KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 49
@NeemaAkyoo-s4s6 ай бұрын
Tatzo mashabik wa simba hamnaga msimamo kesho tu simba sc ikimfunga mashujaa kuanzia goal tatu viongozi hapo hap ndo watatoka kwa kujifichia matekeo na nyie mashabik mtakaa kimya na kusahau haya mnayoyasema leo hii kuweni na msimamo
@davidwatson68215 ай бұрын
Kweli ndugu yangu, yaani mashabiki hatuna msimamo
@sportsnewjs43305 ай бұрын
Mchungaji ameongea ukweli kabisa 👏👏👏 Kwatimu yetu ya SIMBA tunashukuru Kocha yuko vizuri sana tu' tatizo baazi ya wachezaji wa mbele tu' nitatizo'
@sijaonamjungufinias4815 ай бұрын
Susieni hata kwenda uwanjani mashabiki mlioko Dar, maana hata nafasi ya 5 kwenye NBC Simba hawataishika Kwa mwendo huu.
@iradukundachriskagawa6 ай бұрын
Mchome Mapovu akisema eti ni shabiki wa Yanga 😂😂😂😂😂
@anithawidambe75436 ай бұрын
UPO SAHIHI SANA VIONGOZI WA SIMBA WANAUCHU WA MADARAKA. ACHIENI VIJANA SASA HV. SIMBA IMEKUFA. CY MASHABIKI SASA HV TUNAISHANGILIA YANGA. SIMBA VIONGOZI WANATUUA MASHABIKI
@mumbamuganda68346 ай бұрын
Mchungaji yuko sahihi maana usajili wa simba ni wa upigaji
@davidsimbeye15486 ай бұрын
Kwa kweli viongozi wetu ndiyo wanaotuangusha, hata mimi nilisema tunahitaji viongozi vijana wenye maono makubwa mara nyingi kijana anakuwa na shauku ya kutaka kuonyesha uwezo lakini wazee mawazo yao wanawaza kuhusu maisha yao ya uzeeni yatakuwaje.
@leonardfungo6 ай бұрын
Mchungaji Hata mabeki hatuna mabeki makatili badala ya kapombe na shabalala angalia Baka na akina Dickson Jobu ni makatili wakwetu wanasindikiza washambuliaji.
@anithawidambe75436 ай бұрын
TRAI AGEN NA MANGUNGU WANAWADANGANYA SANA MASHABIKI. MANZOKI ADEBAYO MAYELE. HUO WOTE NI UONGO TUU. USAJILI NIMBOVU SANA.
@uredipeter4125 ай бұрын
Nakubali kweli
@nelsonchivaula27565 ай бұрын
Mfumo wa Simba kwenye uongozi ni ngumu kuitoa labda serekali iingilie kati. Kuna machawa wengi snaaaaa kiasikwamba hata huu ukweli hawaupendi kabisa.
@sunwizy6085 ай бұрын
tufungwee ivi ivi ili tufukuzane vizuri maana tungekuwa tunashinda tungejisahahu
@charlesjoseph10815 ай бұрын
huyu mchungaji au mchungaji nakushauri rejea kanisa mpira siochaguo ulilopewa na Mungu au Hama nenda yanga tokaaaaa
@NassoroSipemba5 ай бұрын
Aya sasa mambo yameanza tumetoka kuitazama filam ya Manzoki kutua simba sasa kolo wanaletewa bonge la muvi Mayele kutua simba, na wao wanaamini mayele anakuja kukipiga simba nyie acheni kulala usingizi pono amkeni amkeni amkeni mnakwenda kupigwa mchana kweupeee....
@hajisaid1455 ай бұрын
Nachka sana mashabiki wa wavyo sana maana hana msimamo tukisema vingozi ndio tatizo wanadanyika na maneno ya viongozi
@gabrielprotas20945 ай бұрын
Hvi Manzoki alifata nini kwenye uchaguzi? Kunasehemu hatupo serious wana simba.. nadhani kunasehemu kuna shida..
@AnoriasKope5 ай бұрын
Koo hukweri hamen
@CharlesLutandula-y3c5 ай бұрын
Nyiemmechangianini mnatumwa hameni nendeni yanga
@augustinoduma525 ай бұрын
Watuachie Timu Yetu kwanza msururu wa kamati zisizo na msaada
@hassanntankwa41565 ай бұрын
Moo naee aandokeee.na jeshi lake
@davidwatson68215 ай бұрын
Mangungu ulipofikia inatosha kabisa achia madaraka
@jamalAlly-p2y6 ай бұрын
Hawa viongozi wamekaa pale simba wanaendeshwa na yanga nandio maana hata presha hawana
@CharlesLutandula-y3c5 ай бұрын
Kwendenizenuhuko
@MussaMarwa-z3n5 ай бұрын
Bola yako kaka ukweli ndiyo uyo
@SelemanSelemansaidi5 ай бұрын
Wapo hapo kushibisha mtumbo yao watuachie simba yetu,
@gaudencrasta4015 ай бұрын
Viongozi ktk mkutano walitangaza lazima nusu fainali sasa tumepigwa nje na ndani hojayao tena ni nini??? Haya MO,ataendelea kutuaminisha nn upigaji ni mwingi hawatoki MO,utakua unachangia%100,Kuihalibu timu kwani nia ya dhati huna ulisha sema inakutia hasala tena kwawakati mugumu tukicheza mechi ngumu za kimataifa za CAF uhivi ulikua wakati wa kuzungu mza maneno hayo kweli
@SelemanSelemansaidi5 ай бұрын
Mm siwadai wachezaji deni lipo kwa uongozi uache uongo cc tunaumia
@silasmarandu14855 ай бұрын
Mch. Kote huko umeongea vizuri Sana, ila kwenye swali la mechi ya Mashujaa na Simba ukachemka kidogo 😂😂😂🤔🤔 Mimi ni shabiki Wa Simba mzuri tu! Jibu lako lilionyesha dharau kwa mashujaa hatimaye tumekula za uso tena za kutosha? Kudadadeki! Simba itatuua 😢😢😢😢
@sultankingboy97575 ай бұрын
Acheze kibu tu kw7b ao wachezaji walioxajiliwa xo chaguo la mwalimu
@abubakarishariff84895 ай бұрын
Viongozi wamejificha wanangoja simba ikishinda kimechi kimoja ndio wanatoka kuropoka
@Sesiliakayaga5 ай бұрын
Mbona viongozi wakubwa wanajiuzuru tatizo nini
@ZuberiMlanzi5 ай бұрын
Try AGAIN Hebu tunza heshima yko mbele ya Wana Simba unapendwa na unaheshimika hata ukipita mbele za wtu ya Wana Simba. Jitoekaa KANDO UHESHIMIKE. Wtu wengi Mangungu hawamtaki pamoja na ww ,tunza heshima yko ww huna njaa ya Uongozi huyu mwenzio ana shida na umaarufu wa Sasa, lkn sio ktk mpira MANGUNGU HAKUBARIKI KWA WANA SIMBA WENGI HATUMTAKI.
@jacksonmofulu93365 ай бұрын
Kwel kabisa upigaji mtupu pale Simba
@shekhesufiani96086 ай бұрын
Wanachama changamken wafukuzeni viongozi we mo mfukuze traiagen na nyinyi wanachama mfukuzeni mangungu uwezo huo mnao fanyen kitu
@davidwatson68215 ай бұрын
Viongozi Simba ni wapigaji tuu
@abubakarishariff84895 ай бұрын
Moo hana pesa ni za familia mzee ndiomana awez kuleta watu ata wa bilion mbili tatu pale
@nasrahamisi4795 ай бұрын
Sasa ndugu unataka tuwe na msimamo gani zaidi yakuwambia hawa VIONGOZI wajilekebishe
@lawrencephotographyandsafa59555 ай бұрын
YAANI SIMBA YA MANGUNGU NA TRY AGAIN NI TAKATAKA YAANI MAVI YA TIMU WACHEZAJI HAWAHIELEWI TAKA TAKA KABISA , VIONGOZI NI WAIZI KABISA
@leonardlunguya71125 ай бұрын
Hao viongozi akina Try Again bila kuwafuata na viboko pale ofisini hawatatoka Kwa hiari
@AlfaniMichael6 ай бұрын
Mangungu namwsnzio muondokeee mtuachie Simba yetu mnatuumiza sisi tumechokaaa
@CharlesLutandula-y3c5 ай бұрын
Achakererewewe simliwachagua
@manyanyangassa18955 ай бұрын
Vingozi waachie ngazi waje wengine haiwezekani tuwe tunaishia robo fainal miaka miine