis we jamaa unajua mpaka unajua tena ila cjui Sasa apa umejitoa kwa madebe
@rehema-lg5cl9 ай бұрын
Ila mbwela wakati wa mazungumzo zima mziki plz move tamu
@domysulley18876 ай бұрын
Big up kaka mbwela
@fiakizi8 ай бұрын
Uyo mdada alokuw anachota maji saut yake kama ya Riyama