Mchungaji NIKODEM MWAHANGILA .atoboa Siri ya mitume na manabii feki wanakotoa mafuta ya upako.na maji ya upako.mashaliti wanayo pewa KUZINI na mabinti mabikra na wake zawatu.faturia ushuhuda huu mpaka misho kalibu 0756273049
Пікірлер: 121
@sweetbertnswima53522 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu Baba Jehova akutunze na akulinde katika la Yesu.🎌🎌🎌🎌
@susanwanyoni2492 жыл бұрын
Amen and Amen Mtumishi wa Mungu aki tumepotea kabisa from Kenya
@daisyakhini93312 жыл бұрын
Barikiwa sana, ahsante aki dunia watu wanakimbilia miujiza, waaah mimi mingu wa binguni ndo naamini
@ruciasimeo44312 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi uliyejitoa muhanga kuisema kweli, utalipwa usipoimia roho,utawaponya wengi
@neemaedward66272 жыл бұрын
Amina mtumishi nimelewa vizuri sana Mungu akuinuwe kwa viwango vya juuu
@dorislinus82962 жыл бұрын
Barikiwa San mtumishi w mungu kw injili yko
@christianmlelwa23513 жыл бұрын
Pastor maswali ,hivi Kuna wengine Wana taja jina la yesu nawana kuwa na maji na mafuta hapo Ina kuwaje naomba ufafanuzi vizuri hapo
@alexjos76252 жыл бұрын
Imeandikwa watataja jina la Yesu ila si wa yesu..angalia matendo yao
@LinahMwakamsale4 ай бұрын
Nakukubali san mchungaji wangu jamn
@LazaroDamiano Жыл бұрын
Miujiza ni kwa ajili ya wasioamini, ndy mahali watu wamepotea, mtumishi wa Mungu
@fanicejotham94312 жыл бұрын
Umenifunza kitu mtumishi wa Mungu.Hayo mafuta ni Olive oil ama?
@PamboCharo6 ай бұрын
😢😢😢Mungu akubariki na akulinde na akutunze wafutwe kazi katika jina la yesu wasitoe kafara
@ZacharyYohanaАй бұрын
Mungu akubariki baba
@ephraimndelwa40732 жыл бұрын
Kwa maelezo unayotoa kuna watumishi nawahis kama ndo unaowalenga lkn mbona wanatumia jina la Yesu!?
@srdorcaskulimushi31952 жыл бұрын
Sikila aniitao bwana bwana wote ni wana wangu wengi uvaa ngozi za kondo kumbe mbwamwitu
@Esthermordecai24 күн бұрын
Wanataka jina la Yesu mwingine wa muigo sio ule Yesu Kristo mwana wa Mungu.😢
@Esthermordecai24 күн бұрын
Yesu wanayemtaja sio Yesu Kristo,Bali ni Yesu asiye wa kweli.
@jackkerubo61582 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji Mungu wa amani akuongezee
@jacoblongo12442 жыл бұрын
Sahihi mtumishi wa yesu kristo ubarikiwe 🤝🤝🤝🤝 wazizi hawa jamaa balaa
@AidaRaphaelАй бұрын
Kuna mtume mmoja kila anapoenda kwenye mkoa lazima ajali itokee kwenye mkoa huo?? Sasa ndio nini,,??
@AidaRaphaelАй бұрын
❤❤ barikiwa mtumishi
@LinahMwakamsale4 ай бұрын
Nakupenda bule mchungaji
@jeanettegloria62444 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@joycembosa2102 жыл бұрын
Mch mungu akubariki naomba namba zako niongee nawewe ninashida.
@matridawilium99452 жыл бұрын
Mungu akubariki wakupingao ni mashetani
@LinahMwakamsale4 ай бұрын
Nakukubali san mchungaji wangu jamn 1:29 1:31
@neemajames53682 жыл бұрын
Amina sana naomba Mungu anitokee
@jenniferpita68852 жыл бұрын
Amina mungu akulinde
@Neema1824 жыл бұрын
Mtumishi page yako Facebook inaitwaje?
