Mzee kuampore mtangazaji muurize hivi mechi Simba zidi ya azamu 27 kirjin anafanjiwa fauro kwenye bosi eria refa arikua Nani au mnamarefa wenu Kama arisasi kukubari Gori ra ngoma kure zanzibari ama yure arie mariza mpira zidi ya kosti kua mpore sisipia tunajua mnachokifanya
@awetumtengera1147Күн бұрын
Kumbe huyu mzee hamjui mtoto wake vizuri sikutegemea kama atajibu hivi. Ally ni lulu tumeipata yanga, akili nyingi, pia ni karama, au kipaji ameumbiwa kutoka kwa Mungu akiongea kitu kinatokea na tunajivunia kuwa naye.wananchiiiiiiiiiiiiii💚💚💚♥️
@LinusKyandoКүн бұрын
KAMATI YA UFUNDI IMEFANYIKA USIKU WA SAA 9 KUPINDUA UCHAWI WA SIMBA
@AbelChisasiКүн бұрын
Kweli mzee Kamwe , Ally. Kamwe chunga sana mdogo wako. Wakati mwingine. Kauli zako zinafanya watu wafikiri. Tunahonga kweli
@asmaramadhani8592Күн бұрын
Wee kolo bado ujasema na utasema
@clementmgongolwa8316Күн бұрын
Mzee vipi na wewe unatakiwa kuhama kwenda burundi?
@awetumtengera1147Күн бұрын
Eti wanatutishia sanda wakati wenyewe ndiyo wameivaa sajilini wachezaji hakuna Cha uchawi Wala mbinu zozote dakika 90 ndiyo zinaamua mechi.
@neemamwijageКүн бұрын
@@clementmgongolwa8316burudani ya kayoko😂
@saidilindukwaКүн бұрын
Mzee kamwe Sie wananchi twakuheshimu mnooo,wakati mkitufunga funga Miaka 4 ilikua inatuumiza hivyo so Mzee kuwa mpole
@Mariejo123-g2xКүн бұрын
Mzee Kamwe mshabiki wa kweli, ktk mchezo lazima ukumbali matokeo.
@LinusKyandoКүн бұрын
ILA HAMKUIFUNGA YANGA MARA NNE MFULULIZO
@silvesterrichardhelenya1319Күн бұрын
Siyo mara 4 tu tumeshawafunga ndani ya miaka kadha siyo mara 4 tumeshawanga
@RashidiIssanamagonoКүн бұрын
Mzee Kamwe unazeeka na busara zako hangera
@boscomtani1006Күн бұрын
Dakika ya 5 mpaka ya 6
@IddyNchamaКүн бұрын
poa mzee kamwe
@LinusKyandoКүн бұрын
MZEE ASANTE KWA KUTUZALIA MTOTO MBUNIFU KAMA HUYU
@ElihurumamathewКүн бұрын
Mzee kamwe hana baya nimtu wa mpira nampira anaujua
@FrankCharles-f1qКүн бұрын
We mzee tunakuheshimu jua mipaka yako,huna nguvu yakumuelekeza ally kamwe,apo alipo ni wapi na uliwahi kusema ajeee,ukivuka mipaka ukubari matokeo
@Farida-vg5ry12 сағат бұрын
Acha shobo unamkatazaje mtu asiongee na mwanae Ally ni mwanae wakumzaa asimwambie akikosea nyau we😮 hiyo Ali wenu anaitwa Ally simba