Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena
@GeofreyMtensa4 ай бұрын
Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...
@evalinemagige4956 ай бұрын
Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya
@amisamaurid18824 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ramadhanimtetu36566 ай бұрын
Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani Kwa kweli Ushoga Hapana
@traudkamugisha80516 ай бұрын
Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu
@drelizakilili4 ай бұрын
Tinaanza na wewe
@arttilioemiliam24196 ай бұрын
Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi
@zawadielisikay Жыл бұрын
Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu
@amisamaurid18824 ай бұрын
Kabisa
@CostancioMozaАй бұрын
Kweli
@josephatmargwe-kn4mu4 ай бұрын
Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu
@drdd774 Жыл бұрын
Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu
@muznatshaban5089 Жыл бұрын
Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee
@salummussa9871 Жыл бұрын
Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...
@drelizakilili4 ай бұрын
Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?
@upendogospelreaching63804 ай бұрын
Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana
@robertkatole3910 Жыл бұрын
Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.
@juanajuan3198 Жыл бұрын
Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.
@victoriajulius5239 Жыл бұрын
Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia
@DennisAnthony-j5y4 ай бұрын
Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote
@julianamwamgogwa6 ай бұрын
Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola
@theresiachacha3068 Жыл бұрын
Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Mungu hadhiakiwi
@greysondavid64452 ай бұрын
Tumepewa mamlaka na Mungu kuwatawala vuimbe wote na kuwapa majina yao.Leo hii wale tuliopewa mamlaka ya kuwatawala,wanatuzidi maarifa ya kiutawala.tunafuga njiwa,bata,punda,kondoo,mbwa,mbuzi,ng'ombe, n.k.Hwa viumbe hawashiriki mapenzi ya jinsia moja.Aibu aibu,aibu watumishi wenye roho za kishetani,waache kazi za Utume na utumishi wakalime.
@edsonnelson44646 ай бұрын
Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!
@MwanjiNzala-mo5ni6 ай бұрын
Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj
@drelizakilili4 ай бұрын
Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana
@heritier51196 ай бұрын
Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali
@ericamwkyokile46816 ай бұрын
Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.
@heritier51196 ай бұрын
Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu
@Commentsplus6 ай бұрын
Sabuni zake situmiiii teeeeeena
@ERICAHMWAKILUNGU4 ай бұрын
Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu
@heritier51196 ай бұрын
😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila
@mpefu_49364 ай бұрын
Mnacheza na mungu yupo hai
@Edwin-tw3yj6 ай бұрын
Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi.. Aliwahi kuita torati ni mavi Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi... Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi.. Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..
@AtuganileGodson3 ай бұрын
Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.
@joyceregani97786 ай бұрын
Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi
@AtuganileGodson3 ай бұрын
Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache. Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu
@rameckmarembo4 ай бұрын
Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!? Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi
@paulokuze9307 Жыл бұрын
Mungu tandika Hawa maana wamezidi
@annastaziakimaro30426 ай бұрын
MITHALI 24:1-2 Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao, Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.
@ramadhanmasiku41056 ай бұрын
Bado hamjasema😂 Islam is my religion
@costantinekikinda75746 ай бұрын
Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo
@josephmazengo1113 Жыл бұрын
Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo
@julianamwamgogwa6 ай бұрын
Mapepo nyinyi mungu awahukum
@Nazareth81196 ай бұрын
Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.
@MsAggie56 ай бұрын
Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.
@drelizakilili4 ай бұрын
Wewe wasema
@paulntalima6998 Жыл бұрын
Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi. Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?! Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?! Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu. WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.
@PcgtMsalato6 ай бұрын
Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.
@isaacvtv5476 ай бұрын
U Dr haukufanyi kumjua Mungu.
@BarnetLaston6 ай бұрын
Ana U Dr gani mavi tu hawa
@paulokuze9307 Жыл бұрын
Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.
@deborambutu9547 Жыл бұрын
Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa
@MsAggie56 ай бұрын
Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.
