Ahmed Ally afunguka ukweli kuhusu Kagoma na Lameck Lawi | Ni aibu Simba ikikosa kufuzu makundi CAFCC

  Рет қаралды 31,373

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya, itakayochezwa ugenini Septemba 15, 2024, itakuwa ngumu. Hata hivyo, amesema wamejipanga vyema ili kupata ushindi utakaowaweka katika nafasi nzuri kwa mechi ya marudiano.
Pia amesisitiza, itakuwa aibu kubwa endapo timu hiyo itashindwa kufuzu makundi, na kwamba kauli mbiu ya 'Ubaya Ubwela' itawarudia kutokana na matarajio makubwa waliyojiwekea ya kufanikiwa 2024/25.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Пікірлер: 33
@user-dy5bm2fq5p
@user-dy5bm2fq5p 2 күн бұрын
Imeisha iyo ubaya ubwela ahsante semaji wetu tunakupenda sana❤️🌹🌹🌹
@WendeMposola
@WendeMposola 5 күн бұрын
Simba nguvu moja naipenda milele ♥️♥️♥️🎉🎉🎉
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 6 күн бұрын
❤️ALHAMDULILLAH❤️🇹🇿 🇦🇪 SEMAJI LA FIFA SEMEJI LENYE DEGREE ana unguruma airport alfajir ❤
@user-wr7wp9sl2p
@user-wr7wp9sl2p 6 күн бұрын
Semaji la ubaya Ubwela... 💪💪
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 күн бұрын
Viraza hao 😂😂😂😂 utoporo maisha yao kama watoto ving'ang'a Sanaa mke hakutaki achana nae
@HusnaSalumu-x2x
@HusnaSalumu-x2x 3 күн бұрын
Amani ya Ubaya ubwelaaaaa imeisha iyoooo❤
@KhamisAlawi-n1k
@KhamisAlawi-n1k 6 күн бұрын
Hahahahaha hahahahaha, semaji la ubaya ubwela naomba uirudie Tena hiyo eeeeeh eeeeeeh eeeeeeh,😂 nimeipenda sana hiyo.
@gkwaV
@gkwaV 3 күн бұрын
😂😂😂😂
@sadikimkumbi2954
@sadikimkumbi2954 5 күн бұрын
SEMAJI UNAJUA KUKERA KWELI UBAYA UBWELA
@suchabulunja5611
@suchabulunja5611 6 күн бұрын
Kama swali halieleweki wewe sema ubaya ubwela tu 😅. More appreciation Semaji la CAF 🎉🎉
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope 6 күн бұрын
Waambie hao machangu,tena wanahumia sana
@omarkhamis3909
@omarkhamis3909 5 күн бұрын
Hayo maneno ndio yanawauma kuliko kuchapwa viboko
@MosesCosmas
@MosesCosmas 5 күн бұрын
Hahaha sawa semaj
@RamadhanAballah
@RamadhanAballah 5 күн бұрын
ila semaj kun mtot yup apo pembeaniya anaona rah jinsi unavyoongea emb ishi nae bx
@AnjelaMatiya
@AnjelaMatiya 6 күн бұрын
Ubaya Ubwela
@malimusi-uf4ib
@malimusi-uf4ib 5 күн бұрын
Mimi wakwanza kukata tiketi
@AbdrazackNassoro
@AbdrazackNassoro 2 күн бұрын
Wambie Kaka hawakujui hao niwazee wakura ukoko
@MichaeliMshana-xn4yw
@MichaeliMshana-xn4yw 3 күн бұрын
Tatizo ni udhamini wa GSM kwa timu nyingi za nbs, Sasa haya ndio madhara yake, na
@jumamjengibadomapema4436
@jumamjengibadomapema4436 4 күн бұрын
Wenyewe watulie2 huu ni ubaya ubwela
@KhamisShangonga
@KhamisShangonga 5 күн бұрын
Ali kamwe anakoswa la kuongea atakuwa kama manara
@UpendoEdwin-p6d
@UpendoEdwin-p6d 4 күн бұрын
Kama kawaida ubaya ubwela
@halfanJuma
@halfanJuma 6 күн бұрын
😅😅😅😅😂😂
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 5 күн бұрын
Semaji letu unakuwa na akili nyingi mpaka mimi nachoooka😂😂 Unawatoa nyongo taratiiibu mwisho wanaelewa tuuu, Wamsubiri km Mkude miaka 14 sio mbali.
@JILBERTDaniford
@JILBERTDaniford 5 күн бұрын
PIGA PEMBENI NGOMA, CHUKUA STIKER MKALI ZAID YA WALE TULIO NAO KWA SASA. UBAYA UBWELA
@TheresiaFransic
@TheresiaFransic 6 күн бұрын
Ubay ubwel
@ChristinaLazaro-oy4kb
@ChristinaLazaro-oy4kb 2 күн бұрын
Uhakika semaji raFifa
@user-gp7es3sg3k
@user-gp7es3sg3k 6 күн бұрын
Mdomo wako unakuponza kagoma hatacheza
@Mumlion2624
@Mumlion2624 6 күн бұрын
Nyoooo atacheza
@ignasamando9593
@ignasamando9593 6 күн бұрын
Ww ni mjinga wa mwisho duniani.
@HemediAlly-i4z
@HemediAlly-i4z 5 күн бұрын
wewe ndio utacheza
@LauMagwaja
@LauMagwaja 4 күн бұрын
Bado ujasema utopolo Bado ujasema 😂😂😂😂
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 4 күн бұрын
Acheze mara ngapi? Hujamuona uwanjani?
@AnjelaMatiya
@AnjelaMatiya 6 күн бұрын
Ubaya Ubwela
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 64 МЛН
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 48 МЛН
MASHUHUDA WAFUNGUKA FAMILIA ILIVYOUAWA KIKATILI ‘Wameungua kama mkaa’
6:30
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 64 МЛН