Mox mox ukweli mtupu tupo mababa wa music nakubali sana
@yusuphlyimo13835 жыл бұрын
Mox toangoma usisubiri MTU wa kukumeneg Fanya ngoma1 au2 Kali usawishi shabikizako nakupata mauzo yangoma za mwanzo Kali sana
@dkensmopainvevo36835 жыл бұрын
Wasaniii wakongwe bana unaenjoy interview zao kinoma
@fredypastoryutd48644 жыл бұрын
Safi saana bro ulimnyoosha vilivyo, jamaa ni mzinguaji saana. Toka kipindi hiko nilikiwa simpendi P Funk kwa mambo haya haya yaliyokuwa yanasemwa. Niliifurahia saana mambo vipi na ulivyomtaja Mica Mwamba nikazidi kuipenda hadi leo. Huwezi kuamini mwanangu ana miaka mi3 anaipenda kinoma mambo vipi toka akiwa na mwaka mmoja na nusu. Natamani siki nikukutanishe nae
@mohdyussah8255 жыл бұрын
From UAE it's true Mchizi Mox
@emmanuelnyakatai73115 жыл бұрын
I real appreciate you so much. Mchizi MOX you are the genius. I'm a huge fan of your music it was fantastic
@starvista8235 жыл бұрын
Kaka nimekupenda bro uko really
@lelarashid52435 жыл бұрын
Huyu jamaa yuko vizuri bado
@MOJAZAIDI.5 жыл бұрын
MOX THE DON UMEONGEA POINT BABU
@darviswantana76695 жыл бұрын
Smart sanaa..,, nme enjoy hii enterview
@msalabanireko15182 жыл бұрын
Safi Sana kjna uyu p zaman alikua anajiona yy mungu mtu Sana
@stewatyngingo57305 жыл бұрын
Mchizi mox umeongea ukweli mtupu, Good sana sauti yako bado ipo vizuri rudi kwenye muziki
@saeedmassoud2565 жыл бұрын
Kumaamaee real talk mox 👍✌👊👊👊
@peter1018ful5 жыл бұрын
This guy is very smart
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Ndio ujue Old is Gold.
@Nickbrown1275 жыл бұрын
Mox we love you bro.sisi ndo jamaa wa age yako tutaendelea kuwa mashabiki zako always.
@cainewilliam52365 жыл бұрын
Well said bro, you have spoken wisely
@paulgerison62535 жыл бұрын
safi bro umeongea point
@muhinasundi12065 жыл бұрын
Point brother Mox
@tembeletadei71365 жыл бұрын
kumbe we siyo chizi uko vizur umesound perfect
@luqmanmohamedy38605 жыл бұрын
umeongea point sana
@milanzisalum93055 жыл бұрын
Mox mwamba noma sana ngoma homa piga mzigo kk
@jamesmwakitalima965 жыл бұрын
Leta ngoma basi mzee baba
@stevechampion65595 жыл бұрын
Point sana Mchizi Mox 💪
@victorsir-nga77085 жыл бұрын
nimependa maelezo yake yanayo husanisha biashara za watu na matamasha ya muziki.ameongea kweli kabisa ni very focused person mox
@jamesmodesty84075 жыл бұрын
Safi bro
@katengololosteven81965 жыл бұрын
Eti nipige kelele nami nimeenda kuruka dance debe,alaaaaah
@salummuhija44355 жыл бұрын
Mi nilienda festival Moro kwa ajili ya Afande japo hakupaform japo alikuwepo sijajua kwanini. Lakini kama ukivyosema wasanii wanatengwa wanachukua makapi.
@rashidkajara43284 жыл бұрын
Salum Muhija pole sana coz afande is one of ma favourite hiphop artsit
@jameskilasa7595 жыл бұрын
Zaman sio sasa Zaman ngoma inapigwa Leo mpka wiki moja mbele ndio maana tulikuwa hatuzichoki sio sasa ngoma unaisikiliza kwa siku mara 100 kwann usichoke mapema
@tgeofrey5 жыл бұрын
Tisha sana
@kilamiko82995 жыл бұрын
Kipindi hicho kulikua na ubunifu wa kweli sana, hahahha "kuchora, kuchora kitu gani safi sana mox na the king Ngwair.. R.I.P Master
@IWACUIRWANDAKIGALIRWANDA3 жыл бұрын
Miaka hiyo Kigali uritufurahisha sana
@mussamsella85605 жыл бұрын
Mchiz mox huna dude toka kwa p funk !!!!?? Maajabu ya Dunia ... kiukweri uko vizuri sana ...Chupa nyingine pale ndio ulimaliza
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
nzuri
@HamiduChamboko5 жыл бұрын
kivuli cha Mox bonge la idea
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Kiukweli Kama Unataka kuamini Old isi Gold Tafuta Ngma 10 za Zamani na 10 za Sasa Ndiomutajua Watu wanavyo kopy sikuzi utakuta ngoma zote zile zile tu.Hawawezi sikiliza Maana Hawajui mziki mzuri tushazoa Kubun kubaaa tu.
