Msema kweli ni mpenzi wa Mungu...huyu ni mkweli sio mnafiki👏👏👏
@Farida-vg5ry9 сағат бұрын
Nyie mjazeni tu upepo akija kuingia kumi 18 zingine atafilwa itakuja kumgharimu
@shabanimbega40Күн бұрын
Simba ukiongea ukweli unageuzwa kuwa adui
@ChingaPambakaliiКүн бұрын
Uwo ni ukweli au chuki
@OmmyMagari-jn7ez19 сағат бұрын
Huyu sio Simba msiwe wajinga , huyu ni kibaraka lkn akae akijua Ukibaraka ni tabia hatari sana kwa maisha yake.
@MichaelMathew-j3f17 сағат бұрын
Watakuumiza mzee acha hizo. Ww ni yanga bana. Utaumizwa ujue watu sio wazuri wengine!!
@rosemaryKalega-c5s13 сағат бұрын
Mashabiki wa simba mnafer sasa mtu anashabikia kwa raha zake. Nyie mnatumia nguvu nyingi kuzuia raha ya mtu kwli
@jonamnyone801422 сағат бұрын
Issue sio hizo timu kuikazia Simba. Tena hizo timu zinazofadhiliwa na GSM zikaze sana haswa zinapokutana na Simba. Tatizo ni uwezekano wa hizo timu kurubuniwa ili ziilegezee na kuiachia Yanga.
@abdulrahmansangey1626Күн бұрын
Hahaha achanicheke mie wahauni wa zamani😂😂😂
@ZaireMudeba-lx8pt13 сағат бұрын
Nikweli ndugu yangu wewe unasema ukweli
@OS-pf6opКүн бұрын
Hana sifa za msingi za kuwa kiongozi! Hapo kuna bora kiongozi na sio kiongozi bora
@SamiraseifAlfan-ph4keКүн бұрын
Apo kwa shetani tyuu wallah nimechekaa😂😂😂
@careemdulla162912 сағат бұрын
Akili nyingi Mchome
@AzhadSaid-j1t17 сағат бұрын
Huyu jamaa ndo anaijenga simba taratibu hawajui tu watu
@JaphetysimonMasumbuko-nh4xp10 сағат бұрын
Kweli kaka
@jemimabakari17 сағат бұрын
Kweli,kuna timu maskini😅 Kuna timu ilikua inafikia Lodge karibu na kwangu,walikuja kuchukua mabarafu kwangu kwa mkopo,mpaka leo 2000 yangu hawakunipa,maana ilikua baadae baadae mpaka wakaondoka,na daraja wakashuka😂
@jeeserecordempire6 сағат бұрын
Nakupenda paka kufa kwangu wewe sioshabiki ila una kipawa cha boli na usemaji
@juliusdonard933Күн бұрын
😂😂😂😂 anaruka bila uhakika
@BenMazagaКүн бұрын
jaman kwa nn mnapenda kuwazia mabaya mwenzenu! kwani anakela wapi!?
@mymuamsrrr7884Күн бұрын
Kamara asigeufuata ule mpira ulikuwa unaenda nyavunii,Chama Ni hatari kwa kuchonga mpira nyiieeee😂😂
@HamisMghuna-fj3vzКүн бұрын
Leo chama akiwa simba,mlisema mzee ndoo wale wale
@VeronicaAdam-lx8yd8 сағат бұрын
😂😂😂😂
@MeckMsea-cx1ctКүн бұрын
Wewe mnafiki sana kila siku kusema simba
@rehemamuhammad3893Күн бұрын
Kwan wew umezibwa mdomo kuisem yang we vp mukiambiw watanzania tuwanonjwa tunakataa
@happysanga6846Күн бұрын
Wakuache Kila mtu atashangilia kwa anavyo weza na ww huo ndo ushabiki wako ulio chagua wasikufundishe Cha kufanya wafunge
@rosemaryfrancis957712 сағат бұрын
Vibendela wanavitambi😂😂😂😂
@VeronicaEstar19 сағат бұрын
Mwandishi kua makini na kazyak ukimliz interview kachezeee simu
@AbuuAyubu-t7c23 сағат бұрын
Hadi unapigwa kisa mpira sijui hapa Duniani mjinga nani maana kila mtu si mjinga je mjinga nani?
@SalumContawaКүн бұрын
Na badooo tenaa 😂😂😂the 😊
@mbwanamungia9921Күн бұрын
Huyu apigwe tu hana adabu hata kidogoo
@MathewNathan-yb2bzКүн бұрын
Mchome bwana,nafurahi sana unavyoongea
@BenMazagaКүн бұрын
Mchomen, yy anaongelea mpira ila watu wanamkasilikia2
@MasatuAdolfКүн бұрын
kipigo unakijuwa wewe ujapigwa unaongopa tu na kutafuta Kiki sogea uku kipigo kikuhusu vizuli
@IsaacPhilemon-mt7bkКүн бұрын
Huyu hajapigwa hata kidogo, hata mm mwenyewe ananikera sana,wamshone kabisa na huo mdomo wake. Hatuna washabiki wa Simba wehu kama jamaa.Apigwe tu.
