Usiache kuSubscribe na kuweka Notification on ili uwe wa kwanza kupata update za makala
Пікірлер: 139
@mohdkhatib2237 ай бұрын
Huyu jamaa mpira ameutia rangi na nakshi uzidi kupendeza, pia amefanya vitu vigumu vionekane ni rahisi na inawezekana.
@Chezalive7 ай бұрын
Fundi Mmoja wa boli
@gwakisamwakambulwe24917 ай бұрын
Watu wengi sana wameiga skills kutoka kwake........he is the true living legend
@Chezalive7 ай бұрын
For sure. Jamaa ni inspiration kwa kizazi hiki
@ezekielkandonga92387 ай бұрын
Alikwisha wai sema nayeye kuwa Role model wake ni JJ Okocha,Sema Mzungu anathamini sana kilicho chake
@khalidhashim60827 ай бұрын
@@ezekielkandonga9238 maradona ndiyo role model wake
@shawaynejaphary99263 ай бұрын
Hakuna Mchezaj Kama Dinho Na Hatotokea... He's One In A Lifetime
@user-ig7yt7bx4l7 ай бұрын
ronaldinho is a legend in footbal no one like him
@Chezalive7 ай бұрын
Sure bro
@giant_7014 ай бұрын
He is a very good player I have ever seen in this world
@shalifmbalale86 ай бұрын
Kuna mwalimu mkuu,Dokta mkuu,mwanajeshi mkuu,n.k. Bas Ronaldinho ndio mchezaji mkuu kwenye hii dunia🙌🔥
@David-if6nk12 күн бұрын
Unaongea utumbo ndizi, Ronaldinho alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana na hakuwa na uwezo wa kuibeba timu, ni machachari tu kama Wilfred Zaha.
@oliverngualo40287 ай бұрын
Kizazi cha GAUCHO tumeenjoy sana 😅😅😅😅
@Chezalive7 ай бұрын
Sana kumuangalia tu ilikuwa burudani
@rameckrichard75347 ай бұрын
Mpaka najuta kwa nn sikufanikiwa kumuona
@CotteBravo-mm5tp7 ай бұрын
Kizazi cha messi tumeinjoy sana
@Chezalive7 ай бұрын
Tafuta clip kama Hizi uangalie, hata wazee wetu hawakumuona Pele ila stori zake wanazo😅
@shinipapaya8465 ай бұрын
@@CotteBravo-mm5tphamna kitu hapo ndugu yangu zaidi ya kubebwa na wazungu wezie hasa FIFA ndio waliompa kombe la Dunia kwa kufosi maana ingekuwa aibu isio semekana 🏃 🤣🤣🤣 kacheza mara tano kombe la Dunia wakali wote Duniani wameshinda ndani ya mwaka mmoja au miwili 😆😆🤣🤣
@David-if6nk12 күн бұрын
Hahahahaa, hakika wabongo aliyewaroga kafa, hivi Ronaldinho alikuwa na ubora gani hadi kila kona mnampa sifa ambazo hazistahili, au wengi wenu mnalishwa matango pori kwenye vilabu vya gongo na kuangalia viclip vilivyochambuliwa KZbin ndo mnamuona bora😂, Ronaldinho alikuwa tu machachari kama akina Wilfred Zaha ila hakuwa hatari.
@etienneabibu39796 ай бұрын
Tokea Dunia iiumbwe hakujawahi kuwa na mchezaji mkuu kama Gauch Ronaldinho nampenda sana jamaa huo. Aa h jamani
@Chezalive6 ай бұрын
Jamaa noma sana
@LugwishaMawede20 күн бұрын
I have ever seen a player like him
@danndhaya87966 ай бұрын
what a narration, i love
@Chezalive6 ай бұрын
Thanks 🙏
@allyndasiwa31813 күн бұрын
Huyu Bwana ck atakapotokea mpinzani wake Dunia ituambie ni nani huyo cjui kama atatokea
@GalaxyStar-ix6iy5 ай бұрын
Kama Dunia ingempata mchezaji Kama huyu B's angekuwa wa kwanza mpaka sasa
@nathanielneshiez257026 күн бұрын
9:01 9:05 if he had scored, this would have been the most iconic goal in football history.
@GodeliGogo2217 ай бұрын
Gooo 1
@Chezalive7 ай бұрын
😅
@benancejohn11987 ай бұрын
Mwamba kabisa 🙌🔥⚽🙌
@Chezalive7 ай бұрын
Fundi wa boli
@janenjenga56396 ай бұрын
He was a great player
@Chezalive6 ай бұрын
Sure
@ELIBARIKIJULIUS-qx7jj4 ай бұрын
Ata mm sijaona muchesaji kama mucha iyo ronadinho😅
@SaidHassan-pv6kfАй бұрын
Maisha yote hatotokea Tena katika huu ulimwengu kama huyo jamaa
@user-ug8jq1op6g6 ай бұрын
My world soccer legend
@stephenmwangi61456 ай бұрын
The only wizard when football is concerned in this planet earth ever
@Chezalive6 ай бұрын
Sure 🔥
@nassirali83426 ай бұрын
The ONLY ONE .NO ONE WILL NEVER PLAY LIKE GAUCHO
@LinosJohn-dp9xiАй бұрын
Alikuwa noma saanaaa hakuna kama yeye😂
@user-wk1de2se5z3 ай бұрын
Nice wangu
@johnmwakasege4581Ай бұрын
Wa Brazil 🇧🇷 wapo vizuri kwenye chenga
@AbuubakarJuma-se9cp7 ай бұрын
Hakun aliyewah kucheza mpira km mt huyu🎉🎉🎉🎉
@Chezalive7 ай бұрын
Sio poa mzee
@jumahalifa643626 күн бұрын
Mlete na historia ya JJ okocha
@FaustineMichael-hy8li20 күн бұрын
Bado sijaona wa kumfikia gaucho
@user-yn4mw3du3i3 ай бұрын
Samahani broo sikubahatika kumuona, mwamba kwangu ni mbappe
@chiefmajai93456 күн бұрын
Huyu mwamba wa karine
@Arqammedia9312 ай бұрын
Kwa kweli ni mchawe😂😂
@leonardlunguya71124 ай бұрын
Ilikuwa Raha sana kuinjoi kumwangalia Dinho
@AllyNdosaАй бұрын
Sjui kama atakuja kutokea kama uyu jamaa
@manaseliberatus13472 ай бұрын
MARADONA
@LovelyForestHills-qe8pe3 ай бұрын
Mimi mbakaleo huanatakia Manisha mema hakuanakiyongo katika Maisha yake.
@user-df8bv2fq5p7 ай бұрын
hakuna rika la huyu mwamba duniani kwa kusakata soka
@Chezalive7 ай бұрын
Mwamba anajua
@user-wy9dx5go4t6 ай бұрын
Huyo mamba akumbukwe daima
@Chezalive6 ай бұрын
Anajua
@Mohamedibakiri4 ай бұрын
Mwanafunzi wa jay jay okocha kakopi kavinogesha ila okocha fundi mno
@clementkivegalo26045 ай бұрын
Hakuna kama Gaucho!
@amirimohammed28757 ай бұрын
Fund mmoja2 gaucho
@Chezalive7 ай бұрын
Anajua sana
@anganilekajigilikajigili26417 ай бұрын
Huyu ndio mwamba wa sokaaaa 🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽👊🏻👊🏻
@Chezalive7 ай бұрын
Anajua sana
@user-ud2jd2nm7i6 ай бұрын
Ni, kweri, Mimi kwa, macho yangu ya, nyama,sijamuona mtu, kama, yeye
@Chezalive6 ай бұрын
Mtu hatari sana
@user-sy2rr2jf7v7 ай бұрын
Yupoo yuleeeeee mnaigeriaaa yuleeeeee okocha. Jay Jay haya ukiachanaa na okocha yupoo yuleeeeee lobincho naeeeee vituu ambavyoo ronadincho allifanyaa naeeeee lobincho aliwezaa kuvifanyaa brother anguuu Kwanii brother napenda Sana kuchambi chambua mipiraaa hiiiiiiiiiiiii bwanaaa brother njoooo wahsapuu tukaeee tuchanbuee
@Chezalive7 ай бұрын
Umetisha sana, sema Kila Mmoja ana Radha yake kaka
@user-go9vp1qy8b4 ай бұрын
Japokuwa yote hayo Gaucho alikuwa na vingine vitu vyake alikuw akiongezea hadi soccer inanoga kamanda
@user-bm1gq2ww6h3 ай бұрын
The only legendary made to like football ⚽️ 🙌 👏
@Rody4507 ай бұрын
Hio sauti nikama ya Jamal kwani ulitoka wasafi WCB ama nakufananisha
@Chezalive7 ай бұрын
Hapana kaka unanifananisha, sio Jamal
@Jacksonkutusha5 ай бұрын
Ni mwamba
@yahyamlawa20697 ай бұрын
Na hatokei tna mwingine
@Chezalive7 ай бұрын
Dunia ilimpata mburudishaji
@EmmanuelNyamuyarula7 ай бұрын
Hakika umri ungejirudia gaucho angerudi tena
@Chezalive7 ай бұрын
Tulishuhudia burudani
@ahmedkhatibu53877 ай бұрын
Mpka leo hakuna mchezaji kamu huyu bingwaa
@Chezalive7 ай бұрын
Inawezekana kabisa, mwamba Alikuwa hatari
@jaffarmohamed68594 ай бұрын
❤❤
@user-zn2nf2ui6j5 ай бұрын
Mwamba wa ukweli
@rogersiddy7 ай бұрын
Kifupi ilo halipingiki kbs alikuwa fundi sana kama ulichelewa kuangalia mpila basi vigumu kumuelewa utaishia kusema kila mtu na radha yake hatujakataa ila raha ya mpila kuona vionjo kama vya Dinho hamasa na majadiliano yanakuwa mengi vijiweni na maeneo mbali mbali iyo ndo radha ya mpila
@Chezalive7 ай бұрын
Dinho sio wa kwanza kaka Wala hatokuwa wa mwisho, endelea kufuatilia ntakuletea Radha tofauti Nb: Pengo la mtu haliwezi kuzibika.