@ibrayuzow63205 жыл бұрын
mchiz mox sio chizi kabisa anaongeaga point tu
@bakamuubakamuu86285 жыл бұрын
Anazungumza point sna hyo kupiga kelele ndio nyimbo ya wasanii wa kisasa
@larickmtui28525 жыл бұрын
Kwel mzee umeongea ukwel maana me nishabik yako kwanzia unatoka
@linusrohomoja88565 жыл бұрын
tumekumic sana, nyimbo zako ni hatari sana
@jessicamm31715 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍
@rockcitynative99855 жыл бұрын
Kweli, washabiki wenu ni sisi wa toka kipindi kile, kazi tunazo na uwezo wa kuingia bugi tunao lakini kwa wale wabanapua hatuendi.
@lilakhhassan68965 жыл бұрын
Niseme ukweli wimbo ukiwa mzuri na uandishi mzuri ina dumu sana sio sasa hivi wimbo ume dumu sana mwezi
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Kweli Kabisaa..Kwa sikuizi watu hawaandiki Naona kutaja taja Majina tu Basi..
@jameskilasa7595 жыл бұрын
Zaman kulikuwa hakuna midia nyingi Kama Sasa nyimbo unaiskiliza Kila dk Kila saa Kila mara zaman isipopigwa studio ndio huisikii tena ngoma ikisikima mara nyingi lazima uichoke
@lilakhhassan68965 жыл бұрын
Mox ume ongea ukweli sana kwa mfano wale wale jamaa wa2 wapo na dogo yule mizuzu ya mwisho ya mwisho majingu tutu yalio na ujinga wa elimu ulio wajaa mox babu kubwa
@HightechTz5 жыл бұрын
Sijaielewa kabisa 😂😂😂
@gilamessidinhomrema66635 жыл бұрын
Madini tu umeongea
@sadyroger76245 жыл бұрын
Rudi home boy wetu tume kumis Sana
@jumastamu44082 жыл бұрын
Mox kma Mox
@jeanlubango79325 жыл бұрын
Huo ndo Ukweli bro Mpaka Sasa Huwa Na Amini TZ Mziki Umekwisha Sina Time Ya Kumsikiliza Nasib au Ally, Naturena Mox Na Daz hapo Acheni izo Wabongo.
@kilamiko82995 жыл бұрын
Sisi tumekua na mziki wa akina mox etal
@lewismpangala9275 жыл бұрын
Abdala kichwa wazi
@RuzoOwzy5 жыл бұрын
Mchizi ft Darassa. Nadhani itakaa vizuri
@salimsalum77965 жыл бұрын
Kuna ngoma nataka mushirikiane na chid benzino
@moudymchemia65985 жыл бұрын
Mngetoa sasa hivi mngefungiwa na .....
@maulidrehani5 жыл бұрын
Mox unapoints
@RuzoOwzy5 жыл бұрын
Kiingilio kudumaaa.
@larickmtui28525 жыл бұрын
Mchiz mox nimkal
@bish_daddiyao5 жыл бұрын
Chupa nyingine Bwana! THOSE DAYS MAN SALLUT
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Where is Ra P sikuizii
@hasanoshohilali105 жыл бұрын
Yupo marekan anawatoto watatu no music again ila kashakuwa mama mbaya.
@ramadhanmohamed88515 жыл бұрын
So poa
@khalifaalmugheiry92325 жыл бұрын
Umenena mchizi mox test ya nyimbo hatuzipati kama zamani wa balance tu wawaweke na watu wenye nyimbo za zamani tutakuja kusupport kwa pesa ya kuheshimiwa sio show ya elfu 10.
@anthoniosure5438 Жыл бұрын
Mtangazaji boresha namna ya kuuliza maswali yako.
@GeorgeMichael135 жыл бұрын
Hauna mpya kamanda ,wacha tuendelee kula burudani big g zetu za siku hizi
@mkigatv81425 жыл бұрын
Wew enzi yako ulifanya nn waache vijana watambe
@danieldouglas45345 жыл бұрын
mox umechoka mpaka umevaa shati ya mshua alafu bdo huachi majungu ya kizamani eti ww bdo kijaniw huku unatembea kifaza
@jamiestan72805 жыл бұрын
Ilo shati ange vaa p didy wala usinge comment ila kwakuwa kavaa mchizi mox mbongo mwenzio basi unataka uonekane kama unajua xana sio,acha uchoko stay real jooooohhh
@africanhappyadventure69515 жыл бұрын
Wewe ni Jinga sanaa Kweli Duuuh..!Shida wa Tz mnataka watu waishi Mnavyotaka nyie wewe ni waaajabu kwelii mjinga wa Mwisho.Watoto mlio zaliwa Juzi Juzi enzi za Kina naniliu mnashida Sanaa..
@untouchablepro89435 жыл бұрын
Hauna point mox ni mtu mwingine real hip hop
@kenzokimambi79225 жыл бұрын
Mashoga utawajua wanapenda kuvaa nguo zilizowabana kama za Daniel Douglas acha ushoga mtt wakiume kuongelea mavazi ya mwanaume mwenzio za wap shoga weee
@BONGOINMOTION5 жыл бұрын
Sis ni wa Tz Ko unataka avae kama mnavo iga nje wapuuzi mnaharibu utamaduni Mtu avae hivi mnapanua midomo