@euniceenike22402 жыл бұрын
Daddy twaomba number yako ya whatsap wengine tuko mataifa ya nje na ni expensive Sana kukupigia direct
@ngangadk2 жыл бұрын
Mtumishi mungu akulinde katika jina la Yesu
@zainaelia17463 жыл бұрын
Ubarikiwe mwanawitu nakupenda 🥰 bure kaka
@myself41282 жыл бұрын
Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani
@jesusfirstchurch41622 жыл бұрын
Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.
@maureenadega10652 жыл бұрын
Ubarikiwe pst 🙏🙏
@ngangadk2 жыл бұрын
Mtumishi mungu akulinde
@philimanmbowe62264 жыл бұрын
Mchungaji napenda kuwa na namba yako maana watu wametutesa sana na kutuonea
@elizabethbentil31002 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU .
@yasminebukhebi79072 жыл бұрын
Amen Asante sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏
@subilamwakalobo4332 жыл бұрын
Ubarikiwe
@srdorcaskulimushi31952 жыл бұрын
Hewe aduwi wa shetani hacha mungu akulinde
@mathildaapiyo36842 жыл бұрын
Asanti sana mutumishi wa mungu watu wengi tumeumia
@makimbiliotemplembeya89724 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumish
@Ursain.IKE.jesuis93652 жыл бұрын
Mungu wa Bwana wetu yesu asifiwe Baba na taka namb ya ya kwako whatsapp
@AIDANIKAHIMBI-ql6tn9 ай бұрын
Amen mtumishi
@upendopeter53582 жыл бұрын
Tumekusikia pastor ila hilo jina ulilojiita osama.lifute.jiite tu mchungaji linajitosheleza sana.
@uchaguzipiusbusurwa35842 жыл бұрын
Naomba namba yako paster ..
@graceriziki73394 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@ngangadk2 жыл бұрын
Mungu akulinde
@domisianpius2144 жыл бұрын
Ubarikiwe kamanda
@annehaysanday92142 жыл бұрын
Na haya watu wanayochota kwenye ndoo na wengine wanatumia mafuta ya kula je hayo pia yanawekewa nguvu nyingine
@ev.eng.enockl.mwakapalila24994 жыл бұрын
Ameni sana baba kwa kazi njema hii
@sixteenonline98114 жыл бұрын
Safi sana baba
@joshuaadam29982 жыл бұрын
Amina mtumishi wamungu
@neemamfusi44462 жыл бұрын
MUNGU akubariki na azidi kukutumia zaidi
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Yaani MUNGU AZIDI KUKULINDA mtu wa MUNGU na songa mbele na YESU akupiganie zaidi
@naomikatharinaandrewmnkai67602 жыл бұрын
Naomba namba yako Mtumishi
@EstraEmily5 ай бұрын
Amina baba
@sixteenonline98114 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@mosesmussa20962 жыл бұрын
Hubiri Ufalme Mungu Akuinue Siyo Kusema Watu Wengine Ukadhani Ndo Utakuwa Na Kanisan Kubwa Hapana
@gracemahugi438011 ай бұрын
Hata mimi sijapenda kabisa yeye ahubili wito wake alioitiwa acha kusema watumishi baba siyo hicho ulichoitiwa
@gracemahugi438011 ай бұрын
Kila mtumishi anaitwa kwa namna yake
@mosesmussa209611 ай бұрын
@@gracemahugi4380 Umeona Eh
@huldavalence78239 ай бұрын
Kanisa analo kubwa sana ko hatafuti kuwa na kanisa kubwa anaongea ukweli na watu siku zote hatupendi ukweli
@mosesmussa20969 ай бұрын
@@huldavalence7823 Unaijua Habari njema ya Kristo?
@carolinenakirutimana15592 жыл бұрын
Sasa askofu Sumbe na gwajima mbona wana waumini wengi nawo ni wa nabi feke?
@emmiKalagho4 ай бұрын
Gwajima hauzi Majii Wala matakataka yote hayo
@claretkinembwe34522 жыл бұрын
Ameni mchungaji nakufatilia
@edithanchimbi27542 жыл бұрын
Mungu akubariki saaanaaa baba
@gib38882 жыл бұрын
apostle pray 4me plz 🙏
@JoyceNchama Жыл бұрын
Baba bwana yesu asifiwe Baba samahan naomba unisaidie kwamaombi kwani napitiya magumu
@gabbymwamulima3452 жыл бұрын
Nimejiunga kwako mchungaji mwahangila,Niko Lusaka zambia.nisaidie mtumishi mbona nafanya kazi Ila vitu haviendi kwenye familia yangu.
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Kalibu
@talpacompany83585 ай бұрын
@@nikodemmwahangila3334here,naitwa much.kabasa ni mwagalizi section ya mbogwe naomba n.mtumishi
@Isackmagudzi4 жыл бұрын
AMINA,,,,,,,,"ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU"
@sponsoredbygrace68322 жыл бұрын
I HAVE SUSCRIBED THIS IS BITTER TRUTH OOH!!
@peterpaul-mq5qn Жыл бұрын
Mwenye masikio amesikia japo kizazi cha leo hakisikii wala kushituka
@elizabethbentil31002 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN
@anitababyderickwasike78722 жыл бұрын
niukweli mutumishi haya mambo yapo na pia yanatendeka watu wa Mungu hawaoni hawasikii hawafikirii
@sixteenonline98114 жыл бұрын
Sema baba sema tunapona
@isakayolam4 жыл бұрын
ubalikiwe mtumishi wa mungu
@venancemwakibete98302 жыл бұрын
Hiyo ndiyo injili inayotakiwa kwa sasa
@MarryJoseph-s5x Жыл бұрын
Amina
@gib38882 жыл бұрын
amen amen 🙏
@anthonyzambi44154 жыл бұрын
Barikiwa
@Neema1824 жыл бұрын
Kweli kabisa
@gib38882 жыл бұрын
Wooooiiii mungu wangu
@NEEMAMAEDA-u1m5 ай бұрын
Haleluya
@janeatiang48832 жыл бұрын
Nitakupata wapi mtumishi nimependa sana mafundisho niko na kanisa imani yako dio yako natoka sirare Kenya
@huldavalence78239 ай бұрын
Yupo Tanzania jijini Mbeya airport ya zamani
@esnartkayuni558 Жыл бұрын
Amen and amen
@ngangadk2 жыл бұрын
Tutebelee hapa Kenya
@geitandelwa2992 жыл бұрын
We usiende huko kwenye mafuta utaenda jehanamu
@MariamuJoseph-z2j Жыл бұрын
Ameni
@Shalom20182 жыл бұрын
Amen
@gib38882 жыл бұрын
AMEN
@ajohj.mwanjala89134 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili Maana maandiko yako bayana kwamba WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE
@josephinepetet1223 жыл бұрын
Mungu akutunze baba
@vj83132 жыл бұрын
🔥🙏🙏
@janeatiang48832 жыл бұрын
Asifiwe yesu mtumishi nime pendeswa sana na ujumbe wako mtumishi imani yako dio yako nita kupata wapi Niko na kanisa natoka sirare Kenya
@waytvtz25492 жыл бұрын
Uongo utakuja kukugharimu hapo tu umechonga pembe za ndefu na pembeni kwa kichwa biblia ilishakataza
@huldavalence78239 ай бұрын
Hajaongea uongo wowote anachokiongea ni ukweli tu
@jumakalinga24962 жыл бұрын
Kwelikabisa
@roseu7282 жыл бұрын
Amen and Amen 🙏🙏
@ruciasimeo44312 жыл бұрын
Mungu akubariki saana kwa kusema kweli
@ruciasimeo44312 жыл бұрын
Mungu akutunze uendelehe kuwalipua wakina Mwamposa na wengine wengi