@rogersiddy7 ай бұрын
@@Chezalive Elewa mada ya husika tatizo letu sisi wabongo tunachokiamini vichwani mwetu ndo hivyo hivyo tunavipeleka kwenye mada ya mitandaoni haya nikuulize swali wewe mchezaji gan mwingine alietokea katika kipindi chake na baada ya kuustaafu mpila yupi unamfananisha nae mwenye vionjo kama yeye?
@khalidhashim60827 ай бұрын
@@Chezalive kama michael jackson saizi wanamuona mwenye makosa ila alikuwa hatari lakini dinho ni hatari sana
@Suzanawilbard6 ай бұрын
Wapo wengine Jay jay okocha, Robinho,Quaresma ni hatar hao jmaaa na wao
@user-pp5wr3vd1n6 ай бұрын
Hats Mimi
@allykagawa7 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌
@Chezalive7 ай бұрын
Hatari mzee
@user-gq6rz9hs5z5 ай бұрын
Mimininao
@JuniorGaddafi39786 ай бұрын
Kwa maisha yangu yote sijapata kumwona mwamba na mchawi wa soka kama Gaucho. Wengi mtamsema Cr7 au Messi ila katika kitabu changu cha mastaa wa soka basi Gaucho yupokidedeani.
@Chezalive6 ай бұрын
Mwamba fundi kweli kweli, mtoa burudani
@armankassim59065 ай бұрын
Jay jay okocha
@fanuelmulumba99762 ай бұрын
@@armankassim5906 okocha Bado hatoshi
@user-mc5us4lh1f7 ай бұрын
hatokuja kutokea kama yeye
@Chezalive7 ай бұрын
Noma sana
@Jumamustafa-ur7uv7 ай бұрын
Mwamba sana huyu
@Chezalive7 ай бұрын
Mwamba sana jamaa, inasikitisha tulimkosa mapema sana
@petermwanyondo53705 ай бұрын
Sijaona wakumgusa kwamba huyu
@benjaminmwenikahindi54296 ай бұрын
Uyu nimnomaaaa
@Chezalive6 ай бұрын
Noma sana
@ashaalali12216 ай бұрын
Kkkk unadani mpira ni ukweli kkkk.inaitwa eye tricks.wee jiuliza mpona Africa awashindi world cup? OK mpona mpira iko na stars? Ni wongo.lk movies..wrestling etc .lk acrobat.
@Chezalive6 ай бұрын
Acha bas mzee
@denisdamiani64735 ай бұрын
Mbappe
@venancerutta68754 ай бұрын
Duniani ni wachache
@michaelkitebo93057 ай бұрын
ALIKUA HATARIIII
@Chezalive7 ай бұрын
Fundi Mmoja wa soka
@kambonamajaliwa54667 ай бұрын
Mpaka leo sijaona mwenye uwezo kama wake
@Chezalive7 ай бұрын
Kila Mmoja na Radha yake kaka
@kambonamajaliwa54667 ай бұрын
We ladha yako iko kwa nani ndugu?
@Chezalive7 ай бұрын
Hahaa😅 Nakubali Kila mchezaji mzuri, japo wanatofautiana radha
@user-xx3bu9uf3g7 ай бұрын
True my brother 💯✅🙏
@Chezalive7 ай бұрын
@user-xx3bu9uf3g 🔥🔥👊
@ibrahimabdullah18872 ай бұрын
Huyu ndio mtu sasa messi mchongo
@Chezalive2 ай бұрын
😂😂
@002RYE2 ай бұрын
Kiukweli hakuna aliyefanya kama alivyofanya huyu mwamba
@user-sy2rr2jf7v7 ай бұрын
LAKINI nyieee acheniiii tuuu lakin wapooo walioo kuwaaa wanafanyaa Kama yeyee jamaniiiiii