@sir-dmwaye1891Күн бұрын
Pole
@HASSANKAMGUNDA22 сағат бұрын
So talking ture is painful 😂😂😂
@DockomanChemeng9 сағат бұрын
😊pi didy
@AbdulIsmail-ie4hpСағат бұрын
Sasa kama ni wabovu asisemeeee...!!
@AbdulIsmail-ie4hpСағат бұрын
Sasa kama ni wabovu asisemeeee...!!
@LukasMakundaКүн бұрын
Huyu Kuma Bora ajiamgalie mwenyewe mapema maana sizan kama atakuwa salama maana hiyo hata anaenhoji atapigwa
@DENISMAKALAКүн бұрын
KWELI kabisa na ww msenge unasemaje timu yenu mbovu
@HappyEel-wg4qxКүн бұрын
Acha matusi ww makoro wabovu
@jafarimsigwa277Күн бұрын
Poa tu mbona ana uhuru wakutumia haki yake yakùjieleza
@SostenesMlandaulwaКүн бұрын
Yan we kwann auji kwetu mbeya jaman tunakutaman we msenge
@pacomezouzoua9175Күн бұрын
Na ww tunakutamani uku dzm tunashununua mafuta ya piddy 😆😆
@JimmyMgalamaКүн бұрын
Acha miemko y ushabik ww kumtishia mtu mtandaon account yko utalekodiw
@AbubakarSwaheebКүн бұрын
Kwani uyu sindio alipigwa 7 na simba kilabu bingwa au
@neemamwijageКүн бұрын
Camara sio sifa ni utaharamu wake ndo mana simba wakamsajiri
@mbwanamungia9921Күн бұрын
Simpendi huyu mtu kabisaaa
@adijajuma8875Күн бұрын
We Nani anakupenda
@brysonkaale3003Күн бұрын
Soka letu Lina heshima kubwa ndani na nje ya nchi,Wahuni wakiachiwa waonyeshe uhuni wao soka letu litaharibika,nashangaa mpaka Sasa hiviPolisi hawajachukua hatua,Soka la Kenya ulianza uhuni Kama huu na mashabiki hawaendi uwanjani Hadi Leo,
@lucianaligambasi22 сағат бұрын
We aunty mpende jirani yako
@MalifezaMajidiКүн бұрын
Amakweli mashabiki Simba ni mbumbuu.
@YusuphJilala-r4eКүн бұрын
Hamakwawahunii😢😢madundukaaa
@FrankieFrank-e4e22 сағат бұрын
Siasa.sana
@MtaniEliasКүн бұрын
Mchome wewe nimjuzi sana Simba awakuelewi akili Simba ni ndogo sana
@AnthonyChaula-d8lКүн бұрын
Ww nawe tahira hujui kitu unamponza mwenzi0lo ni nan yupo yanga anafanya mambo ya kitahira kama mchome
@AblahisaidКүн бұрын
Huyu jmaa ni mtu mzur sna kwni yeye hana semu anayopendelea yeye huangalia ukweli uliopo
@MACHOYATAI-jk6fuКүн бұрын
Shabikia timu yako ya yanga acha mambo yakijinga
@shabanimbega40Күн бұрын
Simba tengeneza timu acheni mdomo
@JackKanyigoКүн бұрын
Simba kama CCM wanataka wasifiwe tu
@HamisMghuna-fj3vz22 сағат бұрын
Huyo yanga,ana lipw,hana lolote,
@abdallahakida7908Күн бұрын
Huyu ni mjinga na aende hatuna haja nae
@kalebphilip3426Күн бұрын
Na bado tutakukayoko subir
@OmarMohamed-e7s9s23 сағат бұрын
Huyu asipigwe nikocha wa mashabiki
@YusufuibrahimumraiКүн бұрын
Uko vizuri
@molenicharles91079 сағат бұрын
hadi waje wakufile umbwa ww
@roudhamahmoud763Күн бұрын
Kuhamiya ni hiyari ya mtu sio hela
@errydeo8865Күн бұрын
Stupid questions
@jaydenbedas572910 сағат бұрын
We ni mamluki sio shabiki wa Simba ww mweu
@BenMazagaКүн бұрын
jaman kwa nn mnapenda kuwazia mabaya mwenzenu! kwani anakela wapi!?
@IsaacPhilemon-mt7bkКүн бұрын
Huyu hajapigwa hata kidogo, hata mm mwenyewe ananikera sana,wamshone kabisa na huo mdomo wake. Hatuna washabiki wa Simba wehu kama jamaa.Apigwe tu.
@sir-dmwaye1891Күн бұрын
Unakerwa Ukiwa wap
@BenMazagaКүн бұрын
kama m2 anakuchukiza basi usimfatilie
@OmarSuleiman-o8oКүн бұрын
Unasem iv angekuw anaisem vibay yang mungekuw mushampig makofi
@BenMazagaКүн бұрын
jaman kwa nn mnapenda kuwazia mabaya mwenzenu! kwani anakela wapi!?