@RennyanselimАй бұрын
Sura zinaonekana ni wezi na waongo
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aah sana kabisa kabisa
@zebedayokatamaduni96766 ай бұрын
Kweli
@pendogwisu6 ай бұрын
Amepigwa Kofi zito na Mungu
@betuelmgullu4631 Жыл бұрын
Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza
@esthermwaibasa4778 Жыл бұрын
Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni
@chulelubella2819 Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃
@gabrielzakaria28106 ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo
@kelvinmwalunenge62246 ай бұрын
Nema ya wasenge wote imefunuliwa
@aziza90936 ай бұрын
Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya
@nelsonnyamle6 ай бұрын
HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA
@MsAggie56 ай бұрын
Ndo huyo kumbe! Lol Mungu ampige eti askof!
@drelizakilili4 ай бұрын
Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza
@abdulhakeem959 Жыл бұрын
mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??
@michaelwanyanga4 ай бұрын
Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.
@baybeshayo186 ай бұрын
Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.
@BarnetLaston6 ай бұрын
Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa
@ngwandukadama42296 ай бұрын
Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie
@pastormbokoti36136 ай бұрын
Mungu awatandike maana mmeiharibu injili ya kristo
@chulelubella2819 Жыл бұрын
Hatuwataki nchini kwetu waondoke
@salumurembo6525 Жыл бұрын
Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu
@MsAggie56 ай бұрын
Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu
@witnessmlay74156 ай бұрын
Uuwi Kumbe Grace product ni mume wa huyu kiumbe? 🙌🏽🙌🏽 mashetani hawa
@emmanuelmanka6 ай бұрын
Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae
@loner_wolf6 ай бұрын
How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?
@theologyclass9209 Жыл бұрын
Mungu anawaona sanaaaaaaa
@MathayoLoboi-uw2uj6 ай бұрын
Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao
@mkuubonyo17136 ай бұрын
Mama chizi mzee chizi ushoga ?
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu
@gabrielzakaria28106 ай бұрын
Michizi hii
@drelizakilili4 ай бұрын
Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure
@loner_wolf Жыл бұрын
Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana
@kdazzy9967 Жыл бұрын
Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha
@hono12326 ай бұрын
Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume
@abdulrahmankafuku3449 Жыл бұрын
Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini.. Aiseeee
@patrickmsekwa49474 ай бұрын
Aki au haki???... Unachafua Kiswahili
@RastaSuma2 ай бұрын
Hatutaki ushoga nyinyi wakristo
@happymrema74876 ай бұрын
Weww ni shog
@evalinemagige4956 ай бұрын
Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo
@Chemba67 Жыл бұрын
SUUUUUUUUKUMAAA NDANIIIIIIIIIIIIIIII WOTE HAWA
@RennyanselimАй бұрын
Kabisa hivi vipodozi vyao vina madhara udhamini wao upo kwa wazungu
@zengomikomangwa9264 Жыл бұрын
Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.
@patmercysecuritycompanylim5689 Жыл бұрын
Msihalibu thehebu la Kristo
@baybeshayo186 ай бұрын
BWANA na awakemee ktk jina la yesu kristo aliye hai.
@amisamaurid18824 ай бұрын
Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa
@edwardpeter8569 Жыл бұрын
Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa
@DeborahLemboto-yf8jw4 ай бұрын
Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅
@stevenjoshua5866 Жыл бұрын
Hakuna watumishi hapo mashogs makubwa hayo
@khaijakadija2082 Жыл бұрын
Umeoma bora wamefungiwa Ndio maana wamekuja kuomba radhi
@byesigwafabian9255 Жыл бұрын
Sijui kama kuna watumishi wa Mungu hapo. Tumewafuatilia sana,wanamdhihaki Mungu, Amri 10 za Mungu. Biblia ni Makaratasi tu yaani mambo wamefundisha. Ukweli Mungu asimamie yote!
@HassanMugire6 ай бұрын
Don't be deceived God is not Mocked
@bettynovertyfrances9620 Жыл бұрын
Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana
@HabilyTech Жыл бұрын
Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu
@dicksonkilupa22586 ай бұрын
Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.
@chulelubella2819 Жыл бұрын
Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO
@CostantineBahakaso2 ай бұрын
Cheki Hilo shoga zee la kulia😂
@reenesa6 ай бұрын
Asiweze kuongea kwa Sasa mbona mwanzo alikua anaikashfu Biblia?
@mussawambwe5853 Жыл бұрын
Mchungaji shoga huyo
@domycossan1395 Жыл бұрын
Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.