BARABARA TISA DAR KUFUNGWA KWA MUDA SIKU SITA, BAJAJI & BODABODA MARUFUKU

  Рет қаралды 4,239

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Barabara tisa jijini Dar es Salaam, zitakuwa zinafungwa kwa muda ndani ya siku sita kuanzia leo Januari 25 hadi Januari 30, 2025 wakati ambao misafara ya viongozi wanaokuja kutoka nchi mbalimbali kuhudhuria mkutano wa Nishati Afrika itakapokuwa inapita.
Pia, bajaji na bodaboba hazitaruhusiwa kuingia katikati ya jiji katika kipindi chote ambacho mkutano huo utakuwa ukifanyika.
Mkutano huo utakaofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Januari 27 hadi Januari 28, 2025, unatarajiwa kuhudhuriwa na zaidi ya marais 25 na mawaziri 60 kutoka nchi mbalimbali za Afrika.
Taarifa ya Polisi iliyotolewa leo Jumamosi Januari 25,2025 na Kamanda Kanda Maalumu ya Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro, imesema kutokana na ugeni huo, barabara hizo zitafungwa kuanzia leo.
Amezitaja barabara zitakazofungwa kuwa ni Nyerere kutokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwenda katikati ya Jiji.
Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi.

Пікірлер: 1
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 12 күн бұрын
Sisi leo tumepita mbona mpaka mjini
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 222 М.
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
BODA BODA STEVE NA NDARO HUYU NIWANGU UTACHANA NGUO
8:38
Mweusi Family
Рет қаралды 1 МЛН
KAGAME ALIVYOWASILI KATIKA MKUTANO WA SADC
3:35
Mwananchi Digital
Рет қаралды 48 М.
DKT. NCHEMBA AKABIDHIWA NOTI MPYA 2025
5:07
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 